Kama kweli hii ndege ni chuma kwelikweli, wapeleke ukrein, tuone Urusi atakavyopigwa na hii ndege. 😂😂😂😂, Urusi iko mbaliii sana kwa teknolojia. Usiione hivo Urusi ukafikiri iko kiholela. Subutu!!!
Tushaizoe America kuidanganya Dunia maneno mengi kuliko uhalisia. Tulishawahi kuambiwa kuwa wazungu Wana chakula cha kula miaka 100. Tukaambiwa makomandoo 100 Sawa na mwanajeshi mmoja Wa Israel. Tukaambiwa kuwa iron dome mfumo bora kuliko mfumo wowote duniani. Acha mvua inyeshe tuone panapovuja.
American wapo juu....mimi nawakubali wawapige awa wa Hiuthi....Yemen masikini muno....na hawakimbili Iran wanakwenda American kupata Maisha..wa gaidi bwana . Wende uko Iran
Waipeleke Ukraine hiyo ndege tuone ndo tutajua inaonekana au haionekani hatutaki kuaminishwa Kama mifumo Ya Israeli Ya Iron dome ,sasa hivi watu wanajipigia😄😄😄
Kwan we mzee umewai kusikia mrusi alimpiga nani kama sio kuionea nchiaake mwenyewe ukraine .mmarekani aliua SADAM AKAUWA OSAMA😂 AKAUWA GADAFI😂 AKAUWA MIROSOVICH😂 Ukiipata chi uyo mrusi alifanya zaidi ya marekani niite mbwa
This is americ hawa jamaa pamoja na ushoga wao kwa kwel ni habar nyingine katika sayar hii jamaa wako mbali zaidi .timu urus weus hapa hatuna jambo zaidi ya kubishana ili kuzilizisha nafis zetu tuu .hawajamaa ndio maana wanafanya kila wanacho kitaka dunian. Wanajua wanamidude ya ajabu zaid ya hivyo. Tofati na sisi ni nyukilia tuu tunayo jivunia.
Sasa nyie mnamjua Iran Ana tecknologia gani? Nani alijua km iran Ana makombora ya hypersonic ambayo yanaenda kwa kadi kubwa sana second 400 tu na Ana uwezo wa kupiga makombora zaidi ya elfu 10 kwa dakika moja na Iran alisema Ana kombora la kupiga meli ya marekani ya air craft
Mtetea haki haogopi kufa hawa jamaa washazoea vita kumbukeni marekani wamepigana vita na watalebani wakakimbia miaka 20 watalebani wamepambana mpaka wameshinda nchi imerudi mikononi mwao na wanaiendesha kwa mujibu wa sheria zao wanazotaka wao Afghanstan(talebani) hawa jamaa hawaogopi vita hata siku moja
@@godsonkyense4742 matusi ya nini sasa kwanini ujipatie madhambi ya kujitakia kosa lake ni lipi hadi umtukane hivyo ukumbuke anaye tombwa ni mwanamke hivyo hata mama yako katombwa sana hadi ukazaliwa wewe unampo mtukana mtu ujue ni sawa na kuwatusi wazazi wako tu
Ndugu mtoa mada tunaomba ndege hiyo B-2 ipite juu ya anga za Rashia, China na Iran ikitoka salama ndio utoe makala yako na kusema ni ndege isiyo dunguliwa.
Eti mtu aje kwako akupiddy alafu aondoke ujui hata amekuja sangapi mwamerika hafai..yani hapo wamemshikashika tu marekani hawezi pigana na mtoto mdogo ..ni haibu hawa waarabu hawanaga kitu ni mandevu tu akili hakuna kabisa ..
Sasa hao wenzako ni mashoga basi na nyie wenye mungu wa uwongo aliekufa msalabani Kwa ajili ya dhambi zenu ,cha ajabu mpaka Leo Bado mna dhambi tele😅😅😅😅yaani mungu wenu anauliwa na binadamu Ili aokoe binadamu mwingine 😅😅so stupid😅😅😅😅na hao unaowatete niashoga kwaiyo nawe ni shoga
Nyie Huwa mmekalilishwa pumba ndiyo maana Huwa mnapinga kila kitu Kwa akiri Yako unafikiri Marekani kuwa Kaka wa Dunia unafikiri sifa hii wamepewa tu eh😂😂😂 pia hiyo ndege watengenezaji ni Wayahudi 😂😂😂
This is americ huyu jamaa ni hatarii katika hii sayar ndiyo maana anafanya anavyo taka. Putin na hao masikin wengine wanabaki kubweka tuu. Tim urus weus najua munaumizwa Sana na taarifa kama hizi.jikazeni matako nyie. Mashoga wapo juu Sana kitekenology
Unataka wawamalize wapige Mabomu wafe magaidi na raia 😂 umewachoka wajaidina wenzako. Myahudi tu uku anataka kuifuta Hamas Ila raia wengi wanaangamia. Ebu kuwa na akili kichwani
@@FredMwamgogwa-td6ni kumbe unaanglia ukubwa tembo mkubwa lakini anadoshwa na sisimizi mkojo mdogomdogo ndio unaolonisha chupi mzahamzaha wa mbuzi mtoto kampanda mama
Marekani na Russia, ndio vigogo wa maangamizi basi✋,wanako kanyaga elewa hakuna mwingine wakupinga ,wengine wangoje mda wao bado sio karne hii, hii karne isha wahiwa
@@jonasmrema8550 mwisho wa siku lazima ushuke chini , uko ndiyo utakutana na mapnga na mishale na mikuki , mitego, waulize jamaa afghanistani kwenye milima
Acha America kumbanisha na vitu vya kijinga 😊 Ulizia kwanza Bajeti ya kijeshi ndio uje kuongea urus angekuwa ndy America now Ukraine angekuwa imechukuliwa zamani
Walituna ndege iso na rubani walisifu haigunduliki na uwezo kuzima mifumo ya mawasiliano ya adui lakini Irani waliifanya majivu Sasa nawapeleke tuone mujisifu tu na nyinyi kuwasaidia kawasifu halafu mje mutwambia.
Ni sahihi dunia imebadilika sana we adi Israel miaka hii anaomba yaishe , mana dunia tamu san hii , irone done nayo inaona makombora ya supersonic , ila ya hypersonic aioni man yanakasi zaid y saut mara tano sasa yakitestiwa mengi kwke hoiii,
Ili tuamini kuwa haigunduliki na rada basi ajaribu kuipeleka kwa kiduku halafu apigege maeneo yake japo mawili.. Akifanya hivyo basi sitakuwa na shaka nae
Ni udhaifu sana kutumia gharama na vitisho kwa vikundi vya wanamgambo kama houth ni dalili za kushindwa kumbukeni irani kashawaambia anamiliki silaha za siri na bora kuliko nyuklia sasa mchokozeni
Nimegundua kuwa Africa 🌍 tuna madini Asian kuna mafuta American kuna silaha😂😂😂 kwaiyo vita kwa marekani ni biashara kwake ana viwanda vingi bila vita silaha auze wapi😂😂
Wameiba mafuta syria iraq Lebanon na kadhalika na bado watu wao wanateseka na kulala barabara 😂 kama wanampenda sana myahudi wa mchongo mbona wamfukuze wlete shida Palestine ji ulize kwa nini Hitler Alichoma na kusema nawabakisha kidogo muwajuwe tabia zao bila marekeni akuna kitu
@@lakasid3860 marekan wana akili sana ndo maana hawataki vita na urusi kuna silaha urus anazo marekan hawana ndo sababu ya hofu hiyo marekan hawana roket za hypersonic kwahyo makombora yote ya marekan urus inaweza kuyaangusha lakin marekan haiwez kuangusha kombola la hypersonic ndo maana hata iran iliweza kushambulia israel pamoja na kuwa na iron dome kwahyo respect russia iko ahead of usa militarily. Patriot ilifyekelewa mbal ukrain e na sircon missile ya russia ni russia pekee inaweza kuangusha kombola la hypersonic tu kwa kutumia s-500 hiyo ni zaid ya patriot, thaad na iron dome.
Kuna pimbi et wazipeleke urus yan urus inayo pigwa na Dron za Ukraine 😅😅 ndio awez huo mziki 😂😂 mm nashanga pimbi za bongo yan mrus anapewa msaada na iran au kuna mwingn dron tu za Ukraine zinalipua Daraja je hiyo mashine itapiga mpka ikulu 😊😊 tuache utani American ndio Nchi pekee uwez shambulia ndan labd kambi alizo weka Nchi za watu
Wewe mwenyewe pimbi ndiomana unajichekesha chekesha ovyo mwanaume mzima hujui unaongea nini eti dron za ukrein nani alokwambia ukrein wana dron....usibweke sana kwa kuona urusi yupo na iran na north korea huyo bwana wenu marekani, ujerumani, uingereza, ufaransa, denmark, sweeden, hispania na nchi zote za NATO ambazo zinafika 30+ wanampa silaha ukrein ila bado washapokonywa maeneo kibao wamebakia kulia lia tu....wewe shoga na bado dawa ya marekani ndokwanza inaandaliwa, urusi+china+iran+north korea+venezuela+burkinafaso+mali+niger, hawa ndio watakaomaliza marekani na vibaraka wake ambao ndio nyinyi mashoga😅😅😅
Ww humtakii mema amerika.. Ukiona drone ya ukren imepiga urusi basi ujuwe ulikuwa ni mtego.. Kwani marangapi ukren kajaribu kuivamia urusi na akaingia ndani ya urusi halafu unajuwa alinyaa nini
Endelea na mhemko yako tu ila iko siku utajua urussi ninani mzee wangu yani hao masha go wote nato wakutunishiana msuri na rassia nia America tu hao kenge wengine ni hakuna na kingine hakuna vita inayo weza kutokea kwa sasa Kati ya America na Russia
Kwa mrusi izo ndege siyo kitu. Nakumbuka walivyokuwa natowa sifa kwa LOPARD TWO na AMBRAMS TANKS kuwa havipitishi risasi, kufika Ukraine mrusi akavichoma moto na kuviteka. Sila za usa zinatisha kwa nchi zenye uwezo mdogo kijeshi na kwa hayo makundi .
Wee si matako mwambie basi huyo mmarekani wako akashambulie urusi na hiyo b 2 kama haitaunguzwa kwa sekunde chache mrusi ni bingwa wa anga ana kila setilaiti ya kugundua hata kipepeo akipita juu yake apeleke basi hiyo b 2 kwa mkorea au muirani itadunguliwa chapu
Hata mrusi anayo S 70 ndege isiogundulika kwenye rada anaweza kuingia marekani na asionekane warusi ni mabingwa wa electronics kuliko marekani ndo maana wanachukiwa sana na mashoga.
Ila sky ...u a so bright
Daa! Hizo ndege ni noma.
Noma sana ❤😂
Kama kweli hii ndege ni chuma kwelikweli, wapeleke ukrein, tuone Urusi atakavyopigwa na hii ndege. 😂😂😂😂, Urusi iko mbaliii sana kwa teknolojia. Usiione hivo Urusi ukafikiri iko kiholela. Subutu!!!
Dunia haiko hivyo unavyowaza wewe
@@emmadora7848 acha maneno mengi, wapeleke ukrein afu utaona jambo jipya sana.
@@emmadora7848si litokee tu. Kama m'bwai m'bwai tu. Wanyama wauwaji wakubwa.
Tushaizoe America kuidanganya Dunia maneno mengi kuliko uhalisia. Tulishawahi kuambiwa kuwa wazungu Wana chakula cha kula miaka 100. Tukaambiwa makomandoo 100 Sawa na mwanajeshi mmoja Wa Israel. Tukaambiwa kuwa iron dome mfumo bora kuliko mfumo wowote duniani. Acha mvua inyeshe tuone panapovuja.
Wajaribu kupeleka ukrein waone moto wa urusi
Wamarekani kwa kujisifu kila siku wao kila kitu wapo juu b2 inaenda kupigwa kirahisi soon chocolate uone irani or huth
Iran iliompakia raus wake kwenye ndege mbovu akafa😂 mzee marekani isikie tuuu
Alafu uningea kuusu iran irani siniuchafu kabisaaa
Unajuwa sn kuerezea sn kuliko ware wachambuzi wako wamchongo unao waretaga apo studio kuja kupiga polojo tu naplopaganda zakidini wanabii wauwongo
Haya sasa tumeona makali ya MAREKANI Iran waonyeshe ndege zao Sasa zisizo za kununua 🤗
Unajua sanaa kuelezea kwa sisi wasomi tunakuelewa sanaa sanaa
Naomba hata elfu 10 kaka!
Nyinyi wasomi ni hazina na Nuru ya taifa
Ukijinadi msomi jua kuna msomi mwingine aliokuzidi
@@lexq-sm6lq😂😂😂
@jumamaliemfundisha msomiussantuiche
@@jumamussantuiche nani kajinadi toa ukora wako hapa
Tunapojadili hili, tukumbuke bado Mondi anataka kuwa tajiri namba moja duniani
Marekani ndiyo kiranja wa hii dunia mpaka mwisho wake
Hiv hii ndege ubora wake wote huo ilikuwa wap walipokimbia huko afganistan? Au ilikuwa haijaingia kazn? Dah inaleta ukakas
Hawakukimbia afghan ni mission walishamaliza wewe kwa akili yako taliban anaweza mkimbiza marekani hiyo nj strateggy huon taliban anamuuzia nan mafuta
American wapo juu....mimi nawakubali wawapige awa wa Hiuthi....Yemen masikini muno....na hawakimbili Iran wanakwenda American kupata Maisha..wa gaidi bwana .
Wende uko Iran
Iyo ndege aiwezi kufanya kitu kwa iran, iran sio yemen wana mifumo bora ya anga,
Waipeleke Ukraine hiyo ndege tuone ndo tutajua inaonekana au haionekani hatutaki kuaminishwa Kama mifumo Ya Israeli Ya Iron dome ,sasa hivi watu wanajipigia😄😄😄
Vita ni kupigana sio kupiga chukua Ilo sky, nakumbuka leopard 2ya Germany zikipgwa na RPG kule Gaza😢
Marekani Ni hatariiiii sanaaaaaaa
Kisha unakuwa wanasheji wetu wapo busy kuzuia pikipikia kwa meno na wengine wapo busy na Technology
Nimecheka apo kwa meno 😂😂😂
Marekani ndio top wa kila kitu duniani .
Muongo 😂, vipi kule Ukraine 😂!
@@nizarrama225huo ndo ukweli hakuna jeshi lenye nguvu kama Marekani
Ino akili ndio unatumia kuvukia barabara
@@evansogutu4167 kuna watu kichwan kuna Mavi kwaiy unabisha nn mfano mbn kila kitu kiko wazi Amerika akuna jeshi juu yake ata kwa beji tu iko wazi 😂😂
Dah vichwa vingine ni dispenser ya makamasi😂
Mtangazaji Marekani ana muogopa mrussi sana
Muulize sma Russia wanazo ngapi
Kwan we mzee umewai kusikia mrusi alimpiga nani kama sio kuionea nchiaake mwenyewe ukraine .mmarekani aliua SADAM
AKAUWA OSAMA😂
AKAUWA GADAFI😂
AKAUWA MIROSOVICH😂
Ukiipata chi uyo mrusi alifanya zaidi ya marekani niite mbwa
Haya mambo huwa yana mbwembe sana ..mpaka watakapo kutana na hali halisi ..kwa nchi zenye rada na mifumo ya kujilinda
This is americ hawa jamaa pamoja na ushoga wao kwa kwel ni habar nyingine katika sayar hii jamaa wako mbali zaidi .timu urus weus hapa hatuna jambo zaidi ya kubishana ili kuzilizisha nafis zetu tuu .hawajamaa ndio maana wanafanya kila wanacho kitaka dunian. Wanajua wanamidude ya ajabu zaid ya hivyo. Tofati na sisi ni nyukilia tuu tunayo jivunia.
Sasa nyie mnamjua Iran Ana tecknologia gani? Nani alijua km iran Ana makombora ya hypersonic ambayo yanaenda kwa kadi kubwa sana second 400 tu na Ana uwezo wa kupiga makombora zaidi ya elfu 10 kwa dakika moja na Iran alisema Ana kombora la kupiga meli ya marekani ya air craft
Hii ndio SNS😇 mnatupa raha kwelikweli🙏
Hw Marekani hawawezi pigana na Yemen ni haibu .. Yemen ni watoto wadogo sana ..na Marekani anamshikashika kidogo tu
Izunguke tu anga la urusi itatunguliwa tu , mrusi ndo mtundu wa wote hao mana ana rada zilizorutubishwa utaonekan tu ,
Ziende urusi muone,maana marekani inawahadaa sana
Mtetea haki haogopi kufa hawa jamaa washazoea vita kumbukeni marekani wamepigana vita na watalebani wakakimbia miaka 20 watalebani wamepambana mpaka wameshinda nchi imerudi mikononi mwao na wanaiendesha kwa mujibu wa sheria zao wanazotaka wao Afghanstan(talebani) hawa jamaa hawaogopi vita hata siku moja
We have seen america in ukraine hizo drone zilikuwa wapi buda
marekani muongo ukute anazo zaidi ya 19
Ili niikubal Io ndege mpaka mupitishe Mel ya Israel bahar ya sham
Tumezowea me sishangai kuona marekan kuvumusha vitu ambavyo. Ajawai Ata kuviota km kawaida wamepakwa wese na properganda zao
Sasa kumbe 2naona nguvu ya wahothi.yan unawasha bomba kam B-2 kushambulia kundi dgo na sio jeshi😁😁😁
Hazionekani na rada mbona haziend Urusi. Waace kudanganya watu na Google
Jumaciza461 boya wewe wanakutomba mbwa wewe
@@godsonkyense4742 matusi ya nini sasa kwanini ujipatie madhambi ya kujitakia kosa lake ni lipi hadi umtukane hivyo ukumbuke anaye tombwa ni mwanamke hivyo hata mama yako katombwa sana hadi ukazaliwa wewe unampo mtukana mtu ujue ni sawa na kuwatusi wazazi wako tu
Waende wakafanye nini urusi😂😂😂 et kaka kwan urusi ikovitani na mmarekani labda sisi atujui kaka tuambie
@@godsonkyense4742umechukia nini kaka mbona utachukia saan kak mamae😂 uyo ndo mmarekani kaka
Kuja B-21 raider hyo n moto wa kuotea mbali inaitwa popo bawa
Nahisi ni Generation moja na hii B21 Ni noma
Jopo unapromoti na kuwapaka mafuta marekani,israel bado maneno mifumo iron dom assad akuna mpango.
Ndugu mtoa mada tunaomba ndege hiyo B-2 ipite juu ya anga za Rashia, China na Iran ikitoka salama ndio utoe makala yako na kusema ni ndege isiyo dunguliwa.
KAMA NIKWELI HAHIHONEKANI KWENYE RADA YENDE URUSI.IKIPITA JUU YA URUSI IKARUDI NITAHIKUBALI
Eti mtu aje kwako akupiddy alafu aondoke ujui hata amekuja sangapi mwamerika hafai..yani hapo wamemshikashika tu marekani hawezi pigana na mtoto mdogo ..ni haibu hawa waarabu hawanaga kitu ni mandevu tu akili hakuna kabisa ..
Kapitisheni meli zenu zisiposhambuliwa ndo nitaaamuni hizo ni porojo tu😅😅
Watu mnabishana wakati bibi yangu ana B_4 haionekani kwenye macho na radar
Waerekeze waerekeze vzr wafaasi wanabii wauwongo
Unatafunwa ww
Sasa hao wenzako ni mashoga basi na nyie wenye mungu wa uwongo aliekufa msalabani Kwa ajili ya dhambi zenu ,cha ajabu mpaka Leo Bado mna dhambi tele😅😅😅😅yaani mungu wenu anauliwa na binadamu Ili aokoe binadamu mwingine 😅😅so stupid😅😅😅😅na hao unaowatete niashoga kwaiyo nawe ni shoga
@@kassimrajabu7805kasimu tulia mzee
ije majingambo ya nn tunaisumbili
Hii itadondoshwa na drone ya dola buku tu😂😂😂
Utakuta watu wanailinganish na urus,Mara Iran ila wat mnadhamb
Hapo kwa Iran sio sawa, lakini kuilinganisha Urusi na Marekani ni sawa tu
Mbwembwe tu izo
Hawana lolote maongezi tuu anaonea vikundi mwache wapige iran tuone mambo ayo ni maneno tuu
Mchina pia anazo !
Mwapenda kuwasifu hawana lolote walikonalo maghari wasifiwe kuowana kinyume na sheriya
Nyie Huwa mmekalilishwa pumba ndiyo maana Huwa mnapinga kila kitu Kwa akiri Yako unafikiri Marekani kuwa Kaka wa Dunia unafikiri sifa hii wamepewa tu eh😂😂😂 pia hiyo ndege watengenezaji ni Wayahudi 😂😂😂
@@georgekimasaofficial1629we mwenyewe umekaririshwa pumba na utumbo uliyooza! Umebaki kushabikia nchi ya mashoga tu
Israel amepewa hizi tayari Ni suala la muda tu
Naiona vita ya 3 yadunia asee 😅
Technology ya Mrusi ndo wanaitumia leo baada ya kuona hari imekuwa tete
Wanaanzisha baadhi ya vita ili kutest siraha zao hao wahuth wanatolewa kafara tu kama sehemu ya kujaribia siraha zao
We ndoo umeongea la point Kuliko mbuzi wote timu weus urus
This is americ huyu jamaa ni hatarii katika hii sayar ndiyo maana anafanya anavyo taka. Putin na hao masikin wengine wanabaki kubweka tuu. Tim urus weus najua munaumizwa Sana na taarifa kama hizi.jikazeni matako nyie. Mashoga wapo juu Sana kitekenology
Sasa mbona hawawezi kuwamaliza wahouth na mikwara yote ya ndege hizo
Unataka wawamalize wapige Mabomu wafe magaidi na raia 😂 umewachoka wajaidina wenzako. Myahudi tu uku anataka kuifuta Hamas Ila raia wengi wanaangamia. Ebu kuwa na akili kichwani
Magaid mnatabia ya kujifch kwa raia ,,ili muanz lawama,
Waki pigwa hamchelewi kulala mika
Hii NI kiburi Israel
Iyi wiki niya moto
Ipelekeni Russia 😅😅 subirini wazamishe meli😊
Wanaijua hyo awawez tbubutu
Kuna b2 apo utakuta Mrusi anazake tofauti na izo tena zenye uwezo ndo mana marekani wanaogopa kuingia vitan na urusi
Iran inaogopwa sana hadi marekani analeta fivaa vyake vyotr muache huyo demu anaejita Israël apambane pekeake aone mziki wa iran hhhhhhh
Mmmmh!!! Yaani hiyo ni zaidi ya bajet ya zanzibar ya mwaka mzima!! Yaani ni x 2 ya utajiri wa mo. Marekan ni kama haiko kwenye hii dunia tuyomo cc !!
Nihatar bos
Pamoja na ndege zake ajaribu kwa mrusi aone
Na urusi ajaribu marekani😂😂😂😂
😂😂😂 sasa amerika ajibu mara ngap mbn Ukraine anapiwa silaa na America ila urus awez ata kujibu ata kulusha jiwe America
@@raydanfrenk vp hizo silaha zimeisaidia nn Ukraine je amerejesha ardhi yake maana yake hizo silaha za marekan ni takataka Kwa urus
URUSI NAE akajaribu KWA marekani
@@josephwilliam5813 Toka lini Mrusi akawa na choko choko? Huyo mwenye choko choko nda ajaribu kuliko kujificha kwa chambo
Mbona ukraine hawampi hiyo B 2 sasa?????
Vita ya tatu ya dunia hiyo
Waitume irani wanashindana na kikundi cha watu ndio wanatamba
Kua mpole majibu ya Israel ndo yatasema kma waliitumia au laaahh
Iran ni mtaji wa Marekani na Marekani anaipenda sana Iran
Sasa ka Iran unafananisha USA na wewe jimbo moja la marekani uchumi wake Iran afiki hata nusu
@@FredMwamgogwa-td6ni kumbe unaanglia ukubwa tembo mkubwa lakini anadoshwa na sisimizi mkojo mdogomdogo ndio unaolonisha chupi mzahamzaha wa mbuzi mtoto kampanda mama
Ngoja hizo meli zitakavyokunywa maji😅😅😅
Ndiomaana husema , Urusi hawawezi shinda Amerika
Na vilevile Amerika hawezi shinda Urusi!
@@othmanmalik6468huyo kafiri ni bendera fata upepo hana cha maana hata anacho ongea zaidi kuisifia nchi ya mashoga tu
Mnawaonea tu mbona awaendi urusi
Sasa wahouth wana radar ya kugundua , wahouth ni kikundi tu , wapeleke ukrain
😂😂😂😂 et mzee kwa nini wasipe Russia
Sns tuambieni mkuu wa kijeshi wa Israel yuko wapi mbn hajaonekana tangu siku ya shambulio la drone
We unataka aje nyumbani kwako ? Juzi katembelea kambi iliyoshambuliwa ,ka unamtaka nenda Israel watakupeleka kwake
Wew ulikuwa umezimia ndio unaurupuka😂😂😂
@@GeorgeElias-p5o sasa me nimewauliza sns mbn black Zionist mnakuja juu
WAhouth hawana Rada za wala mifumo ya Anga
😅😅😅 n ndio maan ameipereka
Mrusi Yuko next kwenye technology sana maana Hawa jamaa wangekua na technology yoyote ile ya kumuangusha mrusi wangefanya mda sana
Wapo next technology wapi acha ujinga wa ki fikra nenda uwendako USA ndio inarun the world fara wewe
Sahihi 💯!
Marekani mjanja hataki vita ya hasara kwake lakin ukweli ni kuwa mwenye uchumi mkubwa ndo mwenye nguvu,hakuna kama Marekani
@@yohanakananika3586 muongo, vipi kule Ukraine..? 20% ya maeneo ya Ukraine Donbass yamechukuliwa au yapo chini ya Urusi, Marekani kafanya nini....?
ata huyo Mrusi angekuwa na technology ya kuiangusha marekani angefanya zamani mno
Marekani na Russia, ndio vigogo wa maangamizi basi✋,wanako kanyaga elewa hakuna mwingine wakupinga ,wengine wangoje mda wao bado sio karne hii, hii karne isha wahiwa
Russia inayo pigana na Ukraine au kuna nyingin😂😂😂
Russia Bado sana Mkuu kasome Project 51 ndo utajua
@@godcompeter9844 awa wanaongozwa na ushabeki tu ila ukwl wanaujua vzr 😅😅😅😅
Huyo urusi mwenye alishawahi pigwa na marekani
@@raydanfrenk ndio inayo pigana na mabara 3
Ailete Ukraine 😀😀😀
alishindwa vita na somalia , afganistani , iraq, , nguvu iko arithini shuka ukutane na mishale na mapanga
😂😂😂😂
😂😂😂
Vita za kizamani hizo njoo juu tukutane
@@jonasmrema8550 mwisho wa siku lazima ushuke chini , uko ndiyo utakutana na mapnga na mishale na mikuki , mitego, waulize jamaa afghanistani kwenye milima
🇺🇲🙌
Mambo imechemka 😊😊😊 wacha tuone Kati tá Rússia na US Nani mkali
Acha America kumbanisha na vitu vya kijinga 😊 Ulizia kwanza Bajeti ya kijeshi ndio uje kuongea urus angekuwa ndy America now Ukraine angekuwa imechukuliwa zamani
Yaani unaifananisha urusi na marekani marekani ndio super power mzee
Walituna ndege iso na rubani walisifu haigunduliki na uwezo kuzima mifumo ya mawasiliano ya adui lakini Irani waliifanya majivu Sasa nawapeleke tuone mujisifu tu na nyinyi kuwasaidia kawasifu halafu mje mutwambia.
Mfumo wa anga Tehran Moscow anahusika kuulinda hivyo sio rahisi kupenya kirahisi.
😂😂
Iran mtoto mdogo sana unaongea kwa mihemko na ushabiki wewe kwenye meza hapo lazima uwazungumzia America na urusi tu.
Ni sahihi dunia imebadilika sana we adi Israel miaka hii anaomba yaishe , mana dunia tamu san hii , irone done nayo inaona makombora ya supersonic , ila ya hypersonic aioni man yanakasi zaid y saut mara tano sasa yakitestiwa mengi kwke hoiii,
@@dasilvajr9647😂😂😂 wamarekani wanawaogopa wa iran ww ww skiliza habar za hovyo huko
Mrusi anaona hizo ww
Ili tuamini kuwa haigunduliki na rada basi ajaribu kuipeleka kwa kiduku halafu apigege maeneo yake japo mawili.. Akifanya hivyo basi sitakuwa na shaka nae
Kwan kiduku anashida na America 😂😂 Korea kusini tu ilusha ndege juu ya anga kila siku
Tuchambulie tu-160
Wapige waone israel alipiga ilan akapigwa kipigo chakuzidi wanatuambiaga ooh alipigana sikusita kwavile alisaidiwa na wanafki wakiarabu analibu aone
US watazidi kudhalilika nabado huu moto waliouwasha watashindwa kuuzima
Ndege inatisha urus pekeyake bas Hawa marekan ni propaganda tu
Ni udhaifu sana kutumia gharama na vitisho kwa vikundi vya wanamgambo kama houth ni dalili za kushindwa kumbukeni irani kashawaambia anamiliki silaha za siri na bora kuliko nyuklia sasa mchokozeni
Heeee acha kwanza nchekee
Kabla ya uchaguzi WA marekani Israel kasema atampa majibu yake Iran
Bambo yamechemka kwel
Nimegundua kuwa Africa 🌍 tuna madini Asian kuna mafuta American kuna silaha😂😂😂 kwaiyo vita kwa marekani ni biashara kwake ana viwanda vingi bila vita silaha auze wapi😂😂
Wameiba mafuta syria iraq Lebanon na kadhalika na bado watu wao wanateseka na kulala barabara 😂 kama wanampenda sana myahudi wa mchongo mbona wamfukuze wlete shida Palestine ji ulize kwa nini Hitler Alichoma na kusema nawabakisha kidogo muwajuwe tabia zao bila marekeni akuna kitu
Wamarekani watalipa gharama ya mshambulizi kwa wahooth tusubiri kipigo kwa wamarekani
Yn wajiandae haswa make km mziki wa Osama uliwatetemesha huu je
Propaganda tu hizo
Ni salamu hio wanatoa kwa Irani wasi jichanganye 😂
du sio poa
Sizani kama mchina hana hii maana wale jamaa ni Hatari sana..
Na wala hawaringi
Inaitwaje waarabu weusi bhana 😂😂😂
Wambie wazipeleke urusi ndio tutajuwa b 2 au b 0
Na urusi wapeleke Zao marekani
@@FredMwamgogwa-td6niF-16 marekani anayojiringia haikumaliza hata wiki urus alkuwa ameishaipiga chini bado ww humuogopi mrusi
@@eradiusaporinary1130 nani amuogope mrusi ambaye amemshindwa hata Ukraine 😂
@@lakasid3860 marekan wana akili sana ndo maana hawataki vita na urusi kuna silaha urus anazo marekan hawana ndo sababu ya hofu hiyo marekan hawana roket za hypersonic kwahyo makombora yote ya marekan urus inaweza kuyaangusha lakin marekan haiwez kuangusha kombola la hypersonic ndo maana hata iran iliweza kushambulia israel pamoja na kuwa na iron dome kwahyo respect russia iko ahead of usa militarily. Patriot ilifyekelewa mbal ukrain e na sircon missile ya russia ni russia pekee inaweza kuangusha kombola la hypersonic tu kwa kutumia s-500 hiyo ni zaid ya patriot, thaad na iron dome.
Unajua maana ya hypersonic au unaropoka yaani marekani muanzilishi wa hypersonic useme Hana Una akili kweli@@eradiusaporinary1130
Kuna pimbi et wazipeleke urus yan urus inayo pigwa na Dron za Ukraine 😅😅 ndio awez huo mziki 😂😂 mm nashanga pimbi za bongo yan mrus anapewa msaada na iran au kuna mwingn dron tu za Ukraine zinalipua Daraja je hiyo mashine itapiga mpka ikulu 😊😊 tuache utani American ndio Nchi pekee uwez shambulia ndan labd kambi alizo weka Nchi za watu
Wewe mwenyewe pimbi ndiomana unajichekesha chekesha ovyo mwanaume mzima hujui unaongea nini eti dron za ukrein nani alokwambia ukrein wana dron....usibweke sana kwa kuona urusi yupo na iran na north korea huyo bwana wenu marekani, ujerumani, uingereza, ufaransa, denmark, sweeden, hispania na nchi zote za NATO ambazo zinafika 30+ wanampa silaha ukrein ila bado washapokonywa maeneo kibao wamebakia kulia lia tu....wewe shoga na bado dawa ya marekani ndokwanza inaandaliwa, urusi+china+iran+north korea+venezuela+burkinafaso+mali+niger, hawa ndio watakaomaliza marekani na vibaraka wake ambao ndio nyinyi mashoga😅😅😅
Ww humtakii mema amerika.. Ukiona drone ya ukren imepiga urusi basi ujuwe ulikuwa ni mtego.. Kwani marangapi ukren kajaribu kuivamia urusi na akaingia ndani ya urusi halafu unajuwa alinyaa nini
Endelea na mhemko yako tu ila iko siku utajua urussi ninani mzee wangu yani hao masha go wote nato wakutunishiana msuri na rassia nia America tu hao kenge wengine ni hakuna na kingine hakuna vita inayo weza kutokea kwa sasa Kati ya America na Russia
Kwa mrusi izo ndege siyo kitu. Nakumbuka walivyokuwa natowa sifa kwa LOPARD TWO na AMBRAMS TANKS kuwa havipitishi risasi, kufika Ukraine mrusi akavichoma moto na kuviteka.
Sila za usa zinatisha kwa nchi zenye uwezo mdogo kijeshi na kwa hayo makundi .
Wenzetu wametuacha mbari alafu kuna kenge za buza inasema America ataanguka 😅😅 kwan kwa hali hii acha waongoze Dunia mpka yesu aludi
Nawewe kachunge ng'ombe mpaka Yesu arudi kwa kujidharau.
@@omaryjumas6327 ww unajiweza kwa lipi 😅😅 kuoga tu uwez au nije nikufire
kwani Yesu anakuja lini?,tuanzie hapo
SINWAR AMEKUFA NDO HABARI YA MJINI 😂😂😂 ACHANA NA NDEGE
Hi Mara ya ngap wanasema wamemuua sinwar kaka tulia sinwar bado yupo
Poll😂😂😂😂
America kwa Propaganda tu wakovizuri mnoo
Sns fuatilia nnasikia Yahya Sinwar Wa Israel washamalizana naye ..
Usisahau kumuliza na yule mkuu wamajeshi wa Israel hatumuoni
@@HumudNassor-pg6lq yupo 😂😂😂 tena alikuwa anawasiliana na wazir wa mambo ya njee America
@@HumudNassor-pg6lqwaarabu wamuue mkuu wa majeshi wa Israel kwa shule gani walio nayo
Wajichanganye tu tuingie kwenye vita vyatatu vyadunia wapuuzi ao
Putin ana bomu za kugonga hiyo ndege
Linaitwaje Hilo bom
Urusi ni mavi tu na hao iran ni kipisi ya kinyesi wote watapigwa hiyo ndege anayo america tu
We endekeza ushoga
Na ndio ukwl Kaka
@@SalumuChamkuluKeshaliwa huyo usinshangae😂😂😂
Wee si matako mwambie basi huyo mmarekani wako akashambulie urusi na hiyo b 2 kama haitaunguzwa kwa sekunde chache mrusi ni bingwa wa anga ana kila setilaiti ya kugundua hata kipepeo akipita juu yake apeleke basi hiyo b 2 kwa mkorea au muirani itadunguliwa chapu
Hata mrusi anayo S 70 ndege isiogundulika kwenye rada anaweza kuingia marekani na asionekane warusi ni mabingwa wa electronics kuliko marekani ndo maana wanachukiwa sana na mashoga.
Leta Story ya Kiongozi mkuu wa Hamas boss
😂😂😂kafa nini
Tyr amesha tangulia
Yule jamaa kafa
@@raydanfrenksio kweli Israeli wenyew wanahisi kua wamemuua lakini hawana uhakika
@@kamanapomo7029Wameshathibitisha
Apa naona vita ya tatu vya dunia