Kuna baadhi ya wabongo ambao wapi USA wanatupotosha na kututisha kuwa USA hakuna fursa za kutosha mpaka uwe umesoma sana lakini kaka nakuona upo tofauti sana na wengine Mungu azidi kukubariki sana
Nakubali sn bro unatupa madini ambayo wengine wanatuvunja moyo mwenyez mungu akusimamie kwenye arakat zako na uzidi kutupambania na sisi wenye kutamani kusafili🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Dula nakukubali Sana ndugu,,Kila la her katika upambanaji wako,,unaonekana unaupendo Sana na huna roho mbaya kabisa na unatamani Kila mtu afanikiwe,,safi kaka nitapambna namimi nataka nije huko inshallah
Kaka tuzidi kukuombea uweze kutusaidia na sisis tusiokua na uwezao wakupata pesa ya visa kwa haraka tusaidie kuweza kupata njia rahis ya kutusaidia watuwengi tuna hasira na maisha ila kazi nikupata pesa yakuweza kufika huko mana kibongo bongo nazani unaelewa daha comment imekua kubwa samahani 2ko p1 Kaka mpaka tufike malengo allah akufanyie wepes upate njia bora tufike marengo
Namependa ushauri wako actually upo tofauti sana na wabongo wengine huwa wanasema maisha ya ulaya in magumu sana bora ubaki bongo kwan ulaya maisha ni tabu bro be blessed.. Unaelimisha
KAKA NIMEISHI MAREKANI USIFANANISHE NA MAISHA YA CANADA HAPA CANADA MAISHA MAZURI SANA SEREKALI YA CANADA INAWATHAMINI SANA RAIYA WAO..CANADA CANADA MATIBABU BURE DAWA BURE...MAREKANI HAMNA CHA BURE . CANADA KAZI KIBAO KULIKO MAREKANI.
mkuu upo vzur....tushikane mkono binafsi najiweza kwa nauli na hela ya kula wiki mbili tatu huku nikipambania mchongo...mahitaji maongez zaid toka kwako
Kuna baadhi ya wabongo ambao wapi USA wanatupotosha na kututisha kuwa USA hakuna fursa za kutosha mpaka uwe umesoma sana lakini kaka nakuona upo tofauti sana na wengine Mungu azidi kukubariki sana
Kweli kbsa wabongo tuna gubu san yaaan huwa wanatutish sana mpaka huwe n mavyet lkn kwa huyo bro nimeKubar hana rohosafi
Safi sana mzee baba nimefurah sana Allah akuongoze inakuwa vp kwa mtu anaetaka kuja U.S unaeza nipatia support kwa hii
@@Formula_Tz hakuna kitu uko ww tulia zako bongo
Kaka naomba e Mali yako. Mungu akutunze sana
@@Formula_Tz.salute man
Bro wewe mtanzania watofaut sn tofauti nawengine wakija huko hawataki wenzao waje huko kujitafutia. Bro God bless you
Nakubali sn bro unatupa madini ambayo wengine wanatuvunja moyo mwenyez mungu akusimamie kwenye arakat zako na uzidi kutupambania na sisi wenye kutamani kusafili🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Nashukuru ndugu nimekuelewa
Nip namb yako
Dula nakukubali Sana ndugu,,Kila la her katika upambanaji wako,,unaonekana unaupendo Sana na huna roho mbaya kabisa na unatamani Kila mtu afanikiwe,,safi kaka nitapambna namimi nataka nije huko inshallah
keep up a good work dula!
tupo pamoja!
Hongera sana uko direct saana nooo konakona barikiwa saana
Thanks very much for the explanation bro God bless you
Mungu akubariki uzid kufanikiwa broo..tunazid pambana
Kaka D✨ wewe ni mtu na nusu aisee kwa maombi yangu Mungu akulinde sana
Keep it up Bro
Kaka tuzidi kukuombea uweze kutusaidia na sisis tusiokua na uwezao wakupata pesa ya visa kwa haraka tusaidie kuweza kupata njia rahis ya kutusaidia watuwengi tuna hasira na maisha ila kazi nikupata pesa yakuweza kufika huko mana kibongo bongo nazani unaelewa daha comment imekua kubwa samahani 2ko p1 Kaka mpaka tufike malengo allah akufanyie wepes upate njia bora tufike marengo
Okay
Wewe ni mtu wa Mungu ndugu, endelea hivyo Mungu atakuinua zaidi.
good job kk we shall be there....
Yea yea bro keep push it bro nakubal San see u to the top kak
Nakubl San Nam niponjian kak bless up bro
Appreciate you so much brother, so much to learn from you mkuu, God Almighty blesses you abundantly.
Hongera sana kaka je na mm mwenye miaka 44naweza kuja kufanya huko kazi na pia kwa mm sina mtaji wwt unanisaidiaje
Bro ur Good at all,hongera kwa mapambano
Kazi kazi
Big up
Inspired 🎉
Nice bro stay blessed
Hongera kaka kwa kupambana ivi ukitaka kuja lazima uwe sh ngap hadi kufika huko
Nakupenda Sana ❤❤
Nakubali bro...am on my way soon 🏃🙏
I appreciate brother
Tupo pamoja kaka piga kaz mzee D
Safi sana kaka Kwa unachokifanya
Mungu akulinde brother
Powa kaka unaroho nzuri kunengini vitu kama hivyo hawasemi mungu akubariki
Vip uko umeme aukati kati,?
Hongera
Asante sana bro
Big up boss
Mungu aku bariki Sana kaka tupe njia na sisi jinsi ya kufika paspot ipo
Kwa form four feriya inatufaa iyo
Mmh ni mawazi lkn Je nikipewa bomu bila kujuwa au naruksa ya kukanguwa iyo mizingo
Nakubari bloo
Mungu akubariki broo
Watching from Burundi 🇧🇮 boss kazi ni kazi boss
Safi sana kaka
Asant sanaa mwanetu daa
Nakubli broo
Nakubali kaka
Nimependa Dnyota...toka juzi natazama hizi Video kwa kweli ni Shule kubwa nzuri na adhimu sana.
Sawa enjoy
Kabisa mwana kwetu, tunashukuru bro,
Sawa
Sanaaa
Thx kk kwailo na vp kuusu sisi huk tuliop burundi fursa kam hiy twaweza kuipat maan napaitaj san kk
Asante sana kaka ,mimi ni mkenya nina visa ya miaka mitano ya kutalii, napanga jinsi vile nitakuja.
Naipenda iyo
Hakika kaka nakukubali sana one nitakuona najipanga tu
Namependa ushauri wako actually upo tofauti sana na wabongo wengine huwa wanasema maisha ya ulaya in magumu sana bora ubaki bongo kwan ulaya maisha ni tabu bro be blessed.. Unaelimisha
Sawa pamoja
VIP broo
@@alphanabdalha3147 +15167783253 WhatsApp
@@dnyotausa6154 mbona aingii whasp au kina namba zimebak
@@alphanabdalha3147 +15167783253 save kwenye whatsapp app
Dullah Mimi ni mengi sana najifunza kutoka kwako. Ila naamini soon tutaona live ❤big up mwamba
My self....I appreciate so much...pamoja Sana
Asante
Oyo niaje mwamba mimi nina mwanamke yupo uko tayari utanisaiduaje
Safi mkuu
Asante sana kwamaelezo nimefurai nikija ntakutafuta❤
dah umeni ni inspire sana mzee Dullah natamani sana fika huko mzee
Unaweza ukapata visa ukiapply
Pamoja sana mnyama tuko pamoja tupe link yako tuongee nitakusapoti sana
Natamani tuongee brother! Sijui muda gani unaweza kunipendelea nikapata mawili matatu kutoka kwako.
Naomba namba kaka
Bro imechukua muda gani kufikia level zako hizo?
@Dnyota usa hiyo kazi unayoifanya nikazi gani?
tuko pamoja
Hiyo Bike Inatumia Umeme ?
Kiongozi salute
Hi tupo pamoja
@Dnyotausa hiyo kazi unayoifanya nikazi gani?
Broo napenda unachokifanya nataman kua kamaww nataman kufikahapo ilauwezonimdogo nikotayar htamshahara wamwezi uwewako broo
Nionyeshe njia
pambana kaka natamani sana nami nije Ku pambana ttzo pesa ndio Najitahidi kujichanga
Unaweza ukafanikisha hilo Ila ukiwa unaendelea kutafuta hela jaribu kuapply na visa
💪Nimekukubali D.Star❤️👌
"Kazi Kazi"
Kazi kazi
@@dnyotausa6154 mkuu..namba zako muhimu sana kwetu
@@clevermushi7692 +15167783253 WhatsApp
@@dnyotausa6154 👍
@@dnyotausa6154twakufurahia sana kk
Tutakutowa dullah
Wa mwewe da!!!one day
Nipatie njia nzuri yakuja USA
Unaweza kutafuta visa wanayotoa kila mwaka kwa mtu yeyote
@@zakenbrotherswee hio utakesha Kam unapesa wpo watu
Saf sana jamaa
Ndungu kibongi tunasena mpaka huku ni shilingi ngapi
Thx
Kabisa mkali one day yes mky
kweri broo dinyota i hope i one day nifike huko mkuu nin passport tayri
Je kama ujui kuendesha bisicle😂
Hi rafiki
Hello am jenifer,jaman nisaidie na mm nipate kaz ata ya kuchuma maepo
Apply visa upate chances utafanya kaz yoyote utakayo
🙏🙏🙏🙏
I'm in my way to come soon I will be in USA
dula ninapo angalia video zako kweli zinanitia moyo na me naimani nitapambana nitafika
Tupe connection mkuu
KAKA NIMEISHI MAREKANI USIFANANISHE NA MAISHA YA CANADA HAPA CANADA MAISHA MAZURI SANA SEREKALI YA CANADA INAWATHAMINI SANA RAIYA WAO..CANADA CANADA MATIBABU BURE DAWA BURE...MAREKANI HAMNA CHA BURE .
CANADA KAZI KIBAO KULIKO MAREKANI.
Na mimi nimeishi kote Canada wanalipaje kwa kazi???
M.mungu akubariki sn ktk kz zako na tunakushukuru kwa kutufungua km vp tupe number yako
Namm nataka kazi
Kazi ya delivery bro inaezachange visit visa to work permit au kunaendaje ebu nipe idea kidogo
Hello,,kwa kweli nimekukubari na una tu inspire sana,,,nataka bint yangu akimaliza form six apate chuo uko sjuhi tunafanyaje bro?
Nicheki!
mkuu upo vzur....tushikane mkono binafsi najiweza kwa nauli na hela ya kula wiki mbili tatu huku nikipambania mchongo...mahitaji maongez zaid toka kwako
Apply visa unaweza pata chance uende pia hata na familia yako
Kweri kaka vip Furusa yakujaza uko
Wewe unajisifu unaingiza dollar 250 kwa siku halafu unataka watu wakuchangie ....wacha Utapeli watu wapo wanaishi Pia na maisha wanayajua vizuri...
Kaka dula tuko pamoja mm nipo Dubai nazichanga nije huko naitwa Denis abias
Nakupa tano mkuu
Sisi tupo tayari kuja ila hio milioni9 ya viza bongo ni tatizo la ukoo mzima😂😂
Kaka naomba uniconect aisee piah nisaidie jinsi gani ya kupata visa coz nina plan ya kuja kufanya kazi USA please help me
Kuna njia unaweza kupata visa
Ishaala Muungu atakulipa Mm hata ningiya tu lazima ni kutowe cpo kama wengine mm
Tunakupataje kiongozi
Hogera kaka kwa kupambana
Mwamba wewe ni hatari saaaanaaaa nashukuru saaaanaaaa mkuu kutufungua
M 6 za viza ni mtaji kwa watanzania lakini pia ni ngumu SANA kuipata.
Nishanunua baiskeli yangu napiga zoezi, huku natafuta 9mill.
Vipi wazima
Kaka naomba unitafutie kazi ya dani pia mimi ni fundi cherehani tafathali naomba namba yako nisaidie mikazi ya kiwandani ,mimi nakubari kuwa mtumwa