KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH: IBADA YA MORNING GLORY (THE SCHOOL OF HEALING ) 19/ 09/ 2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 ก.ย. 2024
- KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH: IBADA YA MORNING GLORY (THE SCHOOL OF HEALING ) 19/ 09/ 2024
UJUMBE WA LEO: KUOMBA KINYUME NA VIZUIZI VINAVYOZUIA SAUTI YA MUNGU.
Warumi 5 : 8
Wagalatia 5 : 16 - 21
Warumi 5 : 8
8 Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali wenye dhambi.
Wagalatia 5 : 16 - 21
16 Basi nasema, Enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili.
17 Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na Roho, na Roho kushindana na mwili; kwa maana hizi zimepingana, hata hamwezi kufanya mnayotaka.
18 Lakini mkiongozwa na Roho, hampo chini ya sheria.
19 Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi,
20 ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi,
21 husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.
Mhubiri: Mwl. Amani Mringo.
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Mch. Msaidizi: Anna Kuyonga
Simu: +255 713 553 443
TH-cam: Kijitonyama Lutheran church
Barua Pepe: Kijitonyamalutheran@gmail.com
Mungu atupe ufahamu wa kutafautisha sauti za duniani na mbinguni 🙏🙏
Amen 🙏 ❤