Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Umeona ndugu yangu, Bila siye kupiga kelele nyundo na wenzake wasingeonyesha sura zao, (2) bila kelele zetu pia afande pia wasingeongea polic wangetuzuga TU, Tunawapenda polic ila na siye watutendee haki pia
Wewe mjinga hapo mnataka kutufanya tuamini ujinga wenu hapo sawa hatujakataa na nyie polisi mnaoteka watu kituo Cha polisi chang'ombe vipi mbona hutoi taarifa
Police mna kula kiapo kulinda Sheria sio ku kuvunja Sheria sasa uyo AFANDE Fatuma kavunja kiapo , je mtamlinda Fatuma KWAKUA ni police mwenzenu au mtatoa fundisho because remember police you're not above the law ndomana mna apa kulinda Sheria mna vaa na bendela ya taifa kiunoni, madam president work on it.
Mungu wq unaweza wahukumu kwauwezowako wauwaji ww yarabi.ufundiswi unajua siri za siri na zahili tunakutegemea ww. Unawajua wanaojiita wasiyojulika. Tunakutegemea ww sisi wanyonge😭😭tunajua malipo yapo huko ahla tupe iimani nasubra yarabi
Subuhanallah😭😭😭watu wanauwa wala.hawaogopi.jamani. Allah. Ww ndiyemjuzi tustiliwajawako Tz ss ipokwenye mtihani. Watu wamebadilika wanarohombaya. Waiyendekeza Dunia wao pesatu. Allahu Akibarr
Weacha tu andika danguro tv yutb utaona wakenya wanavyo chinjwa watoto kuchukuliwa viungo zipo chaneli nyingi tu walimwengu ndipo walipofikia M/MUNGU tunusuru
Afande hongera kwa kuwa mzalendo na kuwa na moyo wa utu, sio hao wanaoona kuwaua watanzania ndio kupata vyeo sio kweli huwezi kumuua binadam ambae wewe huwezi kuumba mtu.
Kuna visheri hapa tanzania bisipofanyiwa marekebisho tutamalizana wenyew Kwa wenyew wanyonge Kwa kamba live bila chenga na mganga auliwe Kwa kutolewa kiungo kimoja kimoja huku waganga wote jadi wakiwa wageni rasmi kuona mwezie anavyotolewa kiungo kimoja kimoja ili wajifunze kupitia mwezao
Mmmh mungu wangu nisaidie vijana wadogo Mnauwa😢mnakata viungo😢 mnachimba shimbo😢 mnazika😢 Muonapo mambo hayo inueni vichwa vyenu changamkeni Yesu Anarudi
Hii nchi nahis itakuwa na maagano na kuzim, haiwezekan mauaji , kutekwa watu na watu wasiojulika halafu hawa wajomba wapo na wanajisifia kuwa wako hodari na wanafanya kazi kwa weledi ,wanabaka ,wanalawiti kama sio mikataba na kuzimu ni nini waambie kuna gongo na bangi mahali ndo weledi utauona
Ametoa taarifa ya kina kuhusiana na matukio ya utekaji na mauaji mbalimbali ,lakini kuhusu afande anayetuhumiwa kufadhili ulawiti na ubakaji wa binti ametoa kifupi sana. Faili lake limepelekwa kwa DPP. Sijajua maana yake, mimi nilitegemea aseme amekamatwa yuko mahabusu bila dhamana kwa usalama wake na anapelekwa mahakamani na wenzake.
Siku zamwisho jmn eman imekwisha watu wanatoa huwai wa mtu na kukata kata kama anakata nyama aisee Imani za kishirikina izi utajiri hauji bila ya kufanya Kaz
Naomba Mungu anisaidie nisiamini kuwa ktk nchi yetu yenye sifa ya Amani na utulivu tunaweza kuwa na kikosi maalum cha kupoteza, kutesa na kuua raia wa Tanzania kama alivyo kuwa Iddi Amin na kikosa chake cha State Research Bureau Mungu atunusuru na kutuepushia tusifike huko.
Hivi polisi mkivunja Sheria inakuwaje mnabembelezana kwani Sheria ipo chini yenu. Mnauwa raia mnawaumiza na Bado mpo mna tamba mtaani hii Inamaanisha Nini kwa polisi kutumia nguvu kubwa kufikia kuua Watu hivi mtu hana silaa ya moto yupo kwenye maandamano mfano unawezaje kumpiga Risasi kwani ujuzi wa kumkamata raia ni lazima itumike nguvu ya bunduki kwenye nchi yetu ya Amani lakini mkiuwa kimakosa mnaendelea kubebana
Wapo polisi wachache wema, ila wengi wao hawana maadili, ni wezi, vibaka na maadui wa taifa, trafiki wengi wananuka rushwa. Mh. Rais unda tume maalumu huko barabarani, nadhan unaweza kutoa polisi wote huko barabarani
Kuna watu wanajiiita wapinzani ila washenzi kabisaa Matukio yote watuhumiwa wote wamekamatwa lakini jitu bado linaponda Polisi wetu jamaniiiiiiiii. Kwani ili uwe mpinzani lazima akili ziyumbeee? Ni ajabu sana Msemaji wa polisi anaeleza kitu kizuri na tunakisikiliza live, linajutokeza jitu na vioja. Basi wanaoneza taarifa za hawa police wetu waunde la kwao basi ni aibu sana.
Hivi kumbe bado kuna mijitu inaamini kua ukiua binadamu mwenzio unapata utajili, jaman, mimi naona sheria ziwe kali zaidi kama za urusi ili iwepo hofu ya kutendeana unyama😢
Hujasema sababu za watu kutekwa na kuuawa kwa wanasiasa wa upinzani. Wapo wapi Azori, Ben Saa nane na wengine zaidi ya 80? Mmejificha kwenye kichaka cha matukio hayo matatu ambayo hutokea bila kuhusihwa na mambo ya kisiasa. Huyo askari mwenzenu mbona umrongea kwa kauli hifadhi?
Huyo polisi kumbe anawajua wanaofanya ubakaji ndio maana aliwatuma msihangaike kusumbua watu mwenye shule kapatikana yy ndio ataje idadi ya wabakaji nchi nzima sbb ndio shule yake eti wafanyakazi wa serikari mbwa Kiki
Nyonga hawa jamaa ambao bado wana amini uchawi na ushirikina kwani ni watu hatari kwa jamii kwa ujumla. Bora kuwa wahi kabla hawaja leta madhara zaidi.
Tunataka jeshi la police kunapootokea tatizo ndan ya jamii litoke na kusungumza ili watu wajue nini kinaendelea lakin jesh lenye dhaman ya kulinda mali na raia ilkitokea shida awasungumzi tunakuwa na wasiwaz kwamba akuna kitu kinchoendelea. Kweli mimi sina iman kabisa na jeshi letu kutokana na baadhi ya police wanaotumia madaraka yao vibaya mimi niombe viongoz wakuu wa jesh police wawe wakali na kusimamia hao police wa chin kwa makin. Madhara ni makubwa sana endapo police watashindwa kujua umuimu wao kwa jamii Police wengi wanafanya kaz zao wakiwa wamelewa hili nalo ni tatizo. Police ni taasisi mmenyoshewa kidole kwa mda mrefu tambuen kwamba dunia imebadilika kuna watu wenye elimu kubwa na wanauwezo mkubwa wa kuoji na kuna police watakwenda jela kutokana na usembe .
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Hawa polisi hawafai mbona jama katekwa na wao hawatoi taarifa yeyote na anawaza kukimbia nchi polisi imekuwa ni genge la majambazi
Kaka afande Mungu akubariki ,maana maeneo yote wananchi wangetiwa moyo namna hii hata wananchi hawavurugwi kama inavyotokea sehemu nyingine nchini
Kuna vitu haviko sawa kwenye jeshi letu,
Taarifa zina tolewa baada ya wananchi kupiga kelele sana. Something wrong some where.
Umeona ndugu yangu, Bila siye kupiga kelele nyundo na wenzake wasingeonyesha sura zao, (2) bila kelele zetu pia afande pia wasingeongea polic wangetuzuga TU, Tunawapenda polic ila na siye watutendee haki pia
Wewe mjinga hapo mnataka kutufanya tuamini ujinga wenu hapo sawa hatujakataa na nyie polisi mnaoteka watu kituo Cha polisi chang'ombe vipi mbona hutoi taarifa
Mwenyezi alisaidie taifa hili jaman
Police mna kula kiapo kulinda Sheria sio ku kuvunja Sheria sasa uyo AFANDE Fatuma kavunja kiapo , je mtamlinda Fatuma KWAKUA ni police mwenzenu au mtatoa fundisho because remember police you're not above the law ndomana mna apa kulinda Sheria mna vaa na bendela ya taifa kiunoni, madam president work on it.
Kama Sheria ikisimamiwa sawasawa hakuna raia atachukua Sheria mkononi
Ee Mungu baba naomba mwisho mwema 😢
Hii statement itazidi kuwaweka kwenye matatizo. Mnapaswa mtoe taarifa zawatu wote waliopotea.
wasaidie kwa kuwa mkweli na kuwapa ushirikiano; bila raia kuwajibika kama sehemu ya ulinzi na watu na mali kazi yao imekuwa ngumu sana
Mungu wq unaweza wahukumu kwauwezowako wauwaji ww yarabi.ufundiswi unajua siri za siri na zahili tunakutegemea ww. Unawajua wanaojiita wasiyojulika. Tunakutegemea ww sisi wanyonge😭😭tunajua malipo yapo huko ahla tupe iimani nasubra yarabi
Chief God love akamatwe anawahamasisha vijana kufanya unyama 😢
Watu wana Imani za kishirikina hadi leo, fanyeni kz acheni ujinga huo jamani Duuuuuue.
Laana za Mwenyezi Mungu ziwashuie wauaji wote,Aamiin Yaa Rabbal Alaamiin.
Eti baada ya Mbowe kutuumu jeshi la polisi kuteka watu, Eti Leo ndo wanatoa taarifa ili kuficha uovu wao
Wewe na hao chadema wenzio kila kitu mnafanya siasa.Nyinyi kwenu matukio no kiki na kugeuza siasa huo ni uprimitive mind na kukosa hoja.
Kwani kupotea watu ni siasa
@@user-oh6pc7zd4swe jamaa mpumbavu kweli. Kwani watu hawatekwi
Ilibidi wauliwe hapo hapo ili iwe fundisho kwa wengine
Kesi km hizi jeshi letu la police alhamduallah yaani fasta tow lkn za ubakaji mpk leo munachunguza
Asante jeshi LA polisi kazi njema mungu awape maarifa mengi
😢 Mbona sijasikia wengine
Mpenzi mapenzi enyi binaadam mnaopenda msipo pwendwa 😢😢😢😢
Asante sana. Sasa kule uwanha wa TAIFA hakuna nafadi ya kuwaadhibu hao watu HADHARANI.. au ni lazima waende jela??😂
Hapo kwenye tako ungesema sehem yakalio... Daaaaah ila mambo haya yanatisha kwakweli
Tunakubali afande lakn msije mkajificha kwenye hicho kichaka wengne wanatekwa kweli kweli na wahusika mnawajua
Hapo sawa, angalau mmeanza kufuatilia mambo ya mauaji kwakweli imekuwa tatizo kubwa sana nchini, hata ninyi pia mjichunguze pia maana duh....!
Ifike Siku Waalifu Wasiwaze Kufanya Ubaya Kama Lushwa Itapigwa Teke Tz Itakua Nchi Ya Mfano
Jaman Jaman 😢😢😢 sasahivi tz wallah tunapaogopa tena hawa police
Jmn ndo ubinaadam huu ugaid tuu😢
Ilikua afe huyo mganga kienyeji,
Zama za mwisho unamkata mwenzio kama kitweheo
Ee si Muwe mnatia taarifa kama hizo ili watu wapate amani ya moyo kuhusu ndugu zao
Nyakati za mwisho zimekatibia binadamu tumekuwa wanyama sana Mungu sema nasi
Usiwafananishe binadamu na wanyama,, binadamu ni hatari kukiko wanyama,, baazi ya binadamu ni mashetani wakubwa.
Huyu afande fatuma kweli yeye hana wtoto jaman naumia sana munakula kihapo chanini jaman 😢😢😢😢😢😢😢
Kwa nn hawa waganga wakienyeji wasifungiwe kufanya kaz zao za uganga
kwanini serikali inawaacha waganga wa kienyeji kwanini(why?)
Hizo njia mnazotumia mpk kuelezwa viungo vilipotupwa,si mtumie kwa wabakaji kuwaeleza aliewatuma kwa binti wa yombo dovya?acha kutuchora
Nyinyi uwaneni tu mkichoka jibakeni
Subuhanallah😭😭😭watu wanauwa wala.hawaogopi.jamani. Allah. Ww ndiyemjuzi tustiliwajawako Tz ss ipokwenye mtihani. Watu wamebadilika wanarohombaya. Waiyendekeza Dunia wao pesatu. Allahu Akibarr
Weacha tu andika danguro tv yutb utaona wakenya wanavyo chinjwa watoto kuchukuliwa viungo zipo chaneli nyingi tu walimwengu ndipo walipofikia M/MUNGU tunusuru
@@jumapiliissa4835 nawajua wale. Dangulo,hawa,pasta,Riyaga,koloo,na walichukuliwa na yule sweitwani. Maxwell. N boxko Jonte Jose
@@HanifaOman-oo4pl ok niatali sana aisee
Jamani😭😭😭 mungu tusaidie
Kwa DPP failli la uchunguzi la fatma kigondo litarudi lini?
Hizo ni trick za police Kutaka kujisafi ,ili waonekane Hawa husiki na vitendo vya utekaji,,
Mbona walio potea wao hawasemwi
Hongeren jeshi la polis kwa kaz mnayofanya mungu awatie nguvu siku zote dunia Inamaajabu.
Bdo jeshi la polisi halijawa sawa kwan kuna watu 80 bdo hawajulikan wako wapi tunaka wapatikana kama hawa Asante
Vijana hawataki kufanya kazi, wanataka maisha mazuri na pesa kwa haraka. Hii ni athari kubwa kwa taifa.
Afande hongera kwa kuwa mzalendo na kuwa na moyo wa utu, sio hao wanaoona kuwaua watanzania ndio kupata vyeo sio kweli huwezi kumuua binadam ambae wewe huwezi kuumba mtu.
Hongera Sana msemaji WA jeshi LA polisi lakini hauja wakemea askari wanae vunja sheria hapo kuwa watachukuliwa hatua kali nn tatzo
Kuna visheri hapa tanzania bisipofanyiwa marekebisho tutamalizana wenyew Kwa wenyew wanyonge Kwa kamba live bila chenga na mganga auliwe Kwa kutolewa kiungo kimoja kimoja huku waganga wote jadi wakiwa wageni rasmi kuona mwezie anavyotolewa kiungo kimoja kimoja ili wajifunze kupitia mwezao
Innalillahwainalillah rajiuun jamani jamani huo ni Utajir kweli
Hongereni sana jeshi la police Tanzania ❤ I believe you
Mmmh mungu wangu nisaidie vijana wadogo Mnauwa😢mnakata viungo😢 mnachimba shimbo😢 mnazika😢
Muonapo mambo hayo inueni vichwa vyenu changamkeni Yesu Anarudi
Kwakweli Hali inatisha sana kwenye jamii kwahaya mambo ya kutekana na kuuana
Hii nchi nahis itakuwa na maagano na kuzim, haiwezekan mauaji , kutekwa watu na watu wasiojulika halafu hawa wajomba wapo na wanajisifia kuwa wako hodari na wanafanya kazi kwa weledi ,wanabaka ,wanalawiti kama sio mikataba na kuzimu ni nini waambie kuna gongo na bangi mahali ndo weledi utauona
Yenye ndo munavunja amani
Mbona Police wana subiri had wananchi wa kasirike ndo wa act
Mpaka watu wandamane muwapige ndio muwekewazi ukweli tena kwa taabuu
Hivi kumbe watu tumekosa Hofu ya Mungu...dah
Uyo Fatuma kigondo akamatwe
Nahao wanaotekwa na mafande mbonahuwataji
Subhha Allah yarab mtihani mkubwa huu yote nikutaka utajiri jamani Allah akbar lkn yote kutokuwa na imani ya Dini
Huyo n kua tu laanahtullah,
Ametoa taarifa ya kina kuhusiana na matukio ya utekaji na mauaji mbalimbali ,lakini kuhusu afande anayetuhumiwa kufadhili ulawiti na ubakaji wa binti ametoa kifupi sana. Faili lake limepelekwa kwa DPP. Sijajua maana yake, mimi nilitegemea aseme amekamatwa yuko mahabusu bila dhamana kwa usalama wake na anapelekwa mahakamani na wenzake.
Dha tuiombee Amani Tanzania na ulimwengu mzima kwa ujumla
Matukiyo ya kutisha mno hayo
Jamani nini tena hii mbona wanauwana sana na wajina umepatwa na nini tena😭😭😭😭😭😭
Siku zamwisho jmn eman imekwisha watu wanatoa huwai wa mtu na kukata kata kama anakata nyama aisee Imani za kishirikina izi utajiri hauji bila ya kufanya Kaz
Hongereni sana makamanda Kwa kazi nzuri mtupe na mrejesho wa hao WAHUSIKUA walio Fanya matukio ili tujue wataishia wapi jamani
Uwempole mkuu kazi inaendelea
Acha siasa wewe! Mbona hujatoa taarifa za wengine waliookotwa Katavi na wale 200 aliowataja Mbowe?
Yananifikilisha sana mwenzenu
Lahaula huyo mganga akamatwe na anyongwe piya
Mungu naomba mwisho mwema 🙏
Hivi RPC wa Dar na Wazir wake 😇
Hawa watoto wajinga sana tena sana, hiyo ni Nguvu kz ya Taifa inafanya ujinga km huo Duuuuuue.
Naomba Mungu anisaidie nisiamini kuwa ktk nchi yetu yenye sifa ya Amani na utulivu tunaweza kuwa na kikosi maalum cha kupoteza, kutesa na kuua raia wa Tanzania kama alivyo kuwa Iddi Amin na kikosa chake cha State Research Bureau Mungu atunusuru na kutuepushia tusifike huko.
Wacha kumsingizia uovu iddi amin Yule alikua mchamungu ila propaganda ndio ametwishwa nazo
Mpaka watu wapi kelele, ndiyo mnatoa taarifa,oky sawa, je watu wengi walitekwa, toeni majibu.
Awa waganga kama aya ndio wanafaa kunyongwa maana ndio chonganishi hakuna mganga wakutaka viungo vyamwanadamu ila niushetani 😢😢😢
Hivi polisi mkivunja Sheria inakuwaje mnabembelezana kwani
Sheria ipo chini yenu. Mnauwa raia mnawaumiza na Bado mpo mna tamba mtaani hii Inamaanisha Nini kwa polisi kutumia nguvu kubwa kufikia kuua Watu hivi mtu hana silaa ya moto yupo kwenye maandamano mfano unawezaje kumpiga Risasi kwani ujuzi wa kumkamata raia ni lazima itumike nguvu ya bunduki kwenye nchi yetu ya Amani lakini mkiuwa kimakosa mnaendelea kubebana
Huo ni uharifu wa kawaida na sio utekaji
Kama watumiwa wamesema mganga ndio kawatuma wanyongwe,,,na tunataka na ware wabakaji muwatese mbaka waseme uyo afande nan na aperekwe mahakaman
Ayo matukio daa makubwa bola Yakina nyundo tena
Kalio
Wapo polisi wachache wema, ila wengi wao hawana maadili, ni wezi, vibaka na maadui wa taifa, trafiki wengi wananuka rushwa. Mh. Rais unda tume maalumu huko barabarani, nadhan unaweza kutoa polisi wote huko barabarani
Tume ya nn ikatumie tena kodi zetu , Acha hivihivi, hata tume indwelling itself lipstick haiwezi badilisha kitu
Hawa waganga jmn
Shida sana hivi serikali kitu kinacho nidhi kuruhusu waganga wakinyeji magu alikataa watu hawa ndo wanasababisha
Kuna watu wanajiiita wapinzani ila washenzi kabisaa
Matukio yote watuhumiwa wote wamekamatwa lakini jitu bado linaponda Polisi wetu jamaniiiiiiiii. Kwani ili uwe mpinzani lazima akili ziyumbeee? Ni ajabu sana Msemaji wa polisi anaeleza kitu kizuri na tunakisikiliza live, linajutokeza jitu na vioja.
Basi wanaoneza taarifa za hawa police wetu waunde la kwao basi ni aibu sana.
Mungu aturehemu 💔😭😭😭😭
Hivi kumbe bado kuna mijitu inaamini kua ukiua binadamu mwenzio unapata utajili, jaman, mimi naona sheria ziwe kali zaidi kama za urusi ili iwepo hofu ya kutendeana unyama😢
Hujasema sababu za watu kutekwa na kuuawa kwa wanasiasa wa upinzani. Wapo wapi Azori, Ben Saa nane na wengine zaidi ya 80? Mmejificha kwenye kichaka cha matukio hayo matatu ambayo hutokea bila kuhusihwa na mambo ya kisiasa. Huyo askari mwenzenu mbona umrongea kwa kauli hifadhi?
Umeni fulahisha!!
Nyinyi wenyewe polic ndio wa kwanza kujichukulia sheria mkoni
Mungu tunusuru na waja wako makatili wenye tamaa za mali huvi kweli umwuue binaadam mwenzio ndiyo upate utajili
Huyo polisi kumbe anawajua wanaofanya ubakaji ndio maana aliwatuma msihangaike kusumbua watu mwenye shule kapatikana yy ndio ataje idadi ya wabakaji nchi nzima sbb ndio shule yake eti wafanyakazi wa serikari mbwa Kiki
Amani ya tz ni ya aina hii???!!!...roho zipo juu kuwaza usalama watoto na ndugu zetu!!! Ni cheche!!!!..
Rubbish address issues don't scare us, kama watekaji ni tanpol tutajilinda!!!
Nyonga hawa jamaa ambao bado wana amini uchawi na ushirikina kwani ni watu hatari kwa jamii kwa ujumla. Bora kuwa wahi kabla hawaja leta madhara zaidi.
24 hadi 34 ni myaka ya tamaa na ujuwaji
mbn hasemi fatma kiondo pia kajichkulia hatua mkonon akamtaftia mtoto wa watu wahuni wambake😏😏😏 mtuchoshe
Tunataka jeshi la police kunapootokea tatizo ndan ya jamii litoke na kusungumza ili watu wajue nini kinaendelea lakin jesh lenye dhaman ya kulinda mali na raia ilkitokea shida awasungumzi tunakuwa na wasiwaz kwamba akuna kitu kinchoendelea. Kweli mimi sina iman kabisa na jeshi letu kutokana na baadhi ya police wanaotumia madaraka yao vibaya mimi niombe viongoz wakuu wa jesh police wawe wakali na kusimamia hao police wa chin kwa makin. Madhara ni makubwa sana endapo police watashindwa kujua umuimu wao kwa jamii
Police wengi wanafanya kaz zao wakiwa wamelewa hili nalo ni tatizo. Police ni taasisi mmenyoshewa kidole kwa mda mrefu tambuen kwamba dunia imebadilika kuna watu wenye elimu kubwa na wanauwezo mkubwa wa kuoji na kuna police watakwenda jela kutokana na usembe .
Shidasioo kuchukuaa hatuaa mkononi tunavo toaa taarifa polisi wana dharauu kama mpakaleoo mtoto wamiaka17 kabakwa mnajizungusha hana habari zinazo eleweka mnatengeneza chuki kwawananchi timizene majukumu yenu
Afande tunataka tahalifa ya afande au mnalinda kiapo cha afande mmeshindwa kumkamata
Mola atulinde alafu tunasema nchi ina amani kweli
Mimi emb tu ninyamaze
Serikali iwafute waganga wote wa kienyeji, ndo chanzo Cha mauaji haya.
Ni waongo na wachonganishi