PART 2 ANAEIDAI TRA: 'MUISRAEL' HUYO, ASHTUKIA KUUAWA KWA SUMU, BENK ANA MAMILIONI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 358

  • @frankomary6455
    @frankomary6455 4 ปีที่แล้ว +74

    Anaehisi kwamba uyu ndg yetu tunzwe uenda anaundugu na brother k agonge like.

    • @maryammaram2612
      @maryammaram2612 4 ปีที่แล้ว

      Haaaahaa

    • @faridamahamy3600
      @faridamahamy3600 4 ปีที่แล้ว

      Haswaaaaa

    • @ashuuuaisha9122
      @ashuuuaisha9122 4 ปีที่แล้ว +2

      Nahisi kuwa wanatoka wote sehemu moja. Kigoma

    • @innocentmchome4460
      @innocentmchome4460 4 ปีที่แล้ว

      Exactly hujamaa anakumbukumbu atar alafu anakitaji chakuwa na uvumilivu

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 5 หลายเดือนก่อน

      ndio​@@innocentmchome4460ndio huyu jamaa ni mkigoma

  • @omoondigerald6593
    @omoondigerald6593 4 ปีที่แล้ว +12

    This guy is brilliant..I have been following him..He deserves some place in TRA though without papers in curbing down such evils #sorry boss

  • @ashamwandu3781
    @ashamwandu3781 4 ปีที่แล้ว +4

    Allah mwingi wa Rehma,Allah mjuzi atakusaidia kwavile jasho ka MTU halipotei hata kama miaka dahari ataipata inshallah endekea kuwa jasili na mungu akulinde,kila mwenye kutaka kukufanyia kibaya basi Allah amdharirishe na amteketeze inshallah Aamin

  • @sellah4603
    @sellah4603 4 ปีที่แล้ว +41

    Kama unakubali #Father Ramadhan anaipata aki yake gonga like. Na tuseme neno la #Ya_Allah_Mnusuri ndugu yetu Ramadhani Kwa uweoz wako apate aki yake🙏

  • @husenimohamed2241
    @husenimohamed2241 4 ปีที่แล้ว +12

    Watu kama hawa wanafaa kuongoza nchi wanauchungu na taifa pia niwazalendo piga keleleeee kwa john............👏👏👏

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 4 ปีที่แล้ว +5

    Jamani dunia ni mapito! Dhuluma mbaya!! Laiti km mwenyezi mungu
    Hatudhihirishie mabaya yetu tungekimbiana!! Tumuogope mwenyezi mungu!!

  • @mankialema6490
    @mankialema6490 4 ปีที่แล้ว +12

    Zidisha maombi yako kwa Mungu, Kila Jambo utakalofanya mungu akulinde ndugu yangu
    Kesi hii sio ya kitoto

  • @jaspisliving5347
    @jaspisliving5347 4 ปีที่แล้ว +54

    Kama na wew unafatilia story hii saa sita uck kama mm tujuane kwa like inaskitsha saana

    • @issasaidi1812
      @issasaidi1812 4 ปีที่แล้ว

      Sehemu ya tatu

    • @janetmhina3280
      @janetmhina3280 4 ปีที่แล้ว

      boston

    • @mozasaid3869
      @mozasaid3869 4 ปีที่แล้ว

      Yaani !! Kuna watu dhuluma!! Mwenyezi mungu anawaona!

  • @Cherriechina
    @Cherriechina 4 ปีที่แล้ว +9

    This man he’s too smart and clever chaiii🤗🤗

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 4 ปีที่แล้ว +14

    Kama Brother K,vile. Naam salaam na malalamiko yako yamfikie Mh.Raisi Dr. John Pombe Magufuli 🇹🇿 maana "Mavuno ni mengi lakini Watenda Kazi ni Wachache" Ee Mungu msaidie mlipa Kodi huyu mzalendo na wengineo wenye kadhia Kama ya ndugu yetu huyu.

  • @neemakawogo7153
    @neemakawogo7153 4 ปีที่แล้ว +6

    Mzee anaakili balaaa daaaah Mungu akutetee upate haki yako

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 4 ปีที่แล้ว

      Huyu mzee nna wasiwasi hata kufeli kwake alibadilishiwa matokeo

  • @user-wr6lc3jz6g
    @user-wr6lc3jz6g 4 ปีที่แล้ว +8

    Mwendelezo wala inasikitisha pole baba mungu akutie wepes kwahayo unayopitia😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 ปีที่แล้ว +8

    Allah akusimamie Upate haki Yako Ramadhan,Muendelezo Plz naomba.

  • @peterkailembo4101
    @peterkailembo4101 4 ปีที่แล้ว +12

    Magu anawasoma hapo TRA muda siyo mrefu mtasikia watu wanatumbuliwa, afu mseme Magu dikiteta kwa uzembe wenu

  • @husnahassan6289
    @husnahassan6289 4 ปีที่แล้ว +5

    Asante sana Ayo naendelea kuifatilia na nimeipenda sana hii habari namuitaji au kumuomba uncle Ramadhani anishike mkono na mie kibiashara ili nifike mbali Asante sana Millardayo

    • @msifunimuyava710
      @msifunimuyava710 4 ปีที่แล้ว

      Unakaribishwa ofisini kwetu

    • @husnahassan6289
      @husnahassan6289 4 ปีที่แล้ว +1

      Msifuni Muyava wapi hapo ndugu yangu na hapo office ndio anapatika baba Ramadhani

    • @msifunimuyava710
      @msifunimuyava710 4 ปีที่แล้ว +1

      0755376373 ndipo anapopatikana

    • @husnahassan6289
      @husnahassan6289 4 ปีที่แล้ว +1

      Msifuni Muyava asante sana ndugu na hii ndio number yake?

    • @msifunimuyava710
      @msifunimuyava710 4 ปีที่แล้ว +1

      Ndio

  • @angeljasson4376
    @angeljasson4376 4 ปีที่แล้ว +9

    Mungu akulinde zidi ya wabaya wako

  • @shabaazbikorwa2580
    @shabaazbikorwa2580 4 ปีที่แล้ว +16

    Waache kukusumbua mzee wetu "mnyonge mnyongeni lakini chake mpeni" Magu naamini anafuatilia kwa karibu ayo Mahojiano tusubiri utumbuaji

    • @lipymuscat4779
      @lipymuscat4779 4 ปีที่แล้ว

      kweli haiendelei..wafanyabiashara wanapata tabu..wa TRA wanaenjoi tifa diamond hotel

  • @husnahassan6289
    @husnahassan6289 4 ปีที่แล้ว +4

    Mungu anatenda miujiza Mungu ni mkuu siku zote utafanikiwa baba haki ya mtu haipotei bure

  • @newrace5544
    @newrace5544 4 ปีที่แล้ว +1

    GENIUS, natural ability, SUPER MAN,MJUBA, Muisrael Yote majina yako ayo mzee unaakili sana yaani unafaa uandae simulizi heshimaa yako mzee, ila pigana upate chako one day kila kitu kitakua ok

  • @ashamwandu6572
    @ashamwandu6572 3 ปีที่แล้ว +1

    Iposiku tu jasho lako utalipata, Allah akufanyie wepesi inshallah, dhuruma mbaya Sana mtakula usaa .watanzania wanamuombea mno huyu baba apewe chake.

  • @wisperfect1960
    @wisperfect1960 4 ปีที่แล้ว +16

    Komaa muha haki yako ipatikane wajifunze kutaka rushwa maana wamezidi hao uonevu tu ndio maana nchi yetu haiendelei

  • @silasokode3728
    @silasokode3728 4 ปีที่แล้ว +10

    Daaa mh magufuli kwann usimsaidie huyu Raia wako jamani

  • @mahersaid258
    @mahersaid258 4 ปีที่แล้ว +4

    Mungu atakufanyia wepes insha allah🙏🙏

    • @aikamosha5644
      @aikamosha5644 4 ปีที่แล้ว +1

      Ee Mungu ulieumba mbingu na nchii mtetezi wawanadamu msaidie mzee huyu apate haki yake.

  • @rosemkuka4780
    @rosemkuka4780 4 ปีที่แล้ว +2

    Tulokuwa tukisubili part 2 gonga like twende kazi💃💃💃💃

  • @asiaboki8625
    @asiaboki8625 4 ปีที่แล้ว +17

    M. Mungu atasimama na wewe na haki yako utaipata Insha allah

    • @aishadaba7045
      @aishadaba7045 4 ปีที่แล้ว

      Insha Allah Wata'Alla

    • @hindumaganga8667
      @hindumaganga8667 4 ปีที่แล้ว

      ALLAH ATAKUPIGANIA HAKI YA MTU HAIPOTEI

  • @shubebunyesi542
    @shubebunyesi542 4 ปีที่แล้ว +5

    Ebanaeee dingirai ni zaidi ya wasomi wengi wa vyuo vikuu mana ana IQ kubwa sana Allah akufanyie wepesi jambo lako liishe kwa kheri mana unapambana na party of gaverment sio kazi ndogo mana wana tabia ya kulindana hao

    • @csato9415
      @csato9415 4 ปีที่แล้ว

      @Shube Bunyesi hicho kilichopo manake hata mkuu wa mkoa anapigiwa hapokei, anatumiwa sms hajibu....hapo kuna sintofahamu.

  • @aboudjuma523
    @aboudjuma523 4 ปีที่แล้ว +11

    Oyaa. Ayo mtafute tupate mwendelezo....japokua anapambania haki ake,lakin anajua kuhadithia..asahau ni point kwa point..mungu atamsimamia

  • @peterchainz9713
    @peterchainz9713 4 ปีที่แล้ว +8

    Jamaa Anawadai TRA, Mimi Sijala Mpaka Muda Huu. #Hatufanani

  • @stevebupamba5009
    @stevebupamba5009 4 ปีที่แล้ว

    absolutely genius!!! " angesomea sheria ilikuwa bravooo sana. Mzee anaongea facts sana. Ndio maana kabarikiwa mali, hapendi kuchuma wala kupanda rushwa. Big up Ntunzwe mjenga hoja# Genius

  • @mjige9088
    @mjige9088 4 ปีที่แล้ว +9

    Magu - tibua hawo wote wa TRA wa eneo hiyo pamoja na baadhi wa ofisa wa polisi kwa jumla iwe mfano kwa waizi hawa kwenye TRA kwani imekuwa chombo ya kujitajirisha ya wafanyakazi wa TRA na chombo ya kufilisi wa Tanzania

  • @minjacsd1874
    @minjacsd1874 4 ปีที่แล้ว +23

    Genius sio jini Mzee una degree ya mtaani ndio nguzo Kuu kuliko master au Phd ya makaratasi umewakalisha wasomi wote waliokuwa wanapata hesabu zote class ila hesabu ya mzigo wako wameshinda kupiga hesabu

  • @magrethsanga942
    @magrethsanga942 4 ปีที่แล้ว +1

    Mzee Rudi kwa Magufuri plz au kwa wazir mkuu upate msaada wako Mungu atakusaidia baba

  • @arushamix6036
    @arushamix6036 4 ปีที่แล้ว +46

    Jamaa anataja milioni mia nane kama mimi ninavyotaja elfu tano.

  • @veronikasangawe2259
    @veronikasangawe2259 4 ปีที่แล้ว +10

    Duuuuu jamani inauma Sana tunaomba part 4 tuone hao maafisa wote was T R A wanaachia ngazi na bwana ramadhani anapokea haki yake

    • @Aysha-ms3ln
      @Aysha-ms3ln 4 ปีที่แล้ว

      Mi naisubiri kwa ham

  • @musokedios8162
    @musokedios8162 4 ปีที่แล้ว +14

    Wanasemaga mateso yakizidi ujue wokovu umekaribia, haki yako itachelewa sana kaka lakini haitazuiliwa, Mungu mwenye enzi yote yupo nawewe,

  • @oyay2821
    @oyay2821 4 ปีที่แล้ว +3

    Kwani huyo Magu hajapata hii habari mpaka sasa?

  • @sofiatarimo1789
    @sofiatarimo1789 4 ปีที่แล้ว +4

    Mungu ni mwema haki utaipata

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee ungejua ungetoa tu hiyo rushwa au u-bargain uwalipe 1 m. Haya yooooooote yasingetokea na pengine usingekatisha uhai wako mwenyewe kwa kujipiga risasi.

  • @georgenkanawa7156
    @georgenkanawa7156 4 ปีที่แล้ว +7

    Daah nilizan ntakua wakwanz kumbe wa2 mko active kuliko#Siombaya niko 40 bora🔥

  • @seifmohamed836
    @seifmohamed836 4 ปีที่แล้ว +11

    nahakika wewe unaakili kama mziraili manake felia wa darasa la saba unawashinda wasomi walio na madgree na phd na masters hahahaaha hawamjuwi magu atawatumbuwa wote nakuaa jela hao

  • @georgenkanawa7156
    @georgenkanawa7156 4 ปีที่แล้ว +7

    Millard ayo fanyen chap m2tumie Prt3

  • @pendomushi6351
    @pendomushi6351 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akuongoze vyema upate haki yako ila kwa kipaji mungu alichokupa ni noma ! Hukosei hata point moja!

  • @giftmbogela2435
    @giftmbogela2435 4 ปีที่แล้ว +2

    Yani huyu baba anatakiwa awe kiongozi ana confidence ya hali ya juu na uelew mkubwa na mawazo ya mbali sana 🙌🏻🙌🏻

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 4 ปีที่แล้ว +5

    Hii story inasisimua kwa kweli yote hii ni kwa sababu ya mtu kudai haki yake

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 ปีที่แล้ว

    Brilliant 💪

  • @doramkolo1745
    @doramkolo1745 4 ปีที่แล้ว +6

    Jamaa ana akili balaa....yani anakumbuka hadi majina ya mtu yote matatu....na hela hadi nzima nzima anazitaja kama hajasoma sehemu

  • @ntalikimkama7317
    @ntalikimkama7317 3 ปีที่แล้ว

    Hafu watu ambao wamezoea vya bure huwa wasumbufu kweli wanapenda vya bure hayajui watu tunahangaikaje mpaka kufikia hatua ya zur vikwazo vyote kwako daaah pole sana

  • @allybaraghashi3570
    @allybaraghashi3570 4 ปีที่แล้ว +1

    God bless you inshaAllah

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo4177 4 ปีที่แล้ว

    Maafisa hawa wachache hawawezi chafua kazi nzuri unayofanywa na serikali ya tano chini ya Rais wetu JPM na Waziri wetu mkuu Kassim Kassim..

    • @godwinegacharo9001
      @godwinegacharo9001 4 ปีที่แล้ว

      Serikali nzima imejaa rushwa, trion 1.5 ziko wapi? Report ya prof.Assad

  • @menalikechildren8836
    @menalikechildren8836 4 ปีที่แล้ว +1

    Mzee walipishe mpaka kiwembe awo, mafala sana TRA

  • @mwamvitasaidi757
    @mwamvitasaidi757 4 ปีที่แล้ว +4

    Mungu atakusimamia inshallah na haki yako itapatikana kwa uwezo wa Allah

  • @monicanyange454
    @monicanyange454 4 ปีที่แล้ว +19

    Millard ayo, please tunaomba kama story iko full muweke vipande vyote, tunaweza sahau kufwatilia tena, huu mfumo sio mzuri

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 4 ปีที่แล้ว +1

    Hii nchi ni ngumu sana kuiongoza. Watu waliongozwa kwa mda mrefu bila ya nidhamu. Kulikuwa hakuna mahali pa kupeleka malalamiko yao. Wafanya kazi wa TRA walikuwa ndiyo wenye serikali wakikusajya kodi na kuweka mifukoni mwao. Mtindo huu walizowea kwa mda mrefu, ndiyo maana kwa serikali ya Rais MAGUFULI wengi bado wanapigana nayo kichini chini. Rais MAGUFULI ana kazi kubwa sana. Kupigana na Hawa watu waliozowea kuchitajirisha kwa kodi za Watanzania. Sio watu wengi wana nguvu za kupigana na hawa wahalifu kama alivyopigana huyu jamaa, wengi wangekata tamaa.

  • @sudyslaa8278
    @sudyslaa8278 4 ปีที่แล้ว +1

    Dah hivi vitu vya msingi sana kujifunza hapo lazima kuna rushwa inafanyika kwa maofisa wa T.R.A ILA leo nimeamini kufeli shule sio kufeli maisha mzee anaelezea full mkanda bila makosa. genious

  • @assleeali2302
    @assleeali2302 4 ปีที่แล้ว +2

    Huyu jamaa ni hodari sana anakumbukumbu ya hali ya juu kichwani mwake.mm ningemuomba muheshimiwa raisi wetu magufuli.alitolee maamuzi maana hao watendaji wake wote sio watu wazuri kwa huyo mfanya biashara.

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 4 ปีที่แล้ว +1

    Part 3 millard ayo please 👏👏👏

  • @faridmnyamike556
    @faridmnyamike556 5 หลายเดือนก่อน

    Ramadhani Hamisi Ntunzwe - Allahuma Ghifirllahu Warahmahu Waskanhu Filjanna

  • @sarahangel9814
    @sarahangel9814 4 ปีที่แล้ว +27

    Yan huyu baba ana akili nyingi sana aiseee

  • @neemapeter809
    @neemapeter809 4 ปีที่แล้ว +2

    Naomba ajira mzee ww una mkwanja sana 😁😁😁

  • @amanimyolo1478
    @amanimyolo1478 5 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezimungu mkubwa

  • @mariamsaidi7625
    @mariamsaidi7625 4 ปีที่แล้ว

    Unaakili sana baba mungu atakupigia sana baba

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 4 ปีที่แล้ว +10

    Duuh,muha anaongea kama anasoma risara ubongo wa.kutosha inaonekana!!

    • @fatumamkupala576
      @fatumamkupala576 4 ปีที่แล้ว +1

      Ee mungu uonnae haya anayotendewa baba huyu nakusii simama mwenyewe umtetee pia muondolee vizuizi vilivyombele yake I'll haki yake ipatikane

    • @lipymuscat4779
      @lipymuscat4779 4 ปีที่แล้ว

      yasni muha hana tofaut na magufuli

  • @simonloi9438
    @simonloi9438 ปีที่แล้ว

    Ramadhani Mungu akulitente

  • @paulinasemindu3999
    @paulinasemindu3999 4 ปีที่แล้ว

    walijua utakufa,au utachanganyikiwa kwa upotevu wa,mali zako ili usiwadai kweli haki ya,mtu haiend bure mungu.mwema jmn😭👏

  • @SalimAlGhazi-nz2fo
    @SalimAlGhazi-nz2fo 5 หลายเดือนก่อน

    Ft

  • @arafatharoub3134
    @arafatharoub3134 4 ปีที่แล้ว +17

    Wenzangu tuoneshe ushaur wa kumwambia atoe sadaka kwa sana kwa ku like ktk comment hi kwani km una dini vizur utafaham sadaka inamfany vp mtu ktk mali yake

    • @mamavero4004
      @mamavero4004 4 ปีที่แล้ว

      Pole sana kaka angu mwee yaani TRA watakuja kuuwa watu na presha

    • @alicedavido1330
      @alicedavido1330 4 ปีที่แล้ว +1

      Anafuturisha kila Ramadhani,hyo nisadaka kubwa mnoo

    • @abdallahdataguy
      @abdallahdataguy 4 ปีที่แล้ว

      Mitihani hii anayoipata ya kutaka kudhulumiwa huyu bwana huenda inatokana na uovu wa kuchukua mikopo ya riba anayoifanya

    • @lamekisimoni2809
      @lamekisimoni2809 4 ปีที่แล้ว

      @@mamavero4004 sio wataua wanaua

  • @venstonvedasto
    @venstonvedasto 4 ปีที่แล้ว +4

    Sasa maslay queen wamekuona utaskia "oh baby muislaeri wa kariakoo" naomba kazi🤣🤣🤣🤣

  • @lucasbartazari7797
    @lucasbartazari7797 4 ปีที่แล้ว

    Tatizo la TRA ni elimu ndogo. Tunaweza kudhani kwamba kusoma kodi tu inatosha. Hapana! TRA Ni injini ya mapato, haikustahili kuwa na watu waliokusanya vyeti vya hapa na pale. Hawana 'thinking'. Hawajawahi kujenga hoja za maana. TRA ni wizi na ufisadi tu.

  • @salharunguma4210
    @salharunguma4210 4 ปีที่แล้ว +15

    Nakwel unaakili kama waiziraelo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila anko unajua sana kujielezea yan unaakili kuliko kawaida ww ni g niaz👏👏👏👏

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 4 ปีที่แล้ว +1

      genius and bright yaani Allah amsimamie wacje wakamzuru kwa kudai haki yake

    • @salharunguma4210
      @salharunguma4210 4 ปีที่แล้ว

      @@zuleikhakhamis3303 amiin

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 4 ปีที่แล้ว

    Kibongo bongo sidhani kama kunakulipwa hela mungu akusmamie baba.... Lkn Kwann makonda hakutaka kukupa ushirikiano kuna kitu hapo

  • @jaydenbenson6615
    @jaydenbenson6615 4 ปีที่แล้ว +1

    TRA ni Wezi na Wapokeaji wakubwa wa Rushwa. Takukuru ilipaswa kuwa karibu na hawa watu. Tukisema ukweli mnatupoteza. Ila Polisi, Tra, Mahakama ndio sehemu zinazoongozwa kwa Rushwa.

  • @dowhatyourepassionateoftra1668
    @dowhatyourepassionateoftra1668 4 ปีที่แล้ว +2

    Waha wako vizuri ndo wamejaa tabora boys vipaji. Na hakuna muha anayerudia ama kufeli shule. Wanapiga kazi bila kuchoka.kumbuka hata mjerumani alitumia manamba tokea kigoma huko tanga kwa mashamba yake ya mikonge. Waha wako Poa sana.angalia siasa,usanii na dini wapo vizuri na wameshika hatamu . huwa muha hayumbishwi wanajua ubishi na kujielezea wapo Poa sana

    • @meruostern948
      @meruostern948 4 ปีที่แล้ว +1

      nakubaliana na wew!...tuna mwlm wetu chuo flan...n mfupi afu muhaa ana misimamo yake yey pekeakeee hata akipingwa na walimu wenzie woteee hayumbishwi hata kdogo yan!

  • @madeintanzania2995
    @madeintanzania2995 4 ปีที่แล้ว +2

    Viongoz wa nchi wapo wanacheki hi movie, ngoja tuone litaishaje...

  • @jacksonjoseph6148
    @jacksonjoseph6148 4 ปีที่แล้ว +3

    Duu jamaa anajua kuweka kumbukumbu kichwan utazan kompyuta hasahau hata neno moja

  • @dersat_edge7620
    @dersat_edge7620 4 ปีที่แล้ว +2

    Big story and big seance

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 5 หลายเดือนก่อน

    R.I.P RAMADHAN HAMIS NTUNZWE NDUGU YANGU KABISA JAMANI UMESIKIA KIFO CHA KAKA YAKO NA WEWE UMEMFATA KIFO NI FUMBO KUBWA SANA

  • @taifafitina6547
    @taifafitina6547 4 ปีที่แล้ว

    Tz inauchafu huo yan mm mama mwenye nyumba kudai elfu thelasn tu ananichukulia barua kw mwenyekiti anitimue serikari inadaiwa na mha mmoja inamzungusha hvyo balaa hilo

  • @judithisaya6582
    @judithisaya6582 4 ปีที่แล้ว

    Duh Pole Sana kaka watu hawana huruma kabsaaa

  • @naomisanga6980
    @naomisanga6980 ปีที่แล้ว

    Pole baba umepitia magumu kwa Kweli mbwa hizi zinataka kutufilisi zina Vaa suti za wafanya biashara na kulea family zao halafu bado Wanatusumbua imeja raana tupu Tra hakuna tofauti mwizi au mchawi😏😏

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 4 ปีที่แล้ว

    Mwenyez Mungu akutangurie😥🙏

  • @julianacostantine6682
    @julianacostantine6682 4 ปีที่แล้ว +1

    Dah pole Sana kaka angu kwa yote yaliyokupatà,aisee ila wewe ni geneus

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 5 หลายเดือนก่อน

    Full genius

  • @victormushi6641
    @victormushi6641 4 ปีที่แล้ว +10

    TRA JIANGALIENI VIZURI HUYU MZEE ANAJUA ANACHODAI ATAWAHARIBIA?

    • @mahersaid258
      @mahersaid258 4 ปีที่แล้ว

      Kwaiyo yy halivy halibiwa umelizik eee.?

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 4 ปีที่แล้ว

      Una ujamaa nao TRA itakua ata wakitumbuliwa na watumbuliwe wamezoea kuwaibia wanyonge na kula rushwa wacha Raisi asome nyakati ili atoe maamuzi kwa wataenda dhambi kwa raia wanyonge

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 4 ปีที่แล้ว

      Una ujamaa nao TRA itakua ata wakitumbuliwa na watumbuliwe wamezoea kuwaibia wanyonge na kula rushwa wacha Raisi asome nyakati ili atoe maamuzi kwa wataenda dhambi kwa raia wanyonge

  • @fintanmkesha9515
    @fintanmkesha9515 4 ปีที่แล้ว

    Muha mpambanaji....big up sana

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 ปีที่แล้ว

    Huwezi miliki Zaid ya mil 300 alafu ukawa zuzu , ila wana Bahati saaana Hao alitakiwa atafute wakili mzuri alafu aww charge Zaidi ya Bilioni 300

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu ปีที่แล้ว

    nilicho gundua ni kwamba viongozi wa juu siku zote Huwa Hawana shida tatizo lipo chini huku Kwa watumishi wadogo wadogo pole sana RAMADHAN

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu7168 ปีที่แล้ว

    uzalendo mwingi mara nyengine haufai, wanaukwambia usitoe rushwa ndio wala rushwa. Ungetoa million mbili ungesave billion nzima na usumbufu usio wa lazima. Hili ni funzo kwa wengine kuwa bila Rushwa hakuna mafanikio

  • @mary.matullu8279
    @mary.matullu8279 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana kwa matatizo.
    Ina maana huyu manager anawatukana waTanzania kuwa hatuna akili?
    Kwa hiyo waTanzania ndio wa kudhulimiwa 🙄.

  • @deboramrema2861
    @deboramrema2861 4 ปีที่แล้ว

    Duuu big up sana mzee una akili sana Mungu azidi kukupigania

  • @edgarfelix536
    @edgarfelix536 4 ปีที่แล้ว +1

    Kweli nimeamini mkuki kwa nguruwe ni mchungu,wakati nadai chenu mna zunguka na maspika barabarani Sasa Leo limewageukia mnarukaruka Kama bisi😆😆😆😆,uzuri Ni kuwa hii awamu ya tano haina figisu pambana mzee hakiyako utapata baba Alisha sema upewe utapewa tu.

  • @tangaoldtv1067
    @tangaoldtv1067 4 ปีที่แล้ว +4

    Jamani kwani kuna kizuungu ukiti gani hapo mbona anarushwa rushwa sana wakati suala lipo kwa uongozi mkubwa maafisa t.r.a walio zulumu hawalali wakikesha kuroga na kuomba

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 4 ปีที่แล้ว

      mkigoma harogekui huyu na ana nguvu ya mungu na hofu ya mungu watatumbuliwa tuu

    • @tangaoldtv1067
      @tangaoldtv1067 4 ปีที่แล้ว

      @@zuleikhakhamis3303 wanamzulumu bana

  • @NasoroHusein
    @NasoroHusein 5 หลายเดือนก่อน

    Isitorisyantunzee😂❤

  • @simbomart6186
    @simbomart6186 3 ปีที่แล้ว

    Haujaenda takukuru..

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 4 ปีที่แล้ว

    Ila binadamu wabaya sana!
    Mungu atakupigania!

  • @saloomidd1084
    @saloomidd1084 4 ปีที่แล้ว

    Dah aisee huyu jamaa ni kichwa sana,ana IQ kubwa watu wenye Phd wameachwa mbali mno

  • @manasejames8404
    @manasejames8404 4 ปีที่แล้ว

    Brother k part too nakubal sana jinsi unavyo ongea kwa ujasiri

  • @abdallahdataguy
    @abdallahdataguy 4 ปีที่แล้ว

    Namshauri huyu ndugu yangu aachane na mikopo ya riba anayoichukua benki huenda Allah anamrudisha nyuma kupitia TRA kwa sasababu hiyo

    • @ashamwandu3781
      @ashamwandu3781 4 ปีที่แล้ว +1

      Wewe unakwepo anapokopa?wivi unakusumbua kaa na umasikini wako mjinga mkubwa.

    • @abdallahdataguy
      @abdallahdataguy 4 ปีที่แล้ว

      @@ashamwandu3781 vipi waniongelea kwa ukali na ubaya? Kwani hujamsikiliza muhusika mbona kasema mwenyewe alikuwa na mkopo access bank? Nakushauri kuacha tabia ya kusoma vichwa vya habari na kuanza ku comment.

  • @pashcompomongo3347
    @pashcompomongo3347 4 ปีที่แล้ว

    Mungu yupo haki yako utaipata ingawa kwakuchelewa

  • @janethkimaro3410
    @janethkimaro3410 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akutetee ili wakuu wa nchi hii waweze kutoa tamko la kupatikana kwa haki yako na waliotenda waathibiwe vikali

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 4 ปีที่แล้ว +1

    Umeongea maneno mazur mha Mungu akutendee haki🙏