S01E13 | FAHAMU NGAZI ( SCALE ) KATIKA KUPIGA KINANDA, KUIMBA NA KUSOMA MUZIKI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 43

  • @baptistifb7161
    @baptistifb7161 2 ปีที่แล้ว +3

    Mwalimu uko vizuri. Kazi nzuri. Nitawaleta wanangu kujifunza zaidi hasa practice ya piano

  • @eliudlucas5342
    @eliudlucas5342 2 ปีที่แล้ว +1

    Nakushukuru Mwalimu kwa somo zuri Sana, naomba unieleweshe hapo kwenye ngazi ya G ya juu yenye nusu tone,sijaielewa

  • @patriciandunge9777
    @patriciandunge9777 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mwalimu Yuko sawa kufunza walai..👍👍👍

  • @patriciandunge9777
    @patriciandunge9777 ปีที่แล้ว +1

    Mwalimu hapa nimeanza kuamka sasa..im following you slowly

  • @patriciandunge9777
    @patriciandunge9777 ปีที่แล้ว

    I'm falling in love with music ..mengi nayapata vizuri mwalimu...waaaoo

  • @StereoSingasinga
    @StereoSingasinga ปีที่แล้ว +1

    Safi sana

  • @DavidChaula
    @DavidChaula หลายเดือนก่อน

    🙏🙏nimeshukuru saaana kwa msaada

  • @reginaldhhayuma6907
    @reginaldhhayuma6907 2 ปีที่แล้ว +1

    Upo vizuri sana mwl

  • @suorgisellasuormaria357
    @suorgisellasuormaria357 11 หลายเดือนก่อน

    GRAZIE MILLE Maestro from Italy pamoja sana.

  • @willymwakasege8148
    @willymwakasege8148 2 ปีที่แล้ว +1

    wewe ni mwalimu mzuri Sana barikiwa sana

  • @gado207
    @gado207 ปีที่แล้ว

    Asante kwa somo zuri na kufundisha vizuri

  • @PeterBayyo-dn2qx
    @PeterBayyo-dn2qx 8 หลายเดือนก่อน

    Unapatikana wap na ada ya shule shi ngapi kaka mm nataka shule ya music 🎶

  • @OlivierKamigaston
    @OlivierKamigaston ปีที่แล้ว

    Hongera,mwalim

  • @IsaacKimtai-jj6sd
    @IsaacKimtai-jj6sd 7 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mwalimu

  • @newtonthomas1097
    @newtonthomas1097 7 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana,

  • @Marcelinomarce12
    @Marcelinomarce12 4 หลายเดือนก่อน

    Msaaada wa darasa la kwanza kabisa jaman nitaanzia wapi nimekuta shule imeenda sana sana

  • @stamstan5175
    @stamstan5175 3 ปีที่แล้ว +1

    Unaeleweka vzr

  • @denisolemagwi
    @denisolemagwi ปีที่แล้ว

    am happy with your lessons

  • @elitheservant8182
    @elitheservant8182 2 หลายเดือนก่อน

    nimekupata kuntu kabisa MWL

  • @patriciandunge9777
    @patriciandunge9777 ปีที่แล้ว

    Jambo zuri nafuatilia Sana hizo flats Sana ..kweli zinanipea stress kibao lakini nitacatchup Tu .asante

  • @Richstar251
    @Richstar251 หลายเดือนก่อน

    Teacher mm nakupata vp

  • @patriciandunge9777
    @patriciandunge9777 ปีที่แล้ว +1

    Hapo ndio nipo mwalimu..nakufuatilia

  • @bernadettemwongeli6182
    @bernadettemwongeli6182 2 ปีที่แล้ว

    Ni ngumu kiasi mwalimu

  • @maikokipangula6860
    @maikokipangula6860 2 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa

  • @virgmuli3322
    @virgmuli3322 2 ปีที่แล้ว +1

    How can one play piano using letters plz explain why CDE,GAB

  • @MasagaZakaria
    @MasagaZakaria 8 หลายเดือนก่อน

    Upo maeneo gn tz

  • @samwelsimbeye7555
    @samwelsimbeye7555 ปีที่แล้ว

    Hbr mkuu,samahn apo tetrecord ya G kwenye f # Bado kdg

  • @SylivesterIsos
    @SylivesterIsos ปีที่แล้ว

    Understood

  • @RubenBoniphace
    @RubenBoniphace ปีที่แล้ว

    🙏🙏

  • @philipomichael8955
    @philipomichael8955 ปีที่แล้ว

    Kinanda pia tusaidie mwalimu

  • @Moraa254-v4h
    @Moraa254-v4h ปีที่แล้ว

    Natamani mm kwanza kucheza keyboard

  • @PrscusVenance
    @PrscusVenance ปีที่แล้ว

    Arusha mnapatikana wap

  • @philipomichael8955
    @philipomichael8955 ปีที่แล้ว

    Mwalimu unajua

  • @ignasmaliselo1350
    @ignasmaliselo1350 2 ปีที่แล้ว

    mwalimu saluti kwako

  • @JailoMlawaWonderboy
    @JailoMlawaWonderboy 5 หลายเดือนก่อน

    nilikuwa cjui mziki kabsa lakn had now mesogsa kwa nafac kbwa in short m n mwanafanz wako

  • @patriciandunge9777
    @patriciandunge9777 ปีที่แล้ว

    Mwalimu yaani unanifanya nipende hili somo😅

  • @MistaToo
    @MistaToo 3 ปีที่แล้ว +1

    Mafunzo mema kaka

  • @zabronijoseph728
    @zabronijoseph728 2 ปีที่แล้ว

    Hapo kwenye D# haipandi IPO apoapo kwenye baa nyeupe mbele ya D# ni Eb

  • @abelygreen5398
    @abelygreen5398 2 ปีที่แล้ว

    samahani mwl. hiyo F shap 6 unazipataje, mbona hapo inaonekana moja??

  • @oscarkanyika5811
    @oscarkanyika5811 3 ปีที่แล้ว +1

    Endelea kutuelimisha hivyo hivyo hakuna haja ya kutafuta mwalimu mwingine

    • @newtonthomas1097
      @newtonthomas1097 7 หลายเดือนก่อน

      Kumsapoti ni muhimu, ili aweze kuendeleza harakati hizi

    • @newtonthomas1097
      @newtonthomas1097 7 หลายเดือนก่อน

      Hongera mwl

  • @suorgisellasuormaria357
    @suorgisellasuormaria357 ปีที่แล้ว +1

    Asssanteeeeeeee