Bwana Aman Thani Fairuz anaendelea. Kapelekwa kwa Bamkwe Mandera jela ya adhabu. Kapigwa na kuadhibiwa mpaka kufungwa kitanzi na kutishiwa kupigwa risasi. Kaadhibiwa katika mwezi wa Ramadhani na huku amefunga.
Walioipinduwae ZAMZIBAR Kwa hakika wamewafanyia dhulma kubwa wazee wetu na sisi hatakama hatukuwepo kipindi hicho Lila hatujawasamehe katakana na haha madhila tunayoyapata
Mungu awasamehe makosa yenu na awajaalie pepo.kwa fadhila zake in shaa allah
Pole sana mzee wangu
Allah atakulipia juu ya wote waliokudhulumu
Inasikitisha sana
Ccm madhwalim mungu awalaani
Daah
Nataman kulia walah akhera kuna mambo
✌️👊👍.
Serikali ya mapinduzi ilikuwa ya kinyama sana.
Mola atakulipia
Ame fidia namjua
Du ilo mandera sasa limeshakutana na Mola Wake na yy chamoto anakiona sasa
Fitna mbaya sana
Walioipinduwae ZAMZIBAR Kwa hakika wamewafanyia dhulma kubwa wazee wetu na sisi hatakama hatukuwepo kipindi hicho Lila hatujawasamehe katakana na haha madhila tunayoyapata
umenikumbusha yalonikuta na mimi robo ya hayo😢
ALLAHU AKBAR halafu huku tukiaminishwa kua mapinduzi mapinduzi matukufu mmh