Allah akbar mungu huleta viumbe wa kipekee kama hawa kueneza elimu yake wallah huyu jamaa nimempenda kwa ajili ya Allah(subhanna wataala) mungu akulipe kila la kheri inshaallah nakuombea kwa Allah najiuliza ni watu wangapi wamepata elimu hiyo wakaelewa wallah ukiendelea hivyo malipo yake mungu ndo anajua
@@calmness4348 shortly je explain how bath janaba, firsty SAID you should wash your private party, than yake udhu as you want to pray, than start wash your head, than wash your body by start With right hand starting on the head to the toe, than you do the sana au left hand, than insist that "if you are fat one you must make sure some water spread in hilo body
Wallah ambae hajaupokea uislam innaliilai wainna rajiun,.. Wallah dini ya kiislam ni dini iliokamilika haikuacha kufundisha chochote chini ya jua,.. Kweli ule upande mwengine wa wenzetu wanaweza kutuonesha haya kwenye kitabu chao ?
Jama tafadhalini, mtu mwenye si mahrim yako ana kuvunjia udhu. Kama hawezi kuvunja udhu basi hamu wezi kuoana. Na kuhusu mtume pia alikua akivunjiwa udhu na wake zake na kama alikua havunjiani na wake zake tafadhalini nipatieni hadIthi au aya ya Quran Ili kuni thibitishiya.
Mashaallah Broo . Naomba mtengeneze gruup la mafundixho haya ya dini yetu ya Kislam kwa sababau vijana wengi hatuna elimu ya kuyajuwa haya . Tafadhali kk naomba nifikirie hili wazo langu. Shukuran Allah ukulipe .
Allah akbar mungu huleta viumbe wa kipekee kama hawa kueneza elimu yake wallah huyu jamaa nimempenda kwa ajili ya Allah(subhanna wataala) mungu akulipe kila la kheri inshaallah nakuombea kwa Allah najiuliza ni watu wangapi wamepata elimu hiyo wakaelewa wallah ukiendelea hivyo malipo yake mungu ndo anajua
Maa sha Allah, raha sana ukiwa na mume kama huyu mwenye uelewa wa dini, yarabbi tujaalie waume wenye elimu ya dini wapate kutuongoza.
Amiin 🙏
Mashallah
Ameen inshaAllah 💋💋
Amiin
Amni inshllh
Dah subhanallh nilikuwa nafanya makosa sana 😭 alhmdulilh sasa nimeelewa shukran allh akulip ujira mkubwaaa amyn 🤲
Amiin
Amiiin
Inshallah
Moza nambie ulikua unakogaje
Pia mimi nilikua naanza kukoga nikimaliza ndo natawaza 😢
Maasha Allah..nmeoa juzi na nmejifunza kitu.. jazaakul khair brother katika imani
Masha Allah jazakallah khaira nakumbe ugumu unasababishwa nabaadhi yawalim Alhamdulillah
Mashallah, ustadhi naomba kujua je, kwa mwanamke umekuwa na janaba harafu ukakutwa na hedhi je unatakiwa uwogeje hapo au unasubili hedhi iishe.
Allah awajaaliye kwa kutupatia elimu sisi ambao tulikua hatuyajui haya.
Allah akulipe inshallah umetufungua macho sisi wengine
Miongoni mwa vikundi bora vya mazoezi kuwahi kushuhudia
Wallah huyu Jamaa katufunza frshy sana ...Mungu akupe umri mrefu In Sha Allah
mashaallaah darsa nzurii xana maalimuuHapo mwisho kuosha mwilii nzima jee ukishika sehemu za sirii jee kuna tabuu apoo
unaweza kushika ila ukitaka kwenda kuswali lazima utie udhu mwengine
MashaAllah barikiwa sana kaka kwa mafunzo yako mema🙏🙏.
Mungu akupe kheri hiyo Elimu ushautoa Mungu akulipe mema na firdaus yawe makazi yetu sote
Maa Shaa Allah.. Shukran..Allah aendelee kukupa afya njema ili tuendelee kupata elimu kutoka kwako.
MashaAllah Allah hawape umri mzidi kutufundisha mema.. Wallahi Kuna watu hawajui hata kuoga janaba...
ALLAH akuhifadhi maalim na akulipe kheri zaidi kwa hiki unachokifanya kwasababu ni mafunzo na tunafaidika inshallah
Asalam alaykum. Hukupatia ila umejitahidi umekosea kdg t Allah akubarik
Ivi ndo namna ya kufundisha alhmdulilah mwenyezimungu akulipe heli nyingi isha allah
Ujumbe mzuri
Umetupa faida kubwa Sana ama kweli Allah akufanyie wepesi kaka
Mashaallah mungu akupe umli mrefu ili uweze kutufundisha zaidi yahayo amina
I really appreciate u brother..U explained very nicely.. Even though I can't understand ur language..May Allah grant u jannah
How did you know he explained very nicely if you couldn’t understand the language 😅😂🤣
@@theavmedia5374 its not necessarily to understand through oral language sometimes symbolic language is very clear to understand
@@theavmedia5374 He did physically brother,
Most of them just explain but he did it practically!
@@calmness4348 shortly je explain how bath janaba, firsty SAID you should wash your private party, than yake udhu as you want to pray, than start wash your head, than wash your body by start With right hand starting on the head to the toe, than you do the sana au left hand, than insist that "if you are fat one you must make sure some water spread in hilo body
What you just complain about is not nessesary
Jazaaka Allahu khaira, Mungu akulinde na akulipe heri in shaa Allah uzidi kutukumbusha mengi kuhusu dini yetu.
Nmefaidika sana brother, Allah akurudishe mema ✋️ 🙏
Mashaallah Babuzi Allah akupe umri uzidi kutuelimisha na akulipe ujira mkubwa siku ya malipo
Amiin
Marshall Allah akujalie ilim zaidi kuokowa umatihuu juu ya elim ya Dini sahishi
Masha'Allah Allah akulipe jaza yako na akuwekee katika amali zako njema
JazzakAllah mwenyezi Mungu amzidishie umri, nilikuwa nimengojea kwa hamu hili somo
MashaAllah MashaAllah MashaAllah tabarak Allah nmejifunza alhamdullillah
MaashaAllah, somo zuri
Maashaallah ukipata mume kama huyo una pepo ya dunia Allah atuwafikishe tupate waume wema 🤲
Umeolewa?
Mashallahu Allah azid kukupa kher zaid
Mashallah. Allah akujalie kheri inshallah
MashaAllah tabaraka Allah , Allah akulipe kheri katika mambo Yako inshaAllah
Asante sana mungu akujaalie maisha marefu ili uweze kutujuza zaidi
Alhamdhulillah .MashaAllah .sshukrn kaka kwa elmu ykp
mashaallah shahi shukrani sana kwa elimu hiyo alla akujaze kila laheri
Mashaallah Allah akubarikini.lau kama vijana tunapomaliza michezo yetu tunapata mda wa kuongozana kwa mambo mazur km hivo tungalipija hatua
Allah amenipitisha hpa alhamdulilah nimeelewa vizur nilikua sifaham uzur
Masha Allah...... Allah akulinde popote pale ulipo n'a aibariki kazi uifanyalo 🙏🤲🤲
MashAllah jazakallah khaira Allah akujalie akufungulie kila penye uzito
MashaAllah mwenye mungu akulipe ajira kwa kutunufaisha n ilim
Shukran sana Bro....Jazaka Allah khair, in shaa Allah
Alhamdulilah nashukuru sana, nilikuwa naruka baadhi ya hatua kwa sasa nimeelewa vizuri
Mashaallah nakupatia 💯% umenielimisha sana alhamdhlillahi mungu akupe maanufaa zaidi
Mansh'Allah shukrn sna bro kwakutuelimish
Mashaallah, Allah akupe afya njema uzidi kusambara elmu ya Allah..
0
Mashaallah tabaraka rahman mwenyezi Mungu akupe elimu zaidi uzidi kutuelimisha inshallah
Mashaallah ukipat wanaume kam uyu mwenye din anakuongoz vizur mung nijalie mume wa dizain hii
Mashallah sheikh wetu Allah akulipe kila la kheli
Mashaallah molah ukupe wepes amin
Mashallah shukuran maalmath mm nilkua na kosea umenirekebisha mungu akuzidishie kheri
Ma sha allah...... Allah akulipe kher in sha allah
Allah akupe barka tele kwa somo hili 🙏
kwasote inshaAllah
Masha Allah allah awape nuru Katk maisha yenu walimu wetu
Jazaqalahu khayra waminkum,Somo zuri sn waislam,* Islam Nadhiifun* ❤❤❤❤
Allah akupeni umri mrefu wenye kheri
Masha Allah kakangu Mungu akuzidishie umri Inshallah darsa zuri sana shukran jazilah
Shukran Brother. Mafundisho mazuri na muhimu yenyekueleweka. Allah akujaze kheyr na akubariki. Amin
Asante mana nlikua naoga janaba sivo hatimae nmejua Mungu akuongoze shekhe
Maashallh aallah akulipee inshallah
Mashaallah ALLAH anijalie mume km huyu In Shaa Allah
Tuko
. nitafute nikuowe
Hata mm nmependa muungu atujaalie tupate waume kma hawa wenye kuelewa dini
mungu awalinde sana hakika nimafunzo mazur sana
Maashallah maashallah, lesson well understood.
Ma shaa allh....allh akuzidishie elmu zaidi ...nilikua sijui haya
Ishaallah mungu akulinde nimejifunza kwa kwel
Masha Allah....Allah awazdshie ilm na iwe yenye manufaa ktk jamii na vizazi vyetu vya kesho...Allahumma ameen.
masha allah umetuweka saw hongera san
MashaaAllah Allah akuongoze kwa kila jambo Jazzakllah khery umenielimisha nilikuwa sijui santeee
Mwenyezimungu akulipe kila lakheri
@@alfanhassan1544 Ameen
Masha'Allah TabarakAllah shukran jazakallahu khairan
Mashallah elimu kwavitendo ina eleweka sana shukran allah akuweke uzidi kutupa faida
Mafunzo mazur sana ata asie jua yuajua Asante sana mungu akuongoze
Shukran ustazi, Allah akulinde InshaAllah
May Allah bless you and increase your eilm brother good lesson indeed
Kaka upo vizuri SNa kwakueleza mazee uko wap wewe Kenya au bongo
Akhsante sheikh kwa ukumbusho mzuri... Allah akupe Umri Mrefu InshaAllah
Mashallah! Allahu bar'k
Masha Allah shukrani Sana usthadhi kwakutuilimisha mungu akulinde
Waullah mi nilikuwa sjui kabisaa kwaiyo nimejifuza sana hapa na nimeelewa. Asante sana mwallim
Masha Allah shukran haki nimepata mafunzo
Mashaallah.maalim niko na swali.vp kuhusu muosho wa baharini twaoga vp janaba.
Mungu akupe maisha marefu na mwsho mwema
Wallah ambae hajaupokea uislam innaliilai wainna rajiun,.. Wallah dini ya kiislam ni dini iliokamilika haikuacha kufundisha chochote chini ya jua,.. Kweli ule upande mwengine wa wenzetu wanaweza kutuonesha haya kwenye kitabu chao ?
Mola akuzidishie Umrih na afya njema In Shaa Allah .
Mashallah elimu yenye mafaida .
Shukran bradha Ali🎉
Maasha Allah jmn shukran Jazakallahu khaira
Jama tafadhalini, mtu mwenye si mahrim yako ana kuvunjia udhu. Kama hawezi kuvunja udhu basi hamu wezi kuoana. Na kuhusu mtume pia alikua akivunjiwa udhu na wake zake na kama alikua havunjiani na wake zake tafadhalini nipatieni hadIthi au aya ya Quran Ili kuni thibitishiya.
Shukran sheikh wetu nimepata faida jazakallahu alkheir
Mashallah Allah akuzidishie Inshallah kakaangu huzidi kutuelimisha
ما شاء الله جزاك الله الخير
تعلمنا حقيقة المعرفة
ممتاز
Shekh allah akujalie dalasa zur umetoa umetufahamisha vzur
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojali
Jazakalahu khaura shukran Sana kwa kutupa elimu
MashaAllah Allah akuhifadhi fil dunya wal akhera
Mashaallah Mungu akulipe mema kaka
Mashaallah Mwenyez Mungu akujalie Hawa ndio waume wema
Mwenyezi mungu akulipe heri umetoa elimu kubwa watu wengi hawajui hili jambo kubwa la kuoga janaba
shukuran kwakutu Zindua mungu aku fanyie wepec ktk majamb yak yaheri
Ahsante sana Shukran Alhamdulillah
Hongera kiukweli wa2 hawajui kuoga janaba baadhi ya watu na n waislam na watu wazima anarand na uchafu tu n vyema Kaka shukran kutoa ukumbusho
Mashaallah
Maalim shukran kwa somo lako la kuoga janaba wengi wao tulikua tunaripua tu kwenye ukogaji wa janaba
Nashukur sheikh Leo umeniondolea ukakasi kabisa
jakaALLAH khair Allah akulipe kwa hili
Mashaallah Broo .
Naomba mtengeneze gruup la mafundixho haya ya dini yetu ya Kislam kwa sababau vijana wengi hatuna elimu ya kuyajuwa haya .
Tafadhali kk naomba nifikirie hili wazo langu. Shukuran Allah ukulipe .