FAHAMU jinsi watu wanavyoingiza FEDHA kupitia CRYPTOCURRENCY/BLOCKCHAIN TECHNOLOGY

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
  • Hivi karibuni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati akihutubia kwenye uzinduzi wa jengo jipya la Benki Kuu ya Tanzania jijini Mwanza, aliitaka kujiandaa na matumizi ya sarafu za mtandaoni (Cryptocurrency) kauli ambayo imepokelewa kwa furaha na wadau wake. Nazungumza na John Jockson pamoja n Gideon Odiki kuhusiana na hatua hiyo

ความคิดเห็น • 175

  • @doricedeusdedith8568
    @doricedeusdedith8568 3 ปีที่แล้ว +17

    This is so eye-opening.....we need more contents like this...learning from our own very brothers is easier because the conversations are candid. Thank You @Fredrick Bundala for this...#ijumaayenyemwangaza

    • @danielisojiq5569
      @danielisojiq5569 3 ปีที่แล้ว

      Habari Dorice! Je, wewe unamiliki digital currency yoyote? Kama sivyo tafadhali angalia channel yangu. Nimenunua Doge coin baada ya kauli ya Rais Samia

    • @DDMGI
      @DDMGI 3 ปีที่แล้ว

      Well done guys @fredrick Bundala

    • @DDMGI
      @DDMGI 3 ปีที่แล้ว

      @@danielisojiq5569 hahaha Mbona umechelewa sana

    • @danielisojiq5569
      @danielisojiq5569 3 ปีที่แล้ว

      @@DDMGI nimechelewa nini?

  • @jogechi2105
    @jogechi2105 3 ปีที่แล้ว +12

    Cryptocurrency is the future. Invest now and youll never regret

  • @prosperjohn6476
    @prosperjohn6476 2 ปีที่แล้ว +3

    I like presentation of John Jackson,,,#cool and understandable

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 3 ปีที่แล้ว +6

    We need more content like this japo hakutakuwa na views wengi

    • @mswahili6247
      @mswahili6247 3 ปีที่แล้ว

      Very true

    • @danielisojiq5569
      @danielisojiq5569 3 ปีที่แล้ว +1

      Mkuu fuatilia channel yangu. Niliamua kununua Doge coin baada ya kauli ya Rais Samia. Pia kuna vitu vizuri vya kujifunza

  • @maujajr
    @maujajr 3 ปีที่แล้ว +5

    Kuna namna sky anaweka industry ya habari music kiutofauti,i think wengine kuna kitu wanatakiwa waoge. THANK YOU ALL BROTHERS

  • @emmanueldidymus7620
    @emmanueldidymus7620 3 ปีที่แล้ว +2

    Thank you so much sns for an enlightening interview.
    John Jackson, Gidi and sky be blessed men.

  • @Jirhley
    @Jirhley 2 ปีที่แล้ว +2

    Nashukuru sana Mungu Cryptocurrency ilinifungua akili, na ilinibadilishia maisha kwa kiwango fulani.

    • @giventv6244
      @giventv6244 ปีที่แล้ว

      Ikoje

    • @Jirhley
      @Jirhley ปีที่แล้ว

      @@giventv6244 ni somo pana. Jifunze utajua

  • @EmmanwelEmmanwel-hh2ko
    @EmmanwelEmmanwel-hh2ko 10 หลายเดือนก่อน +1

    Sahihi kabisa 👏👏👏👏👏👏

  • @RomeoCryptos
    @RomeoCryptos 3 ปีที่แล้ว +3

    Hawa jamaa wako vizuri sana

  • @zowmemes9923
    @zowmemes9923 3 ปีที่แล้ว +12

    Hapo katika faida mmeongelea habari za kusafiri na kuingia sehemu ambazo hamjaingia, sasa hizo ni personal, tunataka faida ambazo anaweza pata kila mtu. Kuhusu kufundisha sio kila mtu atafundisha. Hiyo 30 mpaka 8000 je ni yauhakika au bahati na sibu?... Nashauri kabla ya kujiunga hakikisha unajua ukweli na unaelimu. Watu wanapigia sana promo kuliko kusema ukweli... hasara zipo nyingi ila hamjaziongelea kwa ukubwa wake ili watu wachukue tahadhari.

    • @tanzaniatouristsattraction1622
      @tanzaniatouristsattraction1622 3 ปีที่แล้ว

      Asante kaka hawaongelei hasara

    • @tzedublockchain419
      @tzedublockchain419 3 ปีที่แล้ว +2

      Kiukweli cryptocurrency haina hasara sema mtumiaji ndo inambidi awe makini na awe na uvumilivu pale crypto znapokua znashuka sana. Uoga na ufinyu wa maarifa ndo unatufelisha. Ila forex hasara zipo unahitaji elimu kubwa sana kuiendesha.

    • @samsoncharles5158
      @samsoncharles5158 2 ปีที่แล้ว

      Ongelea tu na wewe uonyeshe hasara zake kwa upana unaoona wewe bro.

    • @creative_-_ideas
      @creative_-_ideas ปีที่แล้ว

      Jifunze crypto utaelewa

  • @nasrisalum5156
    @nasrisalum5156 3 ปีที่แล้ว +2

    I appreciate you brooz 🚀🚀🚀 crypto is much good

  • @erickmasawe3575
    @erickmasawe3575 2 ปีที่แล้ว +3

    Nimeona kwenye comments za watu wanasema forex ni utapeli na wizi lakin hiyo sio sahihi kusema hivyo maana mm nimefanya kwa muda Wa miaka 10 sasa na nimeingia hela nyingi lakin ni baada ya kusoma forex vizur na kuielewa na nikaingia demo account nikawa nafanyia mazoez nikaja kufungua real money account na nikawa napata hela nyingi sana na nimefundisha wanafunzi wengi sana na wanapata hela nyingi sana na mpaka sasa hivi wana trade

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove4390 3 ปีที่แล้ว +3

    dahh jmn leo nimewai..nipeni like zangu 🤣🤣...love sns

    • @Hashdough
      @Hashdough 3 ปีที่แล้ว

      ARE YOU FOR REAL?

  • @susankaranja6966
    @susankaranja6966 5 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kutoka 🇰🇪

  • @florianmabanza1529
    @florianmabanza1529 3 ปีที่แล้ว +1

    Interesting

  • @salafitvsalafitv910
    @salafitvsalafitv910 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah darsa nzuri sana

  • @ibrahimkanuto3514
    @ibrahimkanuto3514 3 ปีที่แล้ว +4

    Crytopcurrency iko poa sana

  • @bizimanadia6377
    @bizimanadia6377 3 ปีที่แล้ว +7

    Cryptocurrency ni pesa kubwa sana

  • @rosecruzy6666
    @rosecruzy6666 4 หลายเดือนก่อน +1

    👏👏👏

  • @votiairdigital
    @votiairdigital 3 ปีที่แล้ว +1

    We Jana unani inspire

    • @danielisojiq5569
      @danielisojiq5569 3 ปีที่แล้ว

      Mkuu tazama channel yangu uone nikinunua Doge coin

  • @rustanistanley4085
    @rustanistanley4085 2 ปีที่แล้ว +2

    Brother samahani nawezaje kuingia kwenye biashala ii

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal7952 6 หลายเดือนก่อน

    So deep

  • @fatmasalim7035
    @fatmasalim7035 3 ปีที่แล้ว +5

    Ni interview tu wanaongea lakini ukiwatafuta kwa akaunti zao hawajibu tena kiustarabu tu ukiwauliza kuhusu bitcoin hasa huyo john jackson haina haja wao kutoa namba au kaunti zao ikiwa ukiwatafuta ili ujue progrmu za bitcoin hawajibu

    • @shaymohd6547
      @shaymohd6547 2 ปีที่แล้ว +2

      Sio lazima uwatafute wao majukwaa na watu wakufundisha n wengi sanaa

    • @hansbalon4540
      @hansbalon4540 2 ปีที่แล้ว

      Wameeleza kuwa wao ni kama Smart Class tu

  • @jogechi2105
    @jogechi2105 3 ปีที่แล้ว +3

    The coin he is talking about is Dogecoin

  • @jamesmoricmsa9003
    @jamesmoricmsa9003 2 ปีที่แล้ว

    Habari kaka

  • @noelmgulusi6707
    @noelmgulusi6707 3 ปีที่แล้ว +6

    Tutengeneze Coin yetu tuiite SARAFU

  • @tuxher8117
    @tuxher8117 3 ปีที่แล้ว +4

    Broh ombi langu kwako ni mualike mwalim wa cryptocurrency atuelekeze vividly on how exactly we could invest on cryptocurrency

    • @squarepointtv8643
      @squarepointtv8643 3 ปีที่แล้ว

      Ooh ndg yangu karibu tufundishane toa mawasiliano utafikiwa

    • @danielisojiq5569
      @danielisojiq5569 3 ปีที่แล้ว

      Mkuu tazama channel yangu uone nikinunua crypto currency #Doge

  • @drmdee
    @drmdee ปีที่แล้ว

    Kwakwel mm nashindwa kuelewa watu wengi hawajui kumuelezea mtu akaelewa maana wamekariri kitu wengi wanazungumzia Bitcoin, cryptocurrency, block chain kwa jujuuu au kwa kile walichokariri ila kwa mtu kbx ambaye hajui chochote kuusu Internet hawez jua

    • @gidyflexy3470
      @gidyflexy3470 ปีที่แล้ว

      Kajifunze

    • @gidyflexy3470
      @gidyflexy3470 ปีที่แล้ว

      Hapo Muda hautoshi wa Somo...unapewa tu Brief!! Kama unataka kuelewa zaidi utatafuta tu namna

  • @olomypantaleo692
    @olomypantaleo692 ปีที่แล้ว +1

    Sitaiongelea kwa undani hii biashara,Lakini kuna mtu mmoja nimesoma nae hapo namfahamu vizuri na alitaka kuniingiza King kwenye Forever Living.
    Kwahiyo vijana wenzangu tuwe makini, inawezekana ikawa kweli lakini tuwe makini sana.

  • @barakanyunza6308
    @barakanyunza6308 3 ปีที่แล้ว +3

    Somo.gumu sana mnaloongea hapo

  • @Jirhley
    @Jirhley 2 ปีที่แล้ว +1

    "Hold and forget but never forget the password"

  • @sikapendinakapenda4170
    @sikapendinakapenda4170 3 ปีที่แล้ว +8

    Bundala umeamua kuwaleta hawa jamaa hapa ambao ni hatari. ...

  • @kasegatv
    @kasegatv ปีที่แล้ว

    Naitaji ujuz

  • @kasegatv
    @kasegatv ปีที่แล้ว

    Nitawapataje

  • @sikapendinakapenda4170
    @sikapendinakapenda4170 3 ปีที่แล้ว +4

    Hata huyo Bundala hapo hajaelewa kitu ila amewekewa imani fulani kuwa atakuja kuelewa.

    • @ndimilaalbert6671
      @ndimilaalbert6671 3 ปีที่แล้ว

      Hahaha

    • @danielisojiq5569
      @danielisojiq5569 3 ปีที่แล้ว

      Mkuu angalia channel yangu ninaelezea vizuri. Na mimi mwenyewe nimenunua Doge coin

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 3 ปีที่แล้ว +2

    Kweli block chain muhimu kwanza kwa tz

  • @jrlamar8925
    @jrlamar8925 3 ปีที่แล้ว +2

    YANI SIJAELEWA CHOCHOTE HAPA. YANI SIJAJUA CRYPTOCURRENCY NI KITU GANI, NA SIJAJUA UFANYAJI WAKE KAZI.

  • @kasegatv
    @kasegatv ปีที่แล้ว

    Naitaji elimu

  • @xpthebthnop6837
    @xpthebthnop6837 3 ปีที่แล้ว +2

    Next time mtuletee na jinsi watu wanavyopiga ela kwenye KUBET maanaa watu wanatajirika Sana mitaani ili vijana waweze kuitumia Kama fursa 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @godfreyelia7409
    @godfreyelia7409 3 ปีที่แล้ว +2

    Sky nisaidie namba ya gid please

  • @AIInsights23
    @AIInsights23 2 ปีที่แล้ว +2

    Hawa Jamaa hawajui wanasema nini hakuna blockchain developer anaweza kukufafanulia zaidi, hawajui smart contract unaweza kubadilisha

    • @rithamassawe310
      @rithamassawe310 ปีที่แล้ว +1

      Dear wanajua wanaongea nini ila hawajaweza kukuelezea ukaelewa ila trust me they know what they are doing ..

  • @ndimilaalbert6671
    @ndimilaalbert6671 3 ปีที่แล้ว +2

    Hapo sky hujaelewa kabisa. Hawa majamaa wanajua Ila tu hawajui ku explain

    • @danielisojiq5569
      @danielisojiq5569 3 ปีที่แล้ว

      Tazama channel mimi nime invest kwenye crypto

    • @Maee2704
      @Maee2704 3 ปีที่แล้ว

      Nilikua natafuta mtu alieongea Mawazo yangu.....this is it....wanarukaruka sana, hawaeleweki

    • @hansbalon4540
      @hansbalon4540 2 ปีที่แล้ว

      Hawa ni kama smart class hawawezi kukuelezea huku vizur wanataka uwatafute wapige hela through their first rule on how to invest on Crypto

  • @limascamp842
    @limascamp842 2 ปีที่แล้ว +1

    Nawapataje ili nijifunze darasa please naomba mawasiliano

  • @kelvinmhina1685
    @kelvinmhina1685 ปีที่แล้ว

    Sijui ni kwanini, lkn kuna kitu ndani yangu inaniambia huyo kijana alievaa miwani si mtu wa kumuamini maana pia hoja zake zinaruka ruka sana!

    • @imakimaro69
      @imakimaro69 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 Motivated

  • @nyanjachannel5517
    @nyanjachannel5517 5 หลายเดือนก่อน

    Block chain hatari sana

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 2 ปีที่แล้ว +1

    Mbona mkipigiwa simu hamupokei

  • @brownmwaibole8414
    @brownmwaibole8414 3 ปีที่แล้ว +3

    Bro sky naomba msaada nipate namba yako ili nilielewe vyema swala hili nashindwa kulifanya vyema kwa kukosa uelewa

    • @RomeoCryptos
      @RomeoCryptos 3 ปีที่แล้ว +1

      0784983586

    • @danielisojiq5569
      @danielisojiq5569 3 ปีที่แล้ว

      Mkuu angalia channel yangu mimi nime invest kwenye crypto currency #Doge coin

  • @nyanjachannel5517
    @nyanjachannel5517 5 หลายเดือนก่อน

    Uhuni

  • @__thereal_unclechibo_7953
    @__thereal_unclechibo_7953 3 ปีที่แล้ว +2

    Mama Samia naomba utufungulie PayPal watu tuishi

  • @japhetkasewa9372
    @japhetkasewa9372 3 ปีที่แล้ว +5

    Wekeza kwenye biashara uliyoilewa mzunguko wake, hakikisha kuna usalama wa fedha yako, yaani kwamba endapo kukitokea shida kwenye uwekezaji wako unamuona nani? Mfano ukinunua hatifungani bank unajua moja kwa moja bank wanawajibika. Je wana makazi yanayojulikana( physical location)? Je wanalipa kodi? Je wamesajiliwa rasmi na mamlaka husika za kiserikali?
    Hata hivyo, tukumbuke kupiga kazi

    • @felisteronesmo3091
      @felisteronesmo3091 9 หลายเดือนก่อน

      Vitu unavyoongelea Ni centralized .. most ya crypto Ni decentralized Ina factor zake tofauti na zenye mantiki, hii project imeanzishwa kutokana na weakness zilizopo kwenye centralized unavyoongelea ambayo kwa comment yako inaonesha hata hujui disadvantage zake

  • @tranchescoanthony2509
    @tranchescoanthony2509 2 ปีที่แล้ว +2

    Hamjui lecture mnambwela tu,,tunataka KUJUA cyptocurency Nini?? Bitcoin NI Nini??brokchain Nini Nini?? Naanzaje kufanya hiyo ?? Sasa mnapiga romoniiiii

    • @user-iw5zv7pw3d
      @user-iw5zv7pw3d 2 ปีที่แล้ว

      👆👆👆👆
      CONTACT HER FOR DETAILS ABOUT BITCOIN INVESTMENT AND START EARNING LIKE OTHERS 👍

  • @geofreylutalala7065
    @geofreylutalala7065 2 ปีที่แล้ว

    Toeni maelezo ninajiungaje???

  • @nyanjachannel5517
    @nyanjachannel5517 5 หลายเดือนก่อน

    Block chain

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 ปีที่แล้ว +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.

  • @ibrahimkanuto3514
    @ibrahimkanuto3514 3 ปีที่แล้ว

    Cr

  • @kasegatv
    @kasegatv ปีที่แล้ว

    Mimi mgumu kuelewa nitawapataje

  • @votiairdigital
    @votiairdigital 3 ปีที่แล้ว

    Fred upo vixur

  • @sikapendinakapenda4170
    @sikapendinakapenda4170 3 ปีที่แล้ว +1

    Haieleweki na haitokaa ieleweke kwani hii ni taasisi ya .... 😂 ni ujanja ujanja fulani hivi wa kuongea harakaharaka na kutupia vijineno vya kiingereza halafu unawachwa kiaina kama umeelewa kumbe hujaelewa chochote. Hapa ni mjini.

    • @johnmwasilu7087
      @johnmwasilu7087 3 ปีที่แล้ว +1

      Hapa akili kichwani mwako! Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako

    • @glorylema
      @glorylema 3 ปีที่แล้ว

      😂muanzilishi mawenyewe wa bitcoin hajulikani sasa awa jamaa wa tz wenzetu ndo watatueleza tuelewe !!😂

    • @josemastery955
      @josemastery955 3 ปีที่แล้ว +1

      amna bro tafta knowledge, many people hapa hapa tz wanafanya crypto, so it's real, fighting 💪😀

    • @sikapendinakapenda4170
      @sikapendinakapenda4170 3 ปีที่แล้ว

      @@josemastery955 huu ni usanii, nimewafuatilia kitambo hata kabla hamjaingia you tube. Mpaka group za WhatsApp nilianza kuuona huo utoto. Wapo watakaojigongeza wapokeeni .. sio mimi.

    • @chiefchacha2992
      @chiefchacha2992 2 ปีที่แล้ว

      Achana nao then jaribu ku-google lakin pia TH-cam fuatilia mafundisho yake kutoka watu mbalimbali, ila kwa ushahid zaid mim bnafsi nimefundishwa darasani na mwalim wa International Financial wakt najiandaa na mitihani ya CPA,
      Labda kwa kukusaidia ni kwamba huo ndo mfumo mpya wa KIFEDHA ujao, baada ya MFS. So its Real

  • @user-cb2ur2ew1j
    @user-cb2ur2ew1j 8 หลายเดือนก่อน

    Na royal q ni nini

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 3 ปีที่แล้ว +1

    .

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele 3 ปีที่แล้ว

    Hakuna wachokijuwa

  • @sikapendinakapenda4170
    @sikapendinakapenda4170 3 ปีที่แล้ว +2

    Pesa inapatikanaje ? Hapo ndio utajua mnaingizwa chaka. Rudia hii video hata x 100 hawatakufafanulia ni vp utapata pesa. Watakuzungusha na misemo mingi na mifano tu lakini hawana majibu. Ni Matapeli hawa. Bundala waombe watu radhi kwa kuwatangazisha hawa watu katika Online tv yako. 😃😃😃😃😃

    • @stephenikanga2765
      @stephenikanga2765 3 ปีที่แล้ว +1

      Jinsi ya kupata pesa kuna coins TwT 8200 Kwa bei ya $50 nimekuja kuuza Kwa $ 8,000 within year

    • @vedastokeya3344
      @vedastokeya3344 3 ปีที่แล้ว +1

      Tafta elimu kwanza mm ni beginner kwenye forex tu 10000per day kawaida sana usiwe na haraka na Jambo boss