Anko jay unajua sana kusimulia sana, ila ninaomba unapoanz simulizi au unapomalizia simulizi uwe unatujuza km ni ya kweli au ni ya kubuni, , piah naomba uwe unasimulia simulizi zinazohusu maisha sana sana, , maana simulizi za mapenzi zimejaa sana
Daaah ila marafiki wengine ni zaidi ya vichomi nazidi kujifunza my bro j ubarikiwe kwa kz nzur unayoifanya kiukweli unaielimisha jamii na burudani km zoteee❤❤❤❤❤
Nilikuwa naisubili hapa mara naingia namuona BINTI CARA 🤣🤣🤣🤣tunatega hayo masikio ili tujuwe ili tujifunze kitu kutoka kwa BINTI CARA ankojay tunainjoi tuu🥰🥰
😂😂😂❤❤😅😊aiseee simuzi ni tamu sana mwanzo na furahi je mwisho ni nitavunjika mavu, hongera sana anko Jay kwa kazi nzuri sana ubarikiwe sana na twakupenda sana
Kipi cha ajabu kwani wewe humpendi anko Jay si yeye ni mume, na mimi na wewe ni wake na twampenda bure kishabiki ubaya uko wapi nikimwita mume wetu kipenzi anko Jay mapesa mr Bondi
Part 02 Bonyeza Hapa 👇 th-cam.com/video/6MY3qzvF2pw/w-d-xo.html
Tumemaliza kitambo 😂😂😊
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼 okay Anko
Wengine wetu tushamaliza tunasubiri part 2.
Jamani Ankojay eti maliza haraka nilete
part 2 sawa sawa
Marafiki wengine wanapoteza wenziwao kabisa ata sio marafiki wakukaa nao karibu😢😢
Kweli kabisa ndug yngu, , ila nd hvy maan washasemaga akili za kuambiw chngny na za kwako
Yaaan
❤❤❤Shukran zako ankojay kwa kutupa simulizi za mafunzo na za kusisimua... Mwenyezi mungu akujaalie uzima na afya amiin
Nachelewa sikuhizi twendelee napnd kaz zko anko jay by dalina mungu akulinde uwe na afya njema love you so much 💚💛💚💛💚💛💚
Asante Sana ankojay barikiwa sasa natulia niskie binti Cara kwautulivu wote 🇸🇦🇸🇦ndo mjengoni
Natafuta mahali patulivu nikae niskize hii simulizi ya Binti Cara 🥰♥️🥰♥️♥️ Asante sana Anko J 🙏🙏
Anko jay unajua sana kusimulia sana, ila ninaomba unapoanz simulizi au unapomalizia simulizi uwe unatujuza km ni ya kweli au ni ya kubuni, , piah naomba uwe unasimulia simulizi zinazohusu maisha sana sana, , maana simulizi za mapenzi zimejaa sana
Maskini Cara,alizaliwa na mwanamke na
mwanaume,akakosa baba na mama wabinafsi wasiofikiria wengine isipokuwa nafsi zao tu,pole sana Cara
Wazazi waivo
Sema sasa huyo rafiki yake atamponza
Kuna binadamu wako naroho ngumu kama huyo mama lulu.haya umpata. Naibu waziri ungetulia tulii lkn. Tamaa yapesa
Anko jey, unawaelewa sana waandishi wako, haswaa Lisa mwalla 😅😅 unamuelewa vizuri na unajua msikilizaj anataka nini.. Asante ❤❤
Haswaaaa
Daaah ila marafiki wengine ni zaidi ya vichomi nazidi kujifunza my bro j ubarikiwe kwa kz nzur unayoifanya kiukweli unaielimisha jamii na burudani km zoteee❤❤❤❤❤
Yaaan
Anko J mavoice mm ninaswali lakizushi ww huwa unasauti ngapi jamn ila zote ni nzur nimeipenda ile ya mfanyakaz wa maija😆😆🤣🤣barikiwa Sanaa mpendwa
😅🤣🖐
Kweli ana sauti nyingi anazimudu
❤❤❤waoo😊na tulia na phone zngu nisikilize sauti tamu ya kiume
Haki sio vizuri kuwasikiliza marafiki sana maana watakupoteza
Asante anko j tujifunza kupita simlizi zako mungu akupe maisha marefu
Ahsante sana
@@ankojay_kaz nzur sana kiukweli
Napenda sana simulizi zako ankojay nakupenda bure 🙏🙏🙏
Mtoto mwenye akili kama binti CARA bora ukafa mgumba, baba cara uko vizuri.
😄😄😄😄🙌🙌
No no no no afadhari uwe nauyo binti cara kuliko kukosa mtoto maana wengine wanatamani waitwe baba ao mama (maana ukifa huwezi kazikwa na mwiba🌵🌵🌵🌵🌵
Waoooo! Simulzi inafundisha😢❤❤🥰🥰
Dah ilivyokuwa naisubili hatari haya twende kazi anko jay❤❤❤
Nilikuwa naisubili hapa mara naingia namuona BINTI CARA 🤣🤣🤣🤣tunatega hayo masikio ili tujuwe ili tujifunze kitu kutoka kwa BINTI CARA ankojay tunainjoi tuu🥰🥰
Ivi wewe upo wapi maana ukosekanagi wewe ata simulizi itoke sakumi usiku lazima utaniwai tu
@@amimaawazi6643 🤣🤣🤣🤣jamanii nipo oman kipenzi miee humu kama nyumbani tuu simulizi zoote nipo kipenzi🤣🤣🥰
Wooooow lovely 🥰🥰🥰🥰🥰 let's go to listen this lovely story ❤️💗💗💗💗💗❤️💗♥️💗
I love it from kenya 🇰🇪
Tupe mambo Anko jay tumetulia tayari kuzikiza ❤❤❤❤❤
Naam
Nimechelewa lakini Niko chelewa lakiufike Asante anko jey nakimpenzi chetu Lissa mwala nawaopea maishamarefu muguawabariki saana hayagojani niisikilize mwanso❤❤❤❤
Unyumba wa watoto haufi Clara nausipoangalia unaachwa solemba🤔
Hatimae lushoto tumefikiwa
Mmmmmh,wagosi wakaya
Lzm turege masikio vzr km antenna jmn anko jay
Ancle j thx simulizi zako nzuri sana
Anko Jay namsubili jmn 🥺🥺 please ialakishe)) yani un
asimulia lakn mi naona kama na angalia movie Yan🥰🥰❤️❤️❤️❤️❤️🥰🥰❤️❤️❤️ ur voice wallah❤️🌹
Enjoy
@@ankojay_ Thank you
Love it ❤❤u,maua🌹🌹🌹
Anko j unaendelea kutupa mambo mazuri
❤❤❤ first one
Yes you are!🎉🎉🎉
Asante sana anko j kwasimulizi zako.tunazipenda sana
Kweli anko je tunaomba ukimaliza kusimulia uwe unatujuza kama hadidhi ni za kweli au raaaaa❤️
Asante sana kwa simulizi nzuri
Huyu mkaka anajua kukonga roho za watu😘
Saaana,mie ndo nimefika
Nachukia sana kushare penz,huyu baba amemaliza kuchekecha na mkewe halafu anataka aachiwe mlango waz na msichana ,khaaa,
Anko J unaweza kuigiza kila sauti wow
Hallooooow
Cara sehem ya 3
Ipo , ila inauzwa
Mama lLeoni asipoangalia
Atavunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe 🤔
Story nzuri sana❤❤❤
Itanifunza,kuniliza, kunihuzunisha na kunifurahisha..thats the aim goal of listening to simulizi...much love Ankojay❤❤❤❤❤❤
Una ubunifu barikiwa
Leo wa kwanza
Cara c kulea watoto ao wanandoa walio zaa awachan ww fungua macho acha kulala❤❤❤
Fantastic ❤❤
Ankoj leo nimewai ❤❤❤❤❤❤
Weee Mambo ni moto masaaa machache cara sasa umeijua Dunia
jaman hyo alama ya kengele siioni kilasiku nakuwa wa mwisho tu 😥
Ukibonyeza subscribe inatokea alama ya Kengele, bonyeza hiyo alama
@@ankojay_ hiyo sabscribe yenyewe siion natamani nitume sreene shoot minaonatu alama ya kulike
Ahsante handsome boy wetu tupe raha ❤❤❤
Na msauti wakw mzuuuuuri
Shukran sana Anko J ubarikiwe kwa kazi Mungu azd kukupa furaha na wenzako wausika nyote nawapenda kwa kunifuraisha pia mm nafurai 2 ❤❤❤❤❤❤❤
Mbona part 2 sijaiona 😊
Asante Anko J kwa simulizi nzuri yenye mafunzo
Anko j me nataka simulizi za mapemzi Kam ya penzi la binamu
Janja paka iyo panya kwisa jua
Chichi katumwa huyo amuandae clara😅😂😅
Weeeh za mwizi ni arobaini CARA
Kabisaaaa
Sasa Ulikuwa unangoja nini nilikuwa nasema moyoni nikikuta hakuna binti Cara nitakufuata hadi whattsap ila asanteeeeeeeeee 😍
😂😂😂❤❤😅😊aiseee simuzi ni tamu sana mwanzo na furahi je mwisho ni nitavunjika mavu, hongera sana anko Jay kwa kazi nzuri sana ubarikiwe sana na twakupenda sana
Enjoy 😊
@@ankojay_ Asante sana nainjoi sawa mume wetu jabali
@@fatimafoaani2263 😂😂😂eti mumewetu jabar umejua kunipatia😂😂😂😂🙌
Kipi cha ajabu kwani wewe humpendi anko Jay si yeye ni mume, na mimi na wewe ni wake na twampenda bure kishabiki ubaya uko wapi nikimwita mume wetu kipenzi anko Jay mapesa mr Bondi
@@fatimafoaani2263 😂😂😂 sio kwa ubaya dear ndiomaana nikakwambia umejua kunipatia😍
Ahsante sana ankojay na Lisa mwalla Kwa simulizi magunzo
Woooooow 🥰🥰🥰🥰🥰 imagine ndo nataka kuanza kuisikiliza jamàaani 😅😅😅
To be continued
Asante sana ankjau ❤❤❤
Tooba kweli huu umalaya unasaidia sana😂😂😂😂😂😂 nimejifunza kitu aky
Ndio maana ndoa nyingi hazidumu,wanawake wakishaingia ktk ndooa wanajiona ndio wamefika hawajishughulishi kuwafanya waume zao kuwa update kila siku
Anko j unajua mpaka unajua tena
Na anajuuua!!!!!!!
Asante anko mapesa
Asate sana ako j
Forward ever back word never 😊😊twendeni nalo wenzangu,,
Mambo kunoga sasa ❤
Ni nzur kwakweli
Tupe raha❤❤
Wa 150 fresh t 😂😂❤
Short and sweet 😌hun Kaz mby Anko 🥂
Sijampenda Bebe
Yuuuuuuuuu,,,,wamachame wa wapi hao wauaji jamanieeeeee
👏👏👏 okay Anko
Sawa Asante
Asante dada lisa Allah akutangulie kwa lila jambo
Mi ndo maana cna marafiki.coz marafiki kma hawa ni wapotevu kweli
Marafiki wanaponza sana
Yang ankojay simulizi zako zinanifundixha sana nakunifany kuwa n taazar
Inanifumza niache tamaa maan nikupotezew mdatu naibu anawake
Anko Jay unajua acha nikupe sifa
Jamniii ankojay moch love uuuu
Great job..but i have a question for u uncle jay.,..what happened to the Karma??????😢
KARMA part 2 Inauzwa
@@ankojay_ mmh..aki uncle,.sio poa kutuonjesha then unapotea..niko down sana.
Anko nmecheka Mimi daaa nandonimeaza atar smulizi Raha yn mungu akupe afia Bora uzdi tupa raha
Safi sana Anko j
fantastic❤❤❤
Leo sjachelewa❤❤❤
Clara hapo sipo
Ondoka huyo mama siye
Anko Jay unanifanya Nicheke peke yangu kama mwehu jamani
Anko jay😂❤sio kwa kukimbia uko nimecheka sanaaa😂😂
Yan anko j ushanifanya mlevi wa simulizi zako 😂😂
😂😂😂😂😂🔥🔥🔥
Kbsaa ata mim yaan ata wathap siingii😅😅
Mim nilishakuwa lilevi kabisa
Nice
Anko 😊
Nice ❤❤❤❤
Thank you 🤗
🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃 naiwahi simulizi❤❤❤❤
Unalo hilo Clara🤔
Ha ha haaaa! Kishada
Nakupenda kwa ajili Allah anko j jamani unanipa raha ww.
HONGELASANA.ANKOJKWASIMULIZIZAKONZURI🎉🎉
Mmm sio bure labda amelogwa 😅😂😅🤣
Mhmm!mtoto wa wenzio unamtendea ukatili afadhali hata mnyama unasahau kuwa nawe una watoto na hujui kuna Mungu atendaye haki mwe😮😮
Wanawake wengi wanaongoza kuwa na roho za kikatili