(Part :01) SITASAHAU MAISHA YA DAR ES SALAAM | SIMULIZI YA MAISHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 พ.ย. 2023
  • Pesa ni kitu ambacho kila mmoja anahangaika ili kuweza kuikamata.
    Wanafunzi wanakwenda shuleni ili waelimike na baadae waweze kuipata
    pesa kwa urahisi, Wafanyakazi wanakwenda kazini ili mwisho wa siku
    waweze kupata pesa, Wakulima wanakwenda shambani ili mwisho wa
    siku wavune na kujipatia pesa, na hata wale omba omba wa mtaani wanajitahidi ili waweze kujipatia pesa.
    Ukiwa na pesa unaweza kupata mahitaji ya kila namna. Ukiwa na pesa unaweza kupata chakula, ukiwa na pesa unaweza kupata sehemu ya kulala, na pia ukiwa na pesa unaweza kupata mavazi
  • เพลง

ความคิดเห็น • 13

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 8 หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤❤ asante kwa simulizi nzur❤❤

  • @rahmatyusuph6514
    @rahmatyusuph6514 8 หลายเดือนก่อน +4

    Mr handsome we love u 🌹🌹🌹

  • @user-sp9tq8mq6q
    @user-sp9tq8mq6q 8 หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤❤

  • @rahmahassan3527
    @rahmahassan3527 8 หลายเดือนก่อน +2

    Ilaa hii sauti yako jomno ❤❤❤

  • @simaecim3211
    @simaecim3211 8 หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤❤❤🎉🎉

  • @zulufinirasheedy1843
    @zulufinirasheedy1843 8 หลายเดือนก่อน +1

    Good job 😊😊😊

  • @Ibrahimlashirdzung
    @Ibrahimlashirdzung 8 หลายเดือนก่อน +2

    VIP part 3

  • @user-ls3ul1of9t
    @user-ls3ul1of9t 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kak tunakusikiliza hapa

  • @saadamohammed7431
    @saadamohammed7431 8 หลายเดือนก่อน +3

    Tnx mister alnai we love you ❤❤❤❤

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli kabisa 😢😢

  • @cimpayeriziki6680
    @cimpayeriziki6680 6 หลายเดือนก่อน +1

    Jasho lamunyoge ahalifi bure

  • @mariamhamisi598
    @mariamhamisi598 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mi ndo naanza saa hii