Simple and clear Muheshimiwa Jerry Slaa umeongea Kweli kabisa, ila ninachokiona mimi, baadhi ya watu wenye pesa huamini pesa zao zinaweza kufanya lolote tena kwa njia za fupi , , sasa ni wakati wa wao kupata hasara ,
Asante Mkuu. Umesimama katika ukweli na haki. Umerudisha mali ya Ndugu zetu Waislamu mikononi mwao. Mungu azidi kukuongoza katika utekelezaji wa majukumu yako!
Mungu akupiganie kaka mweshimiwa.Hyo mambo yanafanywa sana kupokonya hki zawatu.Viwanja vinabadilushwa mtu anapewa hti tena orgno,naukifatilia utapiga mguu mpka uchoke.
SIJAWAI ONA WAZIRI WA ARDHI MWENYE AKILI NYINGI KAMA UYU DAAAA MAMA UME PATA MTU WALAH UNA KUJA KWAPUPA UNAONDOKA KIWA MPOLE WALIJUA SLAA KAWEKWA LABDA AJUI CHOCHOTE OGOPA SANA MTU ANAE KWAMBIA ANYWI POMBE ATOK KWAKE MDA MWINGI ANAPATA MADIN YA KUWABANA KINA MZEEE MASAWE
Mbona hvyo viwanja vya taasisi kimojawapo ni kile cha lango la jiji kilichopo barabara ya kigogo hapo mikumi kwani kina kesi ya taasisi kinataka kiwanja chao lakini majibu ya kesi hayaendi kwenye haki
Bakwata na juwakita vitu 2 tafauti. Halafu mbona mnaleta uwajibikaji wa viongozi kama ni habari? Mmekuwa hamna nidhamu kabisa. Nchi hii imekosa nidhamu
Sio serekali ya dini fulani yeye ni kazi yake uwe mkiristo au muislam kama ni kiongizi unafata sheria hata kama ni baba au mama ndugu zako kwahiyo suala kuwa mkiristo au muislam halina nafas
Mnawaza udini udini!!hiyo Elimu ya dini yako unayo kichwani!!inakufundisha nn dini yako!!?nin hekima,busara, heshima,na unyenyekevu!?some vitabu vya dini Kisha muijue dini ni Ipi?!ndipo mtoe maoni yenu...ni aibu..sana.dini dini dini,unaelimu yakutosha kuhusu hiyo dini yako!??
Simple and clear Muheshimiwa Jerry Slaa umeongea Kweli kabisa, ila ninachokiona mimi, baadhi ya watu wenye pesa huamini pesa zao zinaweza kufanya lolote tena kwa njia za fupi ,
, sasa ni wakati wa wao kupata hasara ,
Hongera sana Comrade Silaa, unasimamia haki mkuu
Asante Mkuu. Umesimama katika ukweli na haki. Umerudisha mali ya Ndugu zetu Waislamu mikononi mwao. Mungu azidi kukuongoza katika utekelezaji wa majukumu yako!
Huyu wazur ni kichwa sana,,anajua kazi yake hongera sana
Alafu ana heshima sana anamuiheshimu kila mtu
Allah akufanyie wepesi pole masawe kwa kununua eneo la bakwata dhambi kubwa sn
Mungu akupiganie kaka mweshimiwa.Hyo mambo yanafanywa sana kupokonya hki zawatu.Viwanja vinabadilushwa mtu anapewa hti tena orgno,naukifatilia utapiga mguu mpka uchoke.
Waziri silaa wewe na makonda matajili wanachuki sana kwenu lakini mungu Atawalinda yupo na nyinyi ☝️☝️🤲🤲❤️❤️
Kabisa kabisa waendelee mbele mungu atawatangulia
Aamiin
Alha akufanyie wepesi inshallah
Kwenye uongozi wako ❤
Rais wangu Samia umepata wazili Safi kabisa
I love you Wewe waziri makini sana
Very good in deed❤
Alafu huyu waziri mbali na kutenda haki kila siku ana heshima sana pia
SIJAWAI ONA WAZIRI WA ARDHI MWENYE AKILI NYINGI KAMA UYU DAAAA MAMA UME PATA MTU WALAH UNA KUJA KWAPUPA UNAONDOKA KIWA MPOLE WALIJUA SLAA KAWEKWA LABDA AJUI CHOCHOTE OGOPA SANA MTU ANAE KWAMBIA ANYWI POMBE ATOK KWAKE MDA MWINGI ANAPATA MADIN YA KUWABANA KINA MZEEE MASAWE
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyu ni moja ya mzalendo katika Taifa letu MUNGU amlinde kijana huyu na akipata madaraka makubwa huyu ujanja ujanya kwishaaa
Kwel kabisaaa
Anaelewa sana. Na wenye makosa wanaelewa makosa yao. Simple kabisa
SLAA HUKO BAKWATA KUMEJAA MATAPELI WATUPU!!
Waziri anza na wizarani kuna wafanyakazi sio waaminifu
jamani wazili sio msemaji wa mwisho .mahakama ndio wenye uwamuzi wa mwisho
We mjinga kwel mahaka Wakipewa rushwa hawatendi haki anavo fanya wazir ndo sawa
@@awadhally1052jinga hilo halijuwi kama mahakama ndio husababisha hii migogoro
Huyo alijichanganya alinunua hewa
Nakuwelewa Sana Jeri slaha
❤❤wazili wewe ni k
Yaani huwafuuata wale wenye njaa na kuwa danganya
HAKIKA BWANA ABUBAKARI KWA ITAPELI HUO MTAFUTE BWANA MASSAWE ILI UMRUDISHIE GHARAMA ZAKE.
FIDA HUSSEIN HUKU DAR NI TAPELI MKUBWA WA NYUMBA ZA WANYONGE NA VIWANJA VYAO
Mungu amekutuma kwa wanyonge
Duuu kwelii wewe ni kamanda
Unatakiwa. Uwe waziri. Hadi kufa kwako. Usibadilishwe majukumu
Na Urais agombee 2030 anastahili kuwa kiongozi mkubwa wa juu serikalini
Mh huyu nikiongozi
Aina yamakonda itatusaidia sana
Viongozi wetu wa dini mungu anawaona
Tembea kama makonda usikilize wananchi
Piga kazi
Slaaa kijana wewe ni mrema,, sokoine,, magufuli ,,
Mzee Abubakari Tunaomba utumie Hekima utu Umrudishie Bwana Fhilipi Massawe Gharama Zake.
Mheshimiw kumbuka uwanja wa bakwata pale uwanja wa bakwata
Wakili njaa huyo nayy apigwe ndan
Mbona hvyo viwanja vya taasisi kimojawapo ni kile cha lango la jiji kilichopo barabara ya kigogo hapo mikumi kwani kina kesi ya taasisi kinataka kiwanja chao lakini majibu ya kesi hayaendi kwenye haki
MANGI PAMOJA NA UJANJA WAKE KAINGIZWA MJINI!
Shida huwafuata wale wenye njaa na kuwa danganya
Mkuu tembelea na mkoa wa manyara hapa babat watumishi niwajeur wanazulumu maeneo ya watu tunakuomba maeneo ya makatanini
Karatu Bibi yangu tajiri kununua kiwanja Kwa kijani wa Bibi yangu tunaomba msaada wako maana Kamishina wako na viongozi wa wilaya ndo wanaoo zulumu
Bakwata na juwakita vitu 2 tafauti.
Halafu mbona mnaleta uwajibikaji wa viongozi kama ni habari?
Mmekuwa hamna nidhamu kabisa.
Nchi hii imekosa nidhamu
Inshu izo ziko kibao
Mfanyakazi wetu uje na Arusha urudishe eneo la azimio arusha sakina ccm wamechukua
Usghasema masawe mwizi tu huyo
Inamaana hujasikia kauziwa na Abubakari?
Waislm wa Bakwata wanajiita viongozi ni wezi hawataki kufanya kazi
Sio serekali ya dini fulani yeye ni kazi yake uwe mkiristo au muislam kama ni kiongizi unafata sheria hata kama ni baba au mama ndugu zako kwahiyo suala kuwa mkiristo au muislam halina nafas
Slaa wewe ni JEMEDALI wa VITA
Waziri Mkristo kaokoa Mali ya Waislamu tena kutoka Kwa Mkristo mwenzake, wasivyo na shukrani kesho kutwa utakuta Waislamu hao hao wanamshutumu Waziri.
Kazi unayo
.uislam unakukeleketa haswa.karibu ktk dini ya haki ujachelewa.
Acha uchochezi
Hakuna dini ya haki bali ni dini ya hasara ,viongozi wa hasara kama hawa wa uza bandari ,mbuga za loliondo na kuwaondoa wa masai katika aridhi yao
Wew paulmushi ni mpumbavu sana,,huyo Wazir hakufuata uduni hapo!!amefuata haki na sheria!!Rudi darasan hauna kitu kichwani mjinga wew
Mnawaza udini udini!!hiyo Elimu ya dini yako unayo kichwani!!inakufundisha nn dini yako!!?nin hekima,busara, heshima,na unyenyekevu!?some vitabu vya dini Kisha muijue dini ni Ipi?!ndipo mtoe maoni yenu...ni aibu..sana.dini dini dini,unaelimu yakutosha kuhusu hiyo dini yako!??