SILAA ARUDISHA KIWANJA CHA BAKWATA KILICHOUZWA KWA MASAWE, AMFUTIA HATI YA UMILIKI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 76

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 5 หลายเดือนก่อน +3

    Simple and clear Muheshimiwa Jerry Slaa umeongea Kweli kabisa, ila ninachokiona mimi, baadhi ya watu wenye pesa huamini pesa zao zinaweza kufanya lolote tena kwa njia za fupi ,
    , sasa ni wakati wa wao kupata hasara ,

  • @soudjumah5529
    @soudjumah5529 10 หลายเดือนก่อน +7

    Hongera sana Comrade Silaa, unasimamia haki mkuu

  • @BJMKANGALA1
    @BJMKANGALA1 10 หลายเดือนก่อน +6

    Asante Mkuu. Umesimama katika ukweli na haki. Umerudisha mali ya Ndugu zetu Waislamu mikononi mwao. Mungu azidi kukuongoza katika utekelezaji wa majukumu yako!

  • @hassankajembe4118
    @hassankajembe4118 10 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu wazur ni kichwa sana,,anajua kazi yake hongera sana

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 5 หลายเดือนก่อน +1

      Alafu ana heshima sana anamuiheshimu kila mtu

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 5 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akufanyie wepesi pole masawe kwa kununua eneo la bakwata dhambi kubwa sn

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 10 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akupiganie kaka mweshimiwa.Hyo mambo yanafanywa sana kupokonya hki zawatu.Viwanja vinabadilushwa mtu anapewa hti tena orgno,naukifatilia utapiga mguu mpka uchoke.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 6 หลายเดือนก่อน +3

    Waziri silaa wewe na makonda matajili wanachuki sana kwenu lakini mungu Atawalinda yupo na nyinyi ☝️☝️🤲🤲❤️❤️

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 5 หลายเดือนก่อน

      Kabisa kabisa waendelee mbele mungu atawatangulia

    • @safiaothman5175
      @safiaothman5175 5 หลายเดือนก่อน

      Aamiin

  • @AbdulmalikFedrick-ct7nb
    @AbdulmalikFedrick-ct7nb 8 หลายเดือนก่อน +1

    Alha akufanyie wepesi inshallah
    Kwenye uongozi wako ❤
    Rais wangu Samia umepata wazili Safi kabisa

  • @respiciusndyanabo366
    @respiciusndyanabo366 10 หลายเดือนก่อน +3

    I love you Wewe waziri makini sana

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 10 หลายเดือนก่อน +3

    Very good in deed❤

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed1589 5 หลายเดือนก่อน +1

    Alafu huyu waziri mbali na kutenda haki kila siku ana heshima sana pia

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 6 หลายเดือนก่อน +2

    SIJAWAI ONA WAZIRI WA ARDHI MWENYE AKILI NYINGI KAMA UYU DAAAA MAMA UME PATA MTU WALAH UNA KUJA KWAPUPA UNAONDOKA KIWA MPOLE WALIJUA SLAA KAWEKWA LABDA AJUI CHOCHOTE OGOPA SANA MTU ANAE KWAMBIA ANYWI POMBE ATOK KWAKE MDA MWINGI ANAPATA MADIN YA KUWABANA KINA MZEEE MASAWE

    • @rashdiyange7758
      @rashdiyange7758 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @abdirizakibrahim1975
    @abdirizakibrahim1975 10 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu ni moja ya mzalendo katika Taifa letu MUNGU amlinde kijana huyu na akipata madaraka makubwa huyu ujanja ujanya kwishaaa

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 5 หลายเดือนก่อน

      Kwel kabisaaa

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 4 หลายเดือนก่อน

    Anaelewa sana. Na wenye makosa wanaelewa makosa yao. Simple kabisa

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 10 หลายเดือนก่อน +2

    SLAA HUKO BAKWATA KUMEJAA MATAPELI WATUPU!!

  • @shabanponera2895
    @shabanponera2895 6 หลายเดือนก่อน +2

    Waziri anza na wizarani kuna wafanyakazi sio waaminifu

  • @mpindafamily1496
    @mpindafamily1496 5 หลายเดือนก่อน +1

    jamani wazili sio msemaji wa mwisho .mahakama ndio wenye uwamuzi wa mwisho

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 5 หลายเดือนก่อน +1

      We mjinga kwel mahaka Wakipewa rushwa hawatendi haki anavo fanya wazir ndo sawa

    • @ismailabbas4197
      @ismailabbas4197 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@awadhally1052jinga hilo halijuwi kama mahakama ndio husababisha hii migogoro

  • @user-ur4rx1lr6l
    @user-ur4rx1lr6l 10 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo alijichanganya alinunua hewa

  • @HamduniAbdulrazaki-wl5lg
    @HamduniAbdulrazaki-wl5lg 5 หลายเดือนก่อน

    Nakuwelewa Sana Jeri slaha

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 6 หลายเดือนก่อน

    ❤❤wazili wewe ni k

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 8 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani huwafuuata wale wenye njaa na kuwa danganya

  • @beatricemush
    @beatricemush 10 หลายเดือนก่อน +1

    HAKIKA BWANA ABUBAKARI KWA ITAPELI HUO MTAFUTE BWANA MASSAWE ILI UMRUDISHIE GHARAMA ZAKE.

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s 6 หลายเดือนก่อน +1

    FIDA HUSSEIN HUKU DAR NI TAPELI MKUBWA WA NYUMBA ZA WANYONGE NA VIWANJA VYAO

  • @user-fv4zw5ki3x
    @user-fv4zw5ki3x 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu amekutuma kwa wanyonge

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 8 หลายเดือนก่อน +1

    Duuu kwelii wewe ni kamanda

  • @BilalShingwa
    @BilalShingwa 7 หลายเดือนก่อน +1

    Unatakiwa. Uwe waziri. Hadi kufa kwako. Usibadilishwe majukumu

    • @ismailabbas4197
      @ismailabbas4197 5 หลายเดือนก่อน

      Na Urais agombee 2030 anastahili kuwa kiongozi mkubwa wa juu serikalini

  • @user-ps7kv7lp4m
    @user-ps7kv7lp4m 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mh huyu nikiongozi

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 6 หลายเดือนก่อน +1

    Aina yamakonda itatusaidia sana

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 5 หลายเดือนก่อน

    Viongozi wetu wa dini mungu anawaona

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 6 หลายเดือนก่อน +1

    Tembea kama makonda usikilize wananchi

  • @shabanihugo8332
    @shabanihugo8332 10 หลายเดือนก่อน +2

    Piga kazi

  • @salummussa9871
    @salummussa9871 8 หลายเดือนก่อน +1

    Slaaa kijana wewe ni mrema,, sokoine,, magufuli ,,

  • @beatricemush
    @beatricemush 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mzee Abubakari Tunaomba utumie Hekima utu Umrudishie Bwana Fhilipi Massawe Gharama Zake.

  • @mussakiligaliga4348
    @mussakiligaliga4348 5 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiw kumbuka uwanja wa bakwata pale uwanja wa bakwata

  • @Skyboyofficial61
    @Skyboyofficial61 5 หลายเดือนก่อน

    Wakili njaa huyo nayy apigwe ndan

  • @MohamedKinega-jt4vi
    @MohamedKinega-jt4vi 8 หลายเดือนก่อน

    Mbona hvyo viwanja vya taasisi kimojawapo ni kile cha lango la jiji kilichopo barabara ya kigogo hapo mikumi kwani kina kesi ya taasisi kinataka kiwanja chao lakini majibu ya kesi hayaendi kwenye haki

  • @godfreymbwambo4460
    @godfreymbwambo4460 10 หลายเดือนก่อน +2

    MANGI PAMOJA NA UJANJA WAKE KAINGIZWA MJINI!

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 8 หลายเดือนก่อน +1

      Shida huwafuata wale wenye njaa na kuwa danganya

  • @furahamwaseba7910
    @furahamwaseba7910 10 หลายเดือนก่อน

    Mkuu tembelea na mkoa wa manyara hapa babat watumishi niwajeur wanazulumu maeneo ya watu tunakuomba maeneo ya makatanini

  • @YaeLondon-xy7sh
    @YaeLondon-xy7sh 10 หลายเดือนก่อน

    Karatu Bibi yangu tajiri kununua kiwanja Kwa kijani wa Bibi yangu tunaomba msaada wako maana Kamishina wako na viongozi wa wilaya ndo wanaoo zulumu

  • @NOORMOHAMED-sg9lo
    @NOORMOHAMED-sg9lo 10 หลายเดือนก่อน

    Bakwata na juwakita vitu 2 tafauti.
    Halafu mbona mnaleta uwajibikaji wa viongozi kama ni habari?
    Mmekuwa hamna nidhamu kabisa.
    Nchi hii imekosa nidhamu

  • @HamduniAbdulrazaki-wl5lg
    @HamduniAbdulrazaki-wl5lg 5 หลายเดือนก่อน

    Inshu izo ziko kibao

  • @geraldemanuel3613
    @geraldemanuel3613 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mfanyakazi wetu uje na Arusha urudishe eneo la azimio arusha sakina ccm wamechukua

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l 6 หลายเดือนก่อน +1

    Usghasema masawe mwizi tu huyo

    • @Ars-t2k
      @Ars-t2k 5 หลายเดือนก่อน

      Inamaana hujasikia kauziwa na Abubakari?

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 8 หลายเดือนก่อน

    Waislm wa Bakwata wanajiita viongozi ni wezi hawataki kufanya kazi

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 8 หลายเดือนก่อน

    Sio serekali ya dini fulani yeye ni kazi yake uwe mkiristo au muislam kama ni kiongizi unafata sheria hata kama ni baba au mama ndugu zako kwahiyo suala kuwa mkiristo au muislam halina nafas

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 7 หลายเดือนก่อน

    Slaa wewe ni JEMEDALI wa VITA

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 10 หลายเดือนก่อน +2

    Waziri Mkristo kaokoa Mali ya Waislamu tena kutoka Kwa Mkristo mwenzake, wasivyo na shukrani kesho kutwa utakuta Waislamu hao hao wanamshutumu Waziri.

    • @fatumasukwaju226
      @fatumasukwaju226 10 หลายเดือนก่อน +3

      Kazi unayo
      .uislam unakukeleketa haswa.karibu ktk dini ya haki ujachelewa.

    • @hilmialiomar1983
      @hilmialiomar1983 10 หลายเดือนก่อน

      Acha uchochezi

    • @andrewkissavah8272
      @andrewkissavah8272 10 หลายเดือนก่อน +1

      Hakuna dini ya haki bali ni dini ya hasara ,viongozi wa hasara kama hawa wa uza bandari ,mbuga za loliondo na kuwaondoa wa masai katika aridhi yao

    • @hassankajembe4118
      @hassankajembe4118 10 หลายเดือนก่อน +1

      Wew paulmushi ni mpumbavu sana,,huyo Wazir hakufuata uduni hapo!!amefuata haki na sheria!!Rudi darasan hauna kitu kichwani mjinga wew

    • @hassankajembe4118
      @hassankajembe4118 10 หลายเดือนก่อน

      Mnawaza udini udini!!hiyo Elimu ya dini yako unayo kichwani!!inakufundisha nn dini yako!!?nin hekima,busara, heshima,na unyenyekevu!?some vitabu vya dini Kisha muijue dini ni Ipi?!ndipo mtoe maoni yenu...ni aibu..sana.dini dini dini,unaelimu yakutosha kuhusu hiyo dini yako!??