10 Jela 1969

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2016
  • Bwana Aman Thani Fairuz anaendelea kumbukumbu zake. Anaeleza hali ya jela mwaka 1969. Wakati huo serikali ya MAVAMIZI imeshika kasi. Kila kitu nchini wamekwisha kiharibu. Hakuna chakula, hakuna madawa, hata magari ya jela yameshaharibiwa. Wafungwa na askari wakenda kwa miguu. Kwa mara ya pili Bwana Aman Thani amefungwa kifungo cha miaka kumi tena. Wakapelekwa jela ya Lingoni tena. Huko ndiko kwenye kazi ngumu.
    Majaji wa Zanzibar zama hizo ni Haji wa Haji (Muuza samaki) na mwengine mshona kofia. Jela imejaa wafungwa.
    Wengine wamekufa jela kama Mzee Mbaba, Maalim Haruni, Idi n.k.
    Anahojiwa na Profesa Ibrahim Noor.

ความคิดเห็น • 9

  • @allyderossi9742
    @allyderossi9742 5 ปีที่แล้ว +2

    DAMU ILIYOMWAGWA BADO INAKITESA KICWA HICHI,,HUMJUI MWENYE KAZI WALA ACIEFANYA KAZI MAISHA YAMEKUWA TAFRANI KILA WA2 WAKISHEHEREKEA CKU ILIYOMWAGWA BLOOD NDO INAZD HALI KUWA NGUMU AFADHALI YA MWAKA ULOPITA..

  • @hohi7746
    @hohi7746 3 ปีที่แล้ว

    Amani thani aelezea ukweli

  • @aliymaulid8941
    @aliymaulid8941 4 ปีที่แล้ว

    machoz yangu cwezi kuyazuia

  • @aliymaulid8941
    @aliymaulid8941 4 ปีที่แล้ว

    "baada ya mapinduzi "

  • @gusheman8792
    @gusheman8792 5 ปีที่แล้ว

    HasbiyAllah wa neemal wakil

    • @allyderossi9742
      @allyderossi9742 5 ปีที่แล้ว +1

      Gushe Man;:Kwa hali hii ilivyokuwa ikifika cku ya tarehe ya MAPINDUZI baada ya kusheherekea itabidi ZNZ nzima wa2 wajikushanye kwny viwanja tofauti mkubwa kwa mdogo tuombe dua c bure kwa udhalimu uliofanyiwa wa2 laana ya maisha kuwa tafrani ktk kicwa hichi chenye wa2 wawili 2uuu haitoondoka.....

    • @misscoast3174
      @misscoast3174 3 ปีที่แล้ว

      @@allyderossi9742 kweli kabisa laana hii itatula milele