OFA YA SIMBA KWA MCHEZAJI ELIE MPANZU YATHIBITISHWA NA MUANDISHI HUYU KUTOKA CONGO/MSHAHARA MNONO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ค. 2024
  • Simba Pro tumefanya mahojiano na muandishi kutoka nchini Congo na kutueleza kwa kina kuhusu dili la Elie Mpanzu kutua katika kikosi cha simba imekaaje
    Muandishi huyo pia ametupitisha katika Ofa ambazo amezipokea mchezaji na klabu yake ya AS Vita Club huku akisema pia kuhusu ofa ya dola 120,000 Kutoka Simba na mshahara wa dola 7000
    Kama unataka kuungwa kwenye group letu la Simba Pro tuchek kwa namba 0626629644 ili tuweze kukuunga
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 22

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 20 วันที่ผ่านมา +6

    Kama Elie Mpanzu ni mchezaji mzuri na muhimu Kwa Simba. Tuongeze dau tumchukue. Mchezaji mzuri ni expensive. Simba lazima tusajili wachezaji ghali kwasababu ndio wachezaji bora

    • @PROPHETPCANTENA
      @PROPHETPCANTENA 20 วันที่ผ่านมา

      @@jonamnyone8014 nikwel kabisa, maana tukitaka kushinda Vita kwa wepesi Basi NIVEMA KUPIMA SIRAHA ZA ADUI ZETU , Zen tunaenda juu yao

  • @MilyaLemanda-lr2vu
    @MilyaLemanda-lr2vu 20 วันที่ผ่านมา +2

    Jaman huyuu ni muhimu sanaaa

  • @PROPHETPCANTENA
    @PROPHETPCANTENA 20 วันที่ผ่านมา +3

    Simba Jaman TUNAOMBA SAANA TUMPATE MPANZU Hapo Wapinzan nawaje tuu

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 20 วันที่ผ่านมา +1

    Elia mpanzu ni mchezaji mzuri viongozi tia mpunga mchezaji aje kutusaidia simba nguvu moja

  • @user-nj9vx7bi8e
    @user-nj9vx7bi8e 19 วันที่ผ่านมา

    Mpanzu ni mhimu kwetu Mwenyezi MUNGU awafanyie wepesi viongozi mmsajili.

  • @mwinyiabubakarmwinyikheir8691
    @mwinyiabubakarmwinyikheir8691 17 วันที่ผ่านมา

    Elie MPANZU ametuliza fujo na vurugu zote zilizokuwepo Simba, amefunika amekuwa kipenzi cha wanasimba kabla hata hanaja Simba,
    Viongozi kazi kwenu,

  • @mlungumasaba1786
    @mlungumasaba1786 20 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo dio mshambuliaji wakuisaidi simba toenihella mumuletehuyo yatakuwa yaleyale ya mazoki😂😂😂

  • @MAJIDMNONGANE
    @MAJIDMNONGANE 20 วันที่ผ่านมา +1

    Inshallah. Mungu atafungua njia Amin.

    • @PROPHETPCANTENA
      @PROPHETPCANTENA 20 วันที่ผ่านมา

      @@MAJIDMNONGANE Ameeen

  • @fedinandnjeleka4102
    @fedinandnjeleka4102 18 วันที่ผ่านมา +1

    Tray asingeweza wababaishaji tu hawa walishindwa kwa k wataweza kwa mkongo?

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx 18 วันที่ผ่านมา

    Shida ya tray agin nimbabaishaji hana ushawishi anapenda kubagain sana mwisho wasiku tunawakosa wachezaji wazuri wakuongeza nguvu ili timu iwe tishio

  • @saidmfaume1282
    @saidmfaume1282 20 วันที่ผ่านมา +2

    Akikosekana Mpanzu apatikane mchezaji mwingine mkubwa na hatari, timu imesajili lakini inaonekana nyepesi sana.

    • @PROPHETPCANTENA
      @PROPHETPCANTENA 20 วันที่ผ่านมา

      @@saidmfaume1282 💯 collect, na sjui Kama wanaliona hilo

  • @AllyChilunda
    @AllyChilunda 19 วันที่ผ่านมา

    Tutamshushatu iyo

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s 20 วันที่ผ่านมา

    simba nguvu moja 😊😅

  • @GermanaangeloMkemangwa
    @GermanaangeloMkemangwa 19 วันที่ผ่านมา

    Kila wachezaji wazur hawaji

  • @BleanceKigwila-u2l
    @BleanceKigwila-u2l 15 วันที่ผ่านมา

    Muachen asitumiize vichwa

  • @mlungumasaba1786
    @mlungumasaba1786 20 วันที่ผ่านมา

    Wakishindwa kwa mpanzu yanga nampaubingwa

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx 18 วันที่ผ่านมา

    Magori malizeni hilo dili

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 18 วันที่ผ่านมา

    SASA KM WAMEMRUHUSU ELIA MPANZU KWANN VIONGOZI WASIENDE WAKAMCHUKUE?SIMBA MSILETE UTANI KWENYE USAJILI

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 20 วันที่ผ่านมา

    Pombe kubwa