MADAM ATAKA KUVUA NGUO KISA SURPRISE BAND
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ธ.ค. 2023
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 14 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - บันเทิง
Wozaaa!! Kama ingekua kosa nalifahamu,nisingekutuma uendee ooh njiwaa
Umeondoka umeniacha na sintofahamu,km ulikua hunipendi ungeniambia
Ukifika umuulize kwamba kwangu alikosa kitu gani
Kama ukifika we muulize kwamba nlichomkosea kitu gani ila sio kwa ubaya
Ooh oh oh oh ohh
Ooh oh oo ohh oo
Nipeni likes zangu😂
Hii ngoma ni ya nani naona dogo kapita nayo vizur
Uko vyedi
Hii ngoma ameiimba nani??
@@saidbakari2408 ya kwao
Natamani kujua jina la huo wimbo aisee.
Huyu kijana inaonekana ana utulivu wa kiakili.anaweza kuwa mkubwa kwenye muzik.kaz nzur sana,oohh oohoooo njiwa.
Mbona hawa level yao iko juu sana hawastahili kua kwenye mashindano, hao wapewe tu Support waende mbele wako mbele sana ya wenzao
Jamani madam Ritha unanifurahisha sana, una vituko sana
They can really control their voices 🤗
Ila jamani surprise East Africa hawaonekana tena wako wapi !! Wake waje tuwaoneeeee
Nimewapenda mnooooo,haswaaa huyo aliyeimba congo
Lakini Shishi wewe 😂😂😂😂😂 tena unasoma comments kweli?
Good
This ozaaaa guy banana anajua sanaaa mbona simuoni Tena jamani
Hii ngoma ya njiwa ni ya nani?
I only watch bss to hear minaah voice she kills me ghai.
Melaaaaa❤️❤️❤️✌️
Fateni Ushauri Wa WATU,Huyo Shilole Akafanye Shughuli Nyingine,Wekeni Judge Mwingine Hapo!
Kweli kabisa kajaa tu hapo kazi anayo fanya hatuoni kazi yake ni kupika angeendeleza ru kupika
Mbna hana tatizo na mtu tuache chuki na chuki huwa hanazo masikini wa fikra kila nafasi anayotoa ni Mungu
true
Shilole yuko sawa na anajua mziki ww unayesema hafai n wivu tu ndio uko nao
@@festizzokenya7273 Anafahamu Mziki Upi?? Huu Huu Au Mwingine??
😂😂😂😂😂Sitaki kuaminikama Rita anavuta bangi.. labda ni mikwara tu!
Asee kweli maisha magumu vijana tukaze 😂
Me ninacho uliza kimeangaliwa kigezo gan mpaka shirore akawa jaji, au kaufanyia nn mziki mpaka awe jaji
Jamaa anajuwa sabaa🎉
Uyu mweupe mshaulini aimbe peke Ake anajua saaana ao wengine sio kiivo kwaiyo wafanye shindano mbeleni watajiunganisha wenyewe
Wewe unajua kweli jaman.. wote mafundi hao
Ufundi mpaka performance wanatabasana mmoja anaumia na nyjiwa jama NJIWA na d@diamond ameona kweli
Dogo wa kwanza anajua sana sana (binafsi napenda HIPHOP but dogo nimemsikiliza anakitu ase)
HABARI ZENU (Kwa niaba ya Surprise East Africa Band )
Naitwa @speshotng nikiwa na @melleh
Ahsanteni Sana Kwa support yenu na kuona tunachokifanya tunaamini muda wa mungu ni sahihi.
Tunaomba support yenu sana.
Kwani macho yenu na masikio yenu ndio kitu peke tunachokitegemea katika kuhakikisha tunasonga mbele
Ñguvu yenu na sauiti zenu zinaweza kutufanya kuendelea na mashindano.
#WAJEWAJE SURPRISE BAND
tunaamini inaezekena.
#WAJEWAJE SURPRISE BAND
Munajua kk mchaw mikazo mbn munatoboa bila was
Hii ngoma aliyoimba Melleh inaitwaje na kaimba nani??
I ❤ the family
Nimefurah saaaaana
Pure talents
Hawa watu wako sawa wapate support
Uje uje 😂😂😂🙌🙌
Mko sw mtafika mbali sana
Wow mashaallah wako vyema
Shishi ni entertainer 😮
Mpo juu sana
Huyo wa pili uongo hajaimba vizuri
Shilole mtoeniii bhana anaboa
ILA kusema ukweli wachague nyimbo nzuri hiz hapana
Mellah ni hatari sanaaa aiseee kama mjuwi uyo wakwanza kuimba hata nyimbo ya sawa ya jay melody kaandika yeye....Mdogo wangu kitambo
Yani hawa Jamaa wawili ukikutana nao wakianza kutoa burudani unaachaje kuwaita Surprise.
Jamani waje waje.
Iyo nyimbo aliimba melleh inaitwaje
Anatumia jina gani TH-cam nataka iyo song plz
Madam Matha Wavulie hao hawakujui😅😅😅😅
Pole sana
Anajua saaaaaaaaaaaaaaaana
Very well
Waoooh🎉🎉
Waje waje wajeeeeeeeeeeee
Wazee kwanini mlitoka?
Madam ritha nakuomba sana Shilole hafai kwny hii kazi...
We ni fala ujui muziki shilole unamjua au shobo shilole anashida gani wakati ni msanii
Nice
Shilole ujaji kaupatia wapi kwenye mapishi auuuu....
Wowoow
They have talent fr ❤❤😢
😂😂vua madam tuone
Very talented
Wa kwanza amepoza wapili ameamsha and stage performance wanayo!! Wakwaza ameonuesha huzuni wa pili anafutahi smile all the time talented!
Mnajua sana
Mama shilole piga kaz nakuombea maixha maref
🎉❤
Yaan huyu njiwa nimerudia mara mbili
Kaigonga vizur ukijua jina lake nichane hapo chini
Ozaaa anajua
Shilole anafanya Nini Huku mlete hata walau lady jaydee 😂
Namiss CBO
❤❤❤❤❤
Daah mdogo angu wadamu Allah akusimamie🤲🙏
Mungu atamsimamia
Nimecheka mno. Madam bwana
Muwekeni komando jide mtoweni shishi uyoo
Anaye jua Jina la mwimbo was kwanza kuhusu njiwa pls let me know
😅😅😅😅😅😅😅😅❤madam
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
❤❤❤
🔥🔥🙌🏾
Aliye washauri kuhusu shilole kuwa judge, aombe sana kukwepa motoni.
Chukuen watu waliofika mbali kimuziki yeye mwenyew kaferi kimuzik uwez ukajifunz kwa alie shindwa
Mh ila uyo wa pili hapana jaman🤣
😂😂😂na ana sauti kubwa
@@ashamjeni292 🤣🤣🤣yan
Kauwa sasa kuliko yule mweupe😂😂😂😂
Pambaneni wanangu mpaka kieleweke
Shishi ungeenda tu kupika mama
Shishi ni fujo tu
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Shilole jau
Shlole ujaji haumfai bora ht mngemuweka mpoto
Videos
Iyo nyimbo aliombia jamaa wa kwanza inaitwaje na kaimba msanii gani?
SHILOLE HAFAI KUWA JAJI
5:11
Janjaa anajuha
Harmonize aliwahi kupewa comment kama izo izo leo yuko wap? Songeni mbele
😂😂
Msirudi kuweka shishi miwekeni dulli au jide
Kweli Shiloli sio kabisa
Shilole ameanza kuelewa ujaji
😅
Yan huyo mkimwambia aimbe hapo atakiimba nn au atakosoa nn kwenye mziki msisababishe bss ya msimu huu iwe mbaya bora at least angekuwa aslay,mwasiti,ben pol au ata ditto
Shilole aondoke mziki hajuii
awa akuna mtu wakufanana na awa ni hatari kuashina
Huyo Shishi Beeeeibi anatuharibia MB zetu
Uyo wa kwanza kaimba wimbo gani uo?
Unaitwa muulize
@@Speshotngkaimba nan?
Hakuna hii nyimbo TH-cam,tuoe jina Na muimbaji pia ni nani
Wanajua jamanii
Melaa
Good
Waje waje wajeeeeeeeeeeee