@@musicschool_tz7014 😂 hata mfalme Daudi pamoja na ukwasi na ufalme wake wote bado alimchezea Mungu wake. Hao waliokaa mbele huenda ikawa hata ubalozi hawana kisha wanajiona wastaarabu sana. Inakera yaani!
Wengine wako sababu wapoeshe bt mtu wangu ulipata japo hii nafasi fanta bidii zaidi hili wakilipwa kiwango chao cha kujituma na ww uwe hapo na ww hulipike😂😂😂😂🎉
Utukufu hadi Utukufu ❤❤
Safi sana nyimbo nzuri sifa ilifura utukufu wa Mungu sanaaa
Uwiiiiii Moto ni mkali 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏👏🔥🔥👏👏👏❤
Enyi watu wa kariakoo Mungu amewabairki mno
The bassist🔥
Big up kkkt kariakoo🔥
hii sifa ni liet (moto) sana I'm dancing
Dah basist hapana kwakwel dah umetishaaaaaaa🎉🎉🎉🎉
Glorie Bass🙌🙌🙌
Wow the greatest song ever!!!Gooodos.
Bassist on 🔥🔥🎉 keep it up
Hongereni
Wow so lovely Ningekuwa hapo Ningecheza adi wangesema huyu dada vipi kiukweli Napenda 🥰
Yaani binadamu wengine nashindwaga kuwaelewa...mtu anakaaje chini wakati wa nyimbo za sifa kama hizi...ustaarabu mwingine unaboa kwa kweli
Wanatunza upako
Mungu atawapokonya hao waimbaiji... Na imagine wanaketi viti vya mbele
@@princepeter679 utadhani walienda kutumbuizwa!? Wanajipa ubabe mwingi hadi kwenye nyumba ya Mungu.
@@musicschool_tz7014 😂 hata mfalme Daudi pamoja na ukwasi na ufalme wake wote bado alimchezea Mungu wake. Hao waliokaa mbele huenda ikawa hata ubalozi hawana kisha wanajiona wastaarabu sana. Inakera yaani!
Kitu mimi nimeshindwaga ni kuacha mziki umwangike chini
Wengine wako sababu wapoeshe bt mtu wangu ulipata japo hii nafasi fanta bidii zaidi hili wakilipwa kiwango chao cha kujituma na ww uwe hapo na ww hulipike😂😂😂😂🎉
Kiukweli jamani sina maneno hapo pongezi tuu👏👏👏
Waoh
Hakuna Yesu, for sure!
nyie watu wa Mungu nawapendaje
Hakika hakuna kama yeye Yesu
Drummist 🎉Soloist wafungi 🎉🎉🎉🎉aaah mubarikiwe sana
Bass anpiga nani huyo naomb namb yake ya whatsaap
Niko nawapongeza KwA kaZi zuri
Hao watu walioketi hapo mbele...ni wagonjwa ama shida yao ni nini...si basi watoke nje...
Wimbo mzur sana Unanibariki sana
Moto hakika na hakika
The bassist ako levels. 👏👏👏👏👏 The solo guitarist 👏👏👏 a nice composition.... All the best team
Mungu awabariki sana ❤🎉🎉
Kazi safi sana mbarikiwa
Kazi nzuri sana be blessed alot
Nimebarikiwa sana hongereni kwa kazi ya Mungu
Mungu azidi kuwabariki na kuwainua!!! Um blessed kwakweli. Kazi nzuri
Bassist 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Safiiiiii❤
❤❤ MUNGU awabariki Kwa kazi nzuri sana
Mbarikiwe
I wish this was in Kenya kila mtu angekua ameamka na kuchangamka
Powerful song am blessed in deed
Hongereni sana,,,, Utukufu kwa Mungu.
💯💯💯
Waoh wimbo mzr sana
Oooooh Halleluya 🙌🙌
Safisana
Kazi Safi nabarikiwa nikwa +254 Ke🇰🇪 more Grace to the entire team
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu
This is fireeee
Ee Yesu hakuna kama wewe. ❤
Tumpe Mungu utukufu kwa kuiwezeaha kazi hii
Ooh hallelujah mtu wa Mungu mkuuu
Safisana
Wow the greatest song ever!!!Gooodos.
Wimbo mzr sana
Wow the greatest song ever!!!Gooodos.
Wow the greatest song ever!!!Gooodos.