DR CASMIR RICHARD DAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ต.ค. 2024
- Kama unasumbuliwa na tatizo la meno kuuma au kulegea, fizi kuvimba au kutoa damu, pia kuna huduma ya kusafisha meno, kuweka meno bandia na kunyoosha meno.
Unakaribishwa sana katika kufanyiwa uchunguzi wa kinywa na meno kutoka katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa waMwanza Sekoutoure.
Naomba namba yako
Seketure
.mukoagani
Doctor naomba namba yako
Weka namba apo, tukutafute docta
Nateseka jamani meno yameisha munisaidie mi sio skari yanatoboka nakuuma na kupelekea kungoa
nataka kumuekee baba yangu
doctor mimi nauliza kuweka meno ni bei gani
Tsh 25000 kila jino. Karibu sana
yakuweka bila kuyatoa bei gani
Jeyale yakkuweka bila kutoa shingapi doctor @@sekoutourerrh
2:13 @@sekoutourerrh
Jino lakuto kutoa shingapi na mnapatikana wap
Mnasafisha meno kwa pesa ngapi
shukrani sna, unakaribishwa kuonana na daktari kila siku ya jumatatu hadi ijumaa saa moja na nusu hadi sa tisa na nusu kwa ajili ya uchunguzi wa kinywa chako na ushauri zaidi karibu sana
doctor naomba kujua me ninamwanya na siuped naomba kuziba gharama yake ni shgp
mmmmmmmmmmmmmmh we nawe
nahtaji mawsiliano yako