Kaka mimi naishi new York 40 year ubaguzi ni mkubwa sana wa weusi yote Jama anayo zungumza sio kweli kabisa mimi pia niko na mke mzungu lakini ubaguzi marekani hupo tena sana
This guy is so smart, alinifundisha wakati Alikua udsm , jamaa akaenda usa, namimi pia nikaja USA . This is the guy man , nimejifunza mengi sana mazuri kwake, mungu ukuzidishie . 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Mzee ameongea tu, but sio ukweli kabisa, kuna wazungu wakaidi saana tu, na wa Baguzi saana tu kuliko watu weusi. Wazungu ni wajanja, coz anakuchukia but ataki kukuonesha, unaelewa kwakuona gisi atakuwa anakuudumia ao ku elekezwa. Watu wenye wanaishi USA 🇺🇸 wanajuwa. Like kama tuko pamoja. All the way from Atlanta Georgia 🇬🇪 🙌
Jamaa ameniangusha Sana! Kaielezea dhana ya ubaguzi kijuu juu mnooo! Hajaenda deep kabisa! Suala la ubaguzi marekani ni suala la kimfumo! Lilikuwepo, lipo na litaendelea kuwepo!
George bucharchard: ubaguzi upon na utaendelea kuwepo Africa yenyewe weusi kwa weusi wanabaguana saana tena saana, ndani ya ma inchi za Africa watu wanabaguana saana sababu ya makabila mpaka kama wewe ni wa kabila fulani huwezi ku owa wala kuolewa kwa kabila fulani, mpaka watu wanabaguana sababu ya dini ambazo tuliletewa, kwani kunaubaguzi kuliko hizo?
Kafanyaje huyo ndugu? Na hao weusi nao pia wanamatatizo makubwa. Mtu akiombwa ID inakua shida kwao weusi pia! Tunaishi nao tunawajua sana na tabia zao za ajabu, maofisini afadhali nikutane na mzungu ofisini maana hao nitatoka na uduma yangu lakini kutana na mweusi uhusikie mziki wa tabia zao! INDEED brother, All life MATTERS tena sana tu!
@@hamzacedricole3673 sasa wewe mwenye akili mbona hurudi nchini kwenu ili usibaguliwe 😂😂😂kweli kupatwa kwa wenye akili ubaguzi uko kwanzia familia sasa ijekuwa kwenye nchi za watu
Nyie simulizi na sauti mmepata mtu ambaye hajui kitu, na sishangai hapa Marekani rafiki zake wote wazungu, akitoka na wakwe zake wazungu pia… hivyo hajui historia ya Marekani nimeanza tu kumsikiliza naona anaongea pumba! Wapo wageni wanaokuja Marekani wengi kama yeye ni vipofu hawaoni kweli yoyote kwasababu ya watu fulanifulani wanaokaa nao… mmepoteza muda wenu kumuhoji huyo mume wa mzungu… tafuteni mtu hasa ana experience yakukaa na weusi na mwenye kujua historia…
Kuna utofauti mkubwa kati ya public na private schools hapa umarekani. Quality ya Elimu ya public schools ni ya kawaida. Lakini ya private ni ya juu sana. Pia malipo ya public ni ya kawaida. Most of people can afford paying it. Lakini malipo ya private school yako juu. Wachache ndio wanaweza ku afford kulipa.
Alafu weusi wengi wa Marekani hawapendi kifanya kazi, wanapenda Maisha ya Mtelemko, Serikali iwape sosial walfare, food stamps Yaani wako wako tu hata hawajielewi, hata kusoma hawapendi, tena wanapenda kushot hao, siraha nje nje kwao
@@monicahovda4524 acha uongo wewe, stop generalizing people! wewe ndio wale wale, na watu kama nyie ndio uwa mnabaguliwa ila mnajichekesha tu adi siku ndugu yako limtokee la kumtokea ndo utajua ahaa kumbe ndio iko ivi
@@vanessalaizer4363 una uhakika sisi tumekaa us tumejionea hayo matukio ya wazungu kufanyiwa na weusi hayatangazwi Sanaa lakini mtu mweusi yanashadadiwa sana
Acha uongo check sura yake inafanana nauongo kwaiyo unataka kusema kuwa watu weupe na weusi wanakufa Sana ni weupe yani ww naona uka pimwe tu amaunafikilia watanzania nivichaa kusikiliza pumba zako cheki sura yake unalopoka kama umebanwa na mlango
Seriously jamaa anaelewaaa sanaaa juu ya issue ya ubaguzi in general mm naishi india na nimeoa mwindi na nina mtto ambae ni half caste swala la ubaguzi lipoo baina ya sisi kwa sisi so ubaguzi upo but ina depends na mazingira
🤔Ubaguzi upo wa aina nyingi. Kila mtu ni mbaguzi kwa aina yake. Mimi mwenyewe ni mbaguzi. Ubaguzi wangu sipendi mtu yoyote aliepewa hifadhi kwenye nchi fulani anapata malazi, chakula na usalama wa maisha yake, halafu anakuwa aidha mvivu wa kushiriki kazi au mambo ya kijamii kwa maslahi na ustawi wake au pia mtu kuwa mwizi🤔. Hii tabia mimi ninaibagua kwa nguvu zote. Mimi nilitembelea Mikumi National park nikiwa Mtanzania nimetozwa dola za Kimarekani eti kwasababu mke wangu ni Mzungu, huu pia ni ubaguzi kwasababu nilitakiwa kulipa shilingi za Kitanzania na wahusika walikataa katakata. Na sio Mikumi tu hata mahotelini nilitozwa dola. Kwahio ubaguzi upo wa namna nyingi🤔.
Wazungu wanaongoza sana kwa ubaguzi angalia viza ya mtu mweusi akitaka kwenda uraya jinsi anavyo teseka , yeye mzungu viza anailipia akisha fika africa na angalia jinsi diploma ya mtu mweusi hawezi kuajiliwa uraya eti kwasababu kaisomea africa, angalia mila zetu wameziharibu sana hakuna heshima ya mwafrika Nini hiki harafu huyu kaka anaongea kama mtu anaye jipendekeza kwa kutaka maisha ya mtelemko achana na uhuru wa mwafrika tumeonewa sana. huyu kaka hakupata shida ya kufika uraya anaonekana roho ya kizimbe bado anayo.
Usilalamike wanaogopa usije enda kuzamia kwao. Ili kuukimbia umasikini wako, Swali: pochi lako linaongea. Yaani mhamala unasoma huko Bank. Muhamara ukisoma Bank hapo sio ngumu kivile kupata Visa,
Kabla sijafika mbali nishamuona mtazamo wake, huyu ni wale wanaotetea wazungu na itakuwa hajakaa muda mrefu uko aliko. Hawa ndio wanaojipendekezaga kwa wazungu na wasaliti kwa weusi wenzao. I know this type
Mara ngapi sisi hapa Tanzania unanyimwa kazi kisa Kabila na anakuja mtu wa Kabila lao anapewa kazi je siyo ubaguzi?? Watanzania walimuita Diatta nyani yule mchezaji wa Senegal siyo ubaguzi.??? Hakuna anaetetea ubaguzi ila ukweli ni kwamba sisi ni wabaguzi tena kushinda wazungu ila kosa lao wao ni ngozi yao nyeupe, Tanzania ilimbagua diata hadi Diata akapewa nafasi ya utaliina serikali hilo tusemeje
Ni vigumu ku CONCLUDE kupitia maneno ya mtu mmoja wa kutoka Umarekani. Ni vizuri kuoji watu wengi kutoka kwenye majimbo (States) tofauti, na wafanya kazi tofauti. Kama huyo ni professional na anaowa mzungu, ni vigumu kujua ukweli kuhusu umarekani. I wish ndugu mtangazaji angetafuta watu wengine walio na maisha ya kawaida na wanao fanya kazi kwenye kampuni za nyama, na pia wasio ongea kiswahili vizuri. Utasikia mambo tofauti.
Na hiyo rangi ilivokolea ni chambo tosha cha kufatwa na wabaguzi. Usiombee ukakutana na mtu kama huyu uko nje anajifanya uzungu mwingi adi aibu, ila ngozi inakuwa inamsuta kwamba ”cool down meen you are black” not white. Na kama kaoa mzungu ndo kabisaaa ulimbukeni kama wote. Wanatiaga huruma kweli hawa wanaooaga wazungu. Utumwa kwa kwenda mbele
Kuna mambo ambayo amedanganya hapo. Hakuna mtu ambae anakatazwa kusema Christmas break. Kumbuka huyo ameoa mzungu kuna mambo ambayo hawezi kusema. Wamarekani hasa mke wake anaweza kumuwia kaa la moto. Watoto ambao ni Mix Hua ni wabaguzi na pia wazungu hawawaamini kijamii kama white bali blacks. Na hapo anapoishi sio lahisi kuishi ukiwa wewe ni mtu mweuzi na mke wako mweuzi. Naishi Marekani na wazungu hutumia madawa ya kulevya kuliko watu weusi. Lakini police wengi ni wako black neighborhood
Hapo siri ni kwamba ameanza kwakusema kua ana declare his interest. Kwahio nusu ukweli na nusu uongo. Hajaishi black neighborhood na ameoa mzungu. Usitegemee yeye kutoa siri yeyote
Unajieleza vizuri, me sijafika huko marekani na najua ubaguzi huwa una namna nyingi sana, hata minority kuwabagua majority hutokea pia, ila bado sijaelewa "mazingira ya kawaida haiwezi kutokea" hayo "mazingira ya kawaida" huwa yakoje au ni yapi?
Kuna weusi uku nje akiwa kaoa au kaolewa na mzungu yanakuwa kama mazuzu. Kwanza anajiona nae ni mzungu, pili anadharau waafrika wenzie, tatu anatetea mzungu hata afanye ujinga gani. Ndo huyu bwana hapa juu. Ila umo ndani moto anaowashiwa na mzungu anaujua mwenyewe. Kuutwa wako nje kutafuta wadada wa kiafrika wawapoze! Tunawajua vizuri mnooo. Mnatiaga huruma sana
@@dicksonexavery726 afu si unaona huwa wanaoa wale wazungu ambao wazungu wenzao hawawataki kabisaa, wao ndo wanawaokota afu wanajiona wajaanja then wanaishia kumiss wadada wa kiafrika
Usitudanganye sisi sio watoto, wazungu wangelikuwa sio wabanguzi wa rangi wasinge wakoloni watu weusi, wazungu ni wabanguzi wa rangi tena wa wazi, kwanini wao usema watu weusi ni nyani kama sio wabanguzi?
Unasahau Hao weusi Pia ndio chanzo cha ukoloni mgeni awezi kuja bila mwenyeji machifu walikuwa weupe mbona ndio waliongoza kuuza watumwa kwenye koo zingine
@@mariamdimosso621 kama ulifwatilia wakati George alikufa, kwa maandamano watu walijitokeza na kusema free fre black, maana yake ubanguzi wa rangi ni mwingi uko kwao, ni wabanguzi wa rangi, Africa ubanguzi wetu ni apa kwetu Africa, wazungu wanaingia kama choo hatuwabangui, lakini kwao wanatubangua mpaka kutuuwa, Argentina wanauwa weusi,
Wanzungu asilimia kubwa wabaguz sana na asilimia ndogo syo wabaguz, Asia nao hivyohivyo, ila Africa Asilimia kubwa siyo wabaguz ila asilimia ndogo ndo wabaguz tena baadhi ya makabila. Ila roho mbaya tunayo sanaaaaa mtu akifanikiwa hatak mwenzake afanikiwe tena hata kumpa ushaur tu fanya hiv na fanya hiv utafanikiwa Hakuna sanasana anataka akutumikishe tu,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, Hakuna boss anapenda mfanyakaz afanikiwe never😂
Ubaguzi wa ajabu upo Russia haja miji midogo unaweza juta kwenda kusoma uko yani ata black akiuliwa police hawajigusi wala vyombo vya habari havitangazi
Huyu Mzee ANAONGEA points za nguvu sometimes waafrika wanajiwekea ubaguzi wenyewe imagine mzungu akija Africa anaoigwa na beinza bidhaa lakini mwafrika akienda Marekani alipigwa bei anasema anabaguliwa
Sidhani kwamba kuna Mzungu ambae hajui mtu mweusi. Amedanganya naishi Marekani. Na ubaguzi upo Marekani kwenye kila jambo. Na watu weusi wameandaliwa kua maadui wao kwa wao na hayo anayosema ndo matokeo. Ameogopa kutokuruhusiwa kurudi hapa kwakua anajua wanamfuatilia.
@@celifpower4993 wanaosema hawajawai kubaguliwa ni waongo sanaa. Tena bora wanawake, wanaume wa kiafrika hawapendwi kabisa na wazungu habari ndio hiyo. Niko nje miaka 30 now nalijua hilo vizuri mnoooooo
Wewe acha kua mtumwa kwakua umeokotwa na mzungu Pumbavu wee Yani unataka kuaminisha eti wanzungu marekani wanaonewa wakati juzi tu wametoa dogo aliyeuwawa kwa makusudi na wamarekani Nenda mbele mtumwa wewe
@@citylinkproject9901 much know kivipi?? Mbona siku elewi kaka......hata hivyo, ushawahi katika maisha yako skia mtanzania kafanyiwa ubaguzi Kenya....?
Usiskilize ujinga wa mtu mweupe Mim nipo USA pako ubaguzi wa black and white ni mkubwa sana na utaletaga mtafaruko mkubwa siku moja tu maana kila kukicha hapakosi majanga ya black and white uyo anatetea ngambo ya mke wake
@@hamzacedricole3673 wee acha kupotosha watu alie kufunga kamba usirudi kwenu mahali hakuna ubaguzi ni nani? Ivi Africa hakuna watu wanauwawa wengine wanafungwa bila sababu?
Huyu jamaa Mpumbavu anatoka Marekani ya wapi? Watu weusi ni asilimia 11 Kati ya wamarekani million mia tatu. Ukieka ulinganisho yaani average ukiua Marekani mmoja mweusi ni karibu na kuua hata watu arubaini weupe. Halafu huyu jamaa ni.pumba kweli watu weusi wameteswa Sana hapa na wanaendelea kuteswa kutokana na mfumo baguzi iliojengeka tangu enzi za ukoloni ambapo mtu mweusi alihesabika kama mnyama.
Suala la ubaguzi marekani sio mweupe tu kum'bagua mweusi hata weusi kwa weusi wanabaguana,mmarekani mweusi wengi hua hawawapendi waafrika na hio ni obviously.
Unaogopa ilo swali la watoto haujibu mixed yao niko Malekana mixed wote ni mweusi hata ndani ya record ni mweusi baba awe muzungu mama mweusi mutoto ni mweusi
Jioendekeze to. Mtu mweusi hana ubaguzi wa rangi ila hapendi kupumbazwa Tu. Wewe unaongea pumba kisa unawaogopa mkeo na jamaa zake .na wanakutumilia Tu na ukizeeka ndio utajuwa wazuri au wabaya
Nipo Alaska ni jimbo la Marekani ambalo lipo karibu na Russia na Canada Weusi ni daraja la pili, mambo mengine siyo ubaguzi, kutokana na udaraja wetu, ubaguzi hautatoweka Duniani”
Kaka mimi naishi new York 40 year ubaguzi ni mkubwa sana wa weusi yote Jama anayo zungumza sio kweli kabisa mimi pia niko na mke mzungu lakini ubaguzi marekani hupo tena sana
Umeonaeeee
Amesema upo,,lakini hata Tz upo,,,msikilize vizuri utaelewa
Mr abdulsimbarakiye umeongea uwongo America akuna ubaguzi wa rangi ata kidogo niko Chicago 51 year
Na tanzania kuna ubaguzi
@@NR-ll4srshida ya watu hawasikilizi wakaelewa
This guy is so smart, alinifundisha wakati Alikua udsm , jamaa akaenda usa, namimi pia nikaja USA . This is the guy man , nimejifunza mengi sana mazuri kwake, mungu ukuzidishie . 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
As someone born in the States this guy is clueless of structured racism 🤦♂️
@@tafari988 tell me about it
Mzee ameongea tu, but sio ukweli kabisa, kuna wazungu wakaidi saana tu, na wa Baguzi saana tu kuliko watu weusi. Wazungu ni wajanja, coz anakuchukia but ataki kukuonesha, unaelewa kwakuona gisi atakuwa anakuudumia ao ku elekezwa. Watu wenye wanaishi USA 🇺🇸 wanajuwa. Like kama tuko pamoja. All the way from Atlanta Georgia 🇬🇪 🙌
Jamaa ameniangusha Sana! Kaielezea dhana ya ubaguzi kijuu juu mnooo! Hajaenda deep kabisa! Suala la ubaguzi marekani ni suala la kimfumo! Lilikuwepo, lipo na litaendelea kuwepo!
George bucharchard: ubaguzi upon na utaendelea kuwepo Africa yenyewe weusi kwa weusi wanabaguana saana tena saana, ndani ya ma inchi za Africa watu wanabaguana saana sababu ya makabila mpaka kama wewe ni wa kabila fulani huwezi ku owa wala kuolewa kwa kabila fulani, mpaka watu wanabaguana sababu ya dini ambazo tuliletewa, kwani kunaubaguzi kuliko hizo?
@@svt3 hapo ume nena..hapa Kenya viongozi wana uza sera zao kikabila
Kafanyaje huyo ndugu? Na hao weusi nao pia wanamatatizo makubwa. Mtu akiombwa ID inakua shida kwao weusi pia! Tunaishi nao tunawajua sana na tabia zao za ajabu, maofisini afadhali nikutane na mzungu ofisini maana hao nitatoka na uduma yangu lakini kutana na mweusi uhusikie mziki wa tabia zao! INDEED brother, All life MATTERS tena sana tu!
Ubaguzi hata Africa upo tena sisi kwa sisi mfano ni ubaguzi wa weusi kwa weusi wenzao yani wageni
Na sikitika, namna sisi waafrika, tuna waenzi wazungu....
Interview bora sana sana, nimejifunza mengi kupitia interview hii, Asanteni sana ma bro Mtangazaji na muhojiwa.
Brother wangu EBM Unawatetea saana Wazungu, Yani haujawa ongelea weusi magumu wanayopitia kwenye western countries, even asia countries🙌🏿.....
Huyo mjinga tu hata mim nipo hapa New York ubaguzi upo sana USA 🇺🇸 ten sana kabisa huyo anatetea sababu ya fuckin wife wake mjinga huo
Habar za Asia acha kabisaa tena upande wa ughaibuni ndio kabisaa
@@hamzacedricole3673 we anae kubagua ni nani!!? Kama unabaguliwa si urudi kwenu
@@hamzacedricole3673 Huyu ni Republican. Anaishi West Virginia
@@hamzacedricole3673 sasa wewe mwenye akili mbona hurudi nchini kwenu ili usibaguliwe 😂😂😂kweli kupatwa kwa wenye akili ubaguzi uko kwanzia familia sasa ijekuwa kwenye nchi za watu
Maelezo mazuri sana 👏👏 alafu kama wamefanana sana.
Yes wamefanana sana nadhani wanatoka sehemu moja
Na mm niliona wamefanana Hawa watu
Jamaa kaongea point sana memkubali
Sie weusi wenywe tunabaguana mwenzio akizidi weusi tu unaanza kumsema
Umeonaee, ni utumwa wa hali ya juu
Hahahahahahaha kwel kbs
Na wanaume wengi eti wanaangalia rangi wakitaka mwanamke.
@@vanessalaizer4363 Vanessa inamaana wanaume weusi wanaoa wazungu kwa fashion ila hawaridhiki nao kingono inabidi watafute black woman wapoze CIO?
Ukweli
ubaguzi uko kila mahala na kila nyanja . hapo Tzn tunabaguana kipato , kichama , rangi hadi imepelekea watu kutumia mikorogo n.k mbona hayajadiliwi ?
thanks broo, umeonge fact upande furani. its the same thing
Ubaguzi upo kila sehemu,,,,,hata Tz tunabaguana wenyewe kwa wenyewe,, sasa unategemea uende nchi za watu upendwe na kila mtu
Nyie simulizi na sauti mmepata mtu ambaye hajui kitu, na sishangai hapa Marekani rafiki zake wote wazungu, akitoka na wakwe zake wazungu pia… hivyo hajui historia ya Marekani nimeanza tu kumsikiliza naona anaongea pumba! Wapo wageni wanaokuja Marekani wengi kama yeye ni vipofu hawaoni kweli yoyote kwasababu ya watu fulanifulani wanaokaa nao… mmepoteza muda wenu kumuhoji huyo mume wa mzungu… tafuteni mtu hasa ana experience yakukaa na weusi na mwenye kujua historia…
Sisi wenyewe tunabaguana
🤣🤣🤣🤣
@@TheSebfred umeona enhee
We jamaaa anajua saanaa
Kuna utofauti mkubwa kati ya public na private schools hapa umarekani. Quality ya Elimu ya public schools ni ya kawaida. Lakini ya private ni ya juu sana. Pia malipo ya public ni ya kawaida. Most of people can afford paying it. Lakini malipo ya private school yako juu. Wachache ndio wanaweza ku afford kulipa.
Upo State ipi?
Hiyo kauli ya shule sio Marekani pekee ni kila mahali public schools haziwezi kuwa Sawa na private schools
Huyu jamaa atakuwa wa ujiji , anaongea sana duuuh
Kama mwijaku
Muha huyu
Mbona ni poa tu anaeleweka vizur sana
Uhakika huyu ni muha
@@zanzibarreaction3641 muha
Msikilizeni vizuri, yuko sawa
Hats sis I happy tunabaguana wenyewe kwa wenyewe.
Kabisa
Thanks to this guy pointing out racism in 🇹🇿, I experience it and I know it very well.
Alafu weusi wengi wa Marekani hawapendi kifanya kazi, wanapenda Maisha ya Mtelemko, Serikali iwape sosial walfare, food stamps Yaani wako wako tu hata hawajielewi, hata kusoma hawapendi, tena wanapenda kushot hao, siraha nje nje kwao
@@monicahovda4524 acha uongo wewe, stop generalizing people! wewe ndio wale wale, na watu kama nyie ndio uwa mnabaguliwa ila mnajichekesha tu adi siku ndugu yako limtokee la kumtokea ndo utajua ahaa kumbe ndio iko ivi
@@monicahovda4524 ni kweli kabisaaaa nilikua karifonia nilijionea hayo
@@vanessalaizer4363 una uhakika sisi tumekaa us tumejionea hayo matukio ya wazungu kufanyiwa na weusi hayatangazwi Sanaa lakini mtu mweusi yanashadadiwa sana
@@monicahovda4524 kazi yao kubwa ni kuvuta bangi na kuuza bangi
Nipo USA 🇺🇸 na huyu mzee anaongea upuuzi . Police awauwagi wazungu wenzao huku ni watu weusi ndio wanaonewa huku .
Upo state gani ndugu mie nipo Maryland
@@Mazoea nipo Chicago, Illinois
Ili kweli ni lipuuzi ile mbaya
Marekani ipi wewe ubanguzi ni tabia yako tuu anaongea ukweli ndo hivyoo mpuuzi mwenyewe
Nipped Arkansas mzee uogo
Kweli ata hapa bongo watu ni wabaguzi tu ni ile hajui
Acha uongo check sura yake inafanana nauongo kwaiyo unataka kusema kuwa watu weupe na weusi wanakufa Sana ni weupe yani ww naona uka pimwe tu amaunafikilia watanzania nivichaa kusikiliza pumba zako cheki sura yake unalopoka kama umebanwa na mlango
Haaaa
Wewe unaishi America?
Somo
Tumejifunza kitu hapa
Seriously jamaa anaelewaaa sanaaa juu ya issue ya ubaguzi in general mm naishi india na nimeoa mwindi na nina mtto ambae ni half caste swala la ubaguzi lipoo baina ya sisi kwa sisi so ubaguzi upo but ina depends na mazingira
Kabisa
🤔Ubaguzi upo wa aina nyingi. Kila mtu ni mbaguzi kwa aina yake. Mimi mwenyewe ni mbaguzi. Ubaguzi wangu sipendi mtu yoyote aliepewa hifadhi kwenye nchi fulani anapata malazi, chakula na usalama wa maisha yake, halafu anakuwa aidha mvivu wa kushiriki kazi au mambo ya kijamii kwa maslahi na ustawi wake au pia mtu kuwa mwizi🤔. Hii tabia mimi ninaibagua kwa nguvu zote. Mimi nilitembelea Mikumi National park nikiwa Mtanzania nimetozwa dola za Kimarekani eti kwasababu mke wangu ni Mzungu, huu pia ni ubaguzi kwasababu nilitakiwa kulipa shilingi za Kitanzania na wahusika walikataa katakata. Na sio Mikumi tu hata mahotelini nilitozwa dola. Kwahio ubaguzi upo wa namna nyingi🤔.
Wazungu wanaongoza sana kwa ubaguzi angalia viza ya mtu mweusi akitaka kwenda uraya jinsi anavyo teseka , yeye mzungu viza anailipia akisha fika africa na angalia jinsi diploma ya mtu mweusi hawezi kuajiliwa uraya eti kwasababu kaisomea africa, angalia mila zetu wameziharibu sana hakuna heshima ya mwafrika Nini hiki harafu huyu kaka anaongea kama mtu anaye jipendekeza kwa kutaka maisha ya mtelemko achana na uhuru wa mwafrika tumeonewa sana. huyu kaka hakupata shida ya kufika uraya anaonekana roho ya kizimbe bado anayo.
Usilalamike wanaogopa usije enda kuzamia kwao. Ili kuukimbia umasikini wako, Swali: pochi lako linaongea. Yaani mhamala unasoma huko Bank. Muhamara ukisoma Bank hapo sio ngumu kivile kupata Visa,
Issue za visa hapo ss SI viziongozi wetu ndo shida wazungu wanahusiana nini
Jamaa Understander Sana❤️
Point iko hvii..waafrika hatupendi kubadilishwa mentality.. PERIOD
Ndioo
Kabla sijafika mbali nishamuona mtazamo wake, huyu ni wale wanaotetea wazungu na itakuwa hajakaa muda mrefu uko aliko. Hawa ndio wanaojipendekezaga kwa wazungu na wasaliti kwa weusi wenzao. I know this type
Mara ngapi sisi hapa Tanzania unanyimwa kazi kisa Kabila na anakuja mtu wa Kabila lao anapewa kazi je siyo ubaguzi?? Watanzania walimuita Diatta nyani yule mchezaji wa Senegal siyo ubaguzi.??? Hakuna anaetetea ubaguzi ila ukweli ni kwamba sisi ni wabaguzi tena kushinda wazungu ila kosa lao wao ni ngozi yao nyeupe, Tanzania ilimbagua diata hadi Diata akapewa nafasi ya utaliina serikali hilo tusemeje
Amekaa mda mrefu
@@azizamohd5728 hana lolote uyu mtumwa tu wa wazungu uyu na bado atatia akili
Ni vigumu ku CONCLUDE kupitia maneno ya mtu mmoja wa kutoka Umarekani. Ni vizuri kuoji watu wengi kutoka kwenye majimbo (States) tofauti, na wafanya kazi tofauti.
Kama huyo ni professional na anaowa mzungu, ni vigumu kujua ukweli kuhusu umarekani.
I wish ndugu mtangazaji angetafuta watu wengine walio na maisha ya kawaida na wanao fanya kazi kwenye kampuni za nyama, na pia wasio ongea kiswahili vizuri. Utasikia mambo tofauti.
Shukran Sana kwa fikra zako
Point
Mbona unatufokea
Weka playback speed 0.75 utanishukuru baadae ✌🏿
Huyu jamaa anaongea vizur ila namna anavyotufikishia ujumbe anatufokea 🤣
Ndo anavyoongea
Asante
Point tupu
Una bahati hayaja kupata mtu mweupe yoyote anaubanguzi utake usitake kubali
Si wote,wapo weusi, wapo wahindi Marekani hii hii ni wabaguzi na wapo weupe wenye mioyo ya dhahabu.
Na hiyo rangi ilivokolea ni chambo tosha cha kufatwa na wabaguzi. Usiombee ukakutana na mtu kama huyu uko nje anajifanya uzungu mwingi adi aibu, ila ngozi inakuwa inamsuta kwamba ”cool down meen you are black” not white. Na kama kaoa mzungu ndo kabisaaa ulimbukeni kama wote. Wanatiaga huruma kweli hawa wanaooaga wazungu. Utumwa kwa kwenda mbele
Sasa wewe ukibaguliwa unawela rohoni si ujinga huo kwani ubaguzi hupo tu pande zote
Yap kwel brah apo nimekuelewa mzee
huyo ndo muha wa kwanza kuishi marekani vijijini
😂
Kuna mambo ambayo amedanganya hapo. Hakuna mtu ambae anakatazwa kusema Christmas break. Kumbuka huyo ameoa mzungu kuna mambo ambayo hawezi kusema. Wamarekani hasa mke wake anaweza kumuwia kaa la moto. Watoto ambao ni Mix Hua ni wabaguzi na pia wazungu hawawaamini kijamii kama white bali blacks. Na hapo anapoishi sio lahisi kuishi ukiwa wewe ni mtu mweuzi na mke wako mweuzi. Naishi Marekani na wazungu hutumia madawa ya kulevya kuliko watu weusi. Lakini police wengi ni wako black neighborhood
Vya kuambiwa hivo ebu fanya ufafanuzi
relaxing interview I can't stop watching 😊
Ndugu hawa weupe wanaubaguzi sana tunapitiya maumivu mengi Wa Afrika
Hapo siri ni kwamba ameanza kwakusema kua ana declare his interest. Kwahio nusu ukweli na nusu uongo. Hajaishi black neighborhood na ameoa mzungu. Usitegemee yeye kutoa siri yeyote
Yeah for real
Hilo ni kweli
Mr EBM nakubar
Ujakutwa na ubaguzi wewe kaa kwa kuturia😏
Hawajasafirii hao wape elimu
True story kbs me mwenyewe naishi USA
Upo state gani ndugu mie nipo Maryland
Huyu jamaa ako sahihi ,nayaona Holland 🇳🇱
Wewe unapotosha watu. Ubaguzi Marekani umewafanya watu weusi wanabaka kwenye umasikini.
Hawa ni watu muhimu sana, hawana choyo kwa wengine kutusua maisha
Unaongea sana bro ila ukwl ni weusi wanabaguliwa sana kuliko wazungu.wafungwa wengi umarekani ni weusi
Ubaguzi hauwezi kuisha mpaka Yesu arudi.
jamaa umefundisha kitu hapa
Kiukweli uyu kaka kaelezea kwa uzuri zaidi 🙏😘
Kaeleza kwa uzuri anakudanganyeni mliopo Tanzania sisi tuliopo nje hatumsapoti saba u ubaguzi umechukua nafasi sana kwa watu weusi
Jamaa amenifundisha mengi na amenibadilisha mind set sana kwenye perception za racism. Thanks🙏🏼🙏🏼
Perception mind ili amekubadilisha unaishi nje au upo Tanzania sasa ukija kuishi huku nje ndio utajua hujui kama amekubadilisha perception yako
Watanzania twawapenda sababu ya kukienzi lugha la kiswahili kote mwendako ...
Unajieleza vizuri, me sijafika huko marekani na najua ubaguzi huwa una namna nyingi sana, hata minority kuwabagua majority hutokea pia, ila bado sijaelewa "mazingira ya kawaida haiwezi kutokea" hayo "mazingira ya kawaida" huwa yakoje au ni yapi?
Waafrica wenyewe tunabaguana nakuzarauliana kisa rangi mpka wengine washaanza kujichubua kwa kuchekwa
Sana tunaona huko katika serikal ubaguzi hupo mkubwa sana
Yaani umesema ukweli watu wa nje hawana furaha kabisaa yaani kama huku UAE hakuna ata ujilani jamani kuna nchi hadi zinatia huruma.
Duuh pole jmn
@@lucyjeremia1381 ahsante dear
Nami wameshaniambukiza sina time na kujuana na mtu ni hatariii mtu tunaishi floor moja ila hatujuani wala salamu hakuna na si kwa ubaya
Wewe unataka ujiran wa nini, Mimi hata nikiwa Tanzanian Staki shobo
@@loveelooh1964 yaani ni raha na unajikuta una amani
Kuna weusi uku nje akiwa kaoa au kaolewa na mzungu yanakuwa kama mazuzu. Kwanza anajiona nae ni mzungu, pili anadharau waafrika wenzie, tatu anatetea mzungu hata afanye ujinga gani. Ndo huyu bwana hapa juu. Ila umo ndani moto anaowashiwa na mzungu anaujua mwenyewe. Kuutwa wako nje kutafuta wadada wa kiafrika wawapoze! Tunawajua vizuri mnooo. Mnatiaga huruma sana
Eti Vanessa unamaanisha hawaridhiki na hao wake zao kingono kwahyo inamlazimu apate mwanamke mweusi ili ijikidhi au??
@@dicksonexavery726 exactly ndio maana yake. Wanatusumbua sana wanawake wa kiafrika hawa waliooa wazungu.
@@dicksonexavery726 afu si unaona huwa wanaoa wale wazungu ambao wazungu wenzao hawawataki kabisaa, wao ndo wanawaokota afu wanajiona wajaanja then wanaishia kumiss wadada wa kiafrika
@@vanessalaizer4363 hahaha aki wewe! Ila umenena, mara mingi waafrica huwa tunapata mabakisho.....
Usitudanganye sisi sio watoto, wazungu wangelikuwa sio wabanguzi wa rangi wasinge wakoloni watu weusi, wazungu ni wabanguzi wa rangi tena wa wazi, kwanini wao usema watu weusi ni nyani kama sio wabanguzi?
Unasahau Hao weusi Pia ndio chanzo cha ukoloni mgeni awezi kuja bila mwenyeji machifu walikuwa weupe mbona ndio waliongoza kuuza watumwa kwenye koo zingine
Kwel kabisa
@@mariamdimosso621 kama ulifwatilia wakati George alikufa, kwa maandamano watu walijitokeza na kusema free fre black, maana yake ubanguzi wa rangi ni mwingi uko kwao, ni wabanguzi wa rangi, Africa ubanguzi wetu ni apa kwetu Africa, wazungu wanaingia kama choo hatuwabangui, lakini kwao wanatubangua mpaka kutuuwa, Argentina wanauwa weusi,
@@shakila3982 kama wana wabagua hadi mnakufa kwahio wewe ulie cmt mi ni mzimu ulie uwawa na wazungu.?
@@celifpower4993 we kwani umekaa miaka mingapi ulaya or uko uliko? Tuanzie hapo
Sio kweli kwamba mzungu akiuliwa Media zinakaa kimia sio kweli huyu jamaa kaolewa hafai.
MUNGU AWABARIKIE SANA KTK FAMILIA YENU WOTE SNS AMEEN
BABY SKY UKO WAPI SIKU NYINGI SIJAMUONA MM NI DADAAKO MPENZI KUTOKA OMANI
Wanzungu asilimia kubwa wabaguz sana na asilimia ndogo syo wabaguz, Asia nao hivyohivyo, ila Africa Asilimia kubwa siyo wabaguz ila asilimia ndogo ndo wabaguz tena baadhi ya makabila. Ila roho mbaya tunayo sanaaaaa mtu akifanikiwa hatak mwenzake afanikiwe tena hata kumpa ushaur tu fanya hiv na fanya hiv utafanikiwa Hakuna sanasana anataka akutumikishe tu,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Hakuna boss anapenda mfanyakaz afanikiwe never😂
Jamaa liongo sana npo apa new York ubaguzi ni mwingi sana
Thanks for your education
Ubaguzi wa ajabu upo Russia haja miji midogo unaweza juta kwenda kusoma uko yani ata black akiuliwa police hawajigusi wala vyombo vya habari havitangazi
Duh
Wabaguzi namba moja duniani ni wapemba namba2 wachaga alafu ndio wanafata wazungu
🤣🤣
Hahaahha
Hii kali nimeielewa
😆😆😆😆wanajuana kwa vilemba sio?
😆😆😆😆😆😆😆
Huyu jamaa anatoa facts ...muda mrefu hii kitu nilikuwa nafuatilia na finaly the guy speaks
Huyu Mzee ANAONGEA points za nguvu sometimes waafrika wanajiwekea ubaguzi wenyewe imagine mzungu akija Africa anaoigwa na beinza bidhaa lakini mwafrika akienda Marekani alipigwa bei anasema anabaguliwa
thanks bro 🇺🇸nimejifunzakitunying hatakitabu chamtoto kamazawadi❤
Sidhani kwamba kuna Mzungu ambae hajui mtu mweusi. Amedanganya naishi Marekani. Na ubaguzi upo Marekani kwenye kila jambo. Na watu weusi wameandaliwa kua maadui wao kwa wao na hayo anayosema ndo matokeo. Ameogopa kutokuruhusiwa kurudi hapa kwakua anajua wanamfuatilia.
Asante, ndio hii wagawanye watawale.
@Brarry we unaishi marekani ambayo wengine hawaishi ulisha baguliwa na nani?
@@celifpower4993 wanaosema hawajawai kubaguliwa ni waongo sanaa. Tena bora wanawake, wanaume wa kiafrika hawapendwi kabisa na wazungu habari ndio hiyo. Niko nje miaka 30 now nalijua hilo vizuri mnoooooo
Kashakuwa pandikizi WA USA Tanzania 🤣🤣🤣🤣🤣
@@celifpower4993 mimi nimesha nusulika kupigwa lisasi mala 2. Na ukiwa Marekani nilazima ubaguliwa ukiwa mtu mweusi
Wewe acha kua mtumwa kwakua umeokotwa na mzungu
Pumbavu wee
Yani unataka kuaminisha eti wanzungu marekani wanaonewa wakati juzi tu wametoa dogo aliyeuwawa kwa makusudi na wamarekani
Nenda mbele mtumwa wewe
Huyo muongo mm mwenyewe nimezurura huko anaposema ubaguzi ni mkubwa sana
Watu weupe wote wabaguzi usiseme llte
Safi sana brother
Tanzania kuna ubaguzi pia hawapedi inchi zingine za Africa
Hapa ni kweli...hata mna bagua wakenya, na ndo ndugu zenu wa kwanza...
Tatizo kenya ...wajifanya "much know" hapo ndio tunaachana...kila mmoja ashike lake
@@citylinkproject9901 much know kivipi?? Mbona siku elewi kaka......hata hivyo, ushawahi katika maisha yako skia mtanzania kafanyiwa ubaguzi Kenya....?
Kiukweli tumefayidika Sana kabixa Yani tunahitaji watu kama hay ili tufayideke Sana 💚♥️🇸🇦
Usiskilize ujinga wa mtu mweupe Mim nipo USA pako ubaguzi wa black and white ni mkubwa sana na utaletaga mtafaruko mkubwa siku moja tu maana kila kukicha hapakosi majanga ya black and white uyo anatetea ngambo ya mke wake
@@hamzacedricole3673 sasa si urudi unalalamika na bado uko huko yaani sisi wa Tz 😂😂😂
Shukurani
@@hamzacedricole3673 wee acha kupotosha watu alie kufunga kamba usirudi kwenu mahali hakuna ubaguzi ni nani? Ivi Africa hakuna watu wanauwawa wengine wanafungwa bila sababu?
Nimekuelewa sana bro,
Ameongea point kubwa mno
Point kwa watu wapo africa sio sisi watu weusi tunao ichi hapa USA 🇺🇸 tunajua jinsi ubagizi ilivyo uyo anatetea upande wa mke wake mjinga sana
Hahaha aisee ukosahihi
Huyu jamaa ni muongo anatetea usingizi wake. Hizo takwimu zake ni za uongo tunaishi USA 🇺🇸 kama yeye pia. Asiseme uongo
we pia uko USA
Anachoongopa ni kitu gani basi na wewe tafuta huo usingiz acha jealous za kijinga
Kaka state na state ni tofauti
Sasa c ungeongeya ww sasa au umeongeya ili tujue kuwa uko marekani.
Huyu jamaa Mpumbavu anatoka Marekani ya wapi? Watu weusi ni asilimia 11 Kati ya wamarekani million mia tatu. Ukieka ulinganisho yaani average ukiua Marekani mmoja mweusi ni karibu na kuua hata watu arubaini weupe. Halafu huyu jamaa ni.pumba kweli watu weusi wameteswa Sana hapa na wanaendelea kuteswa kutokana na mfumo baguzi iliojengeka tangu enzi za ukoloni ambapo mtu mweusi alihesabika kama mnyama.
Hajasoma history wala hajui chochote
@@fatumachagudadui3138 wewe unajuwa history kuja siku moja uhojiwe.
Suala la ubaguzi marekani sio mweupe tu kum'bagua mweusi hata weusi kwa weusi wanabaguana,mmarekani mweusi wengi hua hawawapendi waafrika na hio ni obviously.
Uyu Jamaa anafaa kuwa Mchungaji 😂😂😂
Mmh atachukua nafasi ya Yuda iskariote
@@vanessalaizer4363 mbona unamchukia
@@vanessalaizer4363 tunaomba ushare historia yako dada ,naona unauchungu sana na huyu bwana ...maana kila sehemu unacritisize ...tusaidie tujue ukweli
Mimi sikuelewi kabisa unaongea kama kutoka Zaire,
ubaguzi pa'ande zote mbili upo
Bora umeona
Unaogopa ilo swali la watoto haujibu mixed yao niko Malekana mixed wote ni mweusi hata ndani ya record ni mweusi baba awe muzungu mama mweusi mutoto ni mweusi
Madudu gani hiyo nimeipenda
Jioendekeze to. Mtu mweusi hana ubaguzi wa rangi ila hapendi kupumbazwa Tu. Wewe unaongea pumba kisa unawaogopa mkeo na jamaa zake .na wanakutumilia Tu na ukizeeka ndio utajuwa wazuri au wabaya
Wahoo ongera Sana,ukijibagua watakubagua,
nimemwelewa kaka mkubwa ameongea pointi sana
Tupo bowling green Kentucky USA hapa, anachokiongea mtu huyo ni kweli, hatuoni ubaguzi bali kuna undugu tu na ambao bado upo hata kwa waafrika
Anaongea upuuzi wewe utakua ni mgeni USA 🇺🇸
How to get there
Ni kweli kabisa, Watanzania tunabaguana wenyewe kwa wenyewe na mimi yalinikuta airport, na kwenye bar.
Mbona kama mmefanana kwa mbali
Yeah, hawa wawili ni very intelligent
Nipo Alaska ni jimbo la Marekani ambalo lipo karibu na Russia na Canada Weusi ni daraja la pili, mambo mengine siyo ubaguzi, kutokana na udaraja wetu, ubaguzi hautatoweka Duniani”
Poleeee sanaaaaaaa kk ni moja ya changamoto lkn
Baba usifananishe maisha ya nchi zilizoendelea na zilizoendelea....halafu nahisi unaishi sehemu mbaya,,,unasema mananasi na maembe mabaya,, mhhh
Tafadhali siku moja mwende live na yeye on the same issue wangine waweze kujibu kwa hizo comments zake. A Anawaponda weusi kabisa
Tatizo nimshamba Hilo ndilo linalo msumbua
Nitumie liki Yake
Fantastic Guy
Makulilo ongea ukweli wazumgu wabaguzi sana tu sio hivyo unatetea
Hivi bana haipendezi bora uelezee wee mwenyewe