Umeelezewa kuna sura ya 72..imezungumzia kuhusu majini...wapo wabaya na wazurii...wazurii niwaliosilimu..na waislamu woote nimatundu kwa Imani..so siokuwaabudu majini ila kuwajua kama ndugu ..kwani mwanadamu ndio mtawala wakila kiumbe ...
@@SaidKaros mukiwa mbele zawatu munajifanya watakatifu..wakati nyumbani munaishi nao kwakuwaamrisha madhara..Dr sulle kaeleza ilmu alionayo juu ya majini..ww njoo pia utupe ilmu yako yatokupinga ila kwa maandiko ..usiwe kama mkristo..hapa tunamsoma kwa waliombele zetu kiilmu..so ww kama unayo tupe acha mdomo..ama ndio nyinyi wale vibaraka wawazungu miongoni mwawaislamu wanaosema yesu ni bwana
Mimi sikubaliani na hayo maneno yake cz sisi waisilam tumefunzwa majini wema kazi yao ni kufanya ibada tu sio kumtumikia mwanadam dr kwakweli umeikosea sana dini ya uislam 😢😢😢😢
Kila mtume alipewa uwezo wake. Sisi mengine sio yetu, mfano nabii musa fimbo yake ilikuwa inabadilika kuwa nyoka sisi hayatuhusu. Kutegemea na kutumia majini kwa manufaa yako ni dhambi, qur'an ipo wazi inakataa, mashekh wetu wanachafua hali ya hewa, sasa wakristo wanatushambulia bila kusoma muuongozo wa uislamu, Al Quran: Al-An'am/6:100 --- وَجَعَلُوا لِلَّهِ شُرَكَاءَ الْجِنَّ وَخَلَقَهُمْ ۖ وَخَرَقُوا لَهُ بَنِينَ وَبَنَاتٍ بِغَيْرِ عِلْمٍ ۚ سُبْحَانَهُ وَتَعَالَىٰ عَمَّا يَصِفُونَ Translations: --- Bado wamemfanyia Mwenyezi Mungu majini kuwa washirika wake, na hali Yeye ndiye aliye waumba. Na wakamzulia, bila ya ujuzi wowote, kuwa ana wana wa kiume na wa kike. Subhanahu, Ametakasika na ametukuka juu ya hayo wanayo mbandikiza nayo! -- Ali Muhsin Al-Barwani --- Al Quran: Al-An'am/6:128 --- وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا يَا مَعْشَرَ الْجِنِّ قَدِ اسْتَكْثَرْتُم مِّنَ الْإِنسِ ۖ وَقَالَ أَوْلِيَاؤُهُم مِّنَ الْإِنسِ رَبَّنَا اسْتَمْتَعَ بَعْضُنَا بِبَعْضٍ وَبَلَغْنَا أَجَلَنَا الَّذِي أَجَّلْتَ لَنَا ۚ قَالَ النَّارُ مَثْوَاكُمْ خَالِدِينَ فِيهَا إِلَّا مَا شَاءَ اللَّهُ ۗ إِنَّ رَبَّكَ حَكِيمٌ عَلِيمٌ Translations: --- Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua. -- Ali Muhsin Al-Barwani
@sleyumngolo daah mnapotoshana sana. Qur'an inakataza kushirikiana na majini eidha kwa manufaa, ili kh'ari unashirikiana nayo. Al Quran: Al-An'am/6:128 --- وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا يَا مَعْشَرَ الْجِنِّ قَدِ اسْتَكْثَرْتُم مِّنَ الْإِنسِ ۖ وَقَالَ أَوْلِيَاؤُهُم مِّنَ الْإِنسِ رَبَّنَا اسْتَمْتَعَ بَعْضُنَا بِبَعْضٍ وَبَلَغْنَا أَجَلَنَا الَّذِي أَجَّلْتَ لَنَا ۚ قَالَ النَّارُ مَثْوَاكُمْ خَالِدِينَ فِيهَا إِلَّا مَا شَاءَ اللَّهُ ۗ إِنَّ رَبَّكَ حَكِيمٌ عَلِيمٌ Translations: --- Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua. -- Ali Muhsin Al-Barwani.
Yeyote hadi wewe Dr. Sulle, naomba utafute mawaidha ya Sheikh Nassoro Abdallah Bachu Mungu amrehemu, mada “Kuipa Dunia Mgongo”, sehemu ya 1 hadi ya 4, inshaallah, Allah s.w. ataongeza elimu kwetu waislamu.
Mtume Muhammad s.a.w anatuambia tujitahadhirishe na viburi vya aina tatu, 1. Kiburi cha Mali 2.Kiburi cha madaraka na 3. Kiburi cha Elimu. Nabii suleiman aliomba utajiri na mamlaka yote na Allah s.w. Kisha Allah s.w akampa atakavyo yeye. Hakuomba utajiri kwa majini . Wala hakuwafundisha watu elimu za kichawi wala kutengeneza pete bali ni majini ndo waliwafundisha watu, kama Allah anavyo mtetea nabii suleiman katika suratul baqara. Mashekh wawe makini wanabeba dhima kubwa kwa Chao Kiburi cha ilmu
Naaam Dr Sule uko sahihi kabisaaaa watu wengi hawakuelewi ,na hapo ninachokiona hapa watu wanamshambulia Kwa sababu kasema ukweli ambao walio wengi hawakutaka usikike wakati wao wanatumia
Hafai kushirikiana na majini kwa lolote hamsomi Qur'an siku ya kiama ALLAH atawauliza majini Kwanini mliwapoteza wanaadamu watasema tulikuwa tukijinufaisha ss kwa ss hasara ya kutumia majini
Dr Sule Hpa Umekosea Rud kw Allah,Ww Cio Nabii,Waka Huna upeo wakujua ,Mdudu chungu Anaongea nn,Na huna ufalme b Na bii Sule Iman alkua mfalme, Na Allah Amesema tuje Kumuabudu ,kw nn Tuwategemee Majin,tucmtegemee Allah,
Dr ukweli unadanganya unaposema simu ya touch ina mguso wa majini, inaonekana huna uelewa wa teknolojia ya mawasiliano kabisa. Unatafuta kudanganya watu ila hii dunia hapa ilipofikia uwezo wa kudanganya watu ni shida.
Mswaili anajiona mwenye eliimu kuliko wote duniani 😂😂😂😂 hataki kukosolewa, sule acha ushirikina kijana utakufa vibaya. Acha inshallah. Acha kutumiya majini hawo si kama sisi, Allah yupo mtegemee yeye tu
Technology imejificha hapo kwenye hilo la mawimbi ya sauti kuhama kutoka kwenye kifaa hadi mnara kwa mnara bila waya na kwa haraka zaidi....si tetei kuhusu mada ya majin hapo juu ila technology inasiri nzito.
Alafu zile interview unazohojiwa na channel zingine muwe mnaziweka na hapa kama zilivyo bila kukata kipande maana wakati mwingine naweza kuona interview ya Dr sule kwenye Channel nyingine nikija hapa siipata au nikiipata itakuwa imekatwa katwa ahsanteni.
,DR SULE tutaaminije kua pete imerudishwa na majini una wahyi wewe??? au uliwaona?? mche allah majini wameumbwa kwa ajili ya ibada si kututumikia ewe sule mche allah
Kasome waves and vibrations japo kidogo upate ABCs za wireless communications. Acha ushamba kwenye Dunia ya leo kuwadanganya watu bila majini hakuna ICT. Huna mtoto wa form six akupige pindi la physics? Shekh unafanya waislam tuonekane mambulula.
Kipo kisa Cha swahaba mmoja mkubwa aliuwandikia barua mto naira ( river ) ili utoe maji , huwo mto nikama maji yalikauka au maji yalikuwa machafu basi huyo swahaba aliandika barua Kisha hiyo barua ikatupwa kwenye huwo mto na baada ya muda mto ukatoa maji safi kwa ajili ya kunywa na matumizi mengine, simkumbuki vizuri hicho kisa.
Kutegemea na kutumia majini kwa manufaa yako ni dhambi, qur'an ipo wazi inakataa, mashekh wetu wanachafua hali ya hewa, sasa wakristo wanatushambulia bila kusoma muuongozo wa uislamu, Al Quran: Al-An'am/6:100 --- وَجَعَلُوا لِلَّهِ شُرَكَاءَ الْجِنَّ وَخَلَقَهُمْ ۖ وَخَرَقُوا لَهُ بَنِينَ وَبَنَاتٍ بِغَيْرِ عِلْمٍ ۚ سُبْحَانَهُ وَتَعَالَىٰ عَمَّا يَصِفُونَ Translations: --- Bado wamemfanyia Mwenyezi Mungu majini kuwa washirika wake, na hali Yeye ndiye aliye waumba. Na wakamzulia, bila ya ujuzi wowote, kuwa ana wana wa kiume na wa kike. Subhanahu, Ametakasika na ametukuka juu ya hayo wanayo mbandikiza nayo! -- Ali Muhsin Al-Barwani --- Al Quran: Al-An'am/6:128 --- وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا يَا مَعْشَرَ الْجِنِّ قَدِ اسْتَكْثَرْتُم مِّنَ الْإِنسِ ۖ وَقَالَ أَوْلِيَاؤُهُم مِّنَ الْإِنسِ رَبَّنَا اسْتَمْتَعَ بَعْضُنَا بِبَعْضٍ وَبَلَغْنَا أَجَلَنَا الَّذِي أَجَّلْتَ لَنَا ۚ قَالَ النَّارُ مَثْوَاكُمْ خَالِدِينَ فِيهَا إِلَّا مَا شَاءَ اللَّهُ ۗ إِنَّ رَبَّكَ حَكِيمٌ عَلِيمٌ Translations: --- Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua. -- Ali Muhsin Al-Barwani
Ameelewa lakin amelemewa kwasabab haiwezekani waislam wotee wanampinga yeye,kwaivo inamaana,waislam wotee hawana ILM niyeye tu,.....jib nirahisi yeye niawatumie hao majin ila ajue ni shirq....Eti ajitetea na nabii Suleiman,,alikuwa akiwamrisha majin...tambua yakuwa YULE NI NABII NA WEWE NI WEWE,,
Duh leo Dr Sule kamwaga madini sio mchezo Maana mie nilikua nampinga siku zote leo sina pakuanzia labda niwasubiri masheikh wengine watasemaje kuhusu haya anayoongea dr sule
salam aylkm all muslims haifai kuamini mambo za jinn ...niukwl walibwa jin... nacc binadamu faida yake nn wapta khasara thuma wallahi wangapi walikua wamini nunua kufugaa jin... kisha wanabeba watu wote kwa nyumba kumaliza watolewa duniani 😭😭😭🔥👀💔😰🙌🙏wallah masuliya yoim mahashar cku ya hisabu ...utamuangalia vp mola uso wako waweza kwl atauliza utajibu nn uliuwa famly ati kma wataka mali subhana allah
Mimi bado natafuta elimu juu ya hili sahv sina upande wowote elimu ni pana hasa ya ghaibu na kuna vitu utabisha km hujawahi kukutana navyo. Kikubwa hii mada mashekh wazid kuifafanua
nabi suleman yy tuu alijua badaa kufa kile kitaab bada chukuliwa na mola akitaka jin... kawa aenda akifuata pepar moja kma chapter ...dunia hali hini ss watu waharibiwa dhulma mtu apewa jin ...akufeee jee ile book mzima ingekuwa duniani cc sote tungefanywa mchanga imagine one pepar tuu katupwa chni kwa ardhinnni jin kaona complet book watuu wako hvi😢😢 haram haofai weka jin dhambi
اتق الله يا أخي Muogope Allah ndugu yangu...Ww ni mtupu katika Tawhiid...Kaa usome uijuwe tawhid kisha ndipo itakubainikia shirk... Kwasasa unaongea bila ya elimu...Nani Aliyekutangulia ww aliyeelewa huo uelewa wako katika wema waliotangulia... Hatuwezi kutegemea pete wala kuyatumikisha majini...Hilo litatupeleka katika upotevu... والله المستعان
Si kitabu chenu kinasema hivyo?lakini pia mnaabudu nayo ktk ibada na kushiriki nayo katika shughuli mbalimbali?kwa hiyo ni ndugu zenu ktka imani mnajuana vizuri sana,nilisoma kitabu kimoja kiliandikwa na shehe mwanazuoni mkubwa kutoka Kenya kinaitwa ulimwengu wa majini na vituko vyake kimeeleza mnavyoshirikiana nao .mbebe vitu vyenu ndo unaona mashehe wote wasomi wamekaa kimya.ulishamuona prof.mazinge mtaalamu wa Qur'an anabisha?lakini angalia Hamza alivoleta kuchanga uisilamu na ukristo walivyomkalia kikao mashehe wasomi kukanusha,mkojan alipoigiza fatwa a akakosea kidogo aliitwa mpaka kwa mfiti.mpaka sahizi wanaojitokeza ni Mwaipopo alitoka kwenye ukristo kaidandia gari kwambele hajui undani wa dini yenu,shafii kwa kuwa yeye kajifunzia mitaani wala hana ilimu yoyote kuhusu Qur'an. Wote hao sule anawazidi ilimu ya kitabu ukimuondoa mazinge maana kasoma vyuo sita vikubwa vinavyoaminiwa na waisilamu ulimwengun.ndivyo kilivyo kitabu chenu kinafundisha uchawi na vimo kwa hiyo ni maazi unaweza kuwa mganga ni kawaida kwenu poleni.
Jamani musokuwa na elimu munyamaze ,alha anasema sisi wanadamu ndio mahalifa sasa jiuze ww kama khalifa kwanini usitumikiwi na majini soma kwanza usiwe mpingaji tu
Wacheni malumbano mashehe enezeni deni ya allah, haya malumbano ya kila siku tujifunze nini kwenu. Nyinyi ndio kioo lkn mnakiwa waovyo rudini kwa muumba wenu ndio mbora wa watu wote hakuna mbora mbele yake
DR Sule bahati mbaya unatoa Elimu kubwa kwa watu wenye elimu Duni na wasio kuwa na Elimu kwa sababu matilio unazo towa niwachache kama sisi waoweza kuzielewa
mtuu hafkirii dhambi atauwa famly kwann wote waliwa nayy alionunua ajaa liwa faida yke nn kwann mtu asiamini mola tuu aone rizki kubwa ndogo akipta aseme alhmdulilah ujingaa kabisaa
Doctor watu wanajua madini yapo mm nadhani achana na maada za elimu yaajini hebu elimisha Islam ktk bibilia watu wengi unawachanganya naajini na Pete Mungu ametutenganisha na makini sasa unapo sema kuna wema na wabaya hiyo Kwa watu wengi watakushangaa unaonekana unaleta shilik acha maada hizi
Acha kujifananisha na manabii chaguo la Allah wewe ni sule, hakuna ushirikiano wa mwanadam na jini ukimtoa nabii suleiman, wewe ni MSHIRIKIN ni kwel majin wabaya na wazuri wapo ila kwa jicho lako wewe au macho yetu sisi hakuna anaeweza kujua jini jema na jini baya, huo ni USHIRIKINA
Ikiwa huajapata matatizo au mtihani wa majini wabaya kuumwa na kuhangaika mahospitalini mpaka kusomewa na bado mgonjwa kufa na kupuna pia hujui basi.mutapinga binadamu wote wa ulimwengu mzima.
Hivi elimu ya kiroho ni pana sana...na imefichwa haikufundishwa tangu zamani naniwachache wa naofahamu ndio maana wengi wao wapinga na kuto kuamini.....lakini elimu ipo.. chengine km mtume muhammad s.a.w ni kiongizi wetu na kigezo chetu pamoja na mafundisho au tufuate yale alio yafanya....km urisi mwema, na hapa tushaambiwa mtume alimcholea sahaba wake duara ili awalinganie majini ili wamche mungu aliinana nao na swahaba aliwaona vip museme majini hawaonekani mi makataa katakata....
@@eiddykenga5816ndio nishawahi kumuona kaja kuu kwa sula ya bimaadamu baadae ndio nikatambikishwa na na mhusika wa eneo baada ya mm kupewa salamu kumfikisha, muhusika ndio akaniambia kuwa yule alikua jini
Mashekh inatakiwa wamfanyiye fikra huyu bwana maanake anavyo pigiya debe utajiri ni kama anakemeya ike habari ya Allah alosema maskini ataingiya peponi miaka mia tano kabla tajiri
Hakika ya elimu ni ile yenye kumfaa yule aisomae imkurubishe kwa ALLAH ﷻsio ile itakayomuweka mbali na ALLAH ﷻ..........Tizama jinsi unavyodharirika kuonyesha kuwa ni mtu wa nadharia usiyejua vitu "Uhusiano wa mawimbi kusafirishwa kutoka sehemu moja kwenda kwengine na kuhusika kwa majini wapi na wapi?" Muongo KADHAAB wewe! ELIMU YA DINI HUNA hata ELIMU YA MAZINGIRA PIA HUNA??? Na kujitunuku udokta kwa nukta hizo unazoongea mbona haviendani? Nishawahi kuambiwa kuwa HAJIINGIZI KATIKA USHIRIKINA ILA YULE ALIYE MJINGA na hapa ujinga wako unaonekana!! Sule ni kadhaab Sule ni Muongo Sule ni Mshirikina
Sule anaandliwa kuwa mahubili wa neno la Mungu..ningeomba Mungu kabla ya Mimi kufa nimuone Sule akihubili neno lako katika Roho na kweli Amina
Allah ana SEMA ewe doctor sule(kulikuwa Kuna vijana wa kibinadamu wakitafuta ulinzi kwa vijana wa kijini waliwazidishia kupotea)
Umeelezewa kuna sura ya 72..imezungumzia kuhusu majini...wapo wabaya na wazurii...wazurii niwaliosilimu..na waislamu woote nimatundu kwa Imani..so siokuwaabudu majini ila kuwajua kama ndugu ..kwani mwanadamu ndio mtawala wakila kiumbe ...
@@eiddykenga5816 shehk unappealing kweupe na Kam na ww ndo wale wale mnaotumia Majin Sina kauli
@@SaidKaros mukiwa mbele zawatu munajifanya watakatifu..wakati nyumbani munaishi nao kwakuwaamrisha madhara..Dr sulle kaeleza ilmu alionayo juu ya majini..ww njoo pia utupe ilmu yako yatokupinga ila kwa maandiko
..usiwe kama mkristo..hapa tunamsoma kwa waliombele zetu kiilmu..so ww kama unayo tupe acha mdomo..ama ndio nyinyi wale vibaraka wawazungu miongoni mwawaislamu wanaosema yesu ni bwana
Mwanasayansi wangu uyo dokta sure..profesa uyo ... mashalah
Mimi sikubaliani na hayo maneno yake cz sisi waisilam tumefunzwa majini wema kazi yao ni kufanya ibada tu sio kumtumikia mwanadam dr kwakweli umeikosea sana dini ya uislam 😢😢😢😢
Lete ushahidi wa aya au hadithi....kama ulimsikia sheikh anasema maneno hayo uwenda alikupanga tu
Ww na majini ninani anatawala ulimwengu...na anatawala nianaetumisha anao watawala..sema hutaki kusoma
Kwa kweli anapotosha umma ,wew sio nabii Suleiman !
Kila mtume alipewa uwezo wake. Sisi mengine sio yetu, mfano nabii musa fimbo yake ilikuwa inabadilika kuwa nyoka sisi hayatuhusu. Kutegemea na kutumia majini kwa manufaa yako ni dhambi, qur'an ipo wazi inakataa, mashekh wetu wanachafua hali ya hewa, sasa wakristo wanatushambulia bila kusoma muuongozo wa uislamu,
Al Quran: Al-An'am/6:100
---
وَجَعَلُوا لِلَّهِ شُرَكَاءَ الْجِنَّ وَخَلَقَهُمْ ۖ وَخَرَقُوا لَهُ بَنِينَ وَبَنَاتٍ بِغَيْرِ عِلْمٍ ۚ سُبْحَانَهُ وَتَعَالَىٰ عَمَّا يَصِفُونَ
Translations:
---
Bado wamemfanyia Mwenyezi Mungu majini kuwa washirika wake, na hali Yeye ndiye aliye waumba. Na wakamzulia, bila ya ujuzi wowote, kuwa ana wana wa kiume na wa kike. Subhanahu, Ametakasika na ametukuka juu ya hayo wanayo mbandikiza nayo!
-- Ali Muhsin Al-Barwani
---
Al Quran: Al-An'am/6:128
---
وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا يَا مَعْشَرَ الْجِنِّ قَدِ اسْتَكْثَرْتُم مِّنَ الْإِنسِ ۖ وَقَالَ أَوْلِيَاؤُهُم مِّنَ الْإِنسِ رَبَّنَا اسْتَمْتَعَ بَعْضُنَا بِبَعْضٍ وَبَلَغْنَا أَجَلَنَا الَّذِي أَجَّلْتَ لَنَا ۚ قَالَ النَّارُ مَثْوَاكُمْ خَالِدِينَ فِيهَا إِلَّا مَا شَاءَ اللَّهُ ۗ إِنَّ رَبَّكَ حَكِيمٌ عَلِيمٌ
Translations:
---
Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua.
-- Ali Muhsin Al-Barwani
Qur an inasema kama kuna jambo geni kwenu alipo katika qur an ...waulizeni waliotangulia kabla yenu katika wale waliopewa kitabu kabla yenu...
hapotoshi ndo hivyo
Heh kama hujaelewa na apo hem nenda katufute dawa zako umeze kwanza
@sleyumngolo daah mnapotoshana sana. Qur'an inakataza kushirikiana na majini eidha kwa manufaa, ili kh'ari unashirikiana nayo.
Al Quran: Al-An'am/6:128
---
وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا يَا مَعْشَرَ الْجِنِّ قَدِ اسْتَكْثَرْتُم مِّنَ الْإِنسِ ۖ وَقَالَ أَوْلِيَاؤُهُم مِّنَ الْإِنسِ رَبَّنَا اسْتَمْتَعَ بَعْضُنَا بِبَعْضٍ وَبَلَغْنَا أَجَلَنَا الَّذِي أَجَّلْتَ لَنَا ۚ قَالَ النَّارُ مَثْوَاكُمْ خَالِدِينَ فِيهَا إِلَّا مَا شَاءَ اللَّهُ ۗ إِنَّ رَبَّكَ حَكِيمٌ عَلِيمٌ
Translations:
---
Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua.
-- Ali Muhsin Al-Barwani.
Nasikiza Dr sure sababu huongea peupe naanapenda kuku Bali akiwa na dacha hakuna jaziba wanapendana atakama wako na Imani tofauti this guy is human
Yeyote hadi wewe Dr. Sulle, naomba utafute mawaidha ya Sheikh Nassoro Abdallah Bachu Mungu amrehemu, mada “Kuipa Dunia Mgongo”, sehemu ya 1 hadi ya 4, inshaallah, Allah s.w. ataongeza elimu kwetu waislamu.
Mtume Muhammad s.a.w anatuambia tujitahadhirishe na viburi vya aina tatu,
1. Kiburi cha Mali
2.Kiburi cha madaraka na
3. Kiburi cha Elimu.
Nabii suleiman aliomba utajiri na mamlaka yote na Allah s.w. Kisha Allah s.w akampa atakavyo yeye. Hakuomba utajiri kwa majini .
Wala hakuwafundisha watu elimu za kichawi wala kutengeneza pete bali ni majini ndo waliwafundisha watu, kama Allah anavyo mtetea nabii suleiman katika suratul baqara.
Mashekh wawe makini wanabeba dhima kubwa kwa Chao Kiburi cha ilmu
Dr sule mungu azidi kukuongoza vema katika dunia hii uzidi kutuelimisha.
Doctor sule Allah akuongoze lakini doctor unapoteza umma wa kiislamu tubia nanrudi nyuma na maneno
Mungu akupe maisha maref....wabongo vichwa panzi........ Mungu ni waajabu
Wakwanza ww
Ni kwl wabongo hawajielewi
Wewe mkenya?
DOCTOR MIMI NAKUELEWA SANA
yan mm shekh nakukubali sana japo kuwa wengine wanakupinga wasiekuwa na elimu haoo
Huyo shekh ana hitaji pesa ndo asisitiza Jambo hili Nakuombea Allah akuogoze insha'Allah
Allahumma aamin 🤲
Shekhe kutwist maneno ya mwenyezi Mungu ina adhabu kali sana
Tufunze katwist wapi
Naaam Dr Sule uko sahihi kabisaaaa watu wengi hawakuelewi ,na hapo ninachokiona hapa watu wanamshambulia Kwa sababu kasema ukweli ambao walio wengi hawakutaka usikike wakati wao wanatumia
Yohana 14:
6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Hafai kushirikiana na majini kwa lolote hamsomi Qur'an siku ya kiama ALLAH atawauliza majini Kwanini mliwapoteza wanaadamu watasema tulikuwa tukijinufaisha ss kwa ss hasara ya kutumia majini
Dr. Sule nakuelewa ila inataka ubongo mkubwa kukuelewa....❤
Yohana 14
6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Doctor sulle, watanzania wengi akili zao n finyu sana, kuwaelewesha n kazi sana....
Ww umeelewa nn
Kitu kisicho eleweka ninini?
Mungu Gani anasema watu wategemee Majin badala yakumtegemea yeye?
Dr Sule nakuelewa pia wew sio mshirikina
SubhanaAllah huyu si shekhe jamani waislam tuwe makini hii ni duniya ya mwisho tuloambiwa
Dr Sule Hpa Umekosea Rud kw Allah,Ww Cio Nabii,Waka Huna upeo wakujua ,Mdudu chungu Anaongea nn,Na huna ufalme b Na bii Sule Iman alkua mfalme, Na Allah Amesema tuje Kumuabudu ,kw nn Tuwategemee Majin,tucmtegemee Allah,
Ukimtuma mtu ujamtegemea mungu au sababu jini soma elimu bahari
Mungu anakuona unay fanya
Sahihi dr wace waseme naroho zawo zinadjuwa
Dr ukweli unadanganya unaposema simu ya touch ina mguso wa majini, inaonekana huna uelewa wa teknolojia ya mawasiliano kabisa. Unatafuta kudanganya watu ila hii dunia hapa ilipofikia uwezo wa kudanganya watu ni shida.
Mswaili anajiona mwenye eliimu kuliko wote duniani 😂😂😂😂 hataki kukosolewa, sule acha ushirikina kijana utakufa vibaya. Acha inshallah. Acha kutumiya majini hawo si kama sisi, Allah yupo mtegemee yeye tu
Yohana 14
6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Minara ndo inatumia signals za kila mtu kusafirisha mawimb ya saut, kutok mnar m1 mpk mwingine, mnara mmoja una cover 50km, so ikidakaa sautu yako inatuma 50km mbele kweny mnara mwengine hivo hivo mpk saut yako inafika geita, sio kwel kwamb electronics ni shirk, mbon chaj ikiisha hamn saut inayoenda
Technology imejificha hapo kwenye hilo la mawimbi ya sauti kuhama kutoka kwenye kifaa hadi mnara kwa mnara bila waya na kwa haraka zaidi....si tetei kuhusu mada ya majin hapo juu ila technology inasiri nzito.
Alafu zile interview unazohojiwa na channel zingine muwe mnaziweka na hapa kama zilivyo bila kukata kipande maana wakati mwingine naweza kuona interview ya Dr sule kwenye Channel nyingine nikija hapa siipata au nikiipata itakuwa imekatwa katwa ahsanteni.
Doctar sule uko sahihi hawa mashehe wengine ni wakupandikizwa na wazungu wasikuumize kichwa.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Suleimani kasema yoyote asipewe baada yangu
Huyu atakuwa jini anamtetea babayake. Niushirikina uwo, yeye sio suleiman. Na ww jini wa sule acha ujuwaji
,DR SULE tutaaminije kua pete imerudishwa na majini una wahyi wewe??? au uliwaona?? mche allah
majini wameumbwa kwa ajili ya ibada si kututumikia ewe sule mche allah
Toa Uchawi Wako ,Wewe Unapotosha Watu ,Unatangaza Majini Kuliko Mungu
hahaha Ndo ukweli huo siri haipo tena
waislamu sio wapumbavu wewe@@trophywilson7211
Toka alipokutangazia Mungu..umegeuka sibadi unaabudu misalaba
Kasome waves and vibrations japo kidogo upate ABCs za wireless communications. Acha ushamba kwenye Dunia ya leo kuwadanganya watu bila majini hakuna ICT. Huna mtoto wa form six akupige pindi la physics? Shekh unafanya waislam tuonekane mambulula.
Tumia internet bure tukuone ulivosoma ICT vitu vyote we si umeletewa na wazungu na hayo maelezo umeyatoa kwao. Unaaminije unachoelezwa km ndo uhalisia
Sasa kwa maswal hayo si ndio mzunguko wa maisha utatokaje katika maswal hayo au ww mwenyewe kati hayo ww huna ata moja
Kipo kisa Cha swahaba mmoja mkubwa aliuwandikia barua mto naira ( river ) ili utoe maji , huwo mto nikama maji yalikauka au maji yalikuwa machafu basi huyo swahaba aliandika barua Kisha hiyo barua ikatupwa kwenye huwo mto na baada ya muda mto ukatoa maji safi kwa ajili ya kunywa na matumizi mengine, simkumbuki vizuri hicho kisa.
Hahahaaa jini linakula ganja...jini lingine teja..
Shikamoo docta
Yohana 14
6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Sisi wale hatuna elimu tuna changanyikiwa sana ya rabbi ila tu tuna kuomba ya Allah utuelekeze sote amiin
dawa ni kusoma dini yako, usijubali kutapeliwa na Watu ambao hata kusoma Qur an hawajui
Yohana 14
6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Kwaiy uyo Habib bin sumeit alikuwa noma sana 😀😀😀mbona hatar
Hilo SWAli mm nnalielewa yani sio kwamba watu wanayatumia majini
SWAli lenyewe ni
jee inafaa kuyatumia?
Dr anaonesha kama hajalielewa
Hapo Kuna swali lingine je yule Habib alipotoa barua kwenda kwa majini Kisha thahabu ikarudishwa kitendo hicho ni uaramu?
Kutegemea na kutumia majini kwa manufaa yako ni dhambi, qur'an ipo wazi inakataa, mashekh wetu wanachafua hali ya hewa, sasa wakristo wanatushambulia bila kusoma muuongozo wa uislamu,
Al Quran: Al-An'am/6:100
---
وَجَعَلُوا لِلَّهِ شُرَكَاءَ الْجِنَّ وَخَلَقَهُمْ ۖ وَخَرَقُوا لَهُ بَنِينَ وَبَنَاتٍ بِغَيْرِ عِلْمٍ ۚ سُبْحَانَهُ وَتَعَالَىٰ عَمَّا يَصِفُونَ
Translations:
---
Bado wamemfanyia Mwenyezi Mungu majini kuwa washirika wake, na hali Yeye ndiye aliye waumba. Na wakamzulia, bila ya ujuzi wowote, kuwa ana wana wa kiume na wa kike. Subhanahu, Ametakasika na ametukuka juu ya hayo wanayo mbandikiza nayo!
-- Ali Muhsin Al-Barwani
---
Al Quran: Al-An'am/6:128
---
وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا يَا مَعْشَرَ الْجِنِّ قَدِ اسْتَكْثَرْتُم مِّنَ الْإِنسِ ۖ وَقَالَ أَوْلِيَاؤُهُم مِّنَ الْإِنسِ رَبَّنَا اسْتَمْتَعَ بَعْضُنَا بِبَعْضٍ وَبَلَغْنَا أَجَلَنَا الَّذِي أَجَّلْتَ لَنَا ۚ قَالَ النَّارُ مَثْوَاكُمْ خَالِدِينَ فِيهَا إِلَّا مَا شَاءَ اللَّهُ ۗ إِنَّ رَبَّكَ حَكِيمٌ عَلِيمٌ
Translations:
---
Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua.
-- Ali Muhsin Al-Barwani
ni vilevile hata majini wanawatumia binadam
Ameelewa lakin amelemewa kwasabab haiwezekani waislam wotee wanampinga yeye,kwaivo inamaana,waislam wotee hawana ILM niyeye tu,.....jib nirahisi yeye niawatumie hao majin ila ajue ni shirq....Eti ajitetea na nabii Suleiman,,alikuwa akiwamrisha majin...tambua yakuwa YULE NI NABII NA WEWE NI WEWE,,
Nilichosikia kasema inafaa ila ukiyatumia vibaya unapata zambi na ukiyatumia vzr haina shida na akatoa kisa cha Habib huko Zanzibar
sema Kabisa Yesu anakusaidia Kufunuq maficho ila hujitambui tu
Yesu ndo nani
Jini ni jini tu hakuna jini mbaya wala mwema wote Hao ni mashetani
Sio kweli
Subhana Allah doctor sule hakuna mamlaka ya mtu yeyote kumtumia majini kwa kitu chochote si katika Quran Wala Sunna unapotosha watu
msikilize Vizuri Anatoa mpaka Aya ndugu yangu msimtoe kwenye msitari,na wazuri mnawatumia vizuri,na Mabaya mnayatumia Kwa maovu pia watu wale wale
@@trophywilson7211aya gani aliyotoa
Sule upo sahihiiiiiii watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maalifa
Yohana 14
6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Duh leo Dr Sule kamwaga madini sio mchezo
Maana mie nilikua nampinga siku zote leo sina pakuanzia labda niwasubiri masheikh wengine watasemaje kuhusu haya anayoongea dr sule
salam aylkm all muslims haifai kuamini mambo za jinn ...niukwl walibwa jin... nacc binadamu faida yake nn wapta khasara thuma wallahi wangapi walikua wamini nunua kufugaa jin... kisha wanabeba watu wote kwa nyumba kumaliza watolewa duniani 😭😭😭🔥👀💔😰🙌🙏wallah masuliya yoim mahashar cku ya hisabu ...utamuangalia vp mola uso wako waweza kwl atauliza utajibu nn uliuwa famly ati kma wataka mali subhana allah
waliumbwa wao na cc binadam
Sheikh gani huyo tapeli tu wa kawaida
Wewe dokta majini wapo wazuri na wabaya lakini sisi wanadam hatuna uwezo wa kufaham wazuri na wabaya hiyo ilikuwa kwa nabii seleman na wangine
Naona mashehe kuna kitu wanakifisha nyuma ya pasia, lakini Dr. Sule amefanya kazi zuri ya kusema ukweli.
Shekhe piga kazi sasa uislamu una pigwa na waislamu wenyewe na sasa wana tumiwa na makafiri sisi tunalijua hilo muda
Unaongeya sana tunataka aya kupitiya Quran kwamba inasema utumiye jini mzuri kwa uzuri wake
NAFSI MALI NA HAPA ITAKUA NJAA IMEHAMIA KICHWANI SIKU ZOTE NJAA KWAKE TUMBONI SHEIKH ALLAH AKUONGOZE
Haja toa haya hata moja katika Quran au hadith inayo thibitisha kuwa kutumia majini kwa njia halali imeruhusiwa
واهوشيرا ليسولايمانا جونودوهو.
Docta sule weye unachokijua ni nyuki na hao nyuki pia huwajui hata iyo sayansi elimu huna docta sule
Sule muogope allah usipotoshe watu unapenda pesa kupita kiasi
Kwani ww hupendi pesa
Usiwai bebewa akili hii ushirikina tupu
Mimi bado natafuta elimu juu ya hili sahv sina upande wowote elimu ni pana hasa ya ghaibu na kuna vitu utabisha km hujawahi kukutana navyo. Kikubwa hii mada mashekh wazid kuifafanua
Uyu mwehu sana muislam haping uwepo wa majin......muislam tunapinga jini mwema au mbaya kumtumikisha
Toa aya
nabi suleman yy tuu alijua badaa kufa kile kitaab bada chukuliwa na mola akitaka jin... kawa aenda akifuata pepar moja kma chapter ...dunia hali hini ss watu waharibiwa dhulma mtu apewa jin ...akufeee jee ile book mzima ingekuwa duniani cc sote tungefanywa mchanga imagine one pepar tuu katupwa chni kwa ardhinnni jin kaona complet book watuu wako hvi😢😢 haram haofai weka jin dhambi
اتق الله يا أخي
Muogope Allah ndugu yangu...Ww ni mtupu katika Tawhiid...Kaa usome uijuwe tawhid kisha ndipo itakubainikia shirk...
Kwasasa unaongea bila ya elimu...Nani Aliyekutangulia ww aliyeelewa huo uelewa wako katika wema waliotangulia...
Hatuwezi kutegemea pete wala kuyatumikisha majini...Hilo litatupeleka katika upotevu...
والله المستعان
Dr sulle acha uongo Hakuna binadamu anawexa kumjua jini mzuri/Mwema.
Si kitabu chenu kinasema hivyo?lakini pia mnaabudu nayo ktk ibada na kushiriki nayo katika shughuli mbalimbali?kwa hiyo ni ndugu zenu ktka imani mnajuana vizuri sana,nilisoma kitabu kimoja kiliandikwa na shehe mwanazuoni mkubwa kutoka Kenya kinaitwa ulimwengu wa majini na vituko vyake kimeeleza mnavyoshirikiana nao .mbebe vitu vyenu ndo unaona mashehe wote wasomi wamekaa kimya.ulishamuona prof.mazinge mtaalamu wa Qur'an anabisha?lakini angalia Hamza alivoleta kuchanga uisilamu na ukristo walivyomkalia kikao mashehe wasomi kukanusha,mkojan alipoigiza fatwa a akakosea kidogo aliitwa mpaka kwa mfiti.mpaka sahizi wanaojitokeza ni Mwaipopo alitoka kwenye ukristo kaidandia gari kwambele hajui undani wa dini yenu,shafii kwa kuwa yeye kajifunzia mitaani wala hana ilimu yoyote kuhusu Qur'an. Wote hao sule anawazidi ilimu ya kitabu ukimuondoa mazinge maana kasoma vyuo sita vikubwa vinavyoaminiwa na waisilamu ulimwengun.ndivyo kilivyo kitabu chenu kinafundisha uchawi na vimo kwa hiyo ni maazi unaweza kuwa mganga ni kawaida kwenu poleni.
Jamani musokuwa na elimu munyamaze ,alha anasema sisi wanadamu ndio mahalifa sasa jiuze ww kama khalifa kwanini usitumikiwi na majini soma kwanza usiwe mpingaji tu
NIMEKUELEWA DOC
Shehe 1000 sio noti kubwa ya komoro
Umepitiwa kidg
Jaman me nakuamin dokta suke ingekuwa Kama halam Suleiman asingewamiliki nabiibw mungu
Kasema kweli Dk sule
Wacheni malumbano mashehe enezeni deni ya allah, haya malumbano ya kila siku tujifunze nini kwenu. Nyinyi ndio kioo lkn mnakiwa waovyo rudini kwa muumba wenu ndio mbora wa watu wote hakuna mbora mbele yake
DR Sule bahati mbaya unatoa Elimu kubwa kwa watu wenye elimu Duni na wasio kuwa na Elimu kwa sababu matilio unazo towa niwachache kama sisi waoweza kuzielewa
Alooo wew sule na elimu yako kweli umekosea saaaana
Ivi mestukia kila dr sulle akiulizwa swali ambalo linambana ananza kukohoa kwanza 😂😂😁😁😁😁😁😁
Jamani tusomeni sana
Unasema ukweli, lakini wengi akili ni ndogo,hawaelewi na hawataelewa😅
Ww umeelewa nn
Ushirikina tupu
Wewe ni shetani,,, lakini ipo siku utakuja kulipa..... Maana Leo hii wakujifananisha na Nabii suleiman?
Kweli dunia ipo mwisho😢😢😢😢
Huyu sio sheikh mpumbavu simu na sauti ni jini atuambie toka anafuga majini amevumbua kitu gani cha technology mchawi tu hamna sheikh hapo
Ww tuambie..ukiristo na ushetani kanisani nivipi..elezea sasa kama sule..usitoroke ukasema hamna mashetani kanisani..tuelezee munaishi nao vipi
Hata muingiya mpaka Allah atake
Inachotakiwa ni mdaharo WA Sule na Mashekh umma umegawanyika
Pumbavu stafatilia tena hii chanel
pumbavu mwenyewe,,sasa unaamua nn?
Kalia pesa za sule tu lakn moto unakuhus kama hutotumia,au utakuwa syo muislamu ndo maana unamuunga mkono ili muuchafuwe uislam
Pia ww ndo huna akili
@@shabanihugo8332 wewe huna elimu
Kama Majini wange kua wabaya Madina usinge jengwa Msikiti ukaitwa Msjid ljinni.
mtuu hafkirii dhambi atauwa famly kwann wote waliwa nayy alionunua ajaa liwa faida yke nn kwann mtu asiamini mola tuu aone rizki kubwa ndogo akipta aseme alhmdulilah ujingaa kabisaa
Dr.sule umetufeli,kama unaeza amini pete inaeza kupa mali, hapo umepoteza.elimu uko nayo alhamdulillah lakini njia unaitumia elimu hiyo ndio makosa
Doctor watu wanajua madini yapo mm nadhani achana na maada za elimu yaajini hebu elimisha Islam ktk bibilia watu wengi unawachanganya naajini na Pete Mungu ametutenganisha na makini sasa unapo sema kuna wema na wabaya hiyo Kwa watu wengi watakushangaa unaonekana unaleta shilik acha maada hizi
Acha kujifananisha na manabii chaguo la Allah wewe ni sule, hakuna ushirikiano wa mwanadam na jini ukimtoa nabii suleiman, wewe ni MSHIRIKIN ni kwel majin wabaya na wazuri wapo ila kwa jicho lako wewe au macho yetu sisi hakuna anaeweza kujua jini jema na jini baya, huo ni USHIRIKINA
Ww huja wahii tapeli wajuwa Mungu ana mfanya mtu adhalilike hapo hapo.. Anafikiria kuongea
kweli elimu ndo shidaaa hpo
Kwanini docta sule anayatangaaza majini yaombwe wakati Allah anasema tumuombe yeye! Wewe unaomba jini hio nishirki,
Muombe Allah tu
Waisilam hamtaki hila ukweli ndo uho uisilamu bila majini hakuna dini
Ntakufira nkuuwe kumaamako
@@Putin331 dini yenu inawaruhusu kufanya hivo njoo
Basi wote tuna majini because tuna otaa vitu vyote hivyo
Huo mfano wa shekh huko zanzibar anakupa uwezo gan wa kumtumia km ushahid ktk din
Watakuelewatu wape elimu
Ikiwa huajapata matatizo au mtihani wa majini wabaya kuumwa na kuhangaika mahospitalini mpaka kusomewa na bado mgonjwa kufa na kupuna pia hujui basi.mutapinga binadamu wote wa ulimwengu mzima.
Akhy wewe huna Aqida sahihi ya ahlu sunna waljamaa, hujui kwakweli, nibora usiendelee, maana unazidi kuanika upotofu kwa umma
Majini wote ni wabaya na kumuita jini lazima ufanye mkata na jini unaemuita kwahy hakuna kuita jin bila ya makubaliano
Sas watu hawaelew nn hapo?
Hivi elimu ya kiroho ni pana sana...na imefichwa haikufundishwa tangu zamani naniwachache wa naofahamu ndio maana wengi wao wapinga na kuto kuamini.....lakini elimu ipo.. chengine km mtume muhammad s.a.w ni kiongizi wetu na kigezo chetu pamoja na mafundisho au tufuate yale alio yafanya....km urisi mwema, na hapa tushaambiwa mtume alimcholea sahaba wake duara ili awalinganie majini ili wamche mungu aliinana nao na swahaba aliwaona vip museme majini hawaonekani mi makataa katakata....
Ww ushawahi waona majini
@@eiddykenga5816ndio nishawahi kumuona kaja kuu kwa sula ya bimaadamu baadae ndio nikatambikishwa na na mhusika wa eneo baada ya mm kupewa salamu kumfikisha, muhusika ndio akaniambia kuwa yule alikua jini
Sas kama waisilamu mnatumia majini kwa ajili ya kipato sisi wa kristo tunamtumia roho mtakatifu
Mashekh inatakiwa wamfanyiye fikra huyu bwana maanake anavyo pigiya debe utajiri ni kama anakemeya ike habari ya Allah alosema maskini ataingiya peponi miaka mia tano kabla tajiri
Hakika ya elimu ni ile yenye kumfaa yule aisomae imkurubishe kwa ALLAH ﷻsio ile itakayomuweka mbali na ALLAH ﷻ..........Tizama jinsi unavyodharirika kuonyesha kuwa ni mtu wa nadharia usiyejua vitu "Uhusiano wa mawimbi kusafirishwa kutoka sehemu moja kwenda kwengine na kuhusika kwa majini wapi na wapi?" Muongo KADHAAB wewe! ELIMU YA DINI HUNA hata ELIMU YA MAZINGIRA PIA HUNA??? Na kujitunuku udokta kwa nukta hizo unazoongea mbona haviendani?
Nishawahi kuambiwa kuwa HAJIINGIZI KATIKA USHIRIKINA ILA YULE ALIYE MJINGA na hapa ujinga wako unaonekana!!
Sule ni kadhaab Sule ni Muongo Sule ni Mshirikina
Majini wameumbwa kama watumishi wetu .daa.hapohapo unasema majini wameumbwa kabla yetu.
Wewe unaleta uzushi mbaya
Allahnishitwani namajini ndio malaika zake
Ukikua utaacha,na hasa ukikutana na misukosuko ya dunia
Kivyovyote haifai kuwatumia majini kwa njia yyte hio ni shirki
Wanzako wakupinga
Hata ukikagua bibilia nzima hutaona hata nukta moja imeandikwa habar ya jin wakirsto hawajui jini wào wanajua roho mtakatifu na roho mchafutu bas