Dudu ...nakushauri andiika kitabu ...uelimishe watu...kweli watu wore Wana roho mbaya Sana wivu umetawala...watu hawajitimi kwenye KAZI starehe Zimetawala.
King Kiba Fanya kumchukua huyu Dudu Baya umweke hapo crown fm angalao awe na kipindi kwa wk mara moja kinachohusu maisha na wasanii au apewe kipindi chochote kile ktk tasnia ya music na Imani tutakuwa tunaweka alarm kwa ajili ya kusikiza kipindi chake
Dudu baya nakumbuka hata wewe ulikuwa unakula bangi mlipokuja same na Mac D kufanya show pale Same High school Mlipiga show mkatoka nje mkawa mnakula bangi 😂😂😂😂😂😂
wewe dudy baya huku ulaya tuna vipindi 4 vya majira. sisi huku ulaya kuanzia mwezi wa 5 mpaka wa 9 ni joto. kwahiyo bi joto sana kushinda Dar. kwahiyo tunavaa nusu uchi. kuna sehemu maalum karibu na bahari au ziwa watu wanatembea uchi kabisa kama walivyozoea. sisi huku summer ni joto sana.
@queen-qz9ep joto sio sababu ya kuvaa uchi acha kutetea tabia mbaya tumeishi Australia zaidi ya miaka 20 sasa na jua la australia inakaribia Qatar na Saudi Arabia kuna mara Australia juw ni kali kuliko popote dunia nzima ila sababu ya heshima hatuvai hata ki pensi cha kuonyesha mapaja na shall za matako narudia miaka 20 Australia ninyi labda hata bado mugeni wa miaka 5, 8 munajifanya it ulaya
Nikiwa kama kijana niliepitia maisha ya kitaa namuunga mkono dudu ni kweli vijana wengi wamejikuta wakiingia kwenye madawa sababu ya kuchanganyiwa na wanaovuta nao rafki zangu wengi na wengine Mungu awasameh wameshatangulia mbele ya haqi waliingia kwenye madawa kwa njia iyo na naweza kusema ni asili mia kubwa sana wanaingia kwa kuchanganyiwa 🥲
Waandish wa habari,mtafuteni konki anajua vitu ving sana kuhusiana na wasanii na mziki wa Tanzania Kwa ujumla
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Yani tanzania ukiwa msema ukweli unachikiwa na watu wengi sana sijui kwanini
Dudu ...nakushauri andiika kitabu ...uelimishe watu...kweli watu wore Wana roho mbaya Sana wivu umetawala...watu hawajitimi kwenye KAZI starehe Zimetawala.
Fact dudu,Mungu akusimamie unaongea vzuri.
Kweri brother dudubaya
Umeongea vzl umeongea vzl
Kibrand zaidi unatufunza sana
Wasanii wachanga
Dudu baya
Duh!!
Baba wille kakonda mbaya aisee,,
Ila ana madini hatari,,😢😢
Kaka point tupu unaongea sema mmi nakuelewa sana
Mzee Putin nakukubali sana hupindishi kitu
Dudubaya anaongea sauti mbili kwa mpigo. Ya pili na ya tatu. Zimwi mtu!😊
😂😂😂😂
Daaah kweli asked🦾
Mama yetu Mh Rais Samia suluhu
Tulete dudu BAYA aka konki masta
awe msemaji wa wasanii wa mziki wa kizazi kipya Tz taifa litafika mbali
Dudu baya umeongea story iliyomkuta faza. Yaani duh
King Kiba Fanya kumchukua huyu Dudu Baya umweke hapo crown fm angalao awe na kipindi kwa wk mara moja kinachohusu maisha na wasanii au apewe kipindi chochote kile ktk tasnia ya music na Imani tutakuwa tunaweka alarm kwa ajili ya kusikiza kipindi chake
Upo sahii
Braza dudu umezeeka kinyama nakupendu tu mimeno kama ngiri nakupenda tu ukitema mate yanadunda kitimtim haaaa huwwaa aluuu
Kwel broo wengi wameumia kwa mtindi huo wa kugongeana Kijiji umeongea ukweli kabisa saluti
Oya mamba wanaokutafuta ili wakuzuru waondo anayotakiwa ...........
Dudubaya unaongea fact, lakini si kwamba ulaya au marekani huwa kuna baridi mwaka mzima. Na wanawake wengi sana wanavaa vichupi kipindi cha kiangazi
bora uchelewe kupata ili uwe na akili za kutumia
😅😅😅
Putin wa bongo😂
HUYU JAMAA ANGE PEWA NAFASI BASATA AU COSOTA LICHA YA ALI ZINGUA KUWATAJA MAPUNGA
We mtangazaji sio Mtwala ni Mtwara
Nikweli kabisa 🤜🤛🏼👏👏👏👏
Dudubaya awe mchungaji.
Achunge nn😂😂
Huwa nakuelewa sana kaka mkubwa. Huwa napenda sana Interview zako kwa sababu huwa unaongea ukweli
Bbng band inakubali nikwili✌️🌹
Dudu baya nakumbuka hata wewe ulikuwa unakula bangi mlipokuja same na Mac D kufanya show pale Same High school
Mlipiga show mkatoka nje mkawa mnakula bangi 😂😂😂😂😂😂
Yuhu hata mimi namdunda sasaivi
Hapo sasa nani alimwingiza mwenzake kweny unga
Konk upo vzr kichwan bg up
wewe dudy baya huku ulaya tuna vipindi 4 vya majira. sisi huku ulaya kuanzia mwezi wa 5 mpaka wa 9 ni joto. kwahiyo bi joto sana kushinda Dar. kwahiyo tunavaa nusu uchi. kuna sehemu maalum karibu na bahari au ziwa watu wanatembea uchi kabisa kama walivyozoea. sisi huku summer ni joto sana.
@queen-qz9ep joto sio sababu ya kuvaa uchi acha kutetea tabia mbaya tumeishi Australia zaidi ya miaka 20 sasa na jua la australia inakaribia Qatar na Saudi Arabia kuna mara Australia juw ni kali kuliko popote dunia nzima ila sababu ya heshima hatuvai hata ki pensi cha kuonyesha mapaja na shall za matako narudia miaka 20 Australia ninyi labda hata bado mugeni wa miaka 5, 8 munajifanya it ulaya
Nondo za kweri bg broo kanunue nyonga mwenyewe😅😅😅
Ni kweli unae ishi wakaribu aweza kua mbaya wako
Biashara ya chupi dar ni ngumu😂😂
Huyu jamaa anaongea point sana
Bongo kuna mijutu wanajuwa kujaza ela za wizi tu kwenye mabank yao akuna jipwa kabisa
Mkono wa kushoto kidole cha shahada dudu baya kimekuaje alipigwa na wahuni?
Fact konki anaongea
Putin wa bongo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙊namkubali Sana
Putin hahaha ujaoa ila ukiwa unarifresh akili bebe awe pemben
Mamba msema ukweli ❤❤❤
😅😅😅😅😅
Huyu jamaa ni hazina ya bongo fleva munao husika mtunzeni
Kweli kabisa binaadam cc wazuri machoni tuu
kipindi kileee walikulogaa nini mbonaa Sasaivii unaongeaa pointiii sanaaaa
Good fact
Umesema kweli mkuu
lafiki yako, Mtwala, Gali, Latiba... Mhhh kwa utamkaji huu bado unasafari ndefu sana kaka mtangazaji
Nahisi alimaanisha uharabun😅
Tu nataka muziki mzuri hatutaki majungu
Dudu baya anaongee madini sana
Kumbe jamaan Ana akili hiv
Kubwa kuliko anasema ukweli.
😂😂😂
Nikiwa kama kijana niliepitia maisha ya kitaa namuunga mkono dudu ni kweli vijana wengi wamejikuta wakiingia kwenye madawa sababu ya kuchanganyiwa na wanaovuta nao rafki zangu wengi na wengine Mungu awasameh wameshatangulia mbele ya haqi waliingia kwenye madawa kwa njia iyo na naweza kusema ni asili mia kubwa sana wanaingia kwa kuchanganyiwa 🥲
Kweliii konki master umenyookaa ✅✅
Mtu wa point sana, akili kubwa
Dudu baya anajua anajua tenaaaa
Kombe la dunia Dubai......... Qatar bana ulimi mterezo😅😅😅😅
Mwezi amalizi tunamuaga
😂😂😂😂
mlugaluga😁😁😁😁
✌️👍👊.
👍
Matako ya wanawake yanatembezwa kama vitumbua duh
Vitumbua
Putin wa bongo😂
Dah mbona kakonda sana mwamba
Saumu kali
ANA BALANCE BODY 😂😂😂
😂😂😂😂
🙏
Konk
😂😂 kupigwa miti, kutafunwa
Sio poa kabisa 😂
Konki wewe nimkweli cn
Konk master
😂😂😂😂
Ukweli mtupu lkn kuhusu Dubai sio kweli dudu baya.
Kweli kabisa konki master