Tumezamia Canada🇨🇦 OMG 😳 nirahisi kuingia Canada ukitokea USA 🇺🇸, Tz🇹🇿 flag to the world 💪🏻

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 72

  • @bernardmunuo2137
    @bernardmunuo2137 5 หลายเดือนก่อน +7

    Bro hiyo furaha sio yako tuu umefanya hata mimi nimefurahi pia... hongera sana na huwa naangalia sana contents zako na hii roadtrip toka video ya kwanza unapanga mbaka huko safarini ni nzuri na imejaa details za kutosha umuwachi muangaliaji awe alone. Bro niko safarini na nyie ingawa naangalia kwenye simu. May God protect you

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  5 หลายเดือนก่อน +2

      This is great comment ever nimefurahi kwa comment yako kk, mungu akubariki🙏🏻

  • @ASmg-k4w
    @ASmg-k4w 4 วันที่ผ่านมา

    Daaaah hadi udenda umenitoka jamaa akiimba wimbo wetu wa nchi!

  • @dinnahdavid
    @dinnahdavid 5 หลายเดือนก่อน +1

    Na Mimi nimefurahi Sana jamani hongera Sana bro 🇹🇿 to the world

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nakukubari San brow

  • @salumsalum8866
    @salumsalum8866 5 หลายเดือนก่อน +4

    mmeingia BRITISH COLUMBIA.ALBERTA aisee mmetembea ❤

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  5 หลายเดือนก่อน

      Mzee ushafikaga nn? Exactly 👍

    • @salumsalum8866
      @salumsalum8866 5 หลายเดือนก่อน +3

      @@mshanatheblacksmith teh ni dream yangu kufika US and Canada so Map ya Us na state zake zote zipo kichwan Awadh.InshaaAllah 1day ntakukumbusha hii msg

    • @SilaMinanda
      @SilaMinanda 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@salumsalum8866kaka tuwasiliane

  • @MsatiOne
    @MsatiOne หลายเดือนก่อน

    Sawa bana

  • @nasrinairi9556
    @nasrinairi9556 5 หลายเดือนก่อน +2

    Umetisha sana Bro

  • @mahatamohamed5144
    @mahatamohamed5144 5 หลายเดือนก่อน +2

    SAFI SANA, NIMEIPENDA HII

  • @user-lj7mu1tk2b
    @user-lj7mu1tk2b 5 หลายเดือนก่อน +2

    Safisana brooo

  • @EmmanuelKibavu
    @EmmanuelKibavu 5 หลายเดือนก่อน +2

    Polee kwa mafua lakin

  • @trommyx
    @trommyx 5 หลายเดือนก่อน +1

    good job

  • @JumaHabibu-ki7hu
    @JumaHabibu-ki7hu 4 หลายเดือนก่อน

    Jamaa anainjoy sana

  • @blacksingapore
    @blacksingapore 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nakubali kaka 🔥🔥

  • @Teslin_Tv
    @Teslin_Tv 5 หลายเดือนก่อน +2

  • @YahyaSaid-nv1ri
    @YahyaSaid-nv1ri 4 หลายเดือนก่อน

    Dah pw sana hiyo

  • @Jessy-f9w
    @Jessy-f9w 5 หลายเดือนก่อน +2

    Umeipeperusha bendera ya TZ vizuri sana

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  5 หลายเดือนก่อน

      Tunatangaza nchi yetu na utalii wetu, Asante 🙏🏻

    • @Mariam-zh4bf
      @Mariam-zh4bf 5 หลายเดือนก่อน +1

      Yaani ameipeperusha bila hiana

  • @htx1873
    @htx1873 5 หลายเดือนก่อน

    I been there done that , 4 years ago, I went to the park that is divided into two one part of the park iko usa na one side iko Canada so it was fun and cool to experience ila nothing special, and it’s BORING !!!!!!

  • @IbrahimMwadini-hz7ib
    @IbrahimMwadini-hz7ib 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mshana naomba please 🙏🙏 no zako za whps sio story tupu..

  • @saidimega9615
    @saidimega9615 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mzee umeona mzungu

  • @ShadowScreamStudio
    @ShadowScreamStudio 5 หลายเดือนก่อน

    Daaa..raha aiseee

  • @ntayega.a.hamissi9760
    @ntayega.a.hamissi9760 5 หลายเดือนก่อน +3

    Green card holder anaingia Canada bila visa

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  5 หลายเดือนก่อน

      Yes kk upo sahihi tume research now na wamesema unahitaji USCIS card(Green card)✊🏼

  • @hussenkarigo4496
    @hussenkarigo4496 4 หลายเดือนก่อน

    Kumbe nirahisi sana kuinga Canada kutokea US

  • @OmaryKaniki-hs5mz
    @OmaryKaniki-hs5mz 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani mwamba Leo umenifuraisha sana

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  5 หลายเดือนก่อน

      Kwanini? 😃

    • @OmaryKaniki-hs5mz
      @OmaryKaniki-hs5mz 5 หลายเดือนก่อน +1

      @@mshanatheblacksmith yaani umeingia na bendela yatanzania mbaka kwenye maboda yawatu bila uwoga wowote

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  5 หลายเดือนก่อน

      @@OmaryKaniki-hs5mz 😂😂 tunatangaza nchi 😂😂

    • @OmaryKaniki-hs5mz
      @OmaryKaniki-hs5mz 5 หลายเดือนก่อน

      @@mshanatheblacksmith kweli unajitahidi

  • @OmarVuru
    @OmarVuru 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka abari Yako nisaidie mpango yote Mimi sitaki kazi ofisni kazi mashambani mm nguvu kazi sichagui kazi sepa kidogo ninayo kaka naomba namba ya sm

  • @Bongomastermind
    @Bongomastermind 5 หลายเดือนก่อน +2

    Brouh ukiwa na greencard canada unaingua bila visa ,,, fatila tuu then utaelewa

  • @rahmapesazangu934
    @rahmapesazangu934 5 หลายเดือนก่อน +1

    Siku moja uende Canada Kwa ma mkubwa

  • @Maishacanada
    @Maishacanada 5 หลายเดือนก่อน +1

    Karibu Canada mkuu

  • @sizorstartv6168
    @sizorstartv6168 5 หลายเดือนก่อน

    mate tu yanatoka ila one day tutakuja huko japo ni nchi za ahadi ..basi tu hadi maneno yanaishia hapo

  • @user-mf2jf6dp7z
    @user-mf2jf6dp7z 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mbona auja tuonyeshe Washington kutoka Oregon pale Eugene kaka

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  5 หลายเดือนก่อน

      Msijali video nzima inakuja itakuwa P3 hii ni short video tu kwasababu i was happy kuingia Canada 🇨🇦 Ila Asante kwa kuuliza 🙏🏻

    • @user-mf2jf6dp7z
      @user-mf2jf6dp7z 5 หลายเดือนก่อน

      Nakubali sana kaka chukua maua yako kutoka mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌹🌹🌹🌹

    • @SilaMinanda
      @SilaMinanda 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@mshanatheblacksmithkaka naomba kujuwa ulitumia njia gani kufika huko?

  • @aysheraden7718
    @aysheraden7718 5 หลายเดือนก่อน +1

    Canada ni nchi ya 2 duniani kwa ukubwa kisha marekani ni nchi ya 3 duniani kwa ukubwa ya kwanza ni Russia ya 4 ni china

    • @officiallugano8991
      @officiallugano8991 5 หลายเดือนก่อน +1

      China ni ya pili acha uongo tatu America

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y 5 หลายเดือนก่อน +1

    Tibu mafua kwanza hayo 😂😂😂

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  5 หลายเดือนก่อน +1

      Mafua it’s because ya baridi hii ni North mwa dunia sio bongo mafua ni ugonjwa,😀

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 5 หลายเดือนก่อน +2

      @@mshanatheblacksmith kweli ila mimi niko suoth Africa pia tuna barafu nasasa baridi imeanza 🇿🇦🇿🇦🙏😂😂

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  5 หลายเดือนก่อน +1

      @@user-nb6yh2bn9y wabongo kama hawajatoka Dar hawaelewi, ukiwa huku hasa ukiwa nnje mda mrefu it’s so cold unajikuta unamafua alafu pia kuna miti inasababisha allergy ya mafua

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 5 หลายเดือนก่อน

      @@mshanatheblacksmith asante kaka tuko moja nikweli kabisa 🙏🙏🙏🙏🙏🥰🥰🥰

  • @Zuu673
    @Zuu673 5 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani tusaidieni tusio soma tupate kuja kazi za usafi😢

  • @juniorbrown2019
    @juniorbrown2019 5 หลายเดือนก่อน

    Ukiwa na green card hauhitaji visa kuingia Canada kwasababu marekani na Canada ni nchi pacha ambazo zinamaelewano mazuri. Na wana histori moja wote na waliowakoloni ni wamoja na pia ni bara moja ya amerika kaskazini 🇺🇸🇨🇦

  • @mahatamohamed5144
    @mahatamohamed5144 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa ikiwa nataka kuja marekani kimaisha akini pia nikawa nahitaji niwe sehemu ambapo swala tano Msikitini napenda, inawezekana au ni kishidashida? niambie Bro wangu

    • @salehramio.680
      @salehramio.680 5 หลายเดือนก่อน

      Do swala Tano msikitini ??? Kaka Bora ubaki Tanzania kwani Canada n'a Amérique Ama Europe iyo la swala 5 sahau

    • @PureSoul-rf4xd
      @PureSoul-rf4xd 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ibrahimsaguti7470
    @ibrahimsaguti7470 5 หลายเดือนก่อน +1

    Vipi ukizamia USA kupitia the Bahamas?

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  5 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kisiwa ndugu sio kama 🇨🇦 just a border unaweza kuvuka kwa kutembea 2, like upo Znz na unataka kuja Dar kwa kuzamia

    • @ibrahimsaguti7470
      @ibrahimsaguti7470 5 หลายเดือนก่อน +1

      @@mshanatheblacksmith nmekupata kaka that means ni bora niapply visa ya Canada na USA ili kama nkikosa ya USA nkapata ya Canada utakuwa rahisi zaidi kuingia USA kuliko Bahamas, nmekuelewa

    • @user-cu9fe5ev5x
      @user-cu9fe5ev5x 3 หลายเดือนก่อน

      @ibrahimsaguti7470, ni aje, em nipe namba zako mkuu

    • @user-cu9fe5ev5x
      @user-cu9fe5ev5x 3 หลายเดือนก่อน

      mkuu em nipe mwasiliano yako

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 5 หลายเดือนก่อน +1

    We una mafua halafu unaride na Mtu kwenye gari moja huku vioo vimefungwa kwasababu ya Baridi kumwabukiz tuu mafua mtu mwingine. Kwanini usingesubiri Ukapona Mafua yako?

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 3 หลายเดือนก่อน

      Hata mimi nimeliona hilo jamaa ana mafua makali sana

  • @pongwermastory6715
    @pongwermastory6715 5 หลายเดือนก่อน

    Naomba email yako brother