OFA YA SIMBA KWA MCHEZAJI ELIE MPANZU YATHIBITISHWA NA MUANDISHI HUYU KUTOKA CONGO/MSHAHARA MNONO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ค. 2024
- Simba Pro tumefanya mahojiano na muandishi kutoka nchini Congo na kutueleza kwa kina kuhusu dili la Elie Mpanzu kutua katika kikosi cha simba imekaaje
Muandishi huyo pia ametupitisha katika Ofa ambazo amezipokea mchezaji na klabu yake ya AS Vita Club huku akisema pia kuhusu ofa ya dola 120,000 Kutoka Simba na mshahara wa dola 7000
Kama unataka kuungwa kwenye group letu la Simba Pro tuchek kwa namba 0626629644 ili tuweze kukuunga - กีฬา
Kama Elie Mpanzu ni mchezaji mzuri na muhimu Kwa Simba. Tuongeze dau tumchukue. Mchezaji mzuri ni expensive. Simba lazima tusajili wachezaji ghali kwasababu ndio wachezaji bora
@@jonamnyone8014 nikwel kabisa, maana tukitaka kushinda Vita kwa wepesi Basi NIVEMA KUPIMA SIRAHA ZA ADUI ZETU , Zen tunaenda juu yao
Jaman huyuu ni muhimu sanaaa
Simba Jaman TUNAOMBA SAANA TUMPATE MPANZU Hapo Wapinzan nawaje tuu
Elia mpanzu ni mchezaji mzuri viongozi tia mpunga mchezaji aje kutusaidia simba nguvu moja
Mpanzu ni mhimu kwetu Mwenyezi MUNGU awafanyie wepesi viongozi mmsajili.
Elie MPANZU ametuliza fujo na vurugu zote zilizokuwepo Simba, amefunika amekuwa kipenzi cha wanasimba kabla hata hanaja Simba,
Viongozi kazi kwenu,
Huyo dio mshambuliaji wakuisaidi simba toenihella mumuletehuyo yatakuwa yaleyale ya mazoki😂😂😂
Inshallah. Mungu atafungua njia Amin.
@@MAJIDMNONGANE Ameeen
Tray asingeweza wababaishaji tu hawa walishindwa kwa k wataweza kwa mkongo?
Shida ya tray agin nimbabaishaji hana ushawishi anapenda kubagain sana mwisho wasiku tunawakosa wachezaji wazuri wakuongeza nguvu ili timu iwe tishio
Akikosekana Mpanzu apatikane mchezaji mwingine mkubwa na hatari, timu imesajili lakini inaonekana nyepesi sana.
@@saidmfaume1282 💯 collect, na sjui Kama wanaliona hilo
Tutamshushatu iyo
simba nguvu moja 😊😅
Kila wachezaji wazur hawaji
Muachen asitumiize vichwa
Wakishindwa kwa mpanzu yanga nampaubingwa
Magori malizeni hilo dili
SASA KM WAMEMRUHUSU ELIA MPANZU KWANN VIONGOZI WASIENDE WAKAMCHUKUE?SIMBA MSILETE UTANI KWENYE USAJILI
Pombe kubwa