KIMENUKA! DUDU BAYA ATOA ONYO KALI KWA CHID BENZI AFICHUA CHANZO CHA KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA NILI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 87

  • @abelmwakipesile9868
    @abelmwakipesile9868 7 หลายเดือนก่อน +18

    Waandish wa habari,mtafuteni konki anajua vitu ving sana kuhusiana na wasanii na mziki wa Tanzania Kwa ujumla

    • @AlFarsiy-er8xy
      @AlFarsiy-er8xy 3 หลายเดือนก่อน

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @EmmanuelMwanza-ef9bf
    @EmmanuelMwanza-ef9bf 7 หลายเดือนก่อน +7

    Yani tanzania ukiwa msema ukweli unachikiwa na watu wengi sana sijui kwanini

  • @MushiEliapenda
    @MushiEliapenda 7 หลายเดือนก่อน +2

    Dudu ...nakushauri andiika kitabu ...uelimishe watu...kweli watu wore Wana roho mbaya Sana wivu umetawala...watu hawajitimi kwenye KAZI starehe Zimetawala.

  • @abelmwakipesile9868
    @abelmwakipesile9868 7 หลายเดือนก่อน +7

    Fact dudu,Mungu akusimamie unaongea vzuri.

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 7 หลายเดือนก่อน +7

    Kweri brother dudubaya
    Umeongea vzl umeongea vzl
    Kibrand zaidi unatufunza sana
    Wasanii wachanga

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone 7 หลายเดือนก่อน

      Dudu baya

    • @Extension4353
      @Extension4353 7 หลายเดือนก่อน

      Duh!!
      Baba wille kakonda mbaya aisee,,
      Ila ana madini hatari,,😢😢

  • @MeedyBakari
    @MeedyBakari 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka point tupu unaongea sema mmi nakuelewa sana

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 7 หลายเดือนก่อน +6

    Mzee Putin nakukubali sana hupindishi kitu

  • @FranklinMtei
    @FranklinMtei 7 หลายเดือนก่อน +4

    Dudubaya anaongea sauti mbili kwa mpigo. Ya pili na ya tatu. Zimwi mtu!😊

  • @dominickkisulo8017
    @dominickkisulo8017 7 หลายเดือนก่อน +2

    Daaah kweli asked🦾

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mama yetu Mh Rais Samia suluhu
    Tulete dudu BAYA aka konki masta
    awe msemaji wa wasanii wa mziki wa kizazi kipya Tz taifa litafika mbali

  • @fortuneakankizya5336
    @fortuneakankizya5336 7 หลายเดือนก่อน +2

    Dudu baya umeongea story iliyomkuta faza. Yaani duh

  • @OmegaJustine
    @OmegaJustine 6 หลายเดือนก่อน +1

    King Kiba Fanya kumchukua huyu Dudu Baya umweke hapo crown fm angalao awe na kipindi kwa wk mara moja kinachohusu maisha na wasanii au apewe kipindi chochote kile ktk tasnia ya music na Imani tutakuwa tunaweka alarm kwa ajili ya kusikiza kipindi chake

  • @husseinallysuleiman4657
    @husseinallysuleiman4657 7 หลายเดือนก่อน +2

    Braza dudu umezeeka kinyama nakupendu tu mimeno kama ngiri nakupenda tu ukitema mate yanadunda kitimtim haaaa huwwaa aluuu

  • @Beni-qn6gr
    @Beni-qn6gr 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kwel broo wengi wameumia kwa mtindi huo wa kugongeana Kijiji umeongea ukweli kabisa saluti

  • @ismailabas2447
    @ismailabas2447 2 หลายเดือนก่อน

    Oya mamba wanaokutafuta ili wakuzuru waondo anayotakiwa ...........

  • @controlTheoryChamps
    @controlTheoryChamps 8 วันที่ผ่านมา

    Dudubaya unaongea fact, lakini si kwamba ulaya au marekani huwa kuna baridi mwaka mzima. Na wanawake wengi sana wanavaa vichupi kipindi cha kiangazi

  • @damaka_
    @damaka_ 7 หลายเดือนก่อน +3

    bora uchelewe kupata ili uwe na akili za kutumia

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 7 หลายเดือนก่อน +2

    Putin wa bongo😂

  • @HUZZAMSUZNAKISIMBA
    @HUZZAMSUZNAKISIMBA 7 หลายเดือนก่อน +1

    HUYU JAMAA ANGE PEWA NAFASI BASATA AU COSOTA LICHA YA ALI ZINGUA KUWATAJA MAPUNGA

  • @mashokmapinda1707
    @mashokmapinda1707 หลายเดือนก่อน

    We mtangazaji sio Mtwala ni Mtwara

  • @Winfridankalupia-t8d
    @Winfridankalupia-t8d 7 หลายเดือนก่อน +3

    Nikweli kabisa 🤜🤛🏼👏👏👏👏

  • @TheConqueror__Yb
    @TheConqueror__Yb 7 หลายเดือนก่อน +2

    Dudubaya awe mchungaji.

  • @lazarolaurent8800
    @lazarolaurent8800 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huwa nakuelewa sana kaka mkubwa. Huwa napenda sana Interview zako kwa sababu huwa unaongea ukweli

  • @bbng9475
    @bbng9475 7 หลายเดือนก่อน +3

    Bbng band inakubali nikwili✌️🌹

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 6 หลายเดือนก่อน

    Dudu baya nakumbuka hata wewe ulikuwa unakula bangi mlipokuja same na Mac D kufanya show pale Same High school
    Mlipiga show mkatoka nje mkawa mnakula bangi 😂😂😂😂😂😂

  • @athumannassoro5073
    @athumannassoro5073 7 หลายเดือนก่อน +1

    Yuhu hata mimi namdunda sasaivi

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo sasa nani alimwingiza mwenzake kweny unga

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 7 หลายเดือนก่อน

    Konk upo vzr kichwan bg up

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 7 หลายเดือนก่อน +4

    wewe dudy baya huku ulaya tuna vipindi 4 vya majira. sisi huku ulaya kuanzia mwezi wa 5 mpaka wa 9 ni joto. kwahiyo bi joto sana kushinda Dar. kwahiyo tunavaa nusu uchi. kuna sehemu maalum karibu na bahari au ziwa watu wanatembea uchi kabisa kama walivyozoea. sisi huku summer ni joto sana.

    • @svt3
      @svt3 7 หลายเดือนก่อน +1

      @queen-qz9ep joto sio sababu ya kuvaa uchi acha kutetea tabia mbaya tumeishi Australia zaidi ya miaka 20 sasa na jua la australia inakaribia Qatar na Saudi Arabia kuna mara Australia juw ni kali kuliko popote dunia nzima ila sababu ya heshima hatuvai hata ki pensi cha kuonyesha mapaja na shall za matako narudia miaka 20 Australia ninyi labda hata bado mugeni wa miaka 5, 8 munajifanya it ulaya

  • @AmadeMbezy
    @AmadeMbezy 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nondo za kweri bg broo kanunue nyonga mwenyewe😅😅😅

  • @fortuneakankizya5336
    @fortuneakankizya5336 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweli unae ishi wakaribu aweza kua mbaya wako

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 7 หลายเดือนก่อน +1

    Biashara ya chupi dar ni ngumu😂😂

  • @giztony2009
    @giztony2009 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa anaongea point sana

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 6 หลายเดือนก่อน

    Bongo kuna mijutu wanajuwa kujaza ela za wizi tu kwenye mabank yao akuna jipwa kabisa

  • @mohamedswalehe4777
    @mohamedswalehe4777 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mkono wa kushoto kidole cha shahada dudu baya kimekuaje alipigwa na wahuni?

  • @oswaldacleofas2803
    @oswaldacleofas2803 7 หลายเดือนก่อน +2

    Fact konki anaongea

  • @francomwikwa2183
    @francomwikwa2183 7 หลายเดือนก่อน +1

    Putin wa bongo

  • @nelsonmaganya5391
    @nelsonmaganya5391 7 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙊namkubali Sana

  • @MwanjiNzala-mo5ni
    @MwanjiNzala-mo5ni 6 หลายเดือนก่อน

    Putin hahaha ujaoa ila ukiwa unarifresh akili bebe awe pemben

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mamba msema ukweli ❤❤❤

  • @ottomanmkoveke8342
    @ottomanmkoveke8342 7 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa ni hazina ya bongo fleva munao husika mtunzeni

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa binaadam cc wazuri machoni tuu

  • @justinollomy5861
    @justinollomy5861 7 หลายเดือนก่อน

    kipindi kileee walikulogaa nini mbonaa Sasaivii unaongeaa pointiii sanaaaa

  • @AliMunga-c8n
    @AliMunga-c8n 7 หลายเดือนก่อน +2

    Good fact

  • @nyembobea7285
    @nyembobea7285 7 หลายเดือนก่อน +1

    Umesema kweli mkuu

  • @weekendservicechoir
    @weekendservicechoir 7 หลายเดือนก่อน

    lafiki yako, Mtwala, Gali, Latiba... Mhhh kwa utamkaji huu bado unasafari ndefu sana kaka mtangazaji

  • @MirajiTraves
    @MirajiTraves 6 หลายเดือนก่อน

    Tu nataka muziki mzuri hatutaki majungu

  • @SenzilaGrayson
    @SenzilaGrayson 5 หลายเดือนก่อน

    Dudu baya anaongee madini sana

  • @brunoswai3559
    @brunoswai3559 6 หลายเดือนก่อน

    Kumbe jamaan Ana akili hiv

  • @JafariPilly-bc1tk
    @JafariPilly-bc1tk 7 หลายเดือนก่อน

    Kubwa kuliko anasema ukweli.

  • @michaeljames3480
    @michaeljames3480 23 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂

  • @maximusalnono6425
    @maximusalnono6425 7 หลายเดือนก่อน

    Nikiwa kama kijana niliepitia maisha ya kitaa namuunga mkono dudu ni kweli vijana wengi wamejikuta wakiingia kwenye madawa sababu ya kuchanganyiwa na wanaovuta nao rafki zangu wengi na wengine Mungu awasameh wameshatangulia mbele ya haqi waliingia kwenye madawa kwa njia iyo na naweza kusema ni asili mia kubwa sana wanaingia kwa kuchanganyiwa 🥲

    • @evanccast6228
      @evanccast6228 7 หลายเดือนก่อน

      Kweliii konki master umenyookaa ✅✅

  • @moriartys.192
    @moriartys.192 7 หลายเดือนก่อน

    Mtu wa point sana, akili kubwa

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 6 หลายเดือนก่อน

    Dudu baya anajua anajua tenaaaa

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 7 หลายเดือนก่อน

    Kombe la dunia Dubai......... Qatar bana ulimi mterezo😅😅😅😅

  • @rabaakondo-jr8px
    @rabaakondo-jr8px 7 หลายเดือนก่อน

    Mwezi amalizi tunamuaga

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 7 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂

  • @fredrickkakila9392
    @fredrickkakila9392 6 หลายเดือนก่อน

    mlugaluga😁😁😁😁

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 7 หลายเดือนก่อน +1

    ✌️👍👊.

  • @abdimakame7929
    @abdimakame7929 7 หลายเดือนก่อน +1

    👍

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 7 หลายเดือนก่อน

    Matako ya wanawake yanatembezwa kama vitumbua duh

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 7 หลายเดือนก่อน

    Putin wa bongo😂

  • @samyspesho1698
    @samyspesho1698 7 หลายเดือนก่อน +2

    Dah mbona kakonda sana mwamba

    • @Dr.zaidi4
      @Dr.zaidi4 7 หลายเดือนก่อน

      Saumu kali

    • @shaamemchauru1365
      @shaamemchauru1365 7 หลายเดือนก่อน

      ANA BALANCE BODY 😂😂😂

  • @fredrickkakila9392
    @fredrickkakila9392 6 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂

  • @Sifam634
    @Sifam634 6 หลายเดือนก่อน

    🙏

  • @PAULOWILLIAMJOSEPH
    @PAULOWILLIAMJOSEPH 7 หลายเดือนก่อน

    Konk

  • @cassianclovis8706
    @cassianclovis8706 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂 kupigwa miti, kutafunwa

  • @mohamedbajun2546
    @mohamedbajun2546 7 หลายเดือนก่อน

    Konki wewe nimkweli cn

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 7 หลายเดือนก่อน

    Konk master

  • @lizzybby2392
    @lizzybby2392 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂

  • @HamisiHassan-oy6xz
    @HamisiHassan-oy6xz 7 หลายเดือนก่อน

    Ukweli mtupu lkn kuhusu Dubai sio kweli dudu baya.

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 7 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa konki master