MAKALA YA JAKAYA KIKWETE mzee wa Msoga imeandaliwa na DENIS MPAGAZE ikatangazwa na ANANIAS EDGAR

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2024
  • #dreammakertv #ananiasedgar #denismpagaze #historia #jkikwete
    kwaniaba ya dreammaker tv tunaomba mapendekezo yenu mashabilki wetu tuambieni tulete makala ya nani ivi karibuni maana bila nyinyi atuwezi songa mbele

ความคิดเห็น • 178

  • @rajabumwesua9921
    @rajabumwesua9921 2 ปีที่แล้ว +1

    Tunamkumbuka sana rais wetu mstaafu kwa uongozi mzur 🙏🙏

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว +3

    "Mawazo hayaitaji kupigwa rungu hoja hujibiwa kwa mawazo bora zaidi. " Hoja tano za Hon Dr. Mrisho Jakaya Kikwetr.
    Legacy of Hon Dr .Mrisho Jakaya Kikwete

  • @johnkahuko6372
    @johnkahuko6372 4 ปีที่แล้ว +8

    This guy's are some of the best Analysts in the entire East Africa.
    I subscribe....

    • @e.jack.47
      @e.jack.47 3 ปีที่แล้ว

      Their analysis is just amazing

  • @tabuseleman8389
    @tabuseleman8389 4 ปีที่แล้ว +4

    brother una story nzuri mno mungu akucmamie kwenye kazi zako

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 4 ปีที่แล้ว +6

    Mimi nampendaga bure.
    Mungu azidi kukulinda muheshimiwa...

  • @yusuphyunusi6865
    @yusuphyunusi6865 3 ปีที่แล้ว +3

    Mimi namkubali sana kikwete aliwapenda sana RAIA na aliwapa watu freedom of speech na duniani hakuna kitu bora km Uhuru wa kujieleza

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 ปีที่แล้ว

      Kwa kweli napenda historia zako za historia za viongozi maendeleo kuzitunza kichwani nakuziandika baadhi ya vipengele mungu akubariki sana

    • @saimonmanyerezi7169
      @saimonmanyerezi7169 3 ปีที่แล้ว

      Hayo ni maoni yako tu,lakini ukweli ni kwamba Magu aliwapenda zaidi wtz kuliko watangulizi wake wote,Uhuru wa kuongea ulikuwepo lakini Wtz wengi walikosa haki za huduma za Afya na nynginezo sababu kubwa ni kushindwa kuuthibiti ufisadi na kusababisha hats mahospitalini hakukuwa na dawa.Ukichunguz waliokosa uhuru wakuongea ni wachche sana sio kama wale waliokosa dawa,weka mizania hapo tuone nani alikuwa na mapenzi zaidi na Wtz.

  • @sonmsb1839
    @sonmsb1839 3 ปีที่แล้ว +2

    Ananias una sauti nzuri sana ya kufanya simulizi nakuombea usonge mbele ,tunaomba utuandalie Makala iliyoenda shule ya Hayati John Pombe Magufuri

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 ปีที่แล้ว

    Nafurahi sana kusikiliza kumbukumbu za viongozi wa Tanzania nami nazihifadhi kichwani japo mzee ananisager

  • @arunamwaholi1351
    @arunamwaholi1351 4 ปีที่แล้ว +5

    Namukubari kikwete sanaaaa

    • @kennethndingo2544
      @kennethndingo2544 3 ปีที่แล้ว

      Mstafu uraisi Jk Kikwete watanzania hakika umetufanyia mengi mxr tunakukumbuka Sana kwa uvumilivu.kwa kila jambo hongera Sana.Mungu atakulipa.

  • @Julius_Lugwisher
    @Julius_Lugwisher 2 ปีที่แล้ว

    Thanks broo tuletee historia ya obama

  • @zuberykharoub6868
    @zuberykharoub6868 4 ปีที่แล้ว +22

    Kama unamkubal ananias edga gonga likee❤

  • @catherinemakombe6090
    @catherinemakombe6090 3 ปีที่แล้ว

    Good job keep it up

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว

    Sauti nzuri kama ya Bati Kombwa RTD. Ubarikiwe.

  • @tabumussa9406
    @tabumussa9406 4 ปีที่แล้ว +4

    yapo mazuri aliyoyafanya jakaya wetu.tunakuombea maisha marefu

  • @selemanmandeni1429
    @selemanmandeni1429 4 ปีที่แล้ว +3

    History mzuli Sana,mungu akupe afya njema mtoaji wa hii history.

  • @gasperjohnson3388
    @gasperjohnson3388 4 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubali sana ananiasedgar salute kwako mzee

  • @simonmsumari6106
    @simonmsumari6106 4 ปีที่แล้ว +3

    Mzee Wa maisha bora kwa kila mtanzania

  • @pascodenis6032
    @pascodenis6032 4 ปีที่แล้ว

    Cc watanzania wepec Sana kusahau huyu kikwete Mungu atamuona tu....

  • @ianmtengo3273
    @ianmtengo3273 4 ปีที่แล้ว +3

    Safi bro piga kaz

  • @msafirimatingo4447
    @msafirimatingo4447 3 ปีที่แล้ว

    Nakukubali mzee baba

  • @abduldangote2916
    @abduldangote2916 ปีที่แล้ว

    Hongera jakaya mzawa wa nyumbani

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว +2

    "Akifungua mdomo na kiswahili chake na tabasamu lake unaweza kulichukulia mkopo"

  • @gaudenceswai5382
    @gaudenceswai5382 4 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana JK

  • @roselynmpwiniza
    @roselynmpwiniza 6 หลายเดือนก่อน

    Jakaya ni krasmatic leader

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว +2

    "Usifuate ya kuambiwa tu changanya na zoko". "Mtanikumbuka tu".

  • @joycengasa1326
    @joycengasa1326 4 ปีที่แล้ว +8

    Nimeingia tatu ya kwanza wap like

  • @africa7479
    @africa7479 4 ปีที่แล้ว +7

    I LOVE YOU KIKWETE

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว +1

    Wakenya ndio wanaojua utamu wa Mh Dr. Mrusho Jakaya Kikwete wakati alipowasuluhisha kwa diplomasia ya hali ya juu na akaenda kuwahutubia kitaifa. Hazina ya diplomasia suluhishi.

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi1483 3 ปีที่แล้ว

    Anas Edgar, unanikosha usomaji wako wa makala 👍

  • @kassimzubermdhakir5813
    @kassimzubermdhakir5813 2 ปีที่แล้ว

    Tunaomba utuandalie historia ya jpm

  • @ayubumligi6663
    @ayubumligi6663 4 ปีที่แล้ว +2

    Tunamkumba sana aithe

  • @rajababubakari2701
    @rajababubakari2701 4 ปีที่แล้ว

    Kweli brother story tamu

  • @erickkipenya5801
    @erickkipenya5801 4 ปีที่แล้ว

    Nice ctory

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 3 ปีที่แล้ว +5

    R.I.P MWAMBA MAGUFULI♥️💔

  • @tintz3157
    @tintz3157 4 ปีที่แล้ว +3

    Hutapata mpizani miaka buku dogo utabaki kuwa juu kileleleni daima

  • @azzaazza3686
    @azzaazza3686 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah

  • @emmanuelgodfrey9400
    @emmanuelgodfrey9400 4 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana Denis Edger Mpagaze

  • @masharubundevu3765
    @masharubundevu3765 4 ปีที่แล้ว +7

    Nyerere ndo aloiuwa zbar na kumuuwa Karume, Aboud Jumbe kamtowe nje kisa kutaka Serikali tatu mshenzi sana

  • @marykibwana9413
    @marykibwana9413 4 ปีที่แล้ว +1

    Da,napenda sana makala zenu mnazoandaa, zinavutia mno.

    • @marykibwana9413
      @marykibwana9413 4 ปีที่แล้ว

      Asante, kwa ku-like comment yangu.

  • @salimkassim645
    @salimkassim645 4 ปีที่แล้ว +3

    Thanks for this masterpiece

  • @safinatourssafaris2519
    @safinatourssafaris2519 3 ปีที่แล้ว

    Hizoo sifa za mabaa na mapombe na uhuni hazimpendezi Mungu

  • @jumamnumbwa9483
    @jumamnumbwa9483 3 ปีที่แล้ว +1

    Jakaya humjua nikiongozi bora kabisa wa level nyingine,aliifungua nchi iliofungwa,na kupoteza dira kabisa,aliweka misingi imara ya maendeleo ya nchi,utawala wa mwl.ulikuwa utawala mbovu kabisa kutokea uliifilisi nchi ,ulipoteza hazina zote zilizoachwa na wakoloni

  • @sikoseihtz3784
    @sikoseihtz3784 4 ปีที่แล้ว +1

    Safi

  • @gilbertkasikila5294
    @gilbertkasikila5294 4 ปีที่แล้ว +1

    Umeeleza vzuri lakini bila mtiririko wa kueleweka

  • @abuuchaula6961
    @abuuchaula6961 4 ปีที่แล้ว +1

    Nakubali

  • @safiasuleiman3119
    @safiasuleiman3119 4 ปีที่แล้ว

    Ndio Mana allimjua mama samiya kumbe aliishi Zanzibar kwa pengine walifanya kazi pamoja tangu zamani😁😁😁😁😁Aristoteeeeeeee

  • @kwatilotv3675
    @kwatilotv3675 4 ปีที่แล้ว

    Historia taamu. Kaka edgar w n wa kipekee . W n roll model wang kweny kazi hizi.

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว +1

    "Kuachana na siasa za maji taka" "Siasa ni tope".

  • @wisdommwakalinga9107
    @wisdommwakalinga9107 4 ปีที่แล้ว +1

    Tunapenda xana kazi zako ila angalia kuonyesha maneno yenye elemenzi za dharau kwa askari katika makala zako

  • @benedictmango9561
    @benedictmango9561 4 ปีที่แล้ว

    Noma sana

  • @hajihaji4875
    @hajihaji4875 4 ปีที่แล้ว +2

    Tuleteeni makala ya rais Ali Hassan mwinyi WA Tanzania

  • @documixtanzania9150
    @documixtanzania9150 3 ปีที่แล้ว

    Osama

  • @fackramadhani7292
    @fackramadhani7292 4 ปีที่แล้ว

    Thanks brother

  • @hassansaleban7429
    @hassansaleban7429 3 ปีที่แล้ว

    God bless you for amazing information keep it up brother to be honest if u could do this English u could have won best stories all the time but still still ur Informationen us ur bless ur contributing alot to educated more and more

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita476 3 ปีที่แล้ว +1

    Jakaya atakumbukwa sana

  • @rahmahersi2116
    @rahmahersi2116 3 ปีที่แล้ว

    Sahihisha usemi
    WA WALAKA...... AU
    WARAKA.....Inatia aibu.

  • @kurwamapozi1278
    @kurwamapozi1278 4 ปีที่แล้ว +1

    broo nakubali sanaa

  • @jaffarchimbuvu7499
    @jaffarchimbuvu7499 3 ปีที่แล้ว +1

    Uyu achana nae,ana girous,kama katiba yetu ngekuwa kama ya ezlaeli ageshaludi kwenye kuongo tena👏

  • @michaelmalutandala2214
    @michaelmalutandala2214 4 ปีที่แล้ว +3

    siku moja tupe habari za mtikila bwana mpagaze

  • @khamisiiddi9321
    @khamisiiddi9321 4 ปีที่แล้ว

    Hatari

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว

    "Si wa kukurupuka na kuweweseka kama mapepo yaliyotolewa kwa......."

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว

    " Mh Lowasa alipokatwa imani ya watu wake ikawa haba"

  • @maphandezulu2573
    @maphandezulu2573 4 ปีที่แล้ว +3

    Kikwete

  • @juliusnakembetwa1872
    @juliusnakembetwa1872 3 ปีที่แล้ว

    We jamaa unajua kinomer...

  • @chagurichad6052
    @chagurichad6052 4 ปีที่แล้ว +5

    Umezingua kuxema et hatujawahi hata kupata umonitor kwa hyo tukichukua form et tutaishia jela

  • @tariqaziz4799
    @tariqaziz4799 4 ปีที่แล้ว +4

    We miss you JK

  • @ezekielikagine9168
    @ezekielikagine9168 4 ปีที่แล้ว +1

    Tuletee na historia ya mtikira.

  • @maxmilianmgalatia330
    @maxmilianmgalatia330 4 ปีที่แล้ว +1

    Mama nilipo nitatoka......

  • @abdallaameir3153
    @abdallaameir3153 4 ปีที่แล้ว +4

    Mm aona hawa wanaotengeneza hizi video watupe za kwao tuwajue zaid

  • @Ivanmtanzania
    @Ivanmtanzania 3 ปีที่แล้ว

    Hiyo nimeielewa

  • @official_calulu
    @official_calulu 3 ปีที่แล้ว +1

    eka ya Hussein mwinyi

  • @Ivanmtanzania
    @Ivanmtanzania 3 ปีที่แล้ว

    #Mtanzania

  • @hemedhemed7701
    @hemedhemed7701 4 ปีที่แล้ว +1

    Salim Ahmed Salim
    Lowasa na
    Rostam
    mlituchezea mchezo mchafu sana
    ila kikwete ali play part yake vizuri 👍

  • @issakatety3535
    @issakatety3535 4 ปีที่แล้ว +6

    Mtikila alikuwa mtata🤣🤣

    • @justineonline6556
      @justineonline6556 4 ปีที่แล้ว +1

      Ingia TH-cam andika
      Justine Online Tazama Kisha
      Subcribe ...

  • @munirahmed7753
    @munirahmed7753 3 ปีที่แล้ว

    Mmmhhh

  • @linuskyando4155
    @linuskyando4155 3 ปีที่แล้ว

    Alituletea Mitandao ya simu

  • @iddyshabani5942
    @iddyshabani5942 4 ปีที่แล้ว +2

    MTIKILA ALIKUWA NOMA

  • @khalidali1130
    @khalidali1130 4 ปีที่แล้ว +2

    Samaki anaefungua mdomo ndo hunasw na ndoano ikamnasa yeye hahaha mbavu zng mie

  • @suleimansaid2633
    @suleimansaid2633 3 ปีที่แล้ว

    Binadamu hawasarifiki huyo ndio binadamu. Mungu Mkubwa kila Kiongozi anamema yake na mabaya yake. Hakuna mkamilifu.

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว

    Huwezi kujua uzuri ama ubaya wa Rais yeyote mpaka hapo atakapotoka madarakani kikatiba ama mapenxi ya Mungu mf R.I.P. Si vyema kumsema Rais ambaye hajafikia ukomo wa kazi yake.

  • @mwamedchilung7737
    @mwamedchilung7737 4 ปีที่แล้ว +1

    chama kinapiga chafya chyee!

  • @pendomalisa8148
    @pendomalisa8148 3 ปีที่แล้ว

    Yaani hii haifai

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala5307 3 ปีที่แล้ว

    Wewe mnafiki aliyefanya kikwete haijafikiwa na marehemu tukiorodhesha.hapa tutakesha

  • @Ivanmtanzania
    @Ivanmtanzania 3 ปีที่แล้ว

    @Jastinmadoi

  • @hilalhilal8400
    @hilalhilal8400 4 ปีที่แล้ว +4

    LEO STORY MEIPENDA KINOMA.

  • @bylemu2497
    @bylemu2497 3 ปีที่แล้ว

    Ahaaa we ckupng uko vzl

  • @freedomforall7473
    @freedomforall7473 3 ปีที่แล้ว

    Waizi ni kenya walikula pesa za corona bila aibu bado wanajifakharisha

  • @bonfacesanga6792
    @bonfacesanga6792 4 ปีที่แล้ว

    Safi mzee

  • @makhosijozi541
    @makhosijozi541 4 ปีที่แล้ว

    Nice

  • @jaffarchimbuvu7499
    @jaffarchimbuvu7499 3 ปีที่แล้ว

    Uyu alipikw,kwanza baba ake alikuwa kionzi,kuna nn tena maji ufata mkongo

  • @godblessmarandu4549
    @godblessmarandu4549 4 ปีที่แล้ว

    Nakumis mzee mi dereva sasa sina kazi

  • @nelsonkyando8146
    @nelsonkyando8146 3 ปีที่แล้ว

    Leta na za mtikila

  • @ruginaolympe5587
    @ruginaolympe5587 4 ปีที่แล้ว

    Tunafuata vipindi vyako lakini kiswahili cako ni kigumu saana kuelewa.

  • @ernestmichael4315
    @ernestmichael4315 4 ปีที่แล้ว

    Ha

  • @khalidgugu4964
    @khalidgugu4964 4 ปีที่แล้ว

    Tuletee story ya huyo waliewekwa kizuizini

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 3 ปีที่แล้ว

    Hakumbukwi kwa shangwe

  • @eliyawilliammagesamarwa8413
    @eliyawilliammagesamarwa8413 4 ปีที่แล้ว

    😁😄😁😃😁😄☺️😃😁😄

  • @wiletewela4077
    @wiletewela4077 4 ปีที่แล้ว

    nime penda story

  • @elishakalengo6368
    @elishakalengo6368 4 ปีที่แล้ว +1

    Hahaha mwenye nyumba kaja

  • @muhojabuluma6952
    @muhojabuluma6952 3 ปีที่แล้ว

    Magufili nazani Hawa ndo walio muua bhana