Kumbuka msigwa utuba uliyotoa ktk kuchangia bejeti bungeni ulisema Nini Kipindi mama Anna makinda akiwa spika wa bunge ulivyotukana ccm yetu leoo karibu sanaa
Hahahahaa huyu jamaa kweli kaishiwa wameenda kufa kisiasa huko ccm kama walivyo kufa kina nasari, Silinde mashinji, hakuna atakae mzungumzia tena pole sana msigwa
Nakubaliana na watu siasa nimchezo mchafu wewe msigwa ulikuwa unafagilia chadema Léo ndio kuwagagilia CCM Sasa sisi wasikulizaji wenu tuwaeleweje?kumbe ni bora kufuta vyama vyote bora mgombea binafsi
Mzee wewe huna hojaaaaa ,njaaa yako imekuponza,hata usoni inaonyesha ni kwa jonsi gani? Ulivyo mroho wa madaraka . Alitoka Silaha CDM Bado kina nguvu sembuse weweeee ,Upepo umekataaa haya bhana NENDA kachukue fedhaaa.
Very stupid mchungaji. Hata hajui kuwa kama ni issue ya u - SACCOS ktk vyama vya siasa, basi CCM ndiye baba na nyani la ma - SACCOS yote yaliyopo kwa Jaji Mutungi. Peter Msigwa kumbe ni fala kwelikweli, amekubali kuuziwa ugomvi binafsi wa CCM na CHADEMA na hususani mwenyekiti wake Freeman Mbowe kijinga kabisa. Kama CCM wao kama chama walishashindwa kuipoteza CHADEMA, sasa wanadhani Peter Msigwa anaweza kuwa ndiyo risasi yao ya kuiangamiza CHADEMA? Really? Anaweza kuwa risasi gani huyu wakati hata anachozungumza hakitoki moyoni bali amekaririshwa na kulishwa maneno ya kusema na Amos Makalla - CCM? Hivi tangu lini KWELI na HAKI ikaushinda UONGO na DHULUMA na ULAGHAI? Kwa sababu what Peter Msigwa is trying to do now, kilishafanywa dhidi ya CHADEMA huko nyuma na ikashindikana. JIWE a.k.a MAGUFULI ndiye alikuwa tishio na hatari zaidi kwa CHADEMA lakini alikufa yeye na kuiacha CHADEMA na Freeman Mbowe wakidunda.... Sasa CCM ya huyu bibie Samia Suluhu Hassan asiye hata chembe ya uwezo kiuongozi atawezaje kwa mfano? NO WAY kwa sababu This time ni zamu ya CCM ya Nyerere kupotea ktk siasa za Tanganyika kama ambavyo KANU ya Jomo Kenyatta ilivyopotea Kenya au ZANU ya Keneth Kaunda ilivyokufa na kupotea mazima huko Zambia!!
Tatizo la viongozi wa chadema hamjijuwi kuwa,hamna uwezo wa kuishinda CCM kwakuwa hamna hoja za,kuwashawishi wananchi wenye akili timamu .Msingwa afadhali umewakimbia wajinga hao na wenye kuja matusi huku ndani ya chama hakuna demokrasia viongozi wote wapo kimaslahi mfano mdogo tu wabunge wa viti maalumu wa chadema sihalali lakini ruzuku bilioni 2.7 nihalali .
Kitu ambacho Mungu aliweka ndani yako kimeishapotea subiri uone kitakachotokea mbele ya safari,
Wewe ni Gugu katikati ya ngano bro! Hufai hata bure kabisa!
Kumbe na wachungaji ni wala rushwa? Dunia imekwisha, iko mwisho!
Unajifurahisha katika dhambi kwa muda mfupi tu BAADAE UTAPOTEA
Umepigwa mlungula
Nilikua naamini ww ni mtumishi wa Mungu kumbe ni kawakala kamoja la shetani
Kumbuka msigwa utuba uliyotoa ktk kuchangia bejeti bungeni ulisema Nini
Kipindi mama Anna makinda akiwa spika wa bunge ulivyotukana ccm yetu leoo karibu sanaa
Hahahahaa huyu jamaa kweli kaishiwa wameenda kufa kisiasa huko ccm kama walivyo kufa kina nasari, Silinde mashinji, hakuna atakae mzungumzia tena pole sana msigwa
Binafsi napata mashaka unapoitwa mchungaji, Pia ni wasiwasi na akili yako. Hiyo inaitwaje kulamba matapishi au?
Uwezi kutetea Dhambi (CCM) ukawa salama
Huyo uongozi wa Kanda alishindwa⁶ uenyekiti na Sugu
Mnanunuliwa halafu.mnaambiwa mmtukane mbowe kumbuka nyuma ya mbowe kuna nguvu ya umma hamtamuweza
We nilipumbavu kumbe pole sana
Umelaniwa msigwa,mùgu amekulani huji kuendelea
Wewe Msigwa ni YUDA tena zaidi ya yule aliyemsaliti YESU
KIKUNDI CHA WANAFIKI KIMEANZA KUPASUKA NA KUJIUNGA NA MAFISAD
Umepewa faraga lopoka lopoka tu
Umekosa ushauri kabisa umeuvaa U-Yuda mwisho ni kujinyonga
Hee kumbe chama kimegeuka dini hee! Si mtumwa ana haki ya kuchagua anachotaka.
Yuda tyr kapatikan huku jamn
Msigwa uliyaona hayo. Acheni unafiki.
Yani anaunga ana ushaswishi domo tetema kama jenereta
Kwanini hukuyasema hayo ukiwa cdm.😂
Chadema haiwezi kufa kwa vile msigwa ameondoka.😮
Umeanza kusifia watu wanaouza rasilimali za tanganyika tayari umekuwa limusukule la fisiemu
Msingwa mshamba tu umekosa cheo we nimtu wa tamaa ndio maana uchungaji ulshindwa
Lifisiemu tupatie tume huru leo uone mziki..wa chadema mbona utajinyea
huyu alishayumba siku nyingi hamna kitu.huna lolote.huko ndo umeenda kuzikwa.
Achana na chadema komaa na ccm yako bro
Kazi unayo ndugu kutuhaminisha kwamba unayoyasema yanatoka moyoni au la
Huyu ndio mchungaji dah aisee ninani aliyekuloga? kuanza kwa Roho ukakamilishwa kwa mwili?
Comment fupi fupi
Nauliza amerudi kwao au amekuja kuchota data
Nakubaliana na watu siasa nimchezo mchafu wewe msigwa ulikuwa unafagilia chadema Léo ndio kuwagagilia CCM Sasa sisi wasikulizaji wenu tuwaeleweje?kumbe ni bora kufuta vyama vyote bora mgombea binafsi
Huna jipya wewe c umekosa uenyekiti wa Kanda?
Hiyo imekwenda hiyo, waache wenye CHADEMA waendelee,wewe CCM nenda zako
Kapoteza sifaa huyu jamaaa kapoteza imarufu kabisa
Msigwa umehongwa tunajua unakataa nini acha uchonganishi kama umeenda ccm nenda uongo wanino? unapomwacha mke usimsingizie uongo utakigharimu baadae nawewe unapohamia ccm usiende na uongo nenda kama wewe walipiga kura kuwa hafai kuwa mwenyekiti nyasa sio mbowe acha ujinga umeenda singida kumrubuni tundulisu umegonga ukuta sasa unaropoka ujinga
ACHA KUMCHAFUA M/K KWA MANUFAA YAKO. WEWE NI MCHUNGAJI KWELI? JAMANI HEBU MUNGU NJOO UTUOKOE!
Mzee wewe huna hojaaaaa ,njaaa yako imekuponza,hata usoni inaonyesha ni kwa jonsi gani? Ulivyo mroho wa madaraka .
Alitoka Silaha CDM Bado kina nguvu sembuse weweeee ,Upepo umekataaa haya bhana NENDA kachukue fedhaaa.
Lakini wewe mbona ilijulikana siku nyingi sana hata wakati wa mwendazake kulikuwa harafu ya kuhamia ficcm
Rushwa ni adui wa haki umejipaka poda
Very stupid mchungaji. Hata hajui kuwa kama ni issue ya u - SACCOS ktk vyama vya siasa, basi CCM ndiye baba na nyani la ma - SACCOS yote yaliyopo kwa Jaji Mutungi. Peter Msigwa kumbe ni fala kwelikweli, amekubali kuuziwa ugomvi binafsi wa CCM na CHADEMA na hususani mwenyekiti wake Freeman Mbowe kijinga kabisa. Kama CCM wao kama chama walishashindwa kuipoteza CHADEMA, sasa wanadhani Peter Msigwa anaweza kuwa ndiyo risasi yao ya kuiangamiza CHADEMA? Really? Anaweza kuwa risasi gani huyu wakati hata anachozungumza hakitoki moyoni bali amekaririshwa na kulishwa maneno ya kusema na Amos Makalla - CCM? Hivi tangu lini KWELI na HAKI ikaushinda UONGO na DHULUMA na ULAGHAI? Kwa sababu what Peter Msigwa is trying to do now, kilishafanywa dhidi ya CHADEMA huko nyuma na ikashindikana. JIWE a.k.a MAGUFULI ndiye alikuwa tishio na hatari zaidi kwa CHADEMA lakini alikufa yeye na kuiacha CHADEMA na Freeman Mbowe wakidunda.... Sasa CCM ya huyu bibie Samia Suluhu Hassan asiye hata chembe ya uwezo kiuongozi atawezaje kwa mfano? NO WAY kwa sababu This time ni zamu ya CCM ya Nyerere kupotea ktk siasa za Tanganyika kama ambavyo KANU ya Jomo Kenyatta ilivyopotea Kenya au ZANU ya Keneth Kaunda ilivyokufa na kupotea mazima huko Zambia!!
Tatizo la viongozi wa chadema hamjijuwi kuwa,hamna uwezo wa kuishinda CCM kwakuwa hamna hoja za,kuwashawishi wananchi wenye akili timamu .Msingwa afadhali umewakimbia wajinga hao na wenye kuja matusi huku ndani ya chama hakuna demokrasia viongozi wote wapo kimaslahi mfano mdogo tu wabunge wa viti maalumu wa chadema sihalali lakini ruzuku bilioni 2.7 nihalali .
Tunawashindaga sana ila hamtutangazi mnatuogopa. Kwanini hamtaki kuweka Tume Huru ya Uchaguzi ya Taifa?? Mnaogopa nini??
Kweli wewe ni mchungaji wa kondoo au nguruwe naamini ijitambue