Hii kali Mkuu wa Shule ayakoroga mbele ya Rc Mwanri,"Utupishe,AFisa Elimu we ndio utakaimu "
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ส.ค. 2019
- #CgOnlineTv #RcMwanri #AsimamishwaKazi
Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amemsimamisha kazi mkuu wa shule kwa ubadhilifu kwa kile kilicho bainika kukosekana kwa mbao za ujenzi wa mabweni katika shule yake.
na kumkaimisha Afisa Elimu wa Wilaya ya Sikonge
Mbao zinaondoka ,mbao zinarudi .kama umeckia hiyo like
Hahaha
Leo naona Mkuu anaongea kama amechoka vile. Ila moto ni ule ule!!!!
Daaaah kweli wewe ni. Kiongozi bola huonei mtu wala kuhukumu kama wengine unatenda haki kabisa kama kuna sehemu unatereza Mungu akuongoze
Huyu MZEE napenda sana anavyo Fanya kazi Mungu amlinde aampe afya ya kulitumikia taifa..
muheshimiwa raisi Dr john pombe magufuri tunamuomba aje huku dar na sisi tunamtaka huyo jamaa tumampenda sana
Muhammad kabisa aje bongo tabora hakumfai
huyu mzee wetu tunampenda sana natamani hata aje awe raisi.wa.Zanzibar uku
Huyu akiwa rais baada ya Magu itakiwa balaa tena maana anaoneka kuwa RC bora zaidi kuliko wote hata kuliko mawaziri
Sumaid Gasto jamàaa apewe urais maana ni shida
Kama umeckia "nachota kikundi kizima" gonga like
Zile mbao zilikwenda wapi?
Jbu; mheshimiwa zile mbao ziluchukuliwa,,, 😂😂😂😂😂 wanyoosheeeeee, #livelongMWANRI
Physical observation, mkuu unaonekana unaumwa.
ussikhamis ussi umeona eee
i observed that! but still at work...love the dude
mkuu uko sawa sana kazi nzuri 🇰🇪🇰🇪
Mh kazi nzuri sana zidisha maombi wanakuroga sana ! Kila wakisikia anakuja Mwanri malaria inapanda inashuka
Angekuwa mkuu wamkoa darlesaalam tungefurahii kweli angewanyooshaa emungu mpehuyuu jamaa maisha marefu
Mh. Magufuli tuletee mkuu huyu Dar es Salaam. Tutafurahi na majimbo yote tutayarudisha nyumbani kulikonoga.
Wananchi wa Tabora huyu Mwanri atawasaidia sana.
Kinachonifurahisha katika utendaji wa Mh.Mwanri,haingizi siasa kama wengine,ambao wao utendaji wao,umejikita kwenye kiki na kwa wapinzani badala ya kujikita kwenye usimamizi wa maendeleo
fact
🤝
Kula tano mtu wangu !
Nelson Jonathan 👊
😁😁😁Dah. Chota tu kikundi kizima mzee. Wanapasua kichwa hao watu. Maagizo yako dunia nzima tuliyasikia na tumeyafuatilia. Sasa hao wanatutibua tu. Neno Bongo hatari muno bazee.Alaaa,
Dsm,Tbr na Irng kumekucha!mikoa mingine hatusikiii chochote utafikiri watendaji ni malaika wkt si kweli!!
Malaika wenyewe wakipita sehemunkesho utasikia story🤣🤣🤣
Jacob Makono simiyu ni mkoa mpya lakin iko mbele kwa maendeleo
Mkuu very fair. Mungu akubariki
nakukubali sana mwananiri salute 🙋🙋
Hao wote nikuchota na kuwapiga bangilia na kufyekelea mbali
nakuombea kwa mungu uje kuwa kiongozi wa taifa upewe uwaziri wowote wizara yoyote unaweza sana kusimamia lasirimali za nchi.
Tunaomba awamu ingine agombee urais kweli anafaa
Nampenda sana jamaa huyu huwaga hamuonei mtu kiukweli
Huyu Mkuu ma'Injinia walimfanya nini jamaniiiiii?
Hahaha Anaejisikia Vibaya Shauri yake
Basaga
Basaga huyu hata akikupa nyumba yake usimamie au ujenge akya nani your have to be careful
@@michaelbigvai1199 Hataari Fayaaaa
mainjinia wanjifanya wao wanjua zaidi huku wanatuibia
nachotaa kikundii kizimaa
MUNGU akubaliki sana
Safi sana kama itafanyika hivyo kwao pia
Ili wakati ntakapokuja kufumua kikundi chote hicho,nachota chote kizima.
safi mkuu
Yuko vizuri
mkuu wa shure , hafai anaweka ujanja tumbua mzee wetu.
Nakupenda bure mh
namkubali sana ....huyu jamaa
Nimecheka sana, huyu jamaa anafaa urais.
Mkuu upo vzur walete hzo mbao wasikutanie
Clip zenu ni low quality kuwen kama millard ayo
Anafaa kuwa rc dzm
🙏🏼🙏🏼🙏🏼
nachota wote, Sawa baba
Hahahaha noma sana
unastaili kuwa waziri wa mambo ya usalama tz kuna mauwaji mengi na vibaka idadi yao kubwa
Benjamin Fataki vu
Take charge
😆😆😆 nachota kikundi chote
zimeondoka hazipo😎😎😎
Hmm Dada kakaushia hajui asemeje
Yuko sawa kabisa ila hajatoa macho
Kuna mzee katoka anacheka sana
D.O unakaimu hapa 😂😂
Wanachi wenzang hubu nijuzen ukiondoa Dar,Iringa, Tabora
..hii mikoa mingine hakuna wakuu wa mikoa ama .....kama vip fyekelea mbal hawan faida yeyote pumbav.....hapa kaz tu ...
Kazi ipo
Nachota wote🤣🤣 probe in🤣🤣 umeskia mkuu wa wilayaa... 🤣🤣 Sikonge sikongee
Punguza speed mzee utajiletea tatzo naona ulivyo choka leo hali si hali
we ndo umechoka Pole
Hahahahaaaa sukuma ndan wote wanakula Mali za serikali
Sukuma ndani
Utakumbukwa tabora mwanri
Aaaaaaaaaaaaaaaa mm napita
Huyu mkuu wa mkoa kiboko
Mimi nachota wote😂
Huyu Mzee ana balaa
Ukijisikia vibaya shaul yak
Nitakapokuja kufuumua. 😁😁
Kufumua kikund chote
Mafua yame mzingua kidogo ndomaana ka poa
Mtanyooka tu
Mmmmmmhhhh nishidaaaaa mwanri punguza ukali mtu anaweza kuwa sahihi Ila anashindwa kujieleza maana anakuwa hajiamini
Kumbe mbao 180 unaweza kuziweka mfukoni kama pesa na hatimae ukaziingiza kimya kimya,
Hiii ndiyo utendaji unatakiwa xaxa cyo kuigiza igiza tu hongera mkuu wangu mkoa rais ujakosea kabisa very good
Huyu jamaa babukubwa