pongezi sana kwa CEO wa WCB nimefrahishw sana na uzalendo wke wa sanaa ktk taifa letu na support nzma katka pande zote kazi za kisanaa kwa hakika yeye ni mfano wa kuigwa hongera DIAMOND PLUTNUMZ GOD bless
SAMOFI KARUDI TENA KWA MCHAWI😂😂 Nimejifunza kitu kikubwa sana!!Ni kweli ulkua na haki ya unachodai ila mdomo usipoutunza maneno utakudhariri!!Hongereni kuwa pamoja mimi nawapenda sana
Mkojani unapoteza watu wa umuhimu chumvi nyingi Yuko wapi nafuatilia sana lakini kwa Sasa mabwende chumvi nyingi wako wapi unapoteza mvuto wa filamu Sasa hivi
Lakini pia mimi natumaini mkojani awalipa wasanii wake jameni, kwa sababu pia wewe mkojani ume jenga kipaji, upato na umaarufu kutoka kwa wengine wadogo 🇹🇿🇹🇿!!
Safii sana samofi na mkojani barikiwa sana pendaneniii vzr
🤩🤩 vizur nimependa kufanya kazi kwa pamoja, Diamond platnumz Mungu akubariki sana kwa wema wote kwenda kwa wote 🇹🇿🙏🇲🇿
Safi sana..nimependa vijana wakitanzania wanafanya kazi pamoja kwa upendo..
Naipenda Nchi yangu upendo na amani vitawale🥰🇹🇿🇹🇿
Mungu mwema, shetani kapita kushoto, kaka mundi barikiwa sana mungu akubariki, kuwapatanisha wasanii wenzio, kweli unao utu
pongezi sana kwa CEO wa WCB nimefrahishw sana na uzalendo wke wa sanaa ktk taifa letu na support nzma katka pande zote kazi za kisanaa kwa hakika yeye ni mfano wa kuigwa hongera DIAMOND PLUTNUMZ GOD bless
Role model Diamond Platnumz...Peace Makers will see GOD 🦁🦁🦁
Mashaallah, hongera kwenu brothers mikwaruzano ni kawaida, sisi tunasubiri umbambamba gulf tumengoja sana
Nimefurahi kwa kuelewana kwao from Kenya
Ongera sana Diamond kwa kuwasuluhisha hao wasanii, Mungu atakujaza kheri zake
SAMOFI KARUDI TENA KWA MCHAWI😂😂
Nimejifunza kitu kikubwa sana!!Ni kweli ulkua na haki ya unachodai ila mdomo usipoutunza maneno utakudhariri!!Hongereni kuwa pamoja mimi nawapenda sana
🤣🤣🤣😂😅😂😂🤩
Asante sana Diamond
Alhamdulilah napenda mkielewana
Nakubari sana samofi, kweli kila pacha ana pacha wake
Masha allha mungu akubari sanna Diamond
Hapo wasaf panajoto Kali Sana namuona Duwe na meneja wamkojan makwapa yamelowa
Mashaallah Mkojani n'a Samofa mmeonyesha jambo lizuri la busara
Jamani mm niliumizwa sana na ugomvi wenu kwakuw mmepatan jambo la kheri mungu awape maisha marefu
❤❤❤
Nmependa kuskia Ivo from malaba Kenya
Yes hapo poa kazi iendelee
Nimeipenda hiyo ❤❤❤
😅😅😅Hapo Sawa simba LA masimba dangote 🦁 🦁 ❤ ❤ umetisha Sana kaka
Wanaume bwana yaaani hawakaagi na kitu.❤️❤️❤️❤️
Vizuri sana. Nawa fuatilia kutoka France
Diamond Namba one
Mkojani ni mtuu safii sio msemaji na ana uruma sana nime muelew mkojani mtuu safii xana mungu am bariki mkonojani
Kabisa Allaah awape husnulkhatwima
Lakini huyo meneja Ana roho mbaya hatari
pow kbsa iyo :
Diamond 😂😂 mashaallah mungu amzidishiye ❤❤❤❤❤
The guy is dope....
Kiswahili bwana kidhungu taabu
🙏🙏🙏🙏 Mond baba Lao sm 1 nisheria
sema mnajua kuitengeneza kiki wazee
Umeona kama nilivyoona.Usanii tu huu
Aseee!!! 😂😂😂 ela ni tamu bhnaaa
Nakulewa sna samofi pambambana ndugu mm Mkojani simuelewi kabisa
Mkojani unapoteza watu wa umuhimu chumvi nyingi Yuko wapi nafuatilia sana lakini kwa Sasa mabwende chumvi nyingi wako wapi unapoteza mvuto wa filamu Sasa hivi
Hakuna ugomvi Kati ya hawa wawili... Movie tu hii ya kupeleka kipindi wcb
Safiii mondiii
Unajua kiukweli Dk Chen nimuungwana sana na diamond ninoma nanusu
Nice
Kaka mkojani 👍👍
Hawatokuwa sawa kama dhamani maana tayali kuna donda ambalo litakuwa linatoneshwa hata na mistake ndogo tu
🔥🔥🔥
Hawa walikua kwenye ugaigai tu Ulikua haujaisha Ila kwasasa Bado unaendelea
😅😅😅😅😅 diamond mashaallah boss Diamond ❤❤
Mungu amjarie modi
Nipewe like za kutosha wakwanz mie
Hatutaki😂😂😂😂
Izo like zetu unapekeleka wapi
like unazipeleka wapi kenge wewe?
acha ushamba 😏
😅
🤝
Niulize tu mkojan na Tin white kilitokea nn mbn hatuwaon pamoja
Sanaa ni ngumu sana aise 🤣
Samofi ni mnaa sana anyway kikubwa Mungu kabless
Kinoma yaani 😂
Aaaaaah kumbe upuuuzi wa diamond ndio ulikua unalisumbua taifa nilitaka nishangae samofi aondoke kwa mkpjan atakula wapi kiki wasafi mna phd
Kiki ya WASAFI
Hatariii.
Hamna cha ugomvi hapo hio yote ni deal ya Diamond mnyamaa .
Kachukua kijiji...
😂😂😂😂
Kiki tu
Ndo wnaume tulivyo, hpo ingekua wnawke ngom ingekua mbichi
Mkojani kama ana wasiwasi vile 🤔🤔
Lakini pia mimi natumaini mkojani awalipa wasanii wake jameni, kwa sababu pia wewe mkojani ume jenga kipaji, upato na umaarufu kutoka kwa wengine wadogo 🇹🇿🇹🇿!!
Naomba like za kushiba wa kwanza me
Safi sana pendaneniii
Maisha haya yanatufunza tusiwe wenye kuzungumza saana kuna chochote kinaweza tokea mbele yetu kwa wale tunao wasema saana
Umbambamba live iyo studio
Safi saana
Unaonaje tukitekenya lingne likaenda ikulu? 😄😄 Utafungwa
Akili Zao wanazijua wenyewe wameamua kutuchekesha hapahapa
Mbona mnaanza kivaaa mitandio tena kwema
😂😂😂😂😂😂😂
Huyo samofi ni mnafiki sana
Kweli ata cheka yake
Naomba chumvi nyingi muongee nae arudi mnapendeza mkiwa kundi nzima tunafurahia kazi zenu
Nikisema kiki sijui ntakuwa nimepatia🙄
Noumaaa saàna 😂😁😄
🤣😂🤣😂🤣haya majamaa comedy sana
Ha ha ha... Huu mchongo jamaa wagaigai kweli sema wamepiga mchongo wa maana😂😂😂
Hii n mahusus Kwa kushusha Ngoma mmakonde isiwe trend sana hawaja gombana hawa
Umeona
Hngereni
Haya majamaa yananifundisha kitu
Huyo mondi ataongea nini watu wasicho kijua mwanzo aende akapatane na babake ana ilimu gani ya kupatanisha watu kwanza ajue kuishi na waze waze wake
Nilisema mie siyo kweli
Njaaa mbaya nyie 😂😂🙌🙌
😂😂😂😂
Hakukuwa na bifu ni kiki imetengenezwa tu
Kabisaa
Nimefurahi samofi kurudi kwa mchawi
Pore sana mkojani kwakuambowa mchawi
Kiki tu hii kitu imetengezwa Ili kuipeleka umbambamba wasafi
Excactly
Umbamba uendelee jamani tunawaomba sana tumemic
Ilikuwa kiki buanaaa
Samofi kiumbe mzito huyo Habebeki
Habebeki na chumvi nyingi katokaje ? Na ngoma nagwa katokaje? Hapo management ina tatizo mkojani akae vizuri na wenzie
Weka bwana ww umbambamba ndio Habari ya mjini
hahaha eti huu uchekeshaji hauitaji meneja hahahah tunachekesha wenyewe
Kik
Hiii Ndio Tanzania 🇹🇿😂😂
Afu nyie acheni utoto na msirudie tena huo ujinga wenu mpoje nyie lakin..
Mkojani Bado Ana Kinyongo😅
Mwaliiwata ubufi sana
Wap hamna kitu ni hype tu ya kutafuta series iruke wasafi…yan ugomv uishe hvi hivi tu simple
Ila samofi😂😂😂🙌
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyo jamaa samfoni sijui nani sio mtu poa he's not professional unafki umemjaa
Nomaaa sana 🤣🤣🤣🤣
Tatizo wameleta umbambamba mpka Kwa maisha yao😅
Kbisa n ugaigai🤣🤣🤣
KIKI ZAKISENGE
Ilikua Kiki this was a staged interview
Mwamba mweusi huyu ni mnafiki anachoongea na sura vinapishana ana fake smile
Huu mchongo akukua na bif
Hamna lolote huo ulikuwa ni mpango tu