Afande nimekusikia,Mungu akubariki sana,cha ajabu tu ni kuonyesha wazi kwamba tunaongozwa na viongozi wanaojiita wa kiroho vipofu tena vipofu kweli kweli,ushauri kwa wote waliohusika na mgogoro huu,waanze na toba kama neno la Bwana lisemavyo, tubuni basi mrejee ili dhambi zenu zifutwe zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana.msije mkashupaza shingo wote mliohusika na mgogoro huu tubuni kwa toba ya kweli na Bwana YESU atawasamehe,lakini msipo tubu,neno la Mungu ktk mithali 29:1 linasema, aonywaye mara nyingi akishupaza shingo atavunjika ghafla wala hapati dawa.
Babayng askofu Peter Mwakyolile alikuwa&hekima ya KIMUNGU uzidi kubarikiwa Baba Mwakyolile jaman Mwaikali cjui nn kimempata rohon mwake had awatenganishe wana KKKT wkt hatujawahi kuwa&ugomvi ndani ya kanisa letu we Mwaikali unamatatizo gan?
Jeshi la police MUNGU awabarik sna nimemsikia askari mmoja kasema nao wanasali nimependa kauli hiyo kwan wote n wa MUNGU mmoja babayng Mwaikali bado nauliza humu umekengeuka wap?mbona ulipokuwa mchungaj KKKT TUKUYU akiwa askofu baba Mwakyolile sasa ww ulipopewa uaskofu kwann umeisahau TUKUYU kukimbilia Luanda mbeya mjini wakt makao yalikuwa TUKUYU mjin shida nn Mwaikali?
Mnauzalilisha ukristo ukristo niaminifu kama mlishakubaliana kwa rpc kunahajagan yakukabiziana kwenyemakamela na maaskali mnafanya tusemwe sana huku mitaani kwajili yatamaa zamal makanisan
Shida kumbe si kumtumikia MUNGU kumbe mnang'ang'ania mali tena za mikono ya waumini jaman mmefika mbali sana viongozi wa KKKT babayng Mwaikali umekengeuka wapi mbona km umepotea babayng ila mnisamehe bure km nakoment tofaut ila baba Mwaikali namfaham katukuza kiroho akiwa usharika wa KKKT TUKUYU eeh MUNGU wang tusaidie
Uhuni mwingi saana sana, mmekula sadak zetu saiz tumewajua yana hapo hakuna cha mwaikali wala Mwakihaba wote ni walafi wa madaraka. Hekima za Suleman zifanye kazi. Huu ni uhuni kuna mmoja anatumia nguvu za dola kuna mmoja anadidimizwa tu hapo.
@@sylyavalaeditha8660 MZEE KAJALIWA UJASIRI SIO MNAFIKI,KANISA ZIMA WALIKUWA WANASEMA AMINA ZA KINAFIKI YEYE PEKE YAKE ALISIMAMA KWA UJASIRI MKUBWA KUONYESHA ANACHOKIAMINI,
Lakini kweli inasadikika Mwaikali kaama kanisa na anataka kulibadili liwe KKKT ya Africa mashariki wakati sisi tunajua KKKT dayosisi ya konde Tanzania.Mimi mwenyewe siungi mkono kwakweli.Kwanini mubadili Kanisa hoja ndio Iko hapo
Kumtumikia Mungu siyo mpaka muwe na vyeo makanisani,Yesu kristo gani mnayemtumikia mjaa malumbano,mnafunga mageti watu wasiingie kwa ajili tu ya matumbo yenu,acheni tena acheni hiyo ni njia ya kuzimu.ushauri kumbuka ni wapi uliko anguka ukatubu ukatende matendo ya kwanza.
KKKT Mnatia aibu! Uyo Mtumishi mnaye zalilisha,mtakutana na MUNGU. Mtu mwenye maono makubwa hufanyiwa hivyo! Afungue Taasisi mpya muone atawapita! Huduma yake nikubwa mno ila inawezekana haijui!
Hivi anachokisema kwamba atakabidhi magari bila blue card inatoka wapi? Gari ni blue card si vinginevyo. Maandalizi gani zaidi yanahitajika? Hizo blue cards zilitunzwa wapi zaidi?
Afande nimekusikia,Mungu akubariki sana,cha ajabu tu ni kuonyesha wazi kwamba tunaongozwa na viongozi wanaojiita wa kiroho vipofu tena vipofu kweli kweli,ushauri kwa wote waliohusika na mgogoro huu,waanze na toba kama neno la Bwana lisemavyo, tubuni basi mrejee ili dhambi zenu zifutwe zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana.msije mkashupaza shingo wote mliohusika na mgogoro huu tubuni kwa toba ya kweli na Bwana YESU atawasamehe,lakini msipo tubu,neno la Mungu ktk mithali 29:1 linasema, aonywaye mara nyingi akishupaza shingo atavunjika ghafla wala hapati dawa.
Asante Afande
Ahsante mungu ahsante Rps kwa kazi mzuri mungu akukumbuke kwa kumtunza Amani ya mkoa wetu
Huyu polisi aise yuko vizuri sana aise 🙏🙏🙏
Duuu pole baba yangu Mwaikali
Babayng askofu Peter Mwakyolile alikuwa&hekima ya KIMUNGU uzidi kubarikiwa Baba Mwakyolile jaman Mwaikali cjui nn kimempata rohon mwake had awatenganishe wana KKKT wkt hatujawahi kuwa&ugomvi ndani ya kanisa letu we Mwaikali unamatatizo gan?
MUNGU MUNGU akutie nguvu bb yangu Mwaikali
Kweli MUNGU atusaidie maana shina la uharibifu limesimama patakatifu. Wakristo tuendelee kuyaombea makanisa yetu ili MUNGU ashuke na kuponya
AIBU
Polisi ndowatenda kazi wa dini aisee mungu tusaidie kkkt imeharibika
Wamejaaa tamaaa tuu kkkkk wotea hawako kwajili ya mungu
Mlimnyanyasa na kumdhalilisha mpakwa mafuta wa BWANA Askofu Mwaikali Kwa ajili ya Mali. Subirini ghadhabu ya MUNGU.
Jeshi la police MUNGU awabarik sna nimemsikia askari mmoja kasema nao wanasali nimependa kauli hiyo kwan wote n wa MUNGU mmoja babayng Mwaikali bado nauliza humu umekengeuka wap?mbona ulipokuwa mchungaj KKKT TUKUYU akiwa askofu baba Mwakyolile sasa ww ulipopewa uaskofu kwann umeisahau TUKUYU kukimbilia Luanda mbeya mjini wakt makao yalikuwa TUKUYU mjin shida nn Mwaikali?
Hapo kuna Mungu kweli
Huyo Askari kaongea vizuri mnajidhalilsha kwa kweli Mungu hapendi hayo mambo
Mnauzalilisha ukristo ukristo niaminifu kama mlishakubaliana kwa rpc kunahajagan yakukabiziana kwenyemakamela na maaskali mnafanya tusemwe sana huku mitaani kwajili yatamaa zamal makanisan
Huwa iko Hivi, hamnaga utawala au uongozi Mbaya Mwanzoni, Mambo hubadilika mbele ya safari, Take it as a Note
Kwa mtindo huu kanisa linadhalilika sana. Mimi naona kuna shida kubwa sana sana! Mambo yenu mpaka serikali iingilie kweli?
Ivi inawezekanaje kumhubiria polisi kuwa kwa Yesu Kuna amani?
Aisee aibu sana
Shida kumbe si kumtumikia MUNGU kumbe mnang'ang'ania mali tena za mikono ya waumini jaman mmefika mbali sana viongozi wa KKKT babayng Mwaikali umekengeuka wapi mbona km umepotea babayng ila mnisamehe bure km nakoment tofaut ila baba Mwaikali namfaham katukuza kiroho akiwa usharika wa KKKT TUKUYU eeh MUNGU wang tusaidie
Ila mwaikali Mungu akupe afya njema ASKOFU wangu yani uyo mwakyolile anashabikia
Tumuombee usaliti ni mbaya sana
Tumuombee Mungu amsaidie atulie, alikuwa na nafasi kubwa sana kutatua hii changamoto, nafikiri washauri walikuwa wanamlish matango pori.
Na wewe unasemaje
Ameen msigombane tena
Wana wa uasi wa Martin Luther King
Uhuni mwingi saana sana, mmekula sadak zetu saiz tumewajua yana hapo hakuna cha mwaikali wala Mwakihaba wote ni walafi wa madaraka. Hekima za Suleman zifanye kazi.
Huu ni uhuni kuna mmoja anatumia nguvu za dola kuna mmoja anadidimizwa tu hapo.
Kabisa.mkuu kakosa.angewatoa wote
Pesa na tamaa ya madaraka vitatuhukumu vibaya sana
RPC UPO VIZURI SANA. MUNGU AKUBARIKI SANA WENGI WA WANYAKYUSA NI WABISHI SANA.
YESU nitetee
HONGERA SANA MZEE MWAKANYAMALE MZEE WA NEVER!,NEVER!,NEVER!,NEVER! MWOGOPENI MUNGU!,MWOGOPENI MUNGU!
Mungu yupi mtu anatukana matusi ibadan ndo huyo Mungu wake tumwabudu sisi
@@sylyavalaeditha8660 MZEE KAJALIWA UJASIRI SIO MNAFIKI,KANISA ZIMA WALIKUWA WANASEMA AMINA ZA KINAFIKI YEYE PEKE YAKE ALISIMAMA KWA UJASIRI MKUBWA KUONYESHA ANACHOKIAMINI,
Nyie ni bure kabisa! Mnamtumia Mungu kushughulika na mambo ya kidunia. Eti mnajifanya kuongea kistaarabu.
Imeandikwa kesheni mkiomba wengine wanakesha kushindania Mali za ulimwengu huu
Huyu Mwaikali anagomea nini hapa mbona wa ajabu sn mch huyu jmn
Mungu atusaidie kanisa la leo
Hayo mapete makubwa
Akkkt na anglikan mnashida gani? Loman oyee
Adui kawavuruga au ??,?
Tutaruka nae juu
Safali yambinguni tutafika tumechoka kweli
Lakini kweli inasadikika Mwaikali kaama kanisa na anataka kulibadili liwe KKKT ya Africa mashariki wakati sisi tunajua KKKT dayosisi ya konde Tanzania.Mimi mwenyewe siungi mkono kwakweli.Kwanini mubadili Kanisa hoja ndio Iko hapo
watumishi wa Mungu bwana!
Kumtumikia Mungu siyo mpaka muwe na vyeo makanisani,Yesu kristo gani mnayemtumikia mjaa malumbano,mnafunga mageti watu wasiingie kwa ajili tu ya matumbo yenu,acheni tena acheni hiyo ni njia ya kuzimu.ushauri kumbuka ni wapi uliko anguka ukatubu ukatende matendo ya kwanza.
4g
Baba wawatu mmemkamata Kama kawaibia
Hahahaha hahahaha mbinguni mbali sana
KKKT Mnatia aibu! Uyo Mtumishi mnaye zalilisha,mtakutana na MUNGU. Mtu mwenye maono makubwa hufanyiwa hivyo! Afungue Taasisi mpya muone atawapita! Huduma yake nikubwa mno ila inawezekana haijui!
Lucas mwijage mungu anaona Ila tunakoenda mungu atusaidie
Mh
Ni Mungu yupi anayeabudiwa huyu wa mimali,migari hii ?
Daa kuna kakibuli flan ameonyesha mwishon
Hivi huyu Mwaikali amesahau kwamba yeye ni Mchungaji?
Wewe mwaikali baba angu naomba muogope Mungu wako usigombaniye kazi Mungu mnamuaibisha jamani Mungu wete na kulitukanisha jina la Mungu
Usaliti alioufanya mwakihaba na mwakyolile ndo dhambi kubwaa wao ndo wa kwanza kudhalilisha kanisa
@@sylyavalaeditha8660 nyie ndio mmemfanya Mwaikali anaonekana kituko kwa kila anayefuatilia habari hizi
KKT Mbona mmekuwa kama hamueleweki.bora wachungaji.hata wasioe wawe kama mapdre ili wasipore mali za kanisa.Familia ndio chanzo.
Wawe kama mapadri wasioe lakini wazae nje?
Waandishi huyo mwaikali ataongea mpaka aonane na mwambola kwanza
Askari hadi kanisani🤔😏
Roho MTAKA VITU anatawala makanisani ameshika nafsi za watu, shetani kaweka kigoda anagombana wenyewe kwa wenyewe,wamemsahau roho mtakatifu.
Inaumiza sana kama kanisan limefuka hapo
Viongozi wetu tunakwama wp tupige maendeleo tupunguze siasa ktk mambo ya kiroho
Haya mwaikali aliyataka mwenyewe na wanaomtia moyo wote watamkimbia atabaki peke yake
Alula nyiee wez kabisa nauyo mwakiabawenu tyeena nauyo mwakiolilee anae ongea utyafkili kameza kobe mdomoni nyiee wachawidu kabisa
Shame on you, ndo mambo gani haya sasa
Sasa hiyo Diniii? Au SACCOS.
Mambo kama ya NCCR-Mageuzi kufungiana ofisi, ila jamani KKKT migogoro imezidi.
Sifaapewe BWANA YESU tumeuona mkono wako ukitenda makuu,sijamuona Mwambola naonakamkimbia mwenzie haya yote yanampata kwaajiri ya kumskiliza mwambole
Make kwanza nichekeee 😀 ko ratiba za mwambola zote unazijua
Bwana mnamsingizia hapo acheni uongo mna Bwana au police? Bwana gani anadanganya na kunyanyasa watu kwa kutumia mitutu ya bunduki
HUU MGOGORO HAUWEZI KUISHA KILAHISI KAMA MNAVYO FIKILIA MUNGU ATUSAIDIE
Huu utaisha kabisa na utashangaa
Kwann usiishe
Mwambola kanyoti
Akili mtu wangu
Namshangaa Mwambola kanyoti
Mwaikali anataka kuiba nini?
Sasa tarehe 22 kanisa linakabidhiwa litabebeka? Inamaana hayo magari sio ya kkkt?
Uelewa mdogo hakuna Mali ya kkkt hapo ni Mali ya dayosisi ya konde, na kanisa no Mali ya washarika wao ndo wasemaji wa mwisho
Naona iyoo 22 ayo maofisi yatyabebeka watyabeba pamoja na kansa naona
@@lucymwaipungu8931 😀😀😀
@@sylyavalaeditha8660 🤣🤣🤣unaona wenzio uelewa mdogo wakati wewe ndio bogus kabisa hiyo hicho unachoita dayosisi nini!? Sio KKKT!?
Mbona huyu mstaafu anang'aka sana.
Alipewa jukumu la kurudisha aman
Mwambola kachimba
Kwanini mnambembeleza huyo mwaikali?
Unatakaje?
Mwambola kakimbiaa😄😄😄
akili mtu wangu
ANAMWOGOPA USWEGHE MWAKANYAMALE 😂 😂 MZEE NI SHUJAA,NEVER!NEVER!
Kwishineiii ataoongelea wapi? aende afrika mashariki mwenyewe
Hivi anachokisema kwamba atakabidhi magari bila blue card inatoka wapi? Gari ni blue card si vinginevyo. Maandalizi gani zaidi yanahitajika? Hizo blue cards zilitunzwa wapi zaidi?
Kweli hapa mwaikali kaonewa ....alafu na shangaa kumbe mwakyolile bado niaskofu