Almasi inaweza kuwa lugha ya picha tu katika fasihi,ina maana katika hali ya maisha hasa ujana kuna wakati tunapata fedha nyingi,badala ya kuwekeza tunafuja kwa pombe na wanawake,hivyo almasi inaweza kuwa muda wa ujana na pindi almasi itakapoisha na wakati huo huna kitu ndipo kila mtu atakuwa kinyume nawe....Almasi sio tu Diamondi Platnumz ila ni fumbo na picha kubwa ya maisha ya ujana na uwekezaji kuhusu kesho yetu.
@@soka_la_kulevya lips denda ni lips za mtu yeyote ambaye ni nzuri kwa kupiga denda sio chache kama unavyodhani...au lips zinazovutia kwa kubusu haimaanishi ziwe kubwa zaidi au ndogo...
Mimi ni shabiki mkubwa wa dizasta na alichonifuraisha ni kwamba yupo one man army na huku akijua kuwa kwenye muzik industry ya Tanzania uwezi toboa bila kumhusisha diamond kwenye muzik wako kikubwa tutambue kuwa tumebarikiwa kupata rapper km dizasta lakini pia MUNGU amutupa zawadi kubwa sana kwa kumuumba diamond akiwa mtanzania ili kuwa msaada kwa vijana wa kitanzania kwa maana hii ngoma ya dizasta itakuwa kubwa kuliko zote kwakuwa diamond amehusishwa hapa MUNGU ibariki Tanzania mungu mbariki dizasta lakini MUNGU akubariki kwa ukubwa zaidi DIAMOND PLATNUMZ ili uendelee kuwa daraja kwa watanzania
Almasi ( 🌟 /king'aacho/nyota/ msanii yoyote Alie kwenye ubora wa juu)... Hii ni kwa wanamuziki wote... Onyo Kali Sana hiki... Angeweza iita TAKE CARE...
Hakuna mayooyoo humu, n mawe tupu!! Dizasta Vina n Robot lakuandika, ama n Jini flani hv ambaye anatoka Dunia ya mbali huko ujinini kuja kutuelekeza duniani Skuhz mtaani wananiita Dizasta, Demu wangu kaniacha kisa kila akija Getto anaskiza ngumu za Dizasta, sijampigia magoti Babu Dizasta, tunakosa hata Cha kuandika Yan but Jah bless u ma Nigger 💪💪
Yaan huyu mjumbe wetu angekua mtu wa mitandao ya kijamii basi hakuna msanii wa hip hop angekua anasikika,,huyu ni genius ,anakuandikia,anakuimbia na anakusimulia,dizasta vina👐
Ushauri wa bure kwa wasanii, wote wenye ushawishi kwa jamii na kila mtu kutumia MUDA na NAFASI kujijenga na kuishi vizuri na jamii kabla huo mda haujaisha.
Hii ngma c kwa dis track kwa mond ila hii ngma inazungumzia maisha ya bnadam yoyote alie na nafuh ya maisha kwa mda furan na kushndwa kufanya v2 vya mana kma wakina mack muga
Wanasema mziki wa hip hop ni ngumu kuskilizwa na wengi chaajabu DIZASTA anapenya mpaka kuingia trend ngoma yko moja ya dakika 3 ni sawa na movie ya masaa 2 japo nyimbo zko za audio ni video tosha ila fanya uwe unaachia video ili iwe MORE Dizasta🙌👊🏿
DIZASTA VINA huyu ni hazina ya taifa, chemichemi ya maarifa ,, mwandishi bora kabisaa kuwahi kutokea kwenye muziki wetu wa HIP HOP 👏👏👏🇹🇿 mtaa ni wako Maestro
Nyimbo za huyu jamaa ni shule tosha maana si kwa madini haya 2023 ❤❤❤❤❤❤❤. Mwanangu siku ukisikia hii ngoma jua na baba ako niliisikuliza nq nilijifunza kukulea vyema
HUU WIMBO UMEMLENGA DIAMOND PLATINUMZ MOJA KWA MOJA, NINA IMANI AKlUSIKILIZA ATAJIFUNZA MENGI, THANK YOU DIZASTA VINA WEWE NI MFANO BORA KWA MA-RAPPER WOTE NA JAMII KWA UJUMLA RESPECT ✊🏿
But mjue maisha sio Bongo wala Nigerian movies, unaeza dhani mwenye nacho sku moja atafilisika na wewe upate...lakni ukabaki maskini na yeye akazidi kuwa na hela 🤣🤣
@@songabaluku4153 Almasi(Diamond) kama lugha ya picha, wala sio wimbo personal kwa diamond, na kwa hapa wewe ndio unapanic...hakuna aliesema mtu ashuke yeye apate😆.Kama hauna open mind na uwezo wa critical thinking utapata tabu kwa mashairi ya jamaa. Jitahidi kuskiliza vizuri na kuelewa concepts.
@@moneythemes mi nimejibu comment ya mdau mjomba na nmetoa ushauri mbona ni panic kwa kipi sasa...?! Halafu kila mtu anauelewa wake sa ni kama unaforce kila mtu aamini vyenye umeelewa wewe, hakuendi hvyo
Mosta Dizasta Vina The Bermuda The Bar Builder man respect and long life kwa kushauri jamiiii . Sijaelewa njiii zingine wangeli kuinua ili uwawakilishe ata kiinternational kwasababu ata English upo
Mmoja kati ya marapa hatari sana kizazi hiki dizasta anatumiaga akili nyingi sana katika uandishi wake halafu anakipaji sasa changanya akili nyingi halafu kipaji hapo ndo utajua ni kwann mbuyu huwezi kuukumbatia na badala yake utaishia kuuzunguka tu🔥🔥🔥
Kama kweli simba ana akili akiisikia hii ngoma black maradona jiandae kupata kitita diamond hii ngoma ni shule kwake anatakiwa asikilize akumbuke anapoteleza Umetisha @dizasta_vina bro sikupingi gudi sana🔥🔥🔥🔥
Uzuri wa kazi ya sanaa huwa ina ruhusu hadhira ku'generate messages tofauti tofauti kulingana na mtu alivyo guswa na kuielewa kazi hiyo. Kwa upande wangu naona kabisa huu wimbo kwa namna flani unamlenga Diamond Platinumz. Jina la wimbo ni Almasi (Diamond). Usikilize tena huu wimbo vizuri zaidi, urudie tena na tena. Huu ni mtazamo wangu tu, though ujumbe huu pia mimi unanihusu. Dizasta Vina is a G.O.A.T 💥..
G.O.A.T
Watoto mnasikiliza hii ngoma mwaka 3000, huyu Jamaa zetu tulimfanya shule ngoma zake kadhaa tulitumia kutongozea mademu
Kaa ameambiwa chid kwa namna Fulani hivi
Ngoma yakitambo sana ila kama mpya asee siichokagi
Rapcha mavi umesikia mistar kutoka kwa kichwa timamu yani haya maneno ni chakula cha ubongo %
0:29 kaka wew noma san by mbeya boi CENTRO ZONE
Almasi inaweza kuwa lugha ya picha tu katika fasihi,ina maana katika hali ya maisha hasa ujana kuna wakati tunapata fedha nyingi,badala ya kuwekeza tunafuja kwa pombe na wanawake,hivyo almasi inaweza kuwa muda wa ujana na pindi almasi itakapoisha na wakati huo huna kitu ndipo kila mtu atakuwa kinyume nawe....Almasi sio tu Diamondi Platnumz ila ni fumbo na picha kubwa ya maisha ya ujana na uwekezaji kuhusu kesho yetu.
vipi kuhusu lips Denda
Safi nakuelewa nakubali na kuziheshimu akili kubwaa....Unaelewa Hiphop ww Jamaa Umepita mulemule...
@@soka_la_kulevya lips denda ni lips za mtu yeyote ambaye ni nzuri kwa kupiga denda sio chache kama unavyodhani...au lips zinazovutia kwa kubusu haimaanishi ziwe kubwa zaidi au ndogo...
@@jacksonmrema4737 ndo jina analojiita bwana almasi lakn
Mabody guard nane
Mimi ni shabiki mkubwa wa dizasta na alichonifuraisha ni kwamba yupo one man army na huku akijua kuwa kwenye muzik industry ya Tanzania uwezi toboa bila kumhusisha diamond kwenye muzik wako kikubwa tutambue kuwa tumebarikiwa kupata rapper km dizasta lakini pia MUNGU amutupa zawadi kubwa sana kwa kumuumba diamond akiwa mtanzania ili kuwa msaada kwa vijana wa kitanzania kwa maana hii ngoma ya dizasta itakuwa kubwa kuliko zote kwakuwa diamond amehusishwa hapa MUNGU ibariki Tanzania mungu mbariki dizasta lakini MUNGU akubariki kwa ukubwa zaidi DIAMOND PLATNUMZ ili uendelee kuwa daraja kwa watanzania
Almasi ( 🌟 /king'aacho/nyota/ msanii yoyote Alie kwenye ubora wa juu)...
Hii ni kwa wanamuziki wote...
Onyo Kali Sana hiki...
Angeweza iita TAKE CARE...
Hii ni dis kwa mondi kwa walioelewa weka like hapa
Ya kikubwa Sana hii mzee wangu
deee vina so hot ma men walete kat from songea TZ ruvuma🎉 maua yako ayooo mzeyaaa
This guy is a genius🫡..
....Vina & ujumbe mzito cz huwa tukifanikiwa tunajisahau sana!!!
Hili funzo tosha kwa wana mziki na matajir sikilizeni wimbo mtajifunza jinsi gani ya kuishi thank dizasta vina ww ndo mwalimu wa fasihi
Hakuna mayooyoo humu, n mawe tupu!! Dizasta Vina n Robot lakuandika, ama n Jini flani hv ambaye anatoka Dunia ya mbali huko ujinini kuja kutuelekeza duniani
Skuhz mtaani wananiita Dizasta, Demu wangu kaniacha kisa kila akija Getto anaskiza ngumu za Dizasta, sijampigia magoti Babu
Dizasta, tunakosa hata Cha kuandika Yan but Jah bless u ma Nigger 💪💪
Yaan huyu mjumbe wetu angekua mtu wa mitandao ya kijamii basi hakuna msanii wa hip hop angekua anasikika,,huyu ni genius ,anakuandikia,anakuimbia na anakusimulia,dizasta vina👐
Hajawai kuniangusha huyu mwamba.....najivunia kuzaliwa nchi Moja na Dizasta vina🤚
Ushauri wa bure kwa wasanii, wote wenye ushawishi kwa jamii na kila mtu kutumia MUDA na NAFASI kujijenga na kuishi vizuri na jamii kabla huo mda haujaisha.
HAPA umeongea 👏
Hii ngma c kwa dis track kwa mond ila hii ngma inazungumzia maisha ya bnadam yoyote alie na nafuh ya maisha kwa mda furan na kushndwa kufanya v2 vya mana kma wakina mack muga
Upo vizuri,verybright hii ndii maana halisi,...
Mashair ya dizasta ni zaid ya shule. Yanafunza na kukumbusha pia, hiii ngoma inawagusa watu wengi saana.
hii ngoma inamuhusu diamond platnumz
Wanasema mziki wa hip hop ni ngumu kuskilizwa na wengi chaajabu DIZASTA anapenya mpaka kuingia trend ngoma yko moja ya dakika 3 ni sawa na movie ya masaa 2 japo nyimbo zko za audio ni video tosha ila fanya uwe unaachia video ili iwe MORE Dizasta🙌👊🏿
Moja kati ya vitu huwa najiuliza nikwann Dizasta hapewi heshima anayostahili maana kwa hapa kwetu Tz sijaona msanii kama yeye😴
Dizasta vina ...master HIP_HOP una inspire generation ya kizazi kipya ...BROO🙌🙌
DIZASTA VINA huyu ni hazina ya taifa, chemichemi ya maarifa ,, mwandishi bora kabisaa kuwahi kutokea kwenye muziki wetu wa HIP HOP 👏👏👏🇹🇿 mtaa ni wako Maestro
Ukiacha music jamaa anajua sana ni mwandishi mzuri sana wafasihi simulizi
Leo nakuwa viewer wa kwanza, piteni na kwangu🤐
Mtagini Diamond aje asikilizee hii Almas jamani
Huu wimbo nimeusikiliza sana. Aisee itoshe kusema Dizasta ni genius❤
we ndo rapper pekee uliyebakia uliyeshikilia nguzo 💪
Mistari yenye akili inakanya paka basi love from Drc Congo Lubumbashi 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🖊️🖊️🖊️🖊️🖊️🖋️🖋️🖋️🖋️🎉🎉🎉❤❤❤
We jamaa haujawai hata kuniangu
Ndio nakukubali bure , yaani unajua hata visivyojulikana
Genius
Nyimbo za huyu jamaa ni shule tosha maana si kwa madini haya 2023 ❤❤❤❤❤❤❤. Mwanangu siku ukisikia hii ngoma jua na baba ako niliisikuliza nq nilijifunza kukulea vyema
Niishie kusema kwambaaaaaa
That's Ma Boy. Black Maradona . Hatareeee
Tasnia Tanzania 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥.........🤝
Wakwanza naombeni like zangu Kam unamkubali black maradona
Eeh🤕
Wasanii tumechanwa tuelimike
DIZASTA VINA HEBU NAOMBA UCHAMBUZI WA MWANAJUA NA ALMASIIII BROOO😢😢😢
Sikupingi kaka unajua sana, 💯
Dizasta vina 🎉🎉vina from 🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Naitwa Nassib Abdul Juma a.k.a Diamond ( Almasi) ,,, Watoto wazuri hupenda kuniita Lips Denda.
Kuna Almasi nyingi mtaani zisafishe tu Dizasta.
HUnaga Mbovu mkuu uko direct ✊✊
Sikiza wombooo Ni massage kwa CHIBU🔥🔥🔥🔥
kweli ur the best ndo maana unaitwa Vina ngoma zako zina mashairi ambayo Tz sjaona rapa kama wewe big up
2023 tuzo za TMA wakikunyima tuzo ya best hip-hop artist of the year itabidi mashabiki waandamane😂
We Vina hii ngoma Dizzer na Boomplay inamuda sana afu huku unaiachia jana asee
Sue me
Dah kwann awaonekani😞🔥🔥🔥
Mneni amenena na hadhira kwa kupanga semi, yakini watakuelewa wachache kama si yule ni mimi. Hongera asiye kufaham ujumbe haumuhusu🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Bwana Almasi diamond😂😂😂 Mr fekilaifu. Mr kuinga Mr Kiki Mr matusi😂😂
Simama hapo ulipo na uvae uhusika wa ALMASI...utajifunza kitu. Asante DIZASTA VINA
Mchumba ulommwaga atang'ang'aniwa kiunoni😭😭😭
Kaka upo smart sanaa
Mwacheni mtoto wa mama Dangote bwana🙌
We Jamaa🙌 ujengew tu Sanam
Wallahi
Dah! Ubongo Wako Ni Uwanja Mpana Kushinda Viwanaja Vya Mpira Mkuu 🙌🏼🙌🏼🙌🏼
uandishi uliotukuka kabisa
HUU WIMBO UMEMLENGA DIAMOND PLATINUMZ MOJA KWA MOJA, NINA IMANI AKlUSIKILIZA ATAJIFUNZA MENGI, THANK YOU DIZASTA VINA WEWE NI MFANO BORA KWA MA-RAPPER WOTE NA JAMII KWA UJUMLA RESPECT ✊🏿
True sana
But mjue maisha sio Bongo wala Nigerian movies, unaeza dhani mwenye nacho sku moja atafilisika na wewe upate...lakni ukabaki maskini na yeye akazidi kuwa na hela 🤣🤣
@@songabaluku4153 Almasi(Diamond) kama lugha ya picha, wala sio wimbo personal kwa diamond, na kwa hapa wewe ndio unapanic...hakuna aliesema mtu ashuke yeye apate😆.Kama hauna open mind na uwezo wa critical thinking utapata tabu kwa mashairi ya jamaa. Jitahidi kuskiliza vizuri na kuelewa concepts.
Kiongozi hujagundua kwanini ameuita almasi?? Hapo ni dhahabu alimaanisha😂😂😂😂
@@moneythemes mi nimejibu comment ya mdau mjomba na nmetoa ushauri mbona ni panic kwa kipi sasa...?! Halafu kila mtu anauelewa wake sa ni kama unaforce kila mtu aamini vyenye umeelewa wewe, hakuendi hvyo
Niko na ww na hz back to back....uwezo Ni unyama
Dhaa wewe jamaa siku zote ni Funzo kwa jamii🏆🏆🏆
Kama umegundua anaesemwa ni diamond platnumz gonga like
Endelea kutufikirisha
Mzee utakakiwa kualikwa chuo kutufunza jinsi ya kuandika mashairi unajua mzee kinoma
Kuna namna DIAMOND kasemwa
_hii ni kusemwa kisomi_😂
😂 hapa kila top artist
🔥 🔥 nakubali sana kaka vina
Mosta Dizasta Vina The Bermuda The Bar Builder man respect and long life kwa kushauri jamiiii .
Sijaelewa njiii zingine wangeli kuinua ili uwawakilishe ata kiinternational kwasababu ata English upo
Ngoma Kali Sana Ni Kama ile ya Confession of a mad Philosopher......
Unajua na na unajua tena mwambaa Dr wa hii hip hop respect sana mkuu
Hiii ngoma kali sana tusijisahau wanangu....
Almasi amesha poteza jamiii ya industry ilipaswa aongozwe bongo Flava ameiaribu sanaaa .
Halafu ngoma imeanza na kibwagizo fulani matata sana cha huyo dada!
almasi kwa kingereza ni DIAMOND ,Msichoelewa nini?
Uta tabasam wakati hasira umeifuga moyoni
Nakufuatilia sana unaijua sana fasihi na sanaa kwa ujumla mungu akubariki sana brother nyimbo zako zote ninazo maana wewe ni kichwa
Diamond 💎😂🔥🔥🔥🔥🔥
Daaaa weee Jamaa una kijiji chako kabisa.
Mfalme wa ulimwengu wako
YAANI NILIVYOONA TITTLE “ALMASI” NIKAJUA TU NI DIAMOND PLATNUM😂
Izi ndo ngoma zangu
Kaka nimechelewa sana kugundua uyu ni almasi mondi mnyama😂😂😂😂
Dizasta this is why media zinaogopa nyimbo zako kama new deseas..
sio new diseases ni nudities
ALMASI=DIAMOND🏆🍿✍
😂😂😂hehe wewe Tena Kwa Umbeaaaa
@@mansouromary9246 😄
Dah kabla ya kuisikiliza nmeanzia comment coz hujawahi kutufelisha wana hip hop❤❤❤
Umeumiza dizasta vinaaaa
Nobody's talking about @Tk Nendeze, ametisha sana pia..
Nasibu njoo usikilize hukuu watu huluu wanaongelea mwisho wako badee
Dizasta Vina you are more than an Artist you are also more than a Writer you are a treasure, you are a book full of rare knowledge..
Mmoja kati ya marapa hatari sana kizazi hiki dizasta anatumiaga akili nyingi sana katika uandishi wake halafu anakipaji sasa changanya akili nyingi halafu kipaji hapo ndo utajua ni kwann mbuyu huwezi kuukumbatia na badala yake utaishia kuuzunguka tu🔥🔥🔥
Kweli bro huyu jamaa namuelewa sana kiukweli
Mzee nlkua sjamalizana na Money🐐🎧
Kaka Dizasta we ni Genious nataman kila week niskie kazi yako mpya au tuendelee kukuita The Verteller✊✊
Storry teller❤❤❤
Wa kwanza kutoka DRC 💪 Congo
ukisikiamziki mzuri bac ndo huu🤩💥💥💥
Diamond umekumbushwa na dizasta vina usijisahau sana maana leo upo juu kesho utashuka
Kama kweli simba ana akili akiisikia hii ngoma black maradona jiandae kupata kitita diamond hii ngoma ni shule kwake anatakiwa asikilize akumbuke anapoteleza
Umetisha @dizasta_vina bro sikupingi gudi sana🔥🔥🔥🔥
Hii ngoma hatimaye umeipandisha Utube nipo nayo kitambo naikubali sanaa
nimechelewa kuipata huku sema nishaipata kuleee Spotify,,,u killin then masta haufananishwi
Mwamba unasehemu yako kwenye Hip Hop ya bongo
Ivi kuna aliyesikiza hii truck at once 👑👑
Uzuri wa kazi ya sanaa huwa ina ruhusu hadhira ku'generate messages tofauti tofauti kulingana na mtu alivyo guswa na kuielewa kazi hiyo. Kwa upande wangu naona kabisa huu wimbo kwa namna flani unamlenga Diamond Platinumz. Jina la wimbo ni Almasi (Diamond). Usikilize tena huu wimbo vizuri zaidi, urudie tena na tena. Huu ni mtazamo wangu tu, though ujumbe huu pia mimi unanihusu. Dizasta Vina is a G.O.A.T 💥..
Ili dude kali sana