Huyu mtangazaji alovaa white hajui mpira yani ushindwe kufurahishwa na Barca ya pep guardiola ambayo ni best team of all time ambayo ndo ilikua inacheza tikitaka uje kufurahishwa na team hii ambayo haina ata kikombe kimoja.. Thats shows how lack of knowledge you have for football 😂😂
Maneno mengiii wamepigwa nne, sasa bila hahhhaahh GG yako sasa
Mbona Bayern Munich walishindwa kuipasua ngome ya Barca ?
Naondoka na Barcelona 2-3
Hii ni game ya nani atamuoutscore mwenzie, nana atakuwa clinical kwenye nafasi atakazotengeneza
Barcelona ni habari nyingine duniani
Real anashinda iyo game
😂😂😂
Huyu mtangazaji alovaa white hajui mpira yani ushindwe kufurahishwa na Barca ya pep guardiola ambayo ni best team of all time ambayo ndo ilikua inacheza tikitaka uje kufurahishwa na team hii ambayo haina ata kikombe kimoja.. Thats shows how lack of knowledge you have for football 😂😂
Sasa mbn hamumuongelei Lewandosk
Duuh
Hao mafull back huo mda Wana pata wapi wa ku overlorp wakati wanakabiliana na vin na mbape au Endrick yupo mbadala wa Rodrigo