Very ethical & straight foward leader. I wish other leaders could demonstrate the same quality. Those power mongers who have crossed the lines should be eliminated from the system completely-they do not work for the party/country but for their own interests.
Definitely I agree with what you say, those are not committed or responsible leaders, they are just mere money maniacs who are there to justify individual ambitions!
Mwenyekiti anayeenda kugombea nafasi za kisiasa ni wa kuogopa kama ukoma.kwann aliomba kusaidia chama kama anamaslahi yake mengine.nashauri ili kukomesha hii Tabia baada ya uteuzi waondolewe kabisa kwenye nafasi za kusaidia chama maana haikuwa lengo lao
Kuna baadhi ya wateule wa Rais wameanza kumbp Rais aliyewaamini akawateuwa ,sasa wamelewa madaraka wanaanza kupuuza hata ushauri wake.ni utovu wa nidhamu na kumkosea adabu meh. Rais. Wamejaa Tamaa na kujitajirisha haraharaka.
Kwa kweli KM wa CCM, Chama kimelamba Dume, unasimamia Maadili ya Chama, pia Mikoani wapo Viongozi wasioridhika na vyeo,leo anacho hiki,kesho kile,na mtondogoo kile, pia suala la kuhujumu Chama nitatizo kubwa, lifanyiwe Kazi.
Kazi ya ukatibu imepata mkunaji ila niombe kiombe kiongozi watu wasihukukumiwe kwa kuwa tu wameacha nafasi zao nakwenda kugombea nafasi za Ubungo bali watu wapewe haki zao ili chama kiendelee kuwepo wasameheni wameteleza watajifunza
🤣🤣🤣🤣Duuuhhh yn hapo inaonekana kabsaa walio wengi wao wanataka uchu wa madaraka na masilahi yao binafsi But sio Issue xana watakutana na Mzee magu baadae
Mm sion kosa n sawa MTU unajiendeleza kielimu..........ukirifhika unadumaa kiakili......huwez jua pengine wewe ni rais ujae........ht baba wa taifa alikua na umr mdogo Ila Kaz kubwa angeridhika tusingepata uhuru
Bashiru, tukikutaka uwe raisi, utakuwa😠, utake usitake. Kama unafaa, tutakubebesha tu 🤨uwe katibu mkuu au katibu mdogo, Hata haijawahi kutokea basi utakuwa wa kwanza, katiba si msahafu,Usitufokee🤓
Walio wengi walioacha nafasi zao, kwa kauli hii walio wengi ndio kwaheri, hata kwa kauli ya JPM na Bashiru walio wengi waliokua na wadhifa ndio basi tena waombe wapate ubunge wakikosa kwaheri wawe wapiga debe la CCM
@@christinewomanoffaith5479 kabisa bora wakose shwain sana, km huyu bashite kamtukanisha sana Magu kwa nafasi ile leo wakuondoka kizembe huyu ndio angekosa kabisa hana kweli fadhila na vyeti vyake fake🏃♂️🏃♂️
Pia na Rais umwambie kuteuwa watu bila kufata utaratibu wachama nayeye pia anakosea mbona hamuyasemi wapinzani wengi wanateuliwa bila kufata utaratibu wachama nahilo pia useme
Kweli kabisa sio kiongozi tu anaestaili kuacha alama bali kila mwanadamu yampasa kuacha alama duniani atustaili kuzidiwa na konokono akipita pahara anacha alama hivyo basi yatupasa nasi .big up Dr Bashiru jembe la chama dume
Kimsingi kiongozi yeyote kuamua kuacha kazi na kugombea nyadhifa fulani ni sahihi kabisa. Ni haki yake ya msingi katika kutimiza malengo na matarajio yake kimaisha. Shida ni kwa viongozi wateule wasiozingatia ushauri wa aliyewaweka kwenye nyadhifa zao, ni sawa na kumpiga Kofi la Uso.
Mara nyingi naikubali CCM na nampongeza Rais Magufuli anafanya kazi nzuri ingawa kaisahau Zanzibar lakini hiki kinachofanyika sasa siungi mkono, kwamba Kiongozi akienda kugombea Rais anatengua hii sio sawa, ni mamlaka yake lakini kama ambavyo tunakubaliana sote kuwa Rais Magufuli hakuna mbadala wake wapo pia baadhi ya wateuliwa wake hawana mbadala. Kimsingi Bunge likifunjwa hakuna Serikali acha mchakato uendelee ndio Utamaduni wa chama chetu baada ya awamu mpya utapanga awamu mpya hii kulazimisha kuna watu wasitendwe haki ili waumizwe kwa sababu wamegombea hii sio sawa.
Bashiku nimekuerewa Sana katika chama kusimamia haki je kwavyama vingine haki iyo inapatika kupitia chaguzi namanisha wateule hao wanafwata haki uyu kashindaje
Naishauri ccm inakoelekea ni kubaya mumelewa kukubalika kwenu ,wakati vyama vinatafuta watu wenye mvuto kwa ajili ya kushinda uchaguzi nyie mnazuia watu kugombea why? Nani aliwai kutosheka ? 1, jpm alikuwa waziri hakutosheka akataka urais 2, bashiru ulikuwa mwalimu haukutosheka Leo ni katibu mkuu 3, jk alikuwa mwanajeshi akutosheka akaenda kwenye siasa adi urais 4, mkapa alikuwa mtumishi Wa ikulu hakutosheka akaenda kwenye ubunge shida iko wapi? Unatudanganya jk alikuwa mwanajeshi akaenda kwenye siasa mbona hakutosheka jeshini
Hujaelewa. Kugombea ni haki ya mtu na kanuni za Chama zinaruhusu. Ila ukigombea na ukiwa ni mteule lazima uachie cheo cha kuteuliwa wakae wengine. Hata ukiwa ni mfanyakazi wa Sheria inasema uache kazi.
Mimi ni CCM damu damu lakini CCM huwezi kupata cheo kama huna fedha (sijuwi zinatolewa saa ngapi, lkn RUSHWA ipo) na ukiwa mtoto wa Kiongozi wengine watabaki kuwa washindikizaji hawana chao. Uadilifu ndani ya Chama bado hauko sawa sawa, maandiko yapo vizuri na kila swali lina jawabu.
CCM ipi hiyo?Zama za kuitegemea hela kukupa uongozi zimepitwa na wakati.Ushahidi ni utitiri wa walio chukua form kugombea, kipindi kilichopita usingeona haya kwa sababu waligombea wachache wenye hela.
@@hamoudrushenya8650 Hakuna siku duniani ambayo mwenye fedha atakuwa sawa na alokuwa hana, CCM ninayoungumza ni hii hii iliyoanzishwa 5/2/1977. Hujuwi siasa, wingi wa Wagombea sio dalili tosha ya demokrasia bali ni aina nyingine ya RUSHWA ambapo wenye nguvu (fedha) wamewatumia watu kugawanyisha kura ili mwisho wa siku aibuke mshindi. Hapana mlalahoi atashinda hapo. Mbona kwenye Rais hakujitokeza mtu kama sababu kafanya vizuri (tunakubali wote hapo) kwani hakuna Wabunge au Madiwani au Wawakilishi waliofanya vizuri? Kuna hitaji akili kubwa kuelewa Change mindset ambae akili zake has changed negetively hawezi kuelewa.
Mimi naona kwanza ushauri ungeutowa kwa Rais kwani nayeye pia anakosea kuwapa watu wasio wanachama uwongozi yani kwenje mikutano yake anateuwatu wapinzani bila kufanta utaratibu wachama
Million 10 Kati ya million 59? Katika kipindi chote cha utawala ni tatizo kubwa na alama ya kutokubalika katika jamii. Uwezo wa kuwafikia wananchi ni mkubwa kwa CCM na Serakali yake tofauti na vyama vingine vilivyo kosa uhuru wa kufanya shughuli za za kisiasa ili kuwafikia wananchi wengi ili waongeze wanachama. Nini Maoni yako?
Katibu kweli umezungumza sahihi,na imani kweli ya serikali ya awamu ya tano mmeahidi na mmetekeleza na pia umeondoa ule utoaji rushwaa Hivyo vijana waende tu tutawaunga mkono tu wakipita, Mwenyekiti asimamie ipasavyo viva ccm
Hawa vijana sio wazuri kama wamepewa madalaka wamekadi kwa dhalau Sasa wanaonekana hawako tayari kukufanya kazi na Rais Hata tukiwachagua watakwenda kumhujumu. Kazi kwetu wapiga kura.
Wapinzan wa bongo walivyo wapuuzi, safar utashangaa wanaendelekea kupokea makapi ya ccm yatakayo drop kwny kura za maoni kama 2015 ambavyo huwa hayajifunzi tu
Makonda kashindwa kutambua alama za nyakati, alishindwa kujuwa kuwa ana maadui wengi sana Serikalini na ndani ya Chama. Alikuwa yupo kwa Ihsani na imani ya Rais lakini keshaivunja. Wabunge wanaripoti shida zao kwa RC leo wewe ni RC unaomba Ubunge, why? Ni kweli ukiwa Mbunge una uhakika wa kibarua kwa miaka 5 hata ukifanya vibaya lakini nafasi ya uteuzi inapotea wakati wowote.
Mariam Uko sahihi Ila MAKONDA KAANZA NA UVCCM KATUMIKIA VYWMA,UKUU WA MKOA KATUMIKIA VYEMA,NK.NI KIONGOZI KAACHA ALAMA KAKOMESHA MADAWA YA KULEVYA.MAADUI WANAOMCHUKIA NI WALE WALIOTAKA KULETA MADAWA AU RUSHWA. ANASTAHILI KUWA KIONGOZI WA NGAZI YA JUU.
Sijui watu wanapenda nini ubunge. Hakuna cha maaana kama hautaki kusaidia jamii yako na upo kwaajili ya maslahi yako binafsi labda nitakuelewa. Vijana pigeni kazi.
Kuna watu wamepewa dhamaa ya kuwakilisha majimbo mbalimbali kwa hawamu 2 Ila hawatendei haki watu wa majimbo hayo,tunaomba chama izingatie hili( Mara ni haibu watu wanarubuniwa na matajirin wanawachagua)
Makonda hakuzaliwa kuwa mk7u wa mkoa hivyo ana haki ya kugombea kuwa mbunge waache kuminya demokrasia hata hivyo makonda ana nafasi ya kwenda upinzani akiona huko wanamkandamiza.
Hichi chama sio maliyenu pekeyenu kuwa muamuetu mnalolitaka nyie ndio liwe haiwezekani hivyo kila mwana chama anahaki yakugombea msilete mambo mnayo yataka nyie
Tatizo Ally hujaelewa.Hakuna mtu anayekatazwa kugombea bali kwakuwa ana nafasi yakutumikia wananchi basi ajiuzulu kwanza huko ndipo aombe nafasi ya kazi kwenye ubunge.
Chama changu pendwa CCM wapeni watu uhuru wa kuchagua cha kufanya wasilazimishwe kufanya kitu asichotaka, hivyo msiwapige vita. Na hata Ndugu Bashiru hapo anasema ni haiki yao kugombea basi tusimame hapo na kuwapa hiyo haki ya kugombea.
Kama wangekuwa hawazipendi nafasi walizokuwa nazo walipaswa kutokukubali uteuzi.. lakini kila nafasi unataka wewe DC time wewe, MPs time wewe wengine ambao hawana hizo nyazifa kubwa kubwa waende wapi kama kila kitu wewe!!
Huajasikiliza vizuri!mwanachama yoyote ana haki ya kugombea!ila kamati kuu lazima ikupitishe!ndo maana wengi wamechukua forms za kugombea!utaona mchujo!
Nafikiri waliyofanya hivyo hamkuwaandaa, sababu hiyo ilikuwa ndiyo kawaida za chaguzi zilizopita, hivyo wao walitegenea ni yaleyale, kama mliweka hilo au hiyo adhabu katika kanuni za kugombea wao wakakiuka hilo ni tatizo lao. Lakini kama mmewatega tu kama panya mtakuwa mmewaonea. Mbaya zaidi waliyofanya kosa hilo ni wengi lakini mnamsakama aliyekuwa Mkuu wa Mkoa mmoja tu kwa kutaka kumharibia nafikiri siyo sawa. MSIFANYE HIVYO MSIFUNGE MIKONO DEMOCRASIA ZA WATU, WAMESHAADHIBIWA KUFUTIWA NYAZIFA ZAO HIYO INATOSHA.
Hii story imemlenga makonda jamani makonda nikiongozi Bora ndo maana ktk kuongea kwenu imewauma Sana kuachia mkoa sisi tunamtaka Sana kigamboni tumefurahi Sana kuja kwake kigamboni huyo ni mwamba haina ubishi
Dismas.. ubunge maslah .posho vikao vya bunge,posho ukiwa kwenye vikao vya KAMATI za bunge.posho ukaguzi wa miradi kwenye kamati za bunge.marupurupu kibao na ile nono ya kumaliza awamu.
Mbona wewe hukulizika na kufundisha PS UDSM, Wanahaki ya kujiendeleza kisiasa kama walivyo Fanya walio juu leo fikirieni kwa kina sana swala hili lakuwazuia wengine kwani wote walioko juu Leo kisiasa kiuchumi kielimu na katika mambo yote hawakulizika na hawajalizika
Very ethical & straight foward leader. I wish other leaders could demonstrate the same quality. Those power mongers who have crossed the lines should be eliminated from the system completely-they do not work for the party/country but for their own interests.
Definitely I agree with what you say, those are not committed or responsible leaders, they are just mere money maniacs who are there to justify individual ambitions!
In short "Bashiru is a great leader"
I agree... 👌
Ndio umuhimu wa wasomi wazalendo.
Mwenyekiti anayeenda kugombea nafasi za kisiasa ni wa kuogopa kama ukoma.kwann aliomba kusaidia chama kama anamaslahi yake mengine.nashauri ili kukomesha hii Tabia baada ya uteuzi waondolewe kabisa kwenye nafasi za kusaidia chama maana haikuwa lengo lao
Dr bashiru sawa kabisa mungu akupe maisha marefu mheshimiwa 👍👍👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Huyu ndie Katibu wa ukweli,kwa kweli chama kimepata mtu sahihi kwenye nafasi hii nyeti
Katibu msenge
Alikua mkuu wa idara ya siasa UDSM na ni mbobezi pia
@@Gamba177 elimu huna kama ungefika chuo kikuu mliman ungemjua vzr
@@Gamba177 chunga dolelako linalo andika
@@Gamba177 unajaribu kutuonyesha Tania taking ya utotoni.
Kwamba tukuone hats wazazi walk wana Tabia hizo?
Pole Sana
Sijui kama wanamuelewa katibu Mkuu ndg Bashiru..Mimi ninamuelewa ....
Binafsi nimemuelewa bro!
Ahsante kwa kumkumbuka baba yangu mzazi
Great! Proper and clear responses
point....nakuelewa sana kiongoz wetu wa chama
Dah Katibu Wa Ccm yuko vizuri
Amenikumbusha mbali uyo mzee uyo mbagwa aliogopeka saana kwetu tulikuwa wadogo ila adi sasa tumeishamaliza vyuo ila bado tunamkumbuka kwa kazi zake
Dr Bashiru,you are a great man my brother.Your integrity is unquestionable and I like you.Akili safi na unyenyekevu mkubwa.
Katibu Safi sana uko sawa kbs
Huyu katibu mkuu JPM alichagua asee. Bonge la kion§ozi🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
2025 unaweza kuwa rais kwanini hapana?
Kuna baadhi ya wateule wa Rais wameanza kumbp Rais aliyewaamini akawateuwa ,sasa wamelewa madaraka wanaanza kupuuza hata ushauri wake.ni utovu wa nidhamu na kumkosea adabu meh. Rais. Wamejaa Tamaa na kujitajirisha haraharaka.
Nimekupata sana Dr
Akili yako ni safi kabisa sio sawa na Polepole anaeendekza mipasho na ngonjera tu.
Kwa kweli KM wa CCM, Chama kimelamba Dume, unasimamia Maadili ya Chama, pia Mikoani wapo Viongozi wasioridhika na vyeo,leo anacho hiki,kesho kile,na mtondogoo kile, pia suala la kuhujumu Chama nitatizo kubwa, lifanyiwe Kazi.
Mmmh makonda hapiti
mbagwa alikuwa anazingua sana kitambo kile
Nimekuelewa ndg katibu
Hapo uko sawa kabisa dr
Umemsema makonda ndio miaka 5 kawa Dc na Rc sasa anataka ubunge
Prof M. K
Safi Sana, nimekuelewa mkuu
Mwenyekiti bashiru usichoke sana, hoja ni hao wakuu wamikoa wanao tamba wao nilazima washinde wakiongoZwa na makonda,huyo akipita nitaamini hata wewe umemshindwa.
hawaridhiki hao baba ila acha wa'wapishe wengine kwenye hivyo viti walivyo viachaa
Kazi ya ukatibu imepata mkunaji ila niombe kiombe kiongozi watu wasihukukumiwe kwa kuwa tu wameacha nafasi zao nakwenda kugombea nafasi za Ubungo bali watu wapewe haki zao ili chama kiendelee kuwepo wasameheni wameteleza watajifunza
Hapo lazima wakatwe panga🤣🤣🤣
Wana tamaa hao hakuna kusamehewa c waliapa wenyewe
Kote wanataka wao.Ni bora kuachia kumoja shika nafasi unayoitaka na ukikosa imekula kwako.
Safiiii sana
🤣🤣🤣🤣Duuuhhh yn hapo inaonekana kabsaa walio wengi wao wanataka uchu wa madaraka na masilahi yao binafsi But sio Issue xana watakutana na Mzee magu baadae
Haya yakisimamiwa imara yatakiimarisha sana chama kwani hakutakiwa na ubakaji wa nafasi za uongozi chamani na kitaifa
Huyu Dr. Bashiru yupo poa sana
Nimekuelewa sana, katibu mkuu
Hakika CCM INA mtendaji mkuu sahihi kabisa
Yupo mtu litampata jambo
Agreed with you 💯💯💯💯 Bashiru your legend love you bro
Umeeleweka Katibu
Sawa katibu mkuu
Katibu wako msenge
Mm sion kosa n sawa MTU unajiendeleza kielimu..........ukirifhika unadumaa kiakili......huwez jua pengine wewe ni rais ujae........ht baba wa taifa alikua na umr mdogo Ila Kaz kubwa angeridhika tusingepata uhuru
Unajua nini Wtz tumekwishakuwa wengi,hakuna sababu yakwenda kugombea huku umeshika nafasi.Jiondoe kwenye madaraka ndipo ukagombee.
Bashiru, tukikutaka uwe raisi, utakuwa😠, utake usitake. Kama unafaa, tutakubebesha tu 🤨uwe katibu mkuu au katibu mdogo, Hata haijawahi kutokea basi utakuwa wa kwanza, katiba si msahafu,Usitufokee🤓
MH.KATIBU MKUU
UKO VIZURI 100%
Walio wengi walioacha nafasi zao, kwa kauli hii walio wengi ndio kwaheri, hata kwa kauli ya JPM na Bashiru walio wengi waliokua na wadhifa ndio basi tena waombe wapate ubunge wakikosa kwaheri wawe wapiga debe la CCM
Na ubunge hawapati ktk jina la Yesu!
Wawapisha na wengine
@@christinewomanoffaith5479 kabisa bora wakose shwain sana, km huyu bashite kamtukanisha sana Magu kwa nafasi ile leo wakuondoka kizembe huyu ndio angekosa kabisa hana kweli fadhila na vyeti vyake fake🏃♂️🏃♂️
Waacheni kuwasema umri wa uongozi ni kutumikia wananchi wakati wa ujana, hata kikwete alianza siasa akiwa kijana,, wananchi ndiyo tutawapima
jamani kwa maneno haya ya busara nahisi tumtafutie mwenzetu kazi nyingine
😂😂
😂😂😂
Daa! Yaan ata sielewi elewi sa sijui itakuaje.
Pia na Rais umwambie kuteuwa watu bila kufata utaratibu wachama nayeye pia anakosea mbona hamuyasemi wapinzani wengi wanateuliwa bila kufata utaratibu wachama nahilo pia useme
U ar a nature!
Kweli kabisa sio kiongozi tu anaestaili kuacha alama bali kila mwanadamu yampasa kuacha alama duniani atustaili kuzidiwa na konokono akipita pahara anacha alama hivyo basi yatupasa nasi .big up Dr Bashiru jembe la chama dume
Kimsingi kiongozi yeyote kuamua kuacha kazi na kugombea nyadhifa fulani ni sahihi kabisa. Ni haki yake ya msingi katika kutimiza malengo na matarajio yake kimaisha. Shida ni kwa viongozi wateule wasiozingatia ushauri wa aliyewaweka kwenye nyadhifa zao, ni sawa na kumpiga Kofi la Uso.
Hata katibu hajasema hana haki bali kwenye mchakato lazima uache nafasi uliyopewa kwanza ndipo ugombee.
Katibu Mkuu anaushawishi katika hoja anazozijenga akitetea jambo.. Ana busara na ni muungwana sana. CCM ina Kiongozi.
Mara nyingi naikubali CCM na nampongeza Rais Magufuli anafanya kazi nzuri ingawa kaisahau Zanzibar lakini hiki kinachofanyika sasa siungi mkono, kwamba Kiongozi akienda kugombea Rais anatengua hii sio sawa, ni mamlaka yake lakini kama ambavyo tunakubaliana sote kuwa Rais Magufuli hakuna mbadala wake wapo pia baadhi ya wateuliwa wake hawana mbadala. Kimsingi Bunge likifunjwa hakuna Serikali acha mchakato uendelee ndio Utamaduni wa chama chetu baada ya awamu mpya utapanga awamu mpya hii kulazimisha kuna watu wasitendwe haki ili waumizwe kwa sababu wamegombea hii sio sawa.
Patamu hapo!Wataula wa chuya!!!
Bashiku nimekuerewa Sana katika chama kusimamia haki je kwavyama vingine haki iyo inapatika kupitia chaguzi namanisha wateule hao wanafwata haki uyu kashindaje
Siasa bwana na maelekezo yote hayo utashangaa makonda kapitishwa na kuwa mbunge
Uwa nakuelewa sana kiongoz wangu
Naishauri ccm inakoelekea ni kubaya mumelewa kukubalika kwenu ,wakati vyama vinatafuta watu wenye mvuto kwa ajili ya kushinda uchaguzi nyie mnazuia watu kugombea why?
Nani aliwai kutosheka ?
1, jpm alikuwa waziri hakutosheka akataka urais
2, bashiru ulikuwa mwalimu haukutosheka Leo ni katibu mkuu
3, jk alikuwa mwanajeshi akutosheka akaenda kwenye siasa adi urais
4, mkapa alikuwa mtumishi Wa ikulu hakutosheka akaenda kwenye ubunge shida iko wapi?
Unatudanganya jk alikuwa mwanajeshi akaenda kwenye siasa mbona hakutosheka jeshini
Hujaelewa. Kugombea ni haki ya mtu na kanuni za Chama zinaruhusu. Ila ukigombea na ukiwa ni mteule lazima uachie cheo cha kuteuliwa wakae wengine. Hata ukiwa ni mfanyakazi wa Sheria inasema uache kazi.
@@christophermwanilwa7074 kuna wengine ni wazur kukoment lkn wazito kuelewa mada husika
Acheni kumsema jamani,aliyo yafanya ni makubwa kuliko mnacho msakama nacho.angalieno mema yake.
Viogozi wagazi zakata wanawagombea kunasehemu mabalozi wanapewa ukoo wajipanga kwahilo madiwani wegi watapita wasiyo kubalika kwanaichi uchaguzi watu wamemaliza wamebaki kutangazwa wajumbe 100 kaweka wakwake kilakijiji 15x5=75 tayar hesabu ndg bilakujali mbovu kiasigani
Hapo Katibu Mkuu nisha kabisa wenye tamaa waache tamaa.
Mzee wa mafaili aeneze mafaili hadi tarafani mwenye kucheza rafu aadhibiwe
Mzee wako msenge anafirwa
Makonda hamtampitisha?
Huyu jamaa ni tunu ktk hii nchi
Ok
Wanataka kutawala wao kila kitu wawe waoo zote ni rohombaya
Mimi ni CCM damu damu lakini CCM huwezi kupata cheo kama huna fedha (sijuwi zinatolewa saa ngapi, lkn RUSHWA ipo) na ukiwa mtoto wa Kiongozi wengine watabaki kuwa washindikizaji hawana chao. Uadilifu ndani ya Chama bado hauko sawa sawa, maandiko yapo vizuri na kila swali lina jawabu.
CCM ipi hiyo?Zama za kuitegemea hela kukupa uongozi zimepitwa na wakati.Ushahidi ni utitiri wa walio chukua form kugombea, kipindi kilichopita usingeona haya kwa sababu waligombea wachache wenye hela.
@Change Mindset Jenga hoja yako tu, huna haja ya matusi.
@@hamoudrushenya8650 Hakuna siku duniani ambayo mwenye fedha atakuwa sawa na alokuwa hana, CCM ninayoungumza ni hii hii iliyoanzishwa 5/2/1977. Hujuwi siasa, wingi wa Wagombea sio dalili tosha ya demokrasia bali ni aina nyingine ya RUSHWA ambapo wenye nguvu (fedha) wamewatumia watu kugawanyisha kura ili mwisho wa siku aibuke mshindi. Hapana mlalahoi atashinda hapo. Mbona kwenye Rais hakujitokeza mtu kama sababu kafanya vizuri (tunakubali wote hapo) kwani hakuna Wabunge au Madiwani au Wawakilishi waliofanya vizuri? Kuna hitaji akili kubwa kuelewa Change mindset ambae akili zake has changed negetively hawezi kuelewa.
Mimi naona kwanza ushauri ungeutowa kwa Rais kwani nayeye pia anakosea kuwapa watu wasio wanachama uwongozi yani kwenje mikutano yake anateuwatu wapinzani bila kufanta utaratibu wachama
Msitishe watu mkajifanya kama njie ndio chama chenu kilamwana chama ana ana hakiyake kugombea
ccm Safi sana
Million 10 Kati ya million 59? Katika kipindi chote cha utawala ni tatizo kubwa na alama ya kutokubalika katika jamii. Uwezo wa kuwafikia wananchi ni mkubwa kwa CCM na Serakali yake tofauti na vyama vingine vilivyo kosa uhuru wa kufanya shughuli za za kisiasa ili kuwafikia wananchi wengi ili waongeze wanachama. Nini Maoni yako?
Wateule wa JPM watuachie sisi wakulima tugombee
Katibu kweli umezungumza sahihi,na imani kweli ya serikali ya awamu ya tano mmeahidi na mmetekeleza
na pia umeondoa ule utoaji rushwaa
Hivyo vijana waende tu
tutawaunga mkono tu wakipita,
Mwenyekiti asimamie ipasavyo
viva ccm
Hawa vijana sio wazuri kama wamepewa madalaka wamekadi kwa dhalau Sasa wanaonekana hawako tayari kukufanya kazi na Rais Hata tukiwachagua watakwenda kumhujumu. Kazi kwetu wapiga kura.
Serikali ya ccm wasenge wezi
Weweee
Wamejiridhisha na uteuzk
Sema baba kuna viongizi hawajui hizo kanuni
Kwa maelekezo hayo ni wajibu wa viongozi na wanachama kuzingatia maadili na misingi ya CHAMA CHA MAPINDUZI.
Wapinzan wa bongo walivyo wapuuzi, safar utashangaa wanaendelekea kupokea makapi ya ccm yatakayo drop kwny kura za maoni kama 2015 ambavyo huwa hayajifunzi tu
Acha ujinga usikalili
Pole bashite
duuuuu kwa maelezo hayo makonda aji tadhmini sn nawengineoo pia😀
Hata akijitathinim kaishachelewa
Makonda kashindwa kutambua alama za nyakati, alishindwa kujuwa kuwa ana maadui wengi sana Serikalini na ndani ya Chama. Alikuwa yupo kwa Ihsani na imani ya Rais lakini keshaivunja.
Wabunge wanaripoti shida zao kwa RC leo wewe ni RC unaomba Ubunge, why? Ni kweli ukiwa Mbunge una uhakika wa kibarua kwa miaka 5 hata ukifanya vibaya lakini nafasi ya uteuzi inapotea wakati wowote.
Mariam
Uko sahihi
Ila MAKONDA KAANZA NA UVCCM KATUMIKIA VYWMA,UKUU WA MKOA KATUMIKIA VYEMA,NK.NI KIONGOZI KAACHA ALAMA KAKOMESHA MADAWA YA KULEVYA.MAADUI WANAOMCHUKIA NI WALE WALIOTAKA KULETA MADAWA AU RUSHWA.
ANASTAHILI KUWA KIONGOZI WA NGAZI YA JUU.
@@sylvestrengwelu2012 Ngazi ya juu ni ipi? Mkuu wa mkoa au Mbunge wa Kigamboni!!? Hahahahahaaa
MAKONDA SIYO LEVEL YENU,
SUBIRINI UCHAGUZI UISHE
HAYA MNAYOSEMA MTAJIKATAA WENYEWE.
MTAKUJA NIAMBIA.
Sijui watu wanapenda nini ubunge. Hakuna cha maaana kama hautaki kusaidia jamii yako na upo kwaajili ya maslahi yako binafsi labda nitakuelewa. Vijana pigeni kazi.
Miladi ayoo tufikishie ujumbe kwa magufuli wachimbaji tuliyoko igomaa mafinga tunanyanyasika
Wasira
hakuna kitu kibaya kwa kiongozi msomi kuwa na benefit of intrest
Kama nani Benny
Mheshimiwa Makonda hajiamini Katibu nimekuelewa... huyo bado..angeharibu Sana ...SNOBBY..
Kuna watu wamepewa dhamaa ya kuwakilisha majimbo mbalimbali kwa hawamu 2 Ila hawatendei haki watu wa majimbo hayo,tunaomba chama izingatie hili( Mara ni haibu watu wanarubuniwa na matajirin wanawachagua)
Makonda hakuzaliwa kuwa mk7u wa mkoa hivyo ana haki ya kugombea kuwa mbunge waache kuminya demokrasia hata hivyo makonda ana nafasi ya kwenda upinzani akiona huko wanamkandamiza.
Hichi chama sio maliyenu pekeyenu kuwa muamuetu mnalolitaka nyie ndio liwe haiwezekani hivyo kila mwana chama anahaki yakugombea msilete mambo mnayo yataka nyie
Tatizo Ally hujaelewa.Hakuna mtu anayekatazwa kugombea bali kwakuwa ana nafasi yakutumikia wananchi basi ajiuzulu kwanza huko ndipo aombe nafasi ya kazi kwenye ubunge.
Nini tena?
Duh
Sijawaelewa ccm yaani mgombea anateuliwa au kura za maoni ndo zinatoa mgombea ambaye anakubalika kwa wananchi
Dr. Bashiru
Chama changu pendwa CCM wapeni watu uhuru wa kuchagua cha kufanya wasilazimishwe kufanya kitu asichotaka, hivyo msiwapige vita. Na hata Ndugu Bashiru hapo anasema ni haiki yao kugombea basi tusimame hapo na kuwapa hiyo haki ya kugombea.
Kama wangekuwa hawazipendi nafasi walizokuwa nazo walipaswa kutokukubali uteuzi.. lakini kila nafasi unataka wewe DC time wewe, MPs time wewe wengine ambao hawana hizo nyazifa kubwa kubwa waende wapi kama kila kitu wewe!!
Nataka nikachukue kadi ya uana chama Leo vipi naweza kuruhusiwa kugombea na nikiwa mwanachama mpya?
Huajasikiliza vizuri!mwanachama yoyote ana haki ya kugombea!ila kamati kuu lazima ikupitishe!ndo maana wengi wamechukua forms za kugombea!utaona mchujo!
Nafikiri waliyofanya hivyo hamkuwaandaa, sababu hiyo ilikuwa ndiyo kawaida za chaguzi zilizopita, hivyo wao walitegenea ni yaleyale, kama mliweka hilo au hiyo adhabu katika kanuni za kugombea wao wakakiuka hilo ni tatizo lao. Lakini kama mmewatega tu kama panya mtakuwa mmewaonea. Mbaya zaidi waliyofanya kosa hilo ni wengi lakini mnamsakama aliyekuwa Mkuu wa Mkoa mmoja tu kwa kutaka kumharibia nafikiri siyo sawa. MSIFANYE HIVYO MSIFUNGE MIKONO DEMOCRASIA ZA WATU, WAMESHAADHIBIWA KUFUTIWA NYAZIFA ZAO HIYO INATOSHA.
Htr
Vizuri wanyoweni kwa magaeya chupa
baba ngombea uraixi
Haa katibu eti Ilikua Ni kata ya KATERERO
😂😂😂😂😂umehisi nini tena mzeebabaaa 😜😜😜
Hii story imemlenga makonda jamani makonda nikiongozi Bora ndo maana ktk kuongea kwenu imewauma Sana kuachia mkoa sisi tunamtaka Sana kigamboni tumefurahi Sana kuja kwake kigamboni huyo ni mwamba haina ubishi
kwa fact zipi kuwa yeye ndie kiongozi mwamba, sema unamtaka kigamboni sio tunamtama
Umemlenga wewe. Mbona kuna wakuu wa Mikoa kadhaa wameenda kugombea?
Hivi kweli,unaacha ukuu wa mkoa au mkuu wa wilaya kwenda kugombea ubunge???!!.Kuna nini cha zaidi kwenye ubunge?,au kuna maslahi zaidi?!!.
Mi nahsi anaona Kuna probability akipita kuangaliwa kwenye nafas ya uwazir
Tamaa tamaa tuu
Kazi ya muda mchache unapata gari ya mkopo ukimaliza miaka mitano kiinua mgongo kikubwa ndo mana watu wanaacha kazi zao na taaluma zao
Dismas.. ubunge maslah .posho vikao vya bunge,posho ukiwa kwenye vikao vya KAMATI za bunge.posho ukaguzi wa miradi kwenye kamati za bunge.marupurupu kibao na ile nono ya kumaliza awamu.
Makonda kalowa
KWELI
Namkumbuka mbagwa alikua anachapa mpaka viboko nakuwekwa selo.alikua kiboko mbaya sio mchezo kaka
Mie zozo nieleweshe
Mbona wewe hukulizika na kufundisha PS UDSM, Wanahaki ya kujiendeleza kisiasa kama walivyo Fanya walio juu leo fikirieni kwa kina sana swala hili lakuwazuia wengine kwani wote walioko juu Leo kisiasa kiuchumi kielimu na katika mambo yote hawakulizika na hawajalizika
Suala ni Kaifanyia kazi kwa muda gani ? Mfano yeye Kafundisha Miaka mingapi... kisha ndiyo atafute nafasi yingine.... Muda mrefu kafundisha pale UDSM.
Makonda ndo kapotea kabisa kwenye uwongoz cdhani kama atapitishwa
Kapotea kweli
Time Will tell.
Safi Katibu Mkuu.
Uongozi wa CCM Tanzania bara unahitajika utoe mafunzo ya uongozi Zanzibar ili tukijenge chama na kuua vyama vyengine kama Tanzania bara
Kwa hilo sahau chama kimoja Mh rabda mubadilishe maisha ya mtu mmoja mmoja
Wacha ujinga wwe iloneno chama cha mapinduzi uko bara lilikuwa halitumiki wamekopi zanzibar walikuwa waowanaita ccmtu