Pitio la Kitabu: Baraza ya Majestic na Machinjioni kwa Bamkwe
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Kwa lugha nyepesi ya Kiswahili fasaha, Kiunguja, Ibrahim Mohammed Hussein, anasimuliya kwa uwazi na ujasiri mkubwa, yale yaliyomsibu baada ya kuuwawa Rais wa Kwanza wa iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, na Mwenyekiti wa Kwanza wa Baraza la Mapinduzi, Sheikh Abeid Amani Karume. Mohamed Said na Mohammed Ghassani wanakipitia kitabu hiki kipya kilichochapishwa na Buluu Publishing baada ya kuhaririwa na Mohamed Saleh na kuwekewa dibaji na Ahmed Rajab. Karibu.
Hasbuna Allah Wani'mal Wakiil kwa kila dhalim mpaka siku ya qiyama. Allahumma Ameen Yaarabil Aalamiin
Wallahi inasikitisha na kuliza. Dhulma haiwezi kudumu!
nitakitafuta inshaAllah. shukran kwa ufafanuzi, Allah awalipe kheir
Kuna ulazima wa mambo haya kusimuliwa na kuelezwa kila mahala ili sisi kizazi cha leo tuyajue kwa sababu kuna mengi ambayo tulikuwa hatuyajui.
Hakika
Watawala hawataki vizazi vya Leo wajue ukweli wa udhalim uliofanyika Zanzibar,wanajua kuwa ni dhuman isionamfano
Nakipenda Kiswahili cha Zenji jamani. Kina vionjo vyake vilivyojaa Lahaja busara za mtu mwenye hekima kama kiarabu vile. Waooo!
Hakina tofauti na wazaliwa wa visiwa vya Kenya
Nakumbuka marehemu Aunty khadija baramia alilia siku ya mwanzo kuiimba hii nyumba nakumbuka nilikuwa mdogo
Hapana aliejifunza kwa sababu Serikali inayaficha ili watesaji wazidi kutesa watu kwa maslahi ya CCM
Allah awalinde na akupeni umri mrefu na akulipeni heri nyinyi na familia zenu na akupeni husni hatma njema ameen
Nafikiri tukipe jina kabisa hcho kitabu cha " walio jifanya waungu watu" Mwisho wa maji n'tope
Wapi tutakipata kitabu na kiasi gani
Ndio maana Zanzibar (Unguja na Pemba) haikai sawa wala haina barka kwa dhulma na mabaya walofanyiwa. NCHI imejaa watu lakini hawaijuwi nini Zanzibar na wangeijuwa kweli Zanzibar basi wote wangekimbia.
Shekh mohd lazima ujue kama wengine hawana uwezo wa kukipata hicho kitabu,,tunategemea hivi vipindi vyenu kuelimika,,sasa mkificha baadhi ya vitu muhimu ,mnatughini sana
Dunia Mapito na hawa wauaji watakufa Watayakuta waliyoyatenda
Inauma na inasikitisha mnoooo la kushangaza mpka leo yanaendelezwa licha ya watu kushinda kwenye vibla vya misikiti kila ijumaa lkn wanaendeleza mauaji mabakaji na ulawiti kila siku za uchaguzi zanzibar na wakubwa hawasomi
Mungu akupeni afya yenye neema...na baraka 1:19
Mashaalah jazakallah kher
Mwandishi ana hekma nzuri hataki fitna yaani ukimjua mtu alokutesea mtu wako itakua kisasi.anakuacha kwenye suspense utambue mwenyewe
Zanzibar yarudi kwa bamkwe😂
Wallah machozi yananitoka wallah tena
Kama pataandikwa mwisho wa watesaji kina Mandera itakuwa ni somo tosha . Nakubaliana na wazo la muandishi alomuandikia sh. Mohammed said. Na wewe kaka Mohammed Ghasan ulisimamie hilo.
Ungemuachia jusa akakichambua kitabu bila kuficha
Alf mabruk Muhammad Said. Kazi kubwa umeifanya.
Hassan leo nimependa sana jinsi video ya leo ilivyo clear
Mbona musifanye vikao vya ana kwa ana kama inawezekana?
Meza moja ina utamu wake.
Ni kama kuangalia mpira kupitia T. V na kuwa kiwanjani kujionea mwenyewe
Pole bi khadija
Na yeye pia ameshatangulia
@@FadhilyOthman Mungu awalaze pema. Amin
Samahani kaka ghassani hvo vitabu vyko vyote uloandika na hvi vinavoelezewa mm niko dar navipata wapi navitaka
HILI NI KOSA LA WAZANZIBARI WOTE TUMEIDHARAU HISTORIA YETU BAYA ZAIDI TUMECHOMA MABUKU YOTE ILI IWE SIRI YAO
Kwenye kitabu hichi tuletee Jussa atupe Raha
Kitabu hiki kinapatikana wapi ?na thamani yake ngapi ?
Tunanunua wapi kitabu hichi, kupitia kitabu hichi tuletee Jussa
Naomba kujua kitabu tunaweza kukipata wapi?
Kilipigwa stop kuzinduliwa ilikuwaje tena? Kinapatikana kweli
Kinapatikana online kupitia Amazon
Hichi kitabu kinapatikana wapi
Good alhasan
So sad kwakweli
,Jina la kitabu please na kinapatikana wapi kwa gharama zipi please 🙏
@@imraniqbal00765 www.lulu.com/shop/ibrahim-mohammed-hussein-and-ahmed-rajab-and-mohamed-a-saleh/baraza-ya-majestic-na-machinjioni-kwa-bamkwe/paperback/product-gjgkyde.html?q=Ibrahim+Hussein+&page=1&pageSize=4
Dhulma haidumu Yana MWISHO haya
Kaka tushamiss vipind kma hivi ni mda san
Yani tmevimis sana, Kuanzia Prof Ibrahim Noor, Sheikh Riadh Al busaid, Sheikh Abdul Mutalib (Mutta)Miss them badly!
kitabu kama hicho kwa Zanzibar tunakipata wap
Ni sawa andika kilichowakuta
Upuuzi
Mmmmmmmmmmmhhh
Tunaomba kujua wapi tutakipata hicho kitabu
@@nassoromarelbajouny4462 www.lulu.com/shop/ibrahim-mohammed-hussein-and-ahmed-rajab-and-mohamed-a-saleh/baraza-ya-majestic-na-machinjioni-kwa-bamkwe/paperback/product-gjgkyde.html?q=Ibrahim+Hussein+&page=1&pageSize=4
Thanks bro@@GumzolaGhassani
Tupo sawa
Wapi kinapatikana
www.lulu.com/shop/ibrahim-mohammed-hussein-and-ahmed-rajab-and-mohamed-a-saleh/baraza-ya-majestic-na-machinjioni-kwa-bamkwe/paperback/product-gjgkyde.html?q=Ibrahim+Hussein+&page=1&pageSize=4