Kiukweli aina hii ya marafiki imenigusa mno maumivu ya moyon mwangu nilosababishiwa na aina hii, naomba no.kwa ushauri zaidi.Pia hongera kwa kutoa huduma hii.
Huu ni ukweli mtupu.. Nashangaa ni vipi umewajua na kuuelezea haya yote🤔 Nashukuru kwa moyo wangu wote maanake najifunza zaidi kila siku chini yako(God bless you coach) 🙏
Ni kweli. Nimejifunza kitu kuhusiana na aina ya marafiki ninaohitaji kuwa nao na ambao sihitaji kuwa nao katika maisha. Ni sahihi marafiki wanaweza kukujenga au kukubomoa katika maisha yako.
Shukran sana . Hakika unanitoa kwenye gza nililowekwa sasa namatumain kwa maneno yako ymenigusa na ni ukwer mno mtu anakushka mkono ukijua n upendo kumbe anakuweka gza ili usitimize malengo yako. Mungu atusaidie sana. Ubarikiwe sana kaka.
Ahsante sana Kaka Joel Mungu akubariki sanaaaa ,,hakikaa nikwer kabisa nilikuwa na marafiki lakini kila wakati wanapendaa vyakwangu tu lkn hata nikawaa nashida nikimwambiaa ...yani nihatari sanaa 🙏🙏🙏
Kaka Uko sawa kabisa ila huyo Dada mbona hakupi muda wa kuongea anadandia dandia maneno alafu anatangulia neno unalotaka kuongea mbele sijapenda mwambie aache ujuaji
jaman joel leo umenielekeza kitu ....yaan huyu n rafk yang mmoj kazin.....duuuh bt nmejifunza ....joel asante kaka ...joel ubarikiweeee joel mungu azid kukueka ...joel with yu i believe one day ktk stori yang utakuepo
Mbn fupi jamani asante sana lakini nimejifunza ninarafiki mzigo anataka yeye awe anatumia pesa zangu tu halafu za kwake hataki zitumike aaaaah namdelete kabisaaaaa
Tazama historia ya mwanajeshi aliyedai kukutana na Mungu...alipigwa risasi 27 na kuendelea kupigana....bofya link 👇🏾th-cam.com/video/3q3bDAqT460/w-d-xo.html
Ameen 🙏 mafundisho yakuelimisha sisi njinsi tutanjitenga nawanafiki marafiki wa uongo washindwe in the mighty name of God 🙏 thanks so much my dear brother 💖👊👏 💟💖💟💖💟 God bless you 🙏💖👌 ,hi ninaye hapa kazini masungumzo yooote nimeyasikia Yana mlenga huyu mwenzangu hapa kazini wivu ,fitina,chuki ,,,,,,,,,,, Asante Kaka lakini naamini mungu kwangu alishindwa 🙏 yanamfuata mwenyeweee 👐 ! Pamonja 👏💖💖👊👊 mungu akunjalie mema
Kila Hatua, Nazidi kuimarika kupitia Mafundisho yako, Nimepiga hatua Zaidi, na lengo ni kutwaa Tuzo kubwa sana hapa Duniani, nazidi kujifunza siku hadi Siku
Nakumbuka kipindi nilikuwa na boyfrnd wa tabiya kama hiyo hakukuwa anakubari kosa,hakosolewe,na alikuwa akikoseya anataka mimi ndiyo nimuombe msamaa😢niliona mapema kama siyo mtu sahihi kwangu nanilikuwa nampenda ila nimemtoka.asante sana kaka Joe umenifunza kitu
Jamaniii duniani hapa mtihani tuuuu😭hawa wa kujiskia vibaya wapo wengi kwenye maisha yangu.na hawa wa kuchukua rasilimali nnao kweli ahsante mwalim najifunza mengi duniani hapa . 😭😭😭😭😭😭😭😭
mi sipendi marafiki wa ajabu na nashukuru mungu marafik zangu wingi ni matajiri na wananipa msaada wa maneno na vitendo. nimejifunza kitu asilimia kuu ya marafiki wajinga,roho mbaya,majungu ni wale tuliozaliwa katika familia za kimasikini.simaanishi kwamba masikini wote waki ivo ila asilimia kuu na simaanishi matajiri wote wako ivo.hamna wako matajiri wa ivo.
..... Nahitaji kufahamu ikiwa mimi ni miongoni mwa waliofutwa JE... Nitafanyaje kurejesha urafiki wa awali ikiwa tayari ameshanielewa udhaifu wangu Yussufrey kutoka Zanzibar
Kitu Cha Msingi ni Kubadilika kwa dhati kutoka moyoni kisha zungumza na rafiki yako mrejeshe urafiki wenu mshirikiane na kushikama kwa pamoja mtafika mtafika mbali.
Kiukweli aina hii ya marafiki imenigusa mno maumivu ya moyon mwangu nilosababishiwa na aina hii, naomba no.kwa ushauri zaidi.Pia hongera kwa kutoa huduma hii.
Huu ni ukweli mtupu..
Nashangaa ni vipi umewajua na kuuelezea haya yote🤔
Nashukuru kwa moyo wangu wote maanake najifunza zaidi kila siku chini yako(God bless you coach) 🙏
Kapitia si mwanadamu kwani ?au ni malaika ?
This is so nice from the smartest man, i have ever seen...... Uko blessed sana bazaleee.....
Point number too inalenga Europe.jamani mliooa na kuolewa huku.tunajua what our fellow human beings do.let us be strong Africa.Asante brother Joel
Hakika kabisa Nimepata kitu hapa Asante sana Kaka Joel Live More
Ni kweli. Nimejifunza kitu kuhusiana na aina ya marafiki ninaohitaji kuwa nao na ambao sihitaji kuwa nao katika maisha. Ni sahihi marafiki wanaweza kukujenga au kukubomoa katika maisha yako.
Shukran sana . Hakika unanitoa kwenye gza nililowekwa sasa namatumain kwa maneno yako ymenigusa na ni ukwer mno mtu anakushka mkono ukijua n upendo kumbe anakuweka gza ili usitimize malengo yako. Mungu atusaidie sana. Ubarikiwe sana kaka.
Amen kaka mungu akupe maisha marefu ili uendelee ku tufundisha kaka
Ahsante sana Kaka Joel Mungu akubariki sanaaaa ,,hakikaa nikwer kabisa nilikuwa na marafiki lakini kila wakati wanapendaa vyakwangu tu lkn hata nikawaa nashida nikimwambiaa ...yani nihatari sanaa 🙏🙏🙏
God bless u for ur teaching
Kuna marafiki ambao wanapenda kusaidia sana ila sio kwa moyo bali ili waonekane safari hii nimeamua sitaki rafiki tena nitatuma amani tu
Kaka Uko sawa kabisa ila huyo Dada mbona hakupi muda wa kuongea anadandia dandia maneno alafu anatangulia neno unalotaka kuongea mbele sijapenda mwambie aache ujuaji
Nimejifunza kitu kikubwa sana kaka Joel, Asante na Mungu akubariki
Hakika Mungu nimkuu mnoo Haya nafundisha Nimakubwa mnoo Na niyamuhimu Saana saana Nimepanda mnoo
Asante kwa somo la leo nimelipenda man nlikua napata shida katika hili
Yaani huu ni ukweli mtupu, shukran Sana, Lilian nakupenda ujue
jaman joel leo umenielekeza kitu ....yaan huyu n rafk yang mmoj kazin.....duuuh bt nmejifunza ....joel asante kaka ...joel ubarikiweeee joel mungu azid kukueka ...joel with yu i believe one day ktk stori yang utakuepo
Powerfull Advice See u at top
Asante sana kaka nimekuelewa vuzur sana.
Very powerful massage my kaka
Mbn fupi jamani asante sana lakini nimejifunza ninarafiki mzigo anataka yeye awe anatumia pesa zangu tu halafu za kwake hataki zitumike aaaaah namdelete kabisaaaaa
Tazama historia ya mwanajeshi aliyedai kukutana na Mungu...alipigwa risasi 27 na kuendelea kupigana....bofya link 👇🏾th-cam.com/video/3q3bDAqT460/w-d-xo.html
Hakika Mungu akuzidishie maarifa, ubunifu na nguvu unayotumiakutuelimisha.
Marafiki wa hivyo wako wengi mno imenifanya nikatae marafiki kabisa hawana maana siwataki!
Grace Zunda unakosea Grace still good people wapo ambao unaweza fnya nao urafiki
Hata mm chtaj marafk wamenirudsha nyuma sana
Daaah mim wananiumiza lila siku yani nateseka wananitesa kabisa
Asante kk kwa somo lako nimejifunza kitu
Aksante kaka nanauka,,, kwakwel umeyufungua,,, tunaishi na marafi kama hawa mzigo,,, yan wanafiki
Aisee,I got something, thanks alot
Ahsante kwa somo zr kaka joel
Allah bless you .
Awww it's too deep......✊✊
Nice voice.. like radio..
God bless you my brohrs
Halafu anawivu hafurahii ninapofanikiwa akiona nimebarikiwa ananinunia
Nina rafiki wa iv
Mmmmh ama kwel ni noma sana love it
Nimeipenda saana ubarikiwe sr.❤
Aisee mie ninae uyo rafiki wakuchukia mafanikio yangu
Ameen 🙏 mafundisho yakuelimisha sisi njinsi tutanjitenga nawanafiki marafiki wa uongo washindwe in the mighty name of
God 🙏 thanks so much my dear brother 💖👊👏 💟💖💟💖💟
God bless you 🙏💖👌 ,hi ninaye hapa kazini masungumzo yooote nimeyasikia Yana mlenga huyu mwenzangu hapa kazini wivu ,fitina,chuki ,,,,,,,,,,, Asante Kaka lakini naamini mungu kwangu alishindwa 🙏 yanamfuata mwenyeweee 👐 ! Pamonja 👏💖💖👊👊 mungu akunjalie mema
Achana nayo
Barikiwa sana Mwalimu hakika unatupenda
Barikiwa kaka yngu ninarafikiya yngu hataki kupata kwangu yan kil mara anataka ni following yeye na nime amuwa kuwacana naye
Nikweli kabisa. Na kunawengine wanapenda kukosoa tu. Ukifanya vizur wao wanakaa kimya. Je hao nao wakoje?
kwel kabisa ahsantee sana kwa kutusaidia barikiwa sana
Ahsante sana Mr Joel
Kila Hatua, Nazidi kuimarika kupitia Mafundisho yako, Nimepiga hatua Zaidi, na lengo ni kutwaa Tuzo kubwa sana hapa Duniani, nazidi kujifunza siku hadi Siku
Very true my brother Aina hii Ya marafiki imefanya Nixhidwe kua Namarafiki kbx
Asante sana ❤❤
Duh kama ulovyoeleza ndio maisha yetu ya sasa ktk URAFIKI , WAUNGWANA NI WACHACHE SANA. LAZIMA TUWE MAKINI KWENYE KUTENGENEZA MARAFIKI
Nakumbuka kipindi nilikuwa na boyfrnd wa tabiya kama hiyo hakukuwa anakubari kosa,hakosolewe,na alikuwa akikoseya anataka mimi ndiyo nimuombe msamaa😢niliona mapema kama siyo mtu sahihi kwangu nanilikuwa nampenda ila nimemtoka.asante sana kaka Joe umenifunza kitu
Asante sana kk barikiwe
Asante sana somo limeniingia sana tena sana
Umeongea vizuri sana kaka hilo tatizo mimi ilalipitia naomb unishauri nifanyaj ili niwez kuwa epuka
Asante kwa mawaidha kwa kuwa umeniokoa kaka yangu
Kwa mtindo huu basi watu wengi sana hawana marafiki na hawajui. Wapo marafiki wengi sana wa aina hii.
Yan kweli kabisa
Omg I like this so much you know my brother please advise me in this matter related to this video. Thanks
Ahsante sana kaka❤
Jamaniii duniani hapa mtihani tuuuu😭hawa wa kujiskia vibaya wapo wengi kwenye maisha yangu.na hawa wa kuchukua rasilimali nnao kweli ahsante mwalim najifunza mengi duniani hapa .
😭😭😭😭😭😭😭😭
Nakushukuru sana sema ili wakome wabadilishe tabia zao
Dada Lilian jitahidi kumuacha mtu amalize kuongea kwanza ndipo uchangie au kama ni muhimu sana ku interact please do vingine mwache amalize kuongea.
hao no 4 nimekutana nao sana
Nashukuru sana kaka nimejifuza pakubwa sana
Yes crazy do it
SHUKRAN
Thankx you for lesson
Perfect
Kak umetisha san kwa apo ulipogusa hauna baya thanks bro
Asante kaka nimekufahamu
Kweli kabisa bro
Intelligent man
asanteni sana kwa ujumbe mzuri
Kabisssa yani ata ninunuw kitu hafurahiy alafu yeye huwa hanambiy ya kwake ju ya wivu
Uko vizuri sana
Kaka unajuwa sana mkuu
Bro this is good class💪
Asante munomuno.
Nakukubali kwa marafiki ni kweli
Yes kwel kabsa bro
Best channel to watch
nzuri sana hii
Asanteni sana HAMASIKA TV
Nakukubali joel
Wow this is awesome 👍
mi sipendi marafiki wa ajabu na nashukuru mungu marafik zangu wingi ni matajiri na wananipa msaada wa maneno na vitendo.
nimejifunza kitu asilimia kuu ya marafiki wajinga,roho mbaya,majungu ni wale tuliozaliwa katika familia za kimasikini.simaanishi kwamba masikini wote waki ivo ila asilimia kuu na simaanishi matajiri wote wako ivo.hamna wako matajiri wa ivo.
very impressive broo
Good video
Hao wa mwisho niwengi saana kaka.
Nishida kwenye hii dunia
Hakika kaka mafundisho yako ya Hali ya juu sana
Nimekuelewa haya ndo maisha halisi ya baadhi ya marafiki,ukae na rafiki mzigo au upoteze hatma yako
Kweli TUPU,💯
Nikweli
Nlishayajua hayo ndio maan nka move on
Wawa kabisa
Umenena kaka umenifundisha kitu hapo kaka joel
asante kwa ujumbe mzuri kaka
Hayo yananikuta sana najikuta na jiulizasana ilasipati majibu aise
Huo ndio ukweli kabla sijawagundua hao marafiki nilipata tabu sana
Nice one
Good
Asee Ni Kweli 100%√√
Daah aise kuna wakati huwa naona niwe mwenyewe tu
..... Nahitaji kufahamu ikiwa mimi ni miongoni mwa waliofutwa
JE... Nitafanyaje kurejesha urafiki wa awali ikiwa tayari ameshanielewa udhaifu wangu
Yussufrey kutoka Zanzibar
Kitu Cha Msingi ni Kubadilika kwa dhati kutoka moyoni kisha zungumza na rafiki yako mrejeshe urafiki wenu mshirikiane na kushikama kwa pamoja mtafika mtafika mbali.
@Misifa Skills Thanks
@@hamasikatv Thanks alot
Yaan nimekuelewa na nimejifunza ile mbaya
❤❤❤❤❤
Ahsant
Karibu kaka
Sio rafik tu na ndugu wa haina hao teacher wapo natamani ungefanya somo la hili