"UNATAKA KUJUA KUHUSU MUME WAKO?"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2020
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!

ความคิดเห็น • 260

  • @RuthJeptoo-sc9ox
    @RuthJeptoo-sc9ox 6 หลายเดือนก่อน

    Amen amen daddy pray for me am in Kenya ninatamani kufika uko uniombee nipate pesa ndio nifike

  • @paulinemathenge514
    @paulinemathenge514 4 ปีที่แล้ว +5

    Am ready to start a new life with JN IN JESUS MIGHTY NAME AMEN.

  • @barakajonathan7931
    @barakajonathan7931 2 ปีที่แล้ว

    Great anointing!God bless you. Mighty prophet.

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 4 ปีที่แล้ว

    Thank you 🙏 Jesus

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 4 ปีที่แล้ว +2

    Haya maisha yana ma reality 💔eh Mungu tusaidie 🙏

  • @ruthmwamgunda1603
    @ruthmwamgunda1603 4 ปีที่แล้ว +1

    Amina mkuu

  • @marthasimon1004
    @marthasimon1004 2 ปีที่แล้ว

    Mungu wangu naomba unione na unijibu haja ya moyo wangu kuptia nabii wako mkuu

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 3 ปีที่แล้ว

    Ameen Nabii Umenena Vema sn🙏👏

  • @Fun-zd9fm
    @Fun-zd9fm 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akuongezee.miaka.namiaka.nabii.wamungu

  • @danielshauri4681
    @danielshauri4681 ปีที่แล้ว

    Mungu ni saidie kwa kupitia.njia geodevi

  • @leathyollan7557
    @leathyollan7557 3 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana nabii

  • @felisianathadei5403
    @felisianathadei5403 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana na hpngera kwa majibu mazuri sanna baba

  • @paulthegreat9895
    @paulthegreat9895 2 ปีที่แล้ว

    Bwana yesu asifiwe mtumishi wa mungu

  • @hellenayuma8881
    @hellenayuma8881 2 ปีที่แล้ว

    Kulingana na mungu,,,,,mume au mke wako wa ujana ndie mke au mme wako,,,,,nabii tabiri kulingana na bibilia

  • @crispinakimaro3821
    @crispinakimaro3821 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyo sio Mungu tunaemfahamu

  • @dunmore5752
    @dunmore5752 2 ปีที่แล้ว

    Baba barikiwa Sana, naomba unabii wangu

  • @petrokabo8371
    @petrokabo8371 4 ปีที่แล้ว +5

    nabii mkuu ni Yesu Kristo acheni michezo na kuwafundisha watu neno la Mungu

  • @florakibona8042
    @florakibona8042 3 ปีที่แล้ว +1

    Sijaelewa kidogo muujiza unatoka Kwa Mungu au Kwa nabii jaman unawezaje sema unataka muujiza kutoka Kwa nabii

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 4 ปีที่แล้ว

    Glory Glory Glory

    • @salmaamilkani8170
      @salmaamilkani8170 3 ปีที่แล้ว

      Baba Mimi mwanao naitwa selina Niko mlandizi nahitaji uponaji sitembei Nina mwaka wa sita sipati sikuzangu mwaka wa kumi na moja nahitaji maombi yako nitembee na nipate Siku zangu

  • @greysonmarithin2856
    @greysonmarithin2856 ปีที่แล้ว

    Baba unatisha kwa unabii huu Mungu akubariki

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 ปีที่แล้ว

    Naomba Mungu anijibu maombi yangu kupitia Nabii wake

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 4 ปีที่แล้ว +1

    Daddy you are too fun,luv it

  • @mutabaziceleus3201
    @mutabaziceleus3201 4 ปีที่แล้ว +4

    BABA tunakupenda sana,🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @tinawandu8820
    @tinawandu8820 2 ปีที่แล้ว

    Napenda huduma hii ya nabii mkuu je ntapataje mawasiliano

  • @greysonmarithin2856
    @greysonmarithin2856 ปีที่แล้ว

    Baba na Mimi natamani unitamkie Mungu wako anionekanie na Mimi nimetamani sana

  • @salomefesto9225
    @salomefesto9225 4 ปีที่แล้ว +4

    Nakuja dady nakuja arusha

  • @lucykitomary6130
    @lucykitomary6130 ปีที่แล้ว

    Mungu tenda kwangu

  • @damareshilary612
    @damareshilary612 4 ปีที่แล้ว +13

    Jamani wanawake wanaroho ya udhaifu hadi shida,,,wanaume hawanaga mpango aisee

  • @estherwambuies1782
    @estherwambuies1782 4 ปีที่แล้ว +5

    Mimi wangu asirudi unipee mwingine asante nabii wamungu bariki nabii wangu yesu natamani nifike huko 🙏🙏

    • @zuwenasalim2794
      @zuwenasalim2794 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣wewe Estar kwnn hutak wako arudi .mm namuombea huko aliko arud kwako

  • @musimbiroda7693
    @musimbiroda7693 2 ปีที่แล้ว

    Bwana asifiwe mtumishi wa mungu baba yangu napenda uliyenisaidia sana Kwa utumishi wa mungu umenisadia sana Kwa huduma ya mungu na kufwatilia Kwa TH-cam Yako nimeona mujiza unayetenda naitaji kutendewa na wewe baba yangu Niko Kenya , Nakuru naitaji anointed yako

    • @musimbiroda7693
      @musimbiroda7693 2 ปีที่แล้ว

      My name is prophet Esther MUSIMBI

  • @mtumishiwamungunelson1684
    @mtumishiwamungunelson1684 3 ปีที่แล้ว

    Mhhhhhh hatari sana sana

  • @imanuelzakayo8703
    @imanuelzakayo8703 4 ปีที่แล้ว +4

    Yaan mungu wangu tusaidie sasa mtu analazimishwa kikubali kisicho sawa tafuteni makanisa ya kiroho achaneni na makanisa ya kimoyo

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 4 ปีที่แล้ว +2

    Uuuuuu ur right Daddy

  • @dismaskamanzi2365
    @dismaskamanzi2365 4 ปีที่แล้ว

    CounceLL hyooooo"""

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 4 ปีที่แล้ว +3

    Aaaa Daddy you are too Dangerous Amen 🙏

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 ปีที่แล้ว

    Ndiyo baba Nabii naomba unisaidie ndiyo yaliyonikuta na watoto nimewapoteza na Afya yangu imezolota nisaidieetu.

  • @nduwimanalphonsine3445
    @nduwimanalphonsine3445 2 ปีที่แล้ว

    My ni murundi naitaj nabi aniambie namy ninamyaka 23 sinamume na wenye tuk ubri umoja wamzolea wameowa naomba namy

  • @bettyduncan6457
    @bettyduncan6457 3 ปีที่แล้ว

    Nimeshangaa Sana kuhusu huyu nabii nimepitia Hali hiyo us mume wangu kurudi baada miaka 10 Na all HIV positive, nimengepata Namba yake ningefurahi Sana from kenya.

  • @victoriakisame8008
    @victoriakisame8008 3 ปีที่แล้ว

    Nabii wamungu naomba upemzi wangu nimpendae naomba aniludie nampenda san

  • @victoriakisame8008
    @victoriakisame8008 3 ปีที่แล้ว

    Nampenda San mpemzi Wang to naomba tuludiane kwajina layesu

  • @antonioquilemuaquilemua9305
    @antonioquilemuaquilemua9305 2 ปีที่แล้ว

    Bwana yesu asifiwe baba habari za hapo nyu.bani ninaomba namba ya zimu ninaomba namba ya simu njko moçambique ninaitaji msaada wa kiroho

  • @bernadetagama3786
    @bernadetagama3786 3 ปีที่แล้ว

    Mimi wangu arudi napokea kwa kupitia huyu dada amina

  • @blandinefelix8177
    @blandinefelix8177 ปีที่แล้ว

    na wezaje umupata nabii

  • @bupeisaya4414
    @bupeisaya4414 4 ปีที่แล้ว +33

    Naskiaga hasira kuona mtu anamwabudu mwanadamu eti nitendee muujiza khaaa

    • @angelinamkingi8164
      @angelinamkingi8164 4 ปีที่แล้ว

      BUPE ISAYA Eti ndio baba!khaaa!

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 4 ปีที่แล้ว

      Mkoa Wa Arusha watu wanapenda miujiza cyo Mungu

    • @pettypaschal8387
      @pettypaschal8387 4 ปีที่แล้ว +2

      Bupe ulimwengu wa Roho unautaratibu wake soma biblia vzr utaelewa tu

    • @damsonwillison435
      @damsonwillison435 3 ปีที่แล้ว +2

      Ndg huelewi unachozungumza Nabiiii ndo mtu pekeee Anaweza mliza mwanadam kuwa Nikutendeee nini

    • @florakibona8042
      @florakibona8042 3 ปีที่แล้ว +1

      @@damsonwillison435 sio nabii amfanyie nn inatakiwa aseme unataka Mungu wangu akufanyie nn....na kazi ya nabii nikusema na Mungu attendee kwa huyo mtu maana wote hatuwez kuwa manabii kwahiyo kazi ya nabii n kufichua ya sirini Na wao uomba Kwa mafunuo zaidi sasa huyo nabii kusema unataka nikufanyie nn kwan yy ni Mungu

  • @sophianjiku6524
    @sophianjiku6524 4 ปีที่แล้ว +7

    Jaman dada ana glosary na bado anambiwa atapokea muujiza hivi kwan pombe ni halali na kama ni halali basi atoe sadaka hizo pombe maana wakulima wanatoa mavuno yao, jaman achen kupumbazwa na miujiza kinachotakiwa ni kuacha dhambi

    • @shangwekamando2599
      @shangwekamando2599 4 ปีที่แล้ว

      Kwani anaiba hiyo grocery au kakopa kakimbia

    • @sophianjiku6524
      @sophianjiku6524 4 ปีที่แล้ว +2

      Endeleen kupumbazwa na kuzilea dhambi halaf mnataka miujiza hao hao manabii wanawacheken mlivyowajinga badala mfundishwe kuacha dhambi mnataka miujiza Neno la Mungu linasema utafuteni kwanza ufalume wa Mungu na hao mengine mtazidishiwa

    • @noahlomayani3778
      @noahlomayani3778 4 ปีที่แล้ว

      Wawe acha zako angalia somo linalosema ufafanuzi kuhusu pesa la soko acha ujinga

    • @sophianjiku6524
      @sophianjiku6524 4 ปีที่แล้ว +1

      @@noahlomayani3778 yan nikwamba huo ni upofu wakutokujua maneno ya Mungu ila isiwe kesi ipo siku mtatambua2 kuwa wap ni nuru na wap ni giza

    • @carenamimo4897
      @carenamimo4897 4 ปีที่แล้ว

      Huyu jamaa ako kwa biashara lakini pia alipa bongo akaona huyu dada fala akaamua amchane kenya awezi pewa hata 10

  • @pilymasoud1978
    @pilymasoud1978 4 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana mtumishi ushauri nimeupenda

    • @happybruno1764
      @happybruno1764 4 ปีที่แล้ว

      Hapo sawa nilitamani nimjibie vile duuu

  • @shamimushittindi1418
    @shamimushittindi1418 4 ปีที่แล้ว +6

    Dada anaupendo wa agabe jamani mungu ampe haja ya moyo wake jamani

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 3 ปีที่แล้ว

      Kukosa maarifa nako kibaya mama jiongeze unangoja maradhi?

  • @christermelaka5689
    @christermelaka5689 4 ปีที่แล้ว +3

    Cpendagi habari kuwekewa mikono kichwani eti unaniombea mfyuuu

  • @hawaparis8899
    @hawaparis8899 3 ปีที่แล้ว

    Tuliacha na mume wangu miaka 9, tulivyo achana akaowa wamepata watoto 2 ,mkewake bahat mbaya akafariki sikuwa nahiyan bwana akanipa talifa yamiba nikaenda watu walinishangaa sanaa moyo niliona tumezika ndugu zake waligoma kuchukua watoto Akawajibu mnanizilia watoto mkewangu mkubwa yupooo atanilelea watoto Eti leo anataka kuludo kwangu ,

  • @kuchimillionaire6683
    @kuchimillionaire6683 4 ปีที่แล้ว +2

    Nitumie na ya kutolea

  • @namankakindilo8121
    @namankakindilo8121 4 ปีที่แล้ว +5

    Angetumiwa laki saba angeomba na ya kutolea.

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar3738 ปีที่แล้ว

    Yani wanawake wanavyoombewa kwa wingi, ingetakiwa tajiri namba moja duniani angetakiwa kuwa mwanamke..

  • @carenamimo4897
    @carenamimo4897 4 ปีที่แล้ว +1

    Hyu jamaa sinema zake nimeziona sana hataji yesu,hasomi bibilia,haubiri,haombi alafu wataka 80 kivipivipi yaani kumanina sana njoo kenya ushangae

  • @tantinemwemendi8790
    @tantinemwemendi8790 3 ปีที่แล้ว

    Hacheni ujinga akuna mungu hapo

  • @neemakaluwa2089
    @neemakaluwa2089 4 ปีที่แล้ว +5

    Eeeh Mungu nijaalie mwisho mwema.
    Maana hawa manabii wa sasa mpaka naogopa.

  • @isokoyubugingoofficial626
    @isokoyubugingoofficial626 4 ปีที่แล้ว +11

    Huyu ninabi wa uwongo fungukeni macho watu wa Mungu.

    • @bosslilyg4390
      @bosslilyg4390 4 ปีที่แล้ว +3

      Hapo hakuna lolote, hao watu wa ushuhuda huwa wanawaandaa ili kuvutia watu.

    • @chalesnguyaine9991
      @chalesnguyaine9991 4 ปีที่แล้ว

      Umeona huyo baba ni wa kuandaa watu wivu itakuuwa ww

    • @bosslilyg4390
      @bosslilyg4390 4 ปีที่แล้ว +1

      @@chalesnguyaine9991 hakuna wivu hapa ila ukweli lazima usemwe, imekuchoma mfuasi wa jodevi eeee 😜😜

    • @chancekambale3498
      @chancekambale3498 4 ปีที่แล้ว +1

      Kondoo zina kuliwa hivio : wakomedy tuuuuuuuu!

    • @carenamimo4897
      @carenamimo4897 4 ปีที่แล้ว

      Yangu halambi kubaladeki

  • @eddahdaniel9267
    @eddahdaniel9267 4 ปีที่แล้ว +4

    Yaani Mimi siwaeoewagi kabisa awa wajinga wanaotaka kuabudiwa kama mungu siwapend toka moyoni,

  • @florianakhweso5749
    @florianakhweso5749 2 ปีที่แล้ว

    BABA BABA 😧😧😧😔😌😌😌😌

  • @leathyollan7557
    @leathyollan7557 3 ปีที่แล้ว

    Naomba no ya nabii jamani nina hamu sana yakuzungumza nae

  • @shamimushittindi1418
    @shamimushittindi1418 4 ปีที่แล้ว +12

    Huyu dada aliipenda ndoa yake sijui shetani alitokea wapi jamani mpaka anashindwa afanyaje bora nabii amempa ushauri

  • @Star-qf7ls
    @Star-qf7ls 4 ปีที่แล้ว +1

    Ohooo no confused woman

  • @annthuo2140
    @annthuo2140 3 ปีที่แล้ว

    Please upload even your preaching

  • @carenchepkurui126
    @carenchepkurui126 3 ปีที่แล้ว

    Me cwesi kabiza

  • @victorodhis5074
    @victorodhis5074 ปีที่แล้ว

    achalia upako na Mimi ila matatizo yanayonisumbua Kila siku nabii

  • @paulinemathenge514
    @paulinemathenge514 4 ปีที่แล้ว +1

    I connect myself to this prophecy even me Lord Jesus send me my own man

    • @moureenamu4859
      @moureenamu4859 4 ปีที่แล้ว +1

      Indeed sister he will, God's time is the best

  • @chalesnguyaine9991
    @chalesnguyaine9991 4 ปีที่แล้ว +11

    Yani nitume 80000 na yakutolea du wanawake mmh acheni tunateseka kutafuta et kwajl enu

  • @yohanamaugila743
    @yohanamaugila743 4 ปีที่แล้ว +1

    Nabii mkuu!

  • @levinabyamungu8453
    @levinabyamungu8453 4 ปีที่แล้ว +1

    Daah! Mchungaji kakunja 4 kwa Raha zake!

    • @christermelaka5689
      @christermelaka5689 4 ปีที่แล้ว +1

      Levina Byamungu,hela inaingia hapo ataacha kuweka 4

    • @carenamimo4897
      @carenamimo4897 4 ปีที่แล้ว

      @@christermelaka5689 kabisa

    • @carenamimo4897
      @carenamimo4897 4 ปีที่แล้ว

      Daaah hata mm naona kwa biashara zote hii Iko sawa kabisa

  • @jacksoncharles7846
    @jacksoncharles7846 4 ปีที่แล้ว +2

    Tusaidieni namba ya nabii huyu jaman

  • @drrugazia4632
    @drrugazia4632 4 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @bosslilyg4390
    @bosslilyg4390 4 ปีที่แล้ว +15

    Jodevi👉....unataka nini
    Mama👉..... nataka muujiza kutoka kwako ( yaani kutoka kwa Jodevi) 🤣🤣🤣 dah, hebu wakristo fungueni akili zenu acheni kutaka vitu kirahisi rahisi, yaani badala ya kutaka muujiza kutoka kwa Yesu eti muujiza utoke kwa Jodevi,,, jamani 🙌🙌🙌🙌 "WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA "(eti nakujibu maombi yako)
    ...for really Jodevi unawezaje kumjibu maombi mtu, yaani wewe unachukua nafasi ya Mungu, dah 🤣🤣🙌🙌

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 4 ปีที่แล้ว +1

      Alafu anaitikia NDIO BABA!

    • @ghbh1875
      @ghbh1875 4 ปีที่แล้ว +1

      Hhhh vipofu

    • @shangwekamando2599
      @shangwekamando2599 4 ปีที่แล้ว

      Rudia mara mia Halafu uchambe

    • @bosslilyg4390
      @bosslilyg4390 4 ปีที่แล้ว

      @@shangwekamando2599 hakuna wa kuchamba hapa, hapa ni ukweli tu ndo utasemwa, i know jodevi in and out, naongea ninachokijua.

    • @barakaashery9469
      @barakaashery9469 4 ปีที่แล้ว +2

      God bless you umesema kwel jaman .... Tumwombe MUNGU anaweza yote

  • @ziadaalute6836
    @ziadaalute6836 4 ปีที่แล้ว +3

    Huyu dada mjingasana,w watoto wetu niwabishisana

  • @victoriakisame8008
    @victoriakisame8008 3 ปีที่แล้ว

    Nampenda San naomb aniludie yuwe km mwanzo nipo njombe

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 4 ปีที่แล้ว +1

    Piga hela mzee,..

  • @mimsbaibe6mimsgul737
    @mimsbaibe6mimsgul737 4 ปีที่แล้ว +4

    Wanaume sijui niseme nini 13 years bila kuonana loading nkilea watoto siwezi ng'angania mtu forward ever backwards never watching from Saudi

  • @franciscoatanasiogabriel7362
    @franciscoatanasiogabriel7362 2 ปีที่แล้ว

    Shikamu baba! Naomba namba zako hili tusiliane! Nina matatizo mabubwa! Tutoka Moçambique

  • @mathayopapiasi8872
    @mathayopapiasi8872 4 ปีที่แล้ว +4

    Wahubili waache zambi kwanza acha kutabilia watu wenye dhambi kabla lock haijatoka nikazi bule (Mathayo16:26)

    • @mwana3887
      @mwana3887 4 ปีที่แล้ว

      @Mathayo Papiasi Yesu kristo mwenyewe alisema alikuja kuokoa kilichopotea

    • @PastorZakariaTzTV
      @PastorZakariaTzTV 4 ปีที่แล้ว

      Kilicho unganishwa na MUNGU mwanadamu asiwatenganishe.

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 3 ปีที่แล้ว

    Nafanya kazi benki, hata kupiga deki. Lakini si benki.

  • @emmauajustnbuvi3678
    @emmauajustnbuvi3678 4 ปีที่แล้ว +1

    I wander wat is wrong with people the Church of Christ is founded under Apostles and prophet s bt many denie the truth God has ordained them if you don't like them stop hindering others

  • @nickodemmwandambo8924
    @nickodemmwandambo8924 4 ปีที่แล้ว

    Hivi Yesu aliposema hakujatokea nabii mkubwa kama Yohana mbatizaji alikuwa na maana ipi.

    • @mwana3887
      @mwana3887 4 ปีที่แล้ว

      @Nickodem Mwandambo hakujatokea Nabii mkubwa kuliko Yohanna maana yake manabii wote wale wa agano la kale waliomtangulia yeye walikua wadogo Hata biblia inasema aliyemdogo kwenu katika ufalme wa Mungu ndiye atakua mkubwa

    • @shangwekamando2599
      @shangwekamando2599 4 ปีที่แล้ว

      Muulize Kwa kufunga na kusali atakujibu

  • @roseurio5625
    @roseurio5625 3 ปีที่แล้ว

    Jina la Yesu pekee ndilo lituponyalo na mbona huyu Nabii sijasikia akijata jina la Yesu. Wakati akiwaombea waumini wake jamani tufunguke jamani tuache kufuata mkumbo

  • @agnesakari3312
    @agnesakari3312 3 ปีที่แล้ว

    Jamn naombeni namber zahuy mtumishi

  • @sifasanga7866
    @sifasanga7866 4 ปีที่แล้ว +4

    Hivi watu hawana akiri nimeamua kukutumia hela. Nimetuma 80 unataka ya kutolea kivipi? So toa inayowezekana kutoa??? Pumbafuuuuuu mjinga Sana Mwanamke wa namna hii.

    • @noxlosingida2369
      @noxlosingida2369 4 ปีที่แล้ว

      Tatizo uelewa mdogo yaani utumiwe hela yote hiyo ila anataka na ya kutolea 😀😀😀😀

    • @carenamimo4897
      @carenamimo4897 4 ปีที่แล้ว

      @@noxlosingida2369 kwangu halambi hata 10

    • @peacekatembo6944
      @peacekatembo6944 3 ปีที่แล้ว

      Haahaa afu anaongea kwa ujasirii kabisa!.....inaonekana hana shukran hyo ela yotee ushukuruu

  • @robertmtiba5604
    @robertmtiba5604 4 ปีที่แล้ว

    Nayakutolea

    • @happykimaro1080
      @happykimaro1080 3 ปีที่แล้ว

      Duu unatak na yakutoa mbn huna shukurani ww dada alfu umekaa km unatak kulia ???????

  • @johnzacharia6892
    @johnzacharia6892 4 ปีที่แล้ว +1

    mwenzie haombi yakutolea

  • @lillianmossi9839
    @lillianmossi9839 2 ปีที่แล้ว

    Asirudi. Nataka mwingine

  • @seciliabalama5533
    @seciliabalama5533 4 ปีที่แล้ว +8

    mwanaume akuache miaka Minne.akija nitamwambia nimekusahau nikumbushe we nan

    • @noxlosingida2369
      @noxlosingida2369 4 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣na akikukumbusha je utafanyaje?

    • @carenamimo4897
      @carenamimo4897 4 ปีที่แล้ว

      Kabisa wewe sasa ndio umenena Cecilia

    • @esterstaphord5184
      @esterstaphord5184 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @isokoyubugingoofficial626
    @isokoyubugingoofficial626 4 ปีที่แล้ว +4

    Asipo tubuu nabi huyu atakufa hovyo

  • @afrobezing7900
    @afrobezing7900 4 ปีที่แล้ว

    Hela ya kutolea,,

    • @noxlosingida2369
      @noxlosingida2369 4 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu kiboko

    • @carenamimo4897
      @carenamimo4897 4 ปีที่แล้ว

      @@noxlosingida2369 unaonaje hyo biashara

  • @peterernest1038
    @peterernest1038 4 ปีที่แล้ว +8

    mjinga uyo anataka na ya kutolea du wanawake hawa?

  • @salmaalbarwani2618
    @salmaalbarwani2618 3 ปีที่แล้ว

    Ikiwa kiwete anaweza kufanya kazi itakuwa wewe na mikono yako hebu give us a break

  • @tuyishimeveronique9799
    @tuyishimeveronique9799 3 ปีที่แล้ว +1

    Niombee namagonjwa Hlv banibeba ngu o nataka uniombee nataka mwaume

  • @peacekatembo6944
    @peacekatembo6944 3 ปีที่แล้ว +2

    Ety ndio baba!....baba ako yuko mbingunii

  • @ireneassey3685
    @ireneassey3685 4 ปีที่แล้ว +5

    Uyu mama nae baga mtu kakuach aruud na maukimwi yake nawe umpokee stareh alikula nanaii ww uje uuguze fyuuuuuu

    • @margaretkanina6247
      @margaretkanina6247 4 ปีที่แล้ว +1

      Huyu mwanamke hana akili nzuriiiiiii. MWANAMUME akazunguke alete ukimwi muache WATOTO mayatimaaaaaa. USHENZI GANI HUYOOOOOOO????

    • @paulinamwenisongole8804
      @paulinamwenisongole8804 4 ปีที่แล้ว

      Mwehuu auguzww ukoo

    • @carenamimo4897
      @carenamimo4897 4 ปีที่แล้ว

      Alipikwa huyo maana akiwa timamu huwezi ngoja miaka 13

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 4 ปีที่แล้ว +3

    Ifike pahala wanadamu tujitambue,nenda mbele za Mungu moja kwa moja na ujinyenyekeshe kwake,alafu uone matokeo yake,nyie mkipitia magumu tuu mnakimbilia kwa manabii,amkeni jamaniiii,manabii wa sasa wanawadhalilisha tuu haki,

  • @lilyaline5671
    @lilyaline5671 4 ปีที่แล้ว

    Namimi ninatama ni

    • @n.y.uprayerline5775
      @n.y.uprayerline5775 4 ปีที่แล้ว

      0784315191/0754315191

    • @carenamimo4897
      @carenamimo4897 4 ปีที่แล้ว

      @@n.y.uprayerline5775 tubuni kabisa kabla wakati wenyu hujafika

  • @tuyishimeveronique9799
    @tuyishimeveronique9799 3 ปีที่แล้ว

    Tunataka numb yanabii

    • @GeorDavieTV
      @GeorDavieTV  3 ปีที่แล้ว

      SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91

  • @ananawakwi1520
    @ananawakwi1520 3 ปีที่แล้ว

    Maboya

  • @jacksonmodaha1590
    @jacksonmodaha1590 4 ปีที่แล้ว

    Ana cancel stupid KAMA YEYE Haogopi HIV mimi ningemfukuza kazi fasta

  • @irenekaondo925
    @irenekaondo925 4 ปีที่แล้ว +1

    Jaman na ya kutolea jaman mtoe😅😅😅😅

    • @noxlosingida2369
      @noxlosingida2369 4 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣🤣🤣watu hawana shukrani yaani utumie hela alafu utumiwe na ya kutolea🤣🤣🤣🤣🤣hii kali