Hata bado, Wazanzibari zaidi watajiuzulu kwani wanaelewa wamefika sehemu ya Ubunge na Uwakilishi kwa njia ya kharam na kwa hivyo wanapokea malipo ya kharam, hivyo wanalisha familia zao na wengine kwenda HIJJAH kwa pato la kharam, mimi nadhani huyu yeye ni Mbunge wa kuteuliwa lakini ameangalia mtiririko mzima wa uchaguzi kuanzia juu kabisa na kuona uhalali wa yeye kuwemo ndani ya mfumo huo.
@@abasibogga4798 Kama lugha yako ya kwanza siyo kiswahili, tafuta mwalimu akufundishe. Elewa kuwa siyo ni kinyume cha ndiyo; iwapo utasema sio basi vile vile utajibu ndio. Kiswahili cha makorongoni hicho.
Kwa Hilo nakupongeza, bora ujiondoe mapema
Mheshimiwa umetoa funzo kubwa kwa wanaong,ang,nia vyeo hata km wakiona mazingira ya utendaji wao w kazi sio rafiki.Nakuona uko juu sn hapo baadaye
Hawa watakuwa wamelikoroga na Boss wake Makamba ..!! Tutajua mengi siku zijazo
Hata bado, Wazanzibari zaidi watajiuzulu kwani wanaelewa wamefika sehemu ya Ubunge na Uwakilishi kwa njia ya kharam na kwa hivyo wanapokea malipo ya kharam, hivyo wanalisha familia zao na wengine kwenda HIJJAH kwa pato la kharam, mimi nadhani huyu yeye ni Mbunge wa kuteuliwa lakini ameangalia mtiririko mzima wa uchaguzi kuanzia juu kabisa na kuona uhalali wa yeye kuwemo ndani ya mfumo huo.
wewe mwenyewe ni kibaka tu
Heri ulivyoondoka maana umeyumbishwa sanaaaa
Huyu ndiye kiongozi anasitahili kuongoza nchi
Makamba haikosi itakuwa ndy sababu.
Naibu waxiri kajiuzuru na waxiri katenguliwa !?!?!?! Ipo namna
Tutaona megi
Mnatuharibia kiswahili siyo kujiuzuru ni kujiuzulu
Halafu mheshimiwa huyo "amejiuzulu" siyo kwamba "ameweza kujiuzulu."
Kiswahili ni sio.
Huyo ni kanjanja
@@abasibogga4798 Kama lugha yako ya kwanza siyo kiswahili, tafuta mwalimu akufundishe. Elewa kuwa siyo ni kinyume cha ndiyo; iwapo utasema sio basi vile vile utajibu ndio. Kiswahili cha makorongoni hicho.
Wewe James 😂😂😂😂
Wanawazuga tu nyie mazombi
Makamba mambo yake ya ovyo
Ila watu waliosoma dini bhana wanamaamuz magumu sana, yaani ameacha pesa za ubunge na zauwazir? Dah mbingu ni yake