MSANII WA NANDY YAMMY AMPIGA MIKWALA ZUCHU /SITAKI KUFANANISHWA NAE / ANAJUA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2023
  • MSANII WA NANDY YAMMY AMPIGA MIKWALA ZUCHU /SITAKI KUFANANISHWA NAE / ANAJUA
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 86

  • @fatumamohammed2485
    @fatumamohammed2485 ปีที่แล้ว +9

    Nakuona mbali sana dadangu unajua kuimba napenda sana nyimbo zako.

  • @wahidamaulid9527
    @wahidamaulid9527 ปีที่แล้ว +13

    zuchu aachwe juz juz alikuwa anaekwa kwa Nandy zuchu mmja akaekwa kwa angela huyo huyo kwa yami ina mana mkali ❤️💯 but u team haufai umoja ni nguvu wanawake wenyewe wachache kwenye industry

  • @nairatomar9389
    @nairatomar9389 ปีที่แล้ว +7

    wenye wivu mjinyonge tyuu👌🏼❤️❤️ kw qeut Yammi mambo ni🔥🔥🔥 mjipange sn👌🏼🥳🥳🥳

    • @damaspius1620
      @damaspius1620 ปีที่แล้ว

      Siku zote wa2 uanza kwa moto badae upoa , bt ngj 2subr😊

    • @fadhilamlay407
      @fadhilamlay407 ปีที่แล้ว

      Kabisa

  • @user-me8vz7fe8o
    @user-me8vz7fe8o 9 วันที่ผ่านมา +1

    Kwanz huyu yammi hajui ata kuvaa kw kwel😂

  • @MussaChristopher
    @MussaChristopher ปีที่แล้ว +3

    Nandy huyo mtoto ume mtolea wap man ni fire

  • @user-me8vz7fe8o
    @user-me8vz7fe8o 9 วันที่ผ่านมา +2

    Zuchu kiboko we yammi kaa pembeni asaaa

  • @damaspius1620
    @damaspius1620 ปีที่แล้ว +3

    Zuchu ni zuchu yammi ni yammi ko mcjisheue kumchamba zuchu kisa yammi , kwan zuchu alivyoanza kuimba almtaarfu yammi uo ni unafki jaman wote ni wasanii wetu na wanaitaj support zetu so msifanye k2 kwa kukandamiza upande mmoja mpoo, tena tatizo la watanzania wengi wapo wapo 2 wanafata upepo ko kila m2 ana sauti yake ko mcfananshe fananshe ovyo .. Je yammi asinge kuwa msani mngemfanansha na nani zuchu¿¿¿??? Bt kazen buti cc 2pokwajr ya kuwa suport

  • @getrudaFransis-zo7kp
    @getrudaFransis-zo7kp 4 วันที่ผ่านมา

    Nakupend nlikupenda Zaid kweny tiririka

  • @fauziakitenge8061
    @fauziakitenge8061 ปีที่แล้ว +7

    Mnagombanisha watu kwa Kichwa Chenu cha habari…Mnataka kumuharibia wakati ni mtoto mdogo anajitafta mfyuuuu shenzy

    • @kalssambaboo9932
      @kalssambaboo9932 ปีที่แล้ว

      Hawa waandishi niwachonganishi sana hawa

  • @aminabashirmohamed5752
    @aminabashirmohamed5752 ปีที่แล้ว +4

    Usiguse Moto utanguunguzaaa,achana na zuchu namba one

  • @priscaphedrick5970
    @priscaphedrick5970 ปีที่แล้ว +13

    Katika wanamziki woote wakike bila uongo wala kupepesa macho ni RUBY sema tu wakumshika mkono ndio hakuna

    • @Mina.15
      @Mina.15 ปีที่แล้ว

      💯👌🏾 Ruby anasauti bwana wamemroga TU 😂

    • @kaxoghursantos2696
      @kaxoghursantos2696 ปีที่แล้ว

      Ruby inaonekana discipline hana yuke

    • @ZenaMsumagilo
      @ZenaMsumagilo 11 วันที่ผ่านมา

      Nimependa ulivyosema ukweli Ruby ni kifaa anajua

  • @user-oj4rw2jr7n
    @user-oj4rw2jr7n ปีที่แล้ว +1

    Yamy i like your songs❤❤❤❤❤ mungu akuzidishie

  • @lisauroble31
    @lisauroble31 11 วันที่ผ่านมา

    Yami unasauti nzuri weembo umenifrahisha

  • @salamalsawaqi1206
    @salamalsawaqi1206 10 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu bado mikojo mtupuuuu

  • @ashuu7772
    @ashuu7772 ปีที่แล้ว +6

    Zuchu ni hela ndio maana anafananishwa na wasanii wengi

  • @thedon8467
    @thedon8467 10 หลายเดือนก่อน +1

    HAKIAMUNGU ZUCHU NI MTANZANIA

  • @yusternyirenda7231
    @yusternyirenda7231 ปีที่แล้ว +13

    Vina muda basi zuchu she is something else wasikudanganye dada mgeni, yammi kuimba anaimba sawa lakini kumfikia zuchu bado mno, hizi comment za walimwengu dada mgeni zisikuvimbishe kichwa ukajiona wewe unajua mno bora uendelee kupambana ili ufike mbali nenda kwenye post za zuchu na interview za zuchu za zamani wakati ametambulishwa kuwa ni msanii mpya uone comment za waja zilivyokuwa nzuri nzuri kama hizi hizi zako lakini sasa ivi nenda kwenye post zake mpya na interview mpya uone comment anazopewa hahaha utafurahia shoo hao ndio vigwegwe wanaopatikana kwenye nchi inayojiita tanzania

    • @happinessburton7529
      @happinessburton7529 ปีที่แล้ว

      Hahahahha ashindan na boss wake kwanz

    • @sarishy0664
      @sarishy0664 ปีที่แล้ว +1

      Kwanii amesema anataka kumfikia zuchu😜

    • @yusternyirenda7231
      @yusternyirenda7231 ปีที่แล้ว

      @@sarishy0664 muulize huyo kilandage wako ndugu matangazaji aliyetuletea huo upuuzi

  • @SarahIbrahim-je1oo
    @SarahIbrahim-je1oo 8 วันที่ผ่านมา +1

    Acha wivu wewe humfiki zuchu

  • @Joylinemakeup
    @Joylinemakeup 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kumfikia zuchu bado sana my dear 😊

  • @kanyihambamontana5971
    @kanyihambamontana5971 ปีที่แล้ว +3

    Uyo ni moto sana,anamzidi zuchu mbaliiii kuimba tena bila wongo

  • @hadijachionda5580
    @hadijachionda5580 ปีที่แล้ว +3

    Anaweza sana

  • @zena6203
    @zena6203 ปีที่แล้ว +1

    Usijisifu unambio wakati hujakimbizwa subiri ukimbizweeee kwanza

  • @ushyentoabdulnunu8044
    @ushyentoabdulnunu8044 ปีที่แล้ว +1

    Hahahahahahaha weee Yammi kiboko zuchu ayumo ....Yammi mpole maskin n pia yaonekana life ilikuwa ngumu maskin ila kuwa msiriwa waja wambea dadangu

  • @rosejosephat9690
    @rosejosephat9690 ปีที่แล้ว +2

    Mbona mtangazaj anaongea na Yammy kama vile amemuelewa? Au nyie mnaonaj duuuuh! Au pengne hyo nmeiona pekeangu 🤷

  • @maalimkicheko8731
    @maalimkicheko8731 5 หลายเดือนก่อน

    Kwamfano ukimpiga Alafu Akakaa pembeni Akawa Anaimba lazima utoke chozi kwanini umempiga

  • @GraceWife-e7r
    @GraceWife-e7r วันที่ผ่านมา

    Saw

  • @user-do9fp4js3q
    @user-do9fp4js3q 14 วันที่ผ่านมา

    Yammmin nakukubar pambana dada angu

  • @raphaelbravo8432
    @raphaelbravo8432 ปีที่แล้ว +3

    Kuna msemo fulani niliusikiliza kwenye wimbo fulani eti umejifunza ngumi so unataka kupigana na Tyson... Utaweza kweli wewe dada, wewe si level ya Zuchu kwanza anza kushindana na bosi Wako umpiku.

  • @mwabiawahadi6247
    @mwabiawahadi6247 ปีที่แล้ว +11

    Zuch Humuenz Jipange Zuch Level Nyengine

    • @aishamagoshi2852
      @aishamagoshi2852 ปีที่แล้ว +1

      Amesemaanamweza

    • @anthonybanda4483
      @anthonybanda4483 ปีที่แล้ว

      Who said so

    • @mwanaidibushiri9048
      @mwanaidibushiri9048 ปีที่แล้ว

      Achen kugombanisha wa2 jamani kama unaon hajui kaimbe wewe all in all wanaweza

    • @damaspius1620
      @damaspius1620 ปีที่แล้ว

      Daaah wasanii wanakazi sana cjuh wanaona wanachoongea mashabiki

  • @hasaniomary9399
    @hasaniomary9399 ปีที่แล้ว

    Zuchu sio levo ya nand jaman labda gani na wasanii wengine chipukizi

  • @HannanAlly-o8k
    @HannanAlly-o8k 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    We mtoto was juzi tuuu funga ilo domo lako

  • @user-hn6vo2sn6e
    @user-hn6vo2sn6e 11 หลายเดือนก่อน

    Hata pi a zuchu alianzia chini poa yeye alilia xaa pia kitu chaanziwa chini msaport ni moto sana

  • @mwanamisimwangaro8001
    @mwanamisimwangaro8001 ปีที่แล้ว

    Zuchu apingwi kwakua yuko kwa diamond( wasafi) tu ngoja pekeake kama nandy ama wasanii wengine ....atakua chini sana tu

    • @antonywilliama2868
      @antonywilliama2868 ปีที่แล้ว

      hasa huyu yami si ndo anajitafta mmeshaanza kumjaza kichwa

  • @fbr5113
    @fbr5113 ปีที่แล้ว +4

    WASANII WANAUME WANAHANGAIKA NA DIAMOND WANAWAKE NA ZUCHU DUH KWELI NDIO UJUE KWAMBA DIAMOND NA ZUCHU NI TISHIO NA NDIO WAKO JUU KULIKO WASANII WOTE TANZANIA NA EAST AFRICA

  • @idayaassumani4102
    @idayaassumani4102 ปีที่แล้ว +3

    ❤❤

  • @aishamohamed9981
    @aishamohamed9981 4 หลายเดือนก่อน

    Mama alikua sawa kukataa usiimbe... Mbele ya Mungu anamajibu...

    • @TopTop-vo6pe
      @TopTop-vo6pe 13 วันที่ผ่านมา

      Hujamfikia zuhura dada, nandy ackudanganye, zuhura motor sana, jitahidi sana ukitaka mfikia zuhura

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya ปีที่แล้ว

    Wa tz bhana,!!!,🤔 saivi zuchu mumemsahau, mumeisahau, watsubir Sana , mwambie apunguze kampeni, Jimbo rshacukuriwa, my namba one na ley,vanny, na lmiss you , na vanny Yan arisema sere gogo, na kwikwi na sukari nanisamee na, ninamuogesha namnyonyesha,na nyumba ndogo,,,, na kpendwa lahaa zngnezo aloimba na mboso na wasan wengine na wa injee za kngereza zilzofanya vzur , mpaka leo nandy mwenyewe kwa zuchu hagusi iweje huo mwenye mipua Kama ya babalevo anamzidi, labuda zuchu ashindanihwe na sarafina sio huo kijuso🤧🤧🤧🤧zuchu 🤍🤍🤍🤍

    • @damaspius1620
      @damaspius1620 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂 umeamua utaje kbsa na orodha ya nyimbo za zuchu 😂😂😂😂😂😂 we kiboko bac taja naza yammi😋😋

  • @SharrifCharo-mi1bn
    @SharrifCharo-mi1bn 9 หลายเดือนก่อน

    Sasa huyu unamuigiza zuchu

  • @user-up7lr3fe5j
    @user-up7lr3fe5j 10 หลายเดือนก่อน +1

    Zuchu kama zuch

  • @maalimkicheko8731
    @maalimkicheko8731 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu Anaweza duu hii nibayyati maimuna

  • @patimamadaha9160
    @patimamadaha9160 ปีที่แล้ว

    Iko kipand3ee nakipenda mno

  • @user-us7id9hp7p
    @user-us7id9hp7p 4 หลายเดือนก่อน +4

    Ucmfananishe zuhura na vitu vya ajabuuu

  • @ghadaalzuhari2739
    @ghadaalzuhari2739 ปีที่แล้ว +4

    Mashallah unajywa❤️

    • @asiaedward5247
      @asiaedward5247 ปีที่แล้ว

      Ul

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 ปีที่แล้ว +1

      Wanaowapaisha Zuchu na Diamond ni hao hao watangazaji na ndio hao wanawaharibia kwa madongo yao. Wasanii wengine wanahangaika na maisha yao tu hawana muda wa ugomvi.

  • @watuhuru6128
    @watuhuru6128 ปีที่แล้ว +1

    Bila zuchu mambo hovyo

  • @rukiaathumanathuman7875
    @rukiaathumanathuman7875 6 หลายเดือนก่อน

    Yaamy yuko moto

  • @salamalsawaqi1206
    @salamalsawaqi1206 10 วันที่ผ่านมา

    Anaibaga taarab

  • @PriscaCassian-xd6dw
    @PriscaCassian-xd6dw 8 หลายเดือนก่อน

    Yami kaza unaweza sana tu

  • @watuhuru6128
    @watuhuru6128 ปีที่แล้ว +1

    Walikuja kina anjela we uombe mungu

  • @wahidamaulid9527
    @wahidamaulid9527 ปีที่แล้ว +5

    mkali ila zuchu asithubutu kushindana nae asivimbe kichwa kiivo 😂 zuchu level zile

    • @halidhemed7524
      @halidhemed7524 ปีที่แล้ว +1

      Label inambeba... Ila talent n kawaida

    • @wahidamaulid9527
      @wahidamaulid9527 ปีที่แล้ว

      @@halidhemed7524 na uyo nae c kabebwa na lebo au zuuuchu achwe jitihada pia anayo

    • @halidhemed7524
      @halidhemed7524 ปีที่แล้ว

      @@wahidamaulid9527 ulivyosema asithubutu kushndana nae .... Wote walkuwa hawafahamik.... Ila kiuhalisia bila kuangalia nan kaanza kutoka kwng game.... Mwny talent ya kuimba Yammy sio Zuchu, hii haimaansh kwmb Zuchu hajui kuimba.. lahasha

    • @wahidamaulid9527
      @wahidamaulid9527 ปีที่แล้ว +2

      @@halidhemed7524 zuchu anajitihada na talent yami nyimbo zake hazifikii za Zuchu uwo nd ukweli sema watu Zuchu huangalia makosa sana kama ile performance alosema mic sijui watu tena nd sababu ya kumuona kuwa zuchu hana kipaji mi naona siyo kweli ata iyo lebel ingebeba watu wengi wakafika level za zuchu mbna wameshindwa je una uhakika ata fika level xa zuchu? siamini msanii ukiwa huna jitihada hata lebel mzigo 2 kina angela wamefika wapi ,lavalava au hata mbosoo hana ata tuzo na yupo lebel iyo unosema zuchu hana lolote kabebwa

    • @wahidamaulid9527
      @wahidamaulid9527 ปีที่แล้ว

      @@halidhemed7524 tumuangalie mana pia zuchu hakuanza vibaya alianza vizuri zaidi ya yammi na akaendelea na kukua zaidi hii haimaanishi kila msanii anaweza wapo waloanza vizuri ila kumeintein nd mtihani

  • @user-gu3ft5ym8p
    @user-gu3ft5ym8p 8 หลายเดือนก่อน

    Inatisha nakupenda

  • @aminumlekeni1397
    @aminumlekeni1397 ปีที่แล้ว

    Oyo mikwala sas

  • @Amisikashindi.
    @Amisikashindi. ปีที่แล้ว

    ✌️✌️