Jinsi ya Kupiga Solo Gitaa Mwanzo adi Mwinzo (Somo la Kwanza) part 1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • Kama wewe ndo umeamua kupiga Solo Guitar basi nakuletea mfululiza wa video za kukupeleka hatua kwa hatua kulielewa gitaa la solo adi unafikia hatua ya kupiga bendini au kanisani basi hakikisha una subscribe na kubonyeza kengele ili nikiachia video mpya ujulishwe,, kaa mkao wa kula

ความคิดเห็น • 70

  • @doctorisaac4581
    @doctorisaac4581 2 ปีที่แล้ว +1

    Maana Kuna jamaa Moja fundi wa gitaa sana alimfundisha rafiki angu Yona josephat

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  2 ปีที่แล้ว

      Aaah Safi sana

  • @davidndolo3105
    @davidndolo3105 2 ปีที่แล้ว +1

    Cool brother

  • @wizblown9423
    @wizblown9423 2 ปีที่แล้ว +1

    Nashukur kwa kunielekeza. Naomba somo jingize

  • @purechuse
    @purechuse ปีที่แล้ว +1

    kk ubarikiwe uwe na moyo wa kugawa iyo zawad uliyopewa na mungu

  • @BarakaMakoga
    @BarakaMakoga 2 หลายเดือนก่อน

    Ubalikiw xan

  • @kagimumicheal810
    @kagimumicheal810 2 ปีที่แล้ว +2

    Unafanya vizur bro MUNGU akubariki

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  2 ปีที่แล้ว

      Asante na wewe pia

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 ปีที่แล้ว +1

    Big up

  • @lukasndunguru9614
    @lukasndunguru9614 ปีที่แล้ว +1

    Habari kaka.

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  11 หลายเดือนก่อน

      Safi

  • @geroldpilly8923
    @geroldpilly8923 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka. Nmarayakwanza leo ktazama. Napenda Sana. Naomba nitumie nambayako. Kwaajr yakkupata zaid

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  2 ปีที่แล้ว

      +27658918501

  • @Airboy-star
    @Airboy-star 5 หลายเดือนก่อน +1

    Done ✅

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  4 หลายเดือนก่อน

      🔥

  • @karisgaitho1972
    @karisgaitho1972 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana na penda your speed easy for a beginner to follow and understand .

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  11 หลายเดือนก่อน +1

      Barikiwa

  • @fabianbaraka8553
    @fabianbaraka8553 ปีที่แล้ว +1

    Asante sanaa!!!

  • @kagimumicheal810
    @kagimumicheal810 2 ปีที่แล้ว +1

    Nauliza sol ni sh.ngap za kitanzania

  • @Tricksdesign
    @Tricksdesign 3 ปีที่แล้ว +1

    Good Job, Mob Love from 254.

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  3 ปีที่แล้ว

      Asante sans ndugu leo naachia pat 2 na3

  • @doctorisaac4581
    @doctorisaac4581 2 ปีที่แล้ว +1

    Oy habar ndugu, samahani we eliphas wa mtisi SINGIDA et

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  2 ปีที่แล้ว

      Hapana ndugu labda umenifananisha

  • @samuel5676
    @samuel5676 2 ปีที่แล้ว +1

    Naomba unifunze I love you wa ryvanny

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  2 ปีที่แล้ว

      Sawa ngoja niusikilize

  • @mwendapartoo4010
    @mwendapartoo4010 3 หลายเดือนก่อน

    Asanta Kwa mimi

  • @DanielBilombele-pt9jj
    @DanielBilombele-pt9jj 5 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  4 หลายเดือนก่อน

      ❤️❤️❤️❤️

  • @HeriYadu-t2z
    @HeriYadu-t2z 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi napenda kupiga guitar nilikuwa naomba unifundishe

  • @LGSMEDIA-yh9wo
    @LGSMEDIA-yh9wo 7 หลายเดือนก่อน +1

    Gd

  • @josephlazaro253
    @josephlazaro253 29 วันที่ผ่านมา

    Kaka ni nashukuru Sana bro. Naona nafunguka Sasa kumbe nilikuwa sifuati scale, flate nilikuwa sijui, namna yakuesabu nyuzi, kuhesabu vidole na namna ya kushika petramu pamoja na upigaji.

  • @fredrickmsomba4123
    @fredrickmsomba4123 2 ปีที่แล้ว +1

    Epic

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  2 ปีที่แล้ว

      Asante ndugu

  • @Emathe-v5h
    @Emathe-v5h 11 หลายเดือนก่อน +1

    Napenda mafunzo yako bro

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  11 หลายเดือนก่อน

      Asante Ubarikiwe

  • @DanielMore-t8t
    @DanielMore-t8t หลายเดือนก่อน

    Kaka ndo nimeanza leo kukufuatilia naitwa Daniel ,

  • @godloveangelo2129
    @godloveangelo2129 2 ปีที่แล้ว

    Solo brand nzr tuu kama hiyo Yako yaweza kuwa bro gani?

  • @DecodageDcdg-lj7kx
    @DecodageDcdg-lj7kx ปีที่แล้ว +1

    Nifundishe gisi nyimbo ya mungu wetu Wa ajabu

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  11 หลายเดือนก่อน

      Nitumie link yake

  • @lukasndunguru9614
    @lukasndunguru9614 ปีที่แล้ว +1

    Naomba uanze zero asie elewa. Kabisa iwe raisi kuelewa

  • @emmanueldamian
    @emmanueldamian ปีที่แล้ว +1

    Jina la bwana libarikiwe

  • @silverytesha6788
    @silverytesha6788 3 ปีที่แล้ว +2

    Bro hongera kwa kazi nzuri naomba ujitahidi kuongeza sauti ya kifaa chako cha kurekodia ili usikike vyema. Mengine ni mema sana binafsi nimekua mnufaika wa videos zako

  • @Emathe-v5h
    @Emathe-v5h 11 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka nashukuru kwa mafunzo yako,ningependa nipate no, yako kwa ajili kujifunza zaidi 17:36 nao

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  11 หลายเดือนก่อน

      +27658918501

    • @godenNgyoku
      @godenNgyoku 4 หลายเดือนก่อน

      Safi sana

  • @lukasndunguru9614
    @lukasndunguru9614 ปีที่แล้ว +2

    Naomba uanze na key c na pia naomba Kila key unaitungia kawimbo ili iwe rahisi Kuifanyia maxorzo hiyo key .

  • @DAVIDMARTIN-ou6br
    @DAVIDMARTIN-ou6br 2 ปีที่แล้ว +1

    unapatikana wap kaka

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  2 ปีที่แล้ว

      Niko south africa +27658918501

  • @kyalokinyanzui9925
    @kyalokinyanzui9925 3 ปีที่แล้ว +1

    Thanks a lot. Nafuata masomo yako kwa makini nikiwa Nairobi Kenya

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  3 ปีที่แล้ว +1

      Nashukuru ndugu kesho naachia part 2 na 3

  • @josephlazaro253
    @josephlazaro253 29 วันที่ผ่านมา

    Msaada wa Namba bro please

  • @EricSyengo
    @EricSyengo 9 หลายเดือนก่อน +1

    Na ukitumia iyo formula ya cdefgabc inamaanisha kila note inaanza apo ie- kama ni "a " dore yake inaanza apo au?

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  4 หลายเดือนก่อน

      Ndio

  • @annaelly9722
    @annaelly9722 3 ปีที่แล้ว

    kwa sasa tuta elewa sabb tunaanz hatua ya kwanz na kuendelea

  • @SheyoproMc
    @SheyoproMc ปีที่แล้ว +1

    Naomba namba ako mkuu

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  11 หลายเดือนก่อน

      Samahani kwakuchelewa +2568918501

  • @winnerboaz6925
    @winnerboaz6925 2 ปีที่แล้ว +1

    Brother mi nainjoy unavyo fundisha nilikua naomba ufundishe mzunguko wa Kodi zote mfano Key C yaana kodo zote zilizo kwe key C

  • @charleske1129
    @charleske1129 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mafunzo mazuri kaka sasa gani ndio 1415

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  11 หลายเดือนก่อน

      Ndani ya scale au kila kii kuna kodi 7 ,,zote zinamajina ila huwa tunaziita kwa namba zake. Kuna ,kodi ya .1,2,3,4,5,6,7,,1 Tena au 8 kwa hiyo 1415 ni kodi ya kwanza kisha ya 4 kisha unstudied kwenye moja kisha kodi ya tano

  • @binamumwazembe571
    @binamumwazembe571 3 ปีที่แล้ว +1

    Kaka binafsi natamani kuwa mpigaji mzuri naomba usiache kutufaa katika majifunzo haya ili nasi tusonge mbele
    Natamani kupata namba yako ili nikiwa na shida binafsi kuhusu mziki niwe na wanna mkubwa kutatua changamoto nitakazokutana nazo

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  3 ปีที่แล้ว +1

      Asante ndugu hii hapa +27658918501 ntaendelea

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  3 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/6ZGAdvBIhDs/w-d-xo.html check video mpya ya mwendelezo

  • @annaelly9722
    @annaelly9722 3 ปีที่แล้ว

    hiyo ni nzur kuelew hatua kwa hatua ni mtililiko mzur

  • @erastoerastonailisdodomamallya
    @erastoerastonailisdodomamallya 7 หลายเดือนก่อน +1

    kaka ntaanza kukufuatilia mpaka na mimi nijue gita

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  4 หลายเดือนก่อน

      Teemed kazi