VIDEO: SERIKALI KUUFUMUA MFUMO WA AJIRA, WAZIRI SIMBACHAWENE AFAFANUA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 29

  • @Hasnspop
    @Hasnspop ปีที่แล้ว +3

    Simba chawene ni chuma mzee wangu hongera ana mdogo wake anaeitwa Charles wa kibada wanabusara sana kwao simba chawene oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee samia oyeeeeeeeeeeeeeee

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ ปีที่แล้ว +1

    Hongera Mheshimiwa, ni hatua lakini naamini tutafika, wekeni utaratibu Mkuu wa Taasisi atakae ajiri watu wa Ukanda mmoja awajibishwe

  • @thepresenttruthlastdayeven3605
    @thepresenttruthlastdayeven3605 ปีที่แล้ว +1

    Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hiyo iko vizuri saaaaaaana

  • @yassinuddi
    @yassinuddi ปีที่แล้ว +1

    Is very very smart

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 3 หลายเดือนก่อน

    Hamuna watumishi ni waganga njaa walimu wanauza uji mandazi ni vituko Kila mtumishi myaka miwili tajili

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 3 หลายเดือนก่อน

    Wajiliwe Kwa mkataba

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 3 หลายเดือนก่อน

    Uliza watendaji nafasi hizo ni za wenye viti wa chama tu

  • @AbdulJabbar-hc2wd
    @AbdulJabbar-hc2wd ปีที่แล้ว

    Huyu jamaaa zaaa mtoto nilio tokea kumpenda kuliko nchi nzima ya Tanzania na Zanzibar. "Na we inataka ??" Kuhusu ajira...pesa ipo mtandaoni Tena ana lipa mzungu. MNA pitwa na wakati...Kama mnachelewa..

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 ปีที่แล้ว

    UYU BABA AMECHANGANYIKIWA AISEEE WAAALIMU CHUO KIMOJA SIO CHINI YA ELFU 7 UNIVERSITY OF DAR ES SALAAAM

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 ปีที่แล้ว +3

    th-cam.com/video/ZgfBwGAJlrQ/w-d-xo.html
    MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE , UGONJWA WA KANSA,
    th-cam.com/video/ZgfBwGAJlrQ/w-d-xo.html

  • @rashidingole1588
    @rashidingole1588 ปีที่แล้ว +1

    Fact

  • @cliffshayo5883
    @cliffshayo5883 ปีที่แล้ว

    On point

  • @jumamuhd620
    @jumamuhd620 ปีที่แล้ว

    Maan mukiajiri wote hao waliomaliza hawatotosha

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 ปีที่แล้ว +1

    Hajui hata kukadiria wahitimu wa vyuo ujue hawajui wanacho fanya , udom peke yake tu sio chini ya wanafunzi 10000 wanahitimu , acheni kubahatisha nyie ni viongozi lazima mjue vitu in details

  • @joachimjoseph239
    @joachimjoseph239 ปีที่แล้ว +1

    Njoon msome udakatar wa meno na kinywa

  • @brunonsungwe8389
    @brunonsungwe8389 ปีที่แล้ว

    Yes chuma hicho

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 ปีที่แล้ว

    Solution hapo ni Katiba Mpya itakayofumua haya makandokando yote kwa sababu hatutakuwa na Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya,Ma Race ambao wanawapa ndugu zao hizi nafasi na ajira zitatoka ndani ya Jimbo husika na watu wa maeneo hayo ndiyo wataajiriwa.
    Kwahiyo mtapiga kelele kwa mfumo huu tulionao tunatwanga maji kwenye kinu,mnadanganya raia lakini mtaendelea kuajiri ndugu zenu

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi ปีที่แล้ว

      Katiba mpya ni Muhimu sana, lakini katiba haiendi kutibu hicho ulichosema hapo mkuu🤗

  • @adkajisi4536
    @adkajisi4536 ปีที่แล้ว

    Tupandishe vigezo vya kusomea ualimu wawe wanaenda wachache hasa kwa upande wa masomo ya sanaa. Ila sayansi bado Tatizo hata waliopo tukiwapa ajira wote bado Tatizo ila nashangaa eti nao ajira Tatizo.

  • @festoobadia7364
    @festoobadia7364 ปีที่แล้ว

    Yes jamaa anaeleweka na alichokisema n ukweli mtupu binafsi Sina pingamizi

  • @jumamuhd620
    @jumamuhd620 ปีที่แล้ว

    Kwni izo shule zote zinawalimu wakutosha au hamutaki kuajiri tu.

  • @rehemageorge9506
    @rehemageorge9506 ปีที่แล้ว

    Acheni undugu nization fuateni ushauri

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 ปีที่แล้ว

    No planning,

  • @paschalurassa6648
    @paschalurassa6648 ปีที่แล้ว

    Sawa lakini tuambie uhitaji wa waalimu ni ngap? jazeni nafasi halafu ndio uzungumze hichi unachos3ma...na nyinyi ndio mlifanya wanafunzi wengi kwenda huko kwa priorities mlizokuwa mnatoa kwny ualimu so ni kosa lenu sio kosa la wahitimu viongozi mnakosa maono na ukikosa hichi kitu uongozi utakushinda lazima

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 ปีที่แล้ว

    Mfumo wa ajira urekebishwe.Wakati wa JPM waliomaliza hawakuajiriwa ,wako tu mitaani,hakuna anayewajali.Wazo langu.Watu waajiriwe kwa mikataba ya miaka miwili miwili .Wapishe wengine .

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 ปีที่แล้ว +2

    th-cam.com/video/ZgfBwGAJlrQ/w-d-xo.html
    MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE , UGONJWA WA KANSA,
    th-cam.com/video/ZgfBwGAJlrQ/w-d-xo.html