Pitio la Kitabu: Baraza ya Majestic na Machinjioni kwa Bamkwe

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • Kwa lugha nyepesi ya Kiswahili fasaha, Kiunguja, Ibrahim Mohammed Hussein, anasimuliya kwa uwazi na ujasiri mkubwa, yale yaliyomsibu baada ya kuuwawa Rais wa Kwanza wa iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, na Mwenyekiti wa Kwanza wa Baraza la Mapinduzi, Sheikh Abeid Amani Karume. Mohamed Said na Mohammed Ghassani wanakipitia kitabu hiki kipya kilichochapishwa na Buluu Publishing baada ya kuhaririwa na Mohamed Saleh na kuwekewa dibaji na Ahmed Rajab. Karibu.

ความคิดเห็น • 59

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 วันที่ผ่านมา

    Hasbuna Allah Wani'mal Wakiil kwa kila dhalim mpaka siku ya qiyama. Allahumma Ameen Yaarabil Aalamiin

  • @azizamri1522
    @azizamri1522 25 วันที่ผ่านมา +6

    Wallahi inasikitisha na kuliza. Dhulma haiwezi kudumu!

  • @sheikhasalim1190
    @sheikhasalim1190 25 วันที่ผ่านมา +4

    nitakitafuta inshaAllah. shukran kwa ufafanuzi, Allah awalipe kheir

  • @suleimanmohammed5344
    @suleimanmohammed5344 25 วันที่ผ่านมา +7

    Kuna ulazima wa mambo haya kusimuliwa na kuelezwa kila mahala ili sisi kizazi cha leo tuyajue kwa sababu kuna mengi ambayo tulikuwa hatuyajui.

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu 25 วันที่ผ่านมา

      Hakika

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 5 วันที่ผ่านมา

      Watawala hawataki vizazi vya Leo wajue ukweli wa udhalim uliofanyika Zanzibar,wanajua kuwa ni dhuman isionamfano

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi6871 25 วันที่ผ่านมา +5

    Nakipenda Kiswahili cha Zenji jamani. Kina vionjo vyake vilivyojaa Lahaja busara za mtu mwenye hekima kama kiarabu vile. Waooo!

    • @Dr.zaidi4
      @Dr.zaidi4 4 วันที่ผ่านมา

      Hakina tofauti na wazaliwa wa visiwa vya Kenya

  • @munasuleyman3159
    @munasuleyman3159 14 วันที่ผ่านมา +1

    Nakumbuka marehemu Aunty khadija baramia alilia siku ya mwanzo kuiimba hii nyumba nakumbuka nilikuwa mdogo

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244 24 วันที่ผ่านมา +3

    Hapana aliejifunza kwa sababu Serikali inayaficha ili watesaji wazidi kutesa watu kwa maslahi ya CCM

  • @alimohammed8540
    @alimohammed8540 13 วันที่ผ่านมา

    Allah awalinde na akupeni umri mrefu na akulipeni heri nyinyi na familia zenu na akupeni husni hatma njema ameen

  • @saidhamad7504
    @saidhamad7504 24 วันที่ผ่านมา +3

    Nafikiri tukipe jina kabisa hcho kitabu cha " walio jifanya waungu watu" Mwisho wa maji n'tope

  • @saeed5190
    @saeed5190 25 วันที่ผ่านมา +5

    Wapi tutakipata kitabu na kiasi gani

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 25 วันที่ผ่านมา +3

    Ndio maana Zanzibar (Unguja na Pemba) haikai sawa wala haina barka kwa dhulma na mabaya walofanyiwa. NCHI imejaa watu lakini hawaijuwi nini Zanzibar na wangeijuwa kweli Zanzibar basi wote wangekimbia.

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 14 วันที่ผ่านมา +1

    Shekh mohd lazima ujue kama wengine hawana uwezo wa kukipata hicho kitabu,,tunategemea hivi vipindi vyenu kuelimika,,sasa mkificha baadhi ya vitu muhimu ,mnatughini sana

  • @mohamedkhalifa5764
    @mohamedkhalifa5764 25 วันที่ผ่านมา +7

    Dunia Mapito na hawa wauaji watakufa Watayakuta waliyoyatenda

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 25 วันที่ผ่านมา +4

    Inauma na inasikitisha mnoooo la kushangaza mpka leo yanaendelezwa licha ya watu kushinda kwenye vibla vya misikiti kila ijumaa lkn wanaendeleza mauaji mabakaji na ulawiti kila siku za uchaguzi zanzibar na wakubwa hawasomi

  • @bellalygeomecky1145
    @bellalygeomecky1145 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akupeni afya yenye neema...na baraka 1:19

  • @shafikakrabi8490
    @shafikakrabi8490 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mashaalah jazakallah kher

  • @fathiyaalrawahi6382
    @fathiyaalrawahi6382 24 วันที่ผ่านมา +2

    Mwandishi ana hekma nzuri hataki fitna yaani ukimjua mtu alokutesea mtu wako itakua kisasi.anakuacha kwenye suspense utambue mwenyewe

  • @akaumbo9433
    @akaumbo9433 20 วันที่ผ่านมา +2

    Zanzibar yarudi kwa bamkwe😂

  • @mohammedsaid3045
    @mohammedsaid3045 9 วันที่ผ่านมา

    Wallah machozi yananitoka wallah tena

  • @MussaMohammed-r8j
    @MussaMohammed-r8j 25 วันที่ผ่านมา +3

    Kama pataandikwa mwisho wa watesaji kina Mandera itakuwa ni somo tosha . Nakubaliana na wazo la muandishi alomuandikia sh. Mohammed said. Na wewe kaka Mohammed Ghasan ulisimamie hilo.

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 24 วันที่ผ่านมา +3

    Ungemuachia jusa akakichambua kitabu bila kuficha

    • @aliyissa9857
      @aliyissa9857 20 วันที่ผ่านมา

      Alf mabruk Muhammad Said. Kazi kubwa umeifanya.

  • @Marjeby
    @Marjeby 25 วันที่ผ่านมา +3

    Hassan leo nimependa sana jinsi video ya leo ilivyo clear

  • @Dr.zaidi4
    @Dr.zaidi4 4 วันที่ผ่านมา

    Mbona musifanye vikao vya ana kwa ana kama inawezekana?
    Meza moja ina utamu wake.
    Ni kama kuangalia mpira kupitia T. V na kuwa kiwanjani kujionea mwenyewe

  • @FadhilyOthman
    @FadhilyOthman 25 วันที่ผ่านมา +3

    Pole bi khadija

  • @mohammedsaid3045
    @mohammedsaid3045 9 วันที่ผ่านมา

    Samahani kaka ghassani hvo vitabu vyko vyote uloandika na hvi vinavoelezewa mm niko dar navipata wapi navitaka

  • @HASSANMKUYASALUM-wu4ey
    @HASSANMKUYASALUM-wu4ey 19 วันที่ผ่านมา +1

    HILI NI KOSA LA WAZANZIBARI WOTE TUMEIDHARAU HISTORIA YETU BAYA ZAIDI TUMECHOMA MABUKU YOTE ILI IWE SIRI YAO

  • @Mfundo272
    @Mfundo272 15 วันที่ผ่านมา +1

    Kwenye kitabu hichi tuletee Jussa atupe Raha

  • @safiam5338
    @safiam5338 7 วันที่ผ่านมา

    Kitabu hiki kinapatikana wapi ?na thamani yake ngapi ?

  • @Mfundo272
    @Mfundo272 15 วันที่ผ่านมา +1

    Tunanunua wapi kitabu hichi, kupitia kitabu hichi tuletee Jussa

  • @AbubakarHafidh-b6v
    @AbubakarHafidh-b6v 21 วันที่ผ่านมา +1

    Naomba kujua kitabu tunaweza kukipata wapi?

  • @abdullamasoud7324
    @abdullamasoud7324 16 วันที่ผ่านมา +1

    Kilipigwa stop kuzinduliwa ilikuwaje tena? Kinapatikana kweli

    • @user-fd7vi4xv5x
      @user-fd7vi4xv5x 7 วันที่ผ่านมา

      Kinapatikana online kupitia Amazon

  • @habalalabry687
    @habalalabry687 18 วันที่ผ่านมา +1

    Hichi kitabu kinapatikana wapi

  • @FadhilyOthman
    @FadhilyOthman 25 วันที่ผ่านมา +1

    Good alhasan

  • @saifancal1629
    @saifancal1629 25 วันที่ผ่านมา +1

    So sad kwakweli

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 25 วันที่ผ่านมา +1

    ,Jina la kitabu please na kinapatikana wapi kwa gharama zipi please 🙏

    • @GumzolaGhassani
      @GumzolaGhassani  25 วันที่ผ่านมา

      @@imraniqbal00765 www.lulu.com/shop/ibrahim-mohammed-hussein-and-ahmed-rajab-and-mohamed-a-saleh/baraza-ya-majestic-na-machinjioni-kwa-bamkwe/paperback/product-gjgkyde.html?q=Ibrahim+Hussein+&page=1&pageSize=4

    • @ahmadgharib9886
      @ahmadgharib9886 16 วันที่ผ่านมา

      Dhulma haidumu Yana MWISHO haya

  • @abdulbastadam7985
    @abdulbastadam7985 25 วันที่ผ่านมา +2

    Kaka tushamiss vipind kma hivi ni mda san

    • @saidhamad7504
      @saidhamad7504 25 วันที่ผ่านมา

      Yani tmevimis sana, Kuanzia Prof Ibrahim Noor, Sheikh Riadh Al busaid, Sheikh Abdul Mutalib (Mutta)Miss them badly!

  • @JumaSuleiman-r1r
    @JumaSuleiman-r1r 24 วันที่ผ่านมา +1

    kitabu kama hicho kwa Zanzibar tunakipata wap

  • @MalengoKai
    @MalengoKai 24 วันที่ผ่านมา +1

    Ni sawa andika kilichowakuta

  • @MzeeKigogo_
    @MzeeKigogo_ 15 วันที่ผ่านมา

    Upuuzi

  • @ZahorSalimHamad
    @ZahorSalimHamad 21 วันที่ผ่านมา +1

    Mmmmmmmmmmmhhh

  • @nassoromarelbajouny4462
    @nassoromarelbajouny4462 25 วันที่ผ่านมา +1

    Tunaomba kujua wapi tutakipata hicho kitabu

    • @GumzolaGhassani
      @GumzolaGhassani  25 วันที่ผ่านมา

      @@nassoromarelbajouny4462 www.lulu.com/shop/ibrahim-mohammed-hussein-and-ahmed-rajab-and-mohamed-a-saleh/baraza-ya-majestic-na-machinjioni-kwa-bamkwe/paperback/product-gjgkyde.html?q=Ibrahim+Hussein+&page=1&pageSize=4

    • @nassoromarelbajouny4462
      @nassoromarelbajouny4462 25 วันที่ผ่านมา +1

      Thanks bro​@@GumzolaGhassani

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 24 วันที่ผ่านมา

    Tupo sawa

  • @abdulhakimsaleh6899
    @abdulhakimsaleh6899 25 วันที่ผ่านมา +1

    Wapi kinapatikana

    • @GumzolaGhassani
      @GumzolaGhassani  25 วันที่ผ่านมา +1

      www.lulu.com/shop/ibrahim-mohammed-hussein-and-ahmed-rajab-and-mohamed-a-saleh/baraza-ya-majestic-na-machinjioni-kwa-bamkwe/paperback/product-gjgkyde.html?q=Ibrahim+Hussein+&page=1&pageSize=4