UJASIRIAMALI NI NINI? - Richard Mabala

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 มี.ค. 2021
  • Ili tufahamishane kuhusu ujasiriamali ni lazima tuambiane ukweli kuwa sio rahisi na ni lazima kufanya kazi ili vitu vitokee. Na mjasiriamali ni mtu ambaye anakuwa mbeba maono kwa maana ndiye anayejua wapi chombo kinakwenda.
    .
    Karibu umsikilize Richard Mabala, mwalimu na mwandishi wa vitabu maarufu vya "Hawa The Bus Driver" na "Mabala The Farmer" akifafanua maana ya ujasiriamali na mjasiriamali ni nani anatakiwa kuwa na tabia zipi.
    .
    Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
    Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
    .
    Channel yangu yenye video fupifupi ( EZDEN SHOT CLIPS)
    Click hapa: / channel
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuacha mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE pia kwa wengine.
    .
    TUFUATE INSTAGRAM:
    SPN CHANNEL: / successpath_network
    EZDEN JUMANNE: / ezdenjumanne
    .
    BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
    EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
    WHATSAPP : (+255)759191076
    .
    TAZAMA ZAIDI KUTOKA KWETU:
    ⚫️ EZDEN JUMANNE: • EZDEN JUMANNE
    ⚫️ VITABU: • JE, TEKNOLOJIA INADUMA...
    ⚫️ VICTOR MWAMBENE: • TUMIA WATU KWA NJIA HI...
    ⚫️ HAMASA YA LEO: • SOMO LA MAISHA | Hamas...
    ⚫️ NDOA: • JIFUNZE MAMBO MANNE (4...
    ⚫️ AFYA: • Njia Salama za Kutoa S...
    #Mjasiriamali #Ujasiriamali #Biashara

ความคิดเห็น • 42

  • @salumsamesame1741
    @salumsamesame1741 3 ปีที่แล้ว +3

    Mara yangu ya kwanza kumuona huyu mzee na nimemkubali kinyamaaaaa🤝🤝🤝

  • @sylvesterjose3286
    @sylvesterjose3286 3 ปีที่แล้ว +2

    Kweli Mwl. Richard Mabala nimekumbuka maisha yetu hapo Kibosho Girls. Uzoefu umekuongezea hekima, umenivutia na nasaha zako.

  • @mrishomussa7826
    @mrishomussa7826 3 ปีที่แล้ว +2

    Kaka nakushuru sana umenitoa moja ya hatua katika kazi zako allah akujaalie kila lenye kheir ww na familia yako.

  • @ibrahimhemedi9079
    @ibrahimhemedi9079 2 ปีที่แล้ว +1

    This is inspiration and informative mzee wetu kweli kabisa

  • @mossesezekiel7862
    @mossesezekiel7862 2 ปีที่แล้ว

    Ahsante kwa mafunzo Mzee wangu nilikua napenda sana kitabu chako Cha Mabala the farmer na nimejifunza meng!!! Shukran sanaa Mzee wangu!!!

  • @omannew4380
    @omannew4380 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimefarah Leo kumuona Richard mabala

  • @ditrickfedrickkihombo3324
    @ditrickfedrickkihombo3324 3 ปีที่แล้ว

    10%-Inspiration,Motivation n.k
    90%-Perspiration
    Nimejifunza kitu cha kufanyia kazi Immediately

  • @joharishija3932
    @joharishija3932 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante nimepata mawazo mapya kutoka kwake

  • @allymalloko6915
    @allymalloko6915 3 ปีที่แล้ว +1

    Hakika ni zaidi ya somo nakupata sana

  • @charlesfaida1515
    @charlesfaida1515 3 ปีที่แล้ว

    Asante Sana Bro 💪 God bless you

  • @nrwawanndeny7394
    @nrwawanndeny7394 3 ปีที่แล้ว +1

    Eka mbee Mabala!

  • @cleopatraadolf6492
    @cleopatraadolf6492 3 ปีที่แล้ว +1

    Asantee nimefunguka kwa kias flani mzee

  • @HassanHassan-si2rt
    @HassanHassan-si2rt 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakupata bro ezden jumanne Nikiwa hapa ukonga magereza

  • @sabathamos3156
    @sabathamos3156 3 ปีที่แล้ว +1

    Nabadilika aise

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 ปีที่แล้ว

    HASANTE sana BABA japo ni Mzee lkn unatupa elimu mzuri sana shukran

  • @selenganyagawa1358
    @selenganyagawa1358 3 ปีที่แล้ว

    Ahsante kwa mtazamo huo, hamasa muhimu kabisa, najua sio Mimi tu kuyafurahia mawazo yako, nimepata kitu kwako ndugu.

  • @johariphilemon8630
    @johariphilemon8630 3 ปีที่แล้ว

    Asante Sana baba lazima tupambanie ndoto zetu

  • @f2abooksuppliers122
    @f2abooksuppliers122 2 ปีที่แล้ว

    Ulijiandaa bila kujijua kwa maana ungejijua ungekuwa bora zaidi yakutojijua.

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana hakika niujumbe muhimu

  • @rajabukulala6669
    @rajabukulala6669 3 ปีที่แล้ว +1

    Umekuja kurekebisha sehemu ambazo zilikuwa haziko sawa,

  • @khamisyasin3276
    @khamisyasin3276 3 ปีที่แล้ว +1

    Kweli kabisa nimeelewa

  • @salumsamesame1741
    @salumsamesame1741 3 ปีที่แล้ว

    Smart

  • @AmerdaKavishe-pu3cf
    @AmerdaKavishe-pu3cf 2 หลายเดือนก่อน

    Emeni

  • @issackngasa953
    @issackngasa953 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakumbuka uliwahi kuja shuleni kwetu kipindi nikiwa sekondari sikuamini kama ndo ww mwandishi wa vitabu

  • @amirirajabu4209
    @amirirajabu4209 3 ปีที่แล้ว

    Nimejifunza

  • @zemgotanar5264
    @zemgotanar5264 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimecherewa kumfaham mzee wangu rakin bg mtakusikiriza sana kwani nakuerewa vizuri sana

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  3 ปีที่แล้ว

      hujachelewa, anza sasa... ni wakati sahihi kabisa

  • @barutiabuu9492
    @barutiabuu9492 2 ปีที่แล้ว

    Kweli mqalimu wetu

  • @yassirmohammed5067
    @yassirmohammed5067 3 ปีที่แล้ว +1

    🤓RISHARD MABALA

  • @namandamzuma5478
    @namandamzuma5478 3 ปีที่แล้ว +1

    When you feel Backache , drink a little Mtama. Ahahaaaa
    'Mabala The Farmer' Ahahaaaaaa

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 ปีที่แล้ว

    DARASA HURU
    HONGERA SANA KWA KUTUPATIA ELIMU HII

  • @salumsamesame1741
    @salumsamesame1741 3 ปีที่แล้ว +1

    Nampiga alale saa zangu za kazi😂😂😂

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 3 ปีที่แล้ว

    Asant nimejfunza mengi

  • @gerardamos5689
    @gerardamos5689 3 ปีที่แล้ว

    Thanks alot bro! Nmejifunza vingi sana

  • @jamesgasper6611
    @jamesgasper6611 3 ปีที่แล้ว +1

    🤲🤲🤲🤲🤲👉👍👏

  • @Master_antidote_official
    @Master_antidote_official 3 ปีที่แล้ว +1

    Dream joker tunned

  • @nicksonmadenge8246
    @nicksonmadenge8246 3 ปีที่แล้ว +1

    Nmejifunza kitu kaka

  • @rajabukulala6669
    @rajabukulala6669 3 ปีที่แล้ว +3

    Ivi huyu Kabala ndio ninayemjua mimi ?
    yule wa the farmer?

    • @jacobmsigwa383
      @jacobmsigwa383 3 ปีที่แล้ว

      Huyu ni Mabala, angalia clip nyingine ya dakika za awali kwa siku hii, ameeleza historia yake.

    • @pastorymushy416
      @pastorymushy416 3 ปีที่แล้ว

      Ndiio mwenywe uyo

    • @namandamzuma5478
      @namandamzuma5478 3 ปีที่แล้ว +1

      Ahahaaaaa