ukweli kwamba mondi aliwaka baada ya kutoka na Wema a alimfundisha....... wengi wakipita kwa Wema wanang'ara kinomaaaaaaaaaaaaa 😉😉🙌🙌🙌🙌 Wema najua kutunza mambo hatoi hovyo hovyo🤝🤝🤝
Ila Wema Mungu atakulipa leo uko na Wozu watu wanaanza kuona kama uko na mtu mdogo sana ki level ila wakumbuke Diamond ukianza naye akiwa level ya chini sana kwako tulia mtainuka tu na Mungu awafikishe mbali huyu awe mpenzi wako sasa wa maisha yote
Bugati mm ni shabiki yako napenda kazi zako nakuombea ufanisi katika kazi zako.Nasaha yangu kama shabiki yako : Jitambue ww ni mtu maarufu mnoo na hadhi yako iko juu. Unapokua katika mahojiano kua imara katika kuliza maswali yako na pia ondoa umaskani kazini.Uimara nizungumziyao ni uwe na kumbukumbu zote za maswali unayo uliza. Isifike mahali wauliza kitu ambacho mwenyewe hukikumbuki.Job well done kip it up.
Wema is being honest. Diamond clearly his true self is coming out. He is unbearably annoying. He treats women as objects. Sweetheart, wema keep shining gal. You are a lovely woman. Much love❤
Wemaaa jamani hakuna asiyejua umempaiza Diamond! I love your humbleness hapo angekuwa mwanamke mwingineeee lol. Diamond huyu dada naomba umuangalie kwa jicho la 6 na la 7 na la 10 na la 200 na la 1000 na la million moja, na mara laki 1. Alikupenda kwa dhati na uliumiza moyo wake! But anyway ya zamani hayo nawatakia maisha mema nyote wawili katika current r/ship zenu
Yani umeongea ukweli ambao watu hawapend kuusikia,yani wakati mwingine mpaka namwonea huruma Wema natamani apate mume bora na mwenye mahela kuliko hao wote waliopita mana wamemfanya anakejeliwa na watu halafu sioni chochote walichomuongeza kwenye maisha yake zaidi ya kumvuruga😢nampenda huyu dada jaman
Ila diamond alikuw anataka kula ujana tu ndo maan anaachana na wengi na ukiangalia alikuw anagrow ktk mziki basi alikuw na hekaheka za kutaka kuona dunia zaid so ndo maan anaachana na wanawake kila mara coz si mwanaminifu. Angalia hata wengn amewaacha kwa kuwacheat na mwingn yaan ujana ulimvaa na jini la mapenz lilikuw mkonon mwake na aliendekeza ujana zaid, so amelost waliokuw na kheri na yeye ndo maan saiv haelewk yupo na zuchu mara nn na saiv star hawez pata mwenye mapenz ya kweli wataangalia zaid pesa kuliko alivyoangalia wema kipind hana hata pesa yupo rafu hata kuongea mbele za watu alikuwa hajiamini so ni funzo by the way.
Daah nimeinjoy sana kwa skia zile slengs za wema hakika kwa upande wa wanawake wema ndo rolmodel wangu bigup wema, Ila haji uko vizur sana kumbe haji unajuaga kuchokonoa namna iyo das gud kumbe ata ukiacha mpira haji hukosi kazi wewe tukikuleta kwenye udaku na ubuyu uku aaaaaah tunakusaha uwanjani kwa baraka mpenja😂😂😂hongera haji
Manara hichi kipindi kimekuzidi uwezo, yani una kifua chepesi kiasi kwamba hichi kipindi kinahitaji mtu fulani awe mvumilivu na amtege mgeni ili aingie kwenye mtego mwenyewe. Kaka wewe unabutua tu😀😀😀,, by the way safi sana. Kipindi kizuri, inabidi ubutue tupate faida.
Nimependa sana mahojiano yk,zaidi nimefarijika KUACHA KILEVI na kukemea MAADILI MACHAFU/POTOFU ktk maadili ya Dini/kiafrika. M'Mungu azidi kukuongoza njia sahihi.
Ila wema alimsumbua sana dai nakumbuka timu wema wakina matikibokoyao walivyokuwa wanamtukana dai na mama wema kwenye kipindi cha take one cha zamaradi alikuwa anamsema vibaya dai
Idris Sultan ameshazungumzia kuhusiana na hii inshu ya Pesa kwenye kipindi cha SNS. Wema Sepetu hahusiki na chochote. Kwa ufupi Idris aliwekeza kwenye biashara ya Dhahabu ila alipa hasara.
Benjamin Franklin once said, "Honesty is the best policy". Honestly speaking, I appreciate Wema's acknowledgement to the late Steven Kanumba for the role he played to make her who she is today. #ToGodbetheglory#
Hapo kwa wema kusema hajakula pesa ya Idrisa mimi ninaweza nikaamini japo kwa 50 pacent maana kuna muda wanawake unakuwa kwenye mahusiano na mtu mwenye pesa lkn hata hutaiona ilienda wapi kitakachobaki ni watu wapembeni wanakutupia lawama nakumbuka hata mimi imenitokea inakera sana
Wema kwa kiasi kikubwa sana amefunguka ukweli. Juu ya Idriss nakumbuka Idriss mwenyewe amewahi hojiwa na kukiri Wema hajala hela zake ila alipigwa kibiashara. Mambo ni mengi sana, tujifunze kupitia hawa wasanii kwenye kupanda na kushuka kwao. NB: Marafiki zako wanaweza vuta bangi mara nyingi sana, wewe ukavuta mara moja ukachanganyikiwa. Wenzako wanaweza toa mimba mingi sana na wewe ukatoa moja ikawa ndio mwisho. Tusipende kufanya vitu kwa mkumbo na pili tusijaribu vitu ambavyo ni dhambi kisa kuna wengine wamefanya. Maumivu ya matokeo anayajua aliyeumizwa pekee yake.
Manara hujui jinsi ya kuhoji......unalazimisha mtu ajibu maswali kwa vile unavyotaka wewe......acha mtu aseme vile anajiskia yeye.....then subiri mtu amalize kuongea then ndo uulize swali.
Ila tuache masiara huyu dad ni bonge Moja la mrembo M/Mungu awalinde wale wooooooooote walio jaliwa kumleta Dunia
WEMA usipende kusema huna mtoto !!!mtoto unaye sema foleni yako haijafika utapata mtoto mungu niwetu wote tumaini one day yes
😂4t😢🎉
Wema hachoshi,yaani kama vile naangalia movie😍😍😍😍😍😍😍🔥
ukweli kwamba mondi aliwaka baada ya kutoka na Wema a alimfundisha....... wengi wakipita kwa Wema wanang'ara kinomaaaaaaaaaaaaa 😉😉🙌🙌🙌🙌 Wema najua kutunza mambo hatoi hovyo hovyo🤝🤝🤝
Wema Wema..anaonekana mkweli kwa maisha... nimempenda Wema..
Huyu Dada Yupo real sana she's not acting in her life, namfahamu sababu namtibu Mbwa wake(Manunu) till today
Ila Wema Mungu atakulipa leo uko na Wozu watu wanaanza kuona kama uko na mtu mdogo sana ki level ila wakumbuke Diamond ukianza naye akiwa level ya chini sana kwako tulia mtainuka tu na Mungu awafikishe mbali huyu awe mpenzi wako sasa wa maisha yote
Bugati mm ni shabiki yako napenda kazi zako nakuombea ufanisi katika kazi zako.Nasaha yangu kama shabiki yako : Jitambue ww ni mtu maarufu mnoo na hadhi yako iko juu. Unapokua katika mahojiano kua imara katika kuliza maswali yako na pia ondoa umaskani kazini.Uimara nizungumziyao ni uwe na kumbukumbu zote za maswali unayo uliza. Isifike mahali wauliza kitu ambacho mwenyewe hukikumbuki.Job well done kip it up.
Nmependa ii interview,for sure Wema is real
Wema is being honest. Diamond clearly his true self is coming out. He is unbearably annoying. He treats women as objects. Sweetheart, wema keep shining gal. You are a lovely woman. Much love❤
Amna mtu mtu namkubali kama Wema nitainjoy San siku sikisia unamtoto nitafurah san
My
Moja ya kipind Bora Sana cha Manara......Wema is Soo real hata akiongopa unajua tu anaepusha jambo fulan😝😝
Wema mama angu c mtu wa wasanii ila anakupenda sana aise kweli wewe ni Tanzania sweetheart nyota yako Kali❤️
Wema umezungumza kitu Cha kweli wewe humpendi mtu kwa pesa zake ila ulimpenda Idris kwa vile alivyo Idris na SIO pesa Hongera sanaaaaaa wema
WEMA KWA MARA YA KWANZA KACHEKA KICHEKO CHAKE CHA ASILI CHEZEA HAJJI WEWE😂😂😂😂😂
Nampenda huyu mdada jmn uwiiiiii m/mungu akupe hitaji la moyo wako mumy
Ana kipi labda
@@humphreyvidonyi253 ulichokua nacho n usichokua nacho vyote anavyo kaa kwa utuo
Mimi Miriam yaan nampenda aunt Wema jins alivyo na kasaut kake kazuri na hasa akicheka.
Nataman kuskia akiimba nifrahi. ❤️❤️
Mwanangu Wema, unajibu maswali vizuri na kwa busara kubwa.Hata U-DC unauweza, natamani mama angekuona.
Wemaaa jamani hakuna asiyejua umempaiza Diamond! I love your humbleness hapo angekuwa mwanamke mwingineeee lol. Diamond huyu dada naomba umuangalie kwa jicho la 6 na la 7 na la 10 na la 200 na la 1000 na la million moja, na mara laki 1. Alikupenda kwa dhati na uliumiza moyo wake! But anyway ya zamani hayo nawatakia maisha mema nyote wawili katika current r/ship zenu
Yani umeongea ukweli ambao watu hawapend kuusikia,yani wakati mwingine mpaka namwonea huruma Wema natamani apate mume bora na mwenye mahela kuliko hao wote waliopita mana wamemfanya anakejeliwa na watu halafu sioni chochote walichomuongeza kwenye maisha yake zaidi ya kumvuruga😢nampenda huyu dada jaman
@@salmaqueen4382 diamond hana shukrani Yule.
😅😅
Mond ni mond tu jaman
@@malianonicass7029 kwahiyo?
Ila diamond alikuw anataka kula ujana tu ndo maan anaachana na wengi na ukiangalia alikuw anagrow ktk mziki basi alikuw na hekaheka za kutaka kuona dunia zaid so ndo maan anaachana na wanawake kila mara coz si mwanaminifu. Angalia hata wengn amewaacha kwa kuwacheat na mwingn yaan ujana ulimvaa na jini la mapenz lilikuw mkonon mwake na aliendekeza ujana zaid, so amelost waliokuw na kheri na yeye ndo maan saiv haelewk yupo na zuchu mara nn na saiv star hawez pata mwenye mapenz ya kweli wataangalia zaid pesa kuliko alivyoangalia wema kipind hana hata pesa yupo rafu hata kuongea mbele za watu alikuwa hajiamini so ni funzo by the way.
Kuna watu wana nyota jamani 🙌🏽🙌🏽
Na Kupenda sana wema.hajj uge fanya siku uwaalike wote ki baba na chi mama.
Daah nimeinjoy sana kwa skia zile slengs za wema hakika kwa upande wa wanawake wema ndo rolmodel wangu bigup wema,
Ila haji uko vizur sana kumbe haji unajuaga kuchokonoa namna iyo das gud kumbe ata ukiacha mpira haji hukosi kazi wewe tukikuleta kwenye udaku na ubuyu uku aaaaaah tunakusaha uwanjani kwa baraka mpenja😂😂😂hongera haji
Penda sana wew Wema Sepetu ❤🫶
Sema katika yooooote,, napenda Haji anavyosema "ukaweka hapa ukashusha chini..".😀🙂😀
Brother hiki kipindi ni kizuri sana tunafurahi sana watazamaji wako .mbaya zaidi una hoji watu mashuhuri sana.
Hata mm nampenda saana Kemmy jamani.i miss her soo much.huyo dada alienda wapi?Manara ikibidi tutafutie huyo dasa.
Manara hichi kipindi kimekuzidi uwezo, yani una kifua chepesi kiasi kwamba hichi kipindi kinahitaji mtu fulani awe mvumilivu na amtege mgeni ili aingie kwenye mtego mwenyewe.
Kaka wewe unabutua tu😀😀😀,, by the way safi sana. Kipindi kizuri, inabidi ubutue tupate faida.
Muache abutue TU
Ni manara pekee ambae anaweza fanya intavyu na maselebriti wengi kasoro konde boy hapa tanzania
😂😂😂😂😂
Wema walipendana sana Kanumba..nakupenda Wema
Ila wema yaani bado ni mzuri na mrembo kweli yaani sauti pia tishio
Wema waTanzania tunakupenda sana
Nimependa sana mahojiano yk,zaidi nimefarijika KUACHA KILEVI na kukemea MAADILI MACHAFU/POTOFU ktk maadili ya Dini/kiafrika.
M'Mungu azidi kukuongoza njia sahihi.
Idrissa mbona alisha jibu saaana kuhusu pesa zake kwenye interview ya SNS alisema alitapeliwaga kwenye bisshara ya Madini
For sure wema upo very content!
Manara mbona unaguna baada ya Wema kusema hakuanza kucheat bali yeye ndo alisalitiwa
Manara ni swahiba wake Sana mondi
Ila wema alimsumbua sana dai nakumbuka timu wema wakina matikibokoyao walivyokuwa wanamtukana dai na mama wema kwenye kipindi cha take one cha zamaradi alikuwa anamsema vibaya dai
Manara anahoji vizuri sana yaan kama watu mnapiga story kijiweni safi kabisa
Idris Sultan ameshazungumzia kuhusiana na hii inshu ya Pesa kwenye kipindi cha SNS. Wema Sepetu hahusiki na chochote. Kwa ufupi Idris aliwekeza kwenye biashara ya Dhahabu ila alipa hasara.
NA KUNA MAJAHILI WENGINE ATI MASHAAALAH WAAALANIF WAKUBWA WASHENZI LAANATU LAH
Umeona ee ndugu yangu khaki imekuwa batili na batili imekuwa khaki ( Inna Lillah wa inna illah rajuon)
Manara unauliza maswali mazuri
👊👊👊 manara kipindi kijacho mlete chibu
Nakupenda sana wema ❤❤❤mungu akupe hitaji la moyo wako
Benjamin Franklin once said, "Honesty is the best policy". Honestly speaking, I appreciate Wema's acknowledgement to the late Steven Kanumba for the role he played to make her who she is today. #ToGodbetheglory#
Manara anamlazimisha ili amtaje diamond 😢😢😂😂
😆😅😅😅😅😅😅😅na mimi nimeona maan s n rafiki ake
Daaah mkiachana na demu anakuita “Yule Kijana”😜 Leo Wema anamuita yule kijaana 😜
Jamani wema nampenda
Hapo kwa wema kusema hajakula pesa ya Idrisa mimi ninaweza nikaamini japo kwa 50 pacent maana kuna muda wanawake unakuwa kwenye mahusiano na mtu mwenye pesa lkn hata hutaiona ilienda wapi kitakachobaki ni watu wapembeni wanakutupia lawama nakumbuka hata mimi imenitokea inakera sana
Daaah Ila Manara kakaangu ktk vipindi vimewah kutokea ama intavyuu nzuri wewe unaongoz una maswal mazur in short kipindi kina mvuto saaan hakichosh
Kipindi kizuli manala Tv napenda wema
Alimpenda sana Mondi ,
Asidanganye watu Eti Kanumba ndo mwanaume Alie mpenda zahidi kwa sababu hayupo hai.
Nakubaliana na wema penzi lao na kanumba ilikuwa life ila.... Rip kanumba wetu
Unamsemea na moyo wake
Wema n mke mwny cfa ya kua mke tatz hajagundua aina ya mme anaemfaa
Pole sana wema kwa hilo hata na mimi niliwhy jiulza hivyo unavyoo sema
Wema leo ndio nimegundua uko kitu kikubwa sana sana
Wema don't stop drinking because of a man the day he takes off you will be so diverstated do it for you!
Wema ni mtu mmoja makin sana, anaishi maisha yote ni mtu mmoja Safi sana.
Hajj Wakati unamhoji kuhusu wasanii anaowakubari ni vizuri ukaweka picha zao watu wawafahamu ingependeza zaidi....
Wabongo kwa kupenda umbea ,, hapa wanainjoi kipindi kwa ajili ya umbea😆😆😆 Ata Mimi hivyo hivyo
Rabuda wewe
M nnacomment wapi? Bt wema she is so smart.
Nice interview
Idris mbona alisha sema alipoteza pesa zote kwenye madini
Haji kazi nzuri brother
Ila huyu dada ni mrembo sana si utani hachoshi kumtazama♥️
Waah 😋
Ila ni kama kawa mwembamba xn
Kwako
@@nichonicho3477 hujahusishwa ww mbona!
Kwel
Love you my Sis Wema
Nice interview ❤❤
Wemaa❤
Manara mi mkenya shabiki wako mkuu mi upenda sana jinsi unavyo hojii 😂😂
Wema nakukubali sana ipo cku ntafanya moves nawewe mungu akupe umlifu
❤❤❤❤wema sepetu
Moja kipind Bora Tanzania manara tv
Eti mbona unafanya vituko❤❤❤❤👍👍
Safi sana mlete diamond ❤
Nmetafta weee sehem ya pili kumb ilikuwa bado
I like wema, she'd very matured
Wema I love you my sister, wewe ni mrembo Sanaaaa.
Her name should be East African sweetheart
I second that
I say .
Ukikaangalia kabugati kana meza mate daah 😂😂😂😂
Wema kwa kiasi kikubwa sana amefunguka ukweli. Juu ya Idriss nakumbuka Idriss mwenyewe amewahi hojiwa na kukiri Wema hajala hela zake ila alipigwa kibiashara. Mambo ni mengi sana, tujifunze kupitia hawa wasanii kwenye kupanda na kushuka kwao.
NB: Marafiki zako wanaweza vuta bangi mara nyingi sana, wewe ukavuta mara moja ukachanganyikiwa. Wenzako wanaweza toa mimba mingi sana na wewe ukatoa moja ikawa ndio mwisho. Tusipende kufanya vitu kwa mkumbo na pili tusijaribu vitu ambavyo ni dhambi kisa kuna wengine wamefanya. Maumivu ya matokeo anayajua aliyeumizwa pekee yake.
Wachache watakuelewa
Wachache watakuelewa
Uko vizuri ndugu yangu umeongea kwa fikra Pana sana ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Mbona issue ya hela kupotea za Idris alishaelezea ukweli kwenye kipindi cha salama na
Nilitamani sanaa kuona interview hii na maswali nilio tamani kupatajibu kwa wema
Ila Haji hajui kuhoji kabisa. Zama na Salama is the best
Nakupenda sana dada yangu
Couldn't stop checking your channel 😂😂😂❤❤🎉
Ndiomaana tunaambiwaga hakuna ulafiki kati ymwanaume namwanamke jmn
Sio wema kila mtu anajua kuwa wema hakuna mtu anampnda zaid ya diamond na pia kila mtu anatman wema na diamond warudian ever !
Manara bhana😅we unajuwa kufufuwa mambo
Kwanza acha nicheke mie 😂😂😂
Manara umekera unauliza swali unalitega vizuri alafu unabadirisha politician quation unetubania
Unaroho nzuri ijapokuwa sijaishi nawewe
Mrudiane na Diamond
Wema nakupenda saaaaana unasema ukweli kbx ❤❤❤😊😊❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Naomba mungu amkumbuke a pate watoto
Sipendi manara unamgasi wema Kwa maswali tata
❤
Yn wema akuna nguo avae alafu isimpendeze jmn afamu yangu uyu dada
Manara hujui jinsi ya kuhoji......unalazimisha mtu ajibu maswali kwa vile unavyotaka wewe......acha mtu aseme vile anajiskia yeye.....then subiri mtu amalize kuongea then ndo uulize swali.
😁😁😁😁manara chokoz
Kama kweli Wema unataka kupata mtoto omba uolewe upate kwa halali mngu pia atakuwa radhi na wewe
Mungu anajib apendavyo
Mungu atakupa mtt kwake akuna linalo shindikana endelea kumuamini tu
Nice
I like you wema sepetu this hajj umeweza maswali yake ,hujakua km lukamba na fesa kesi 🇬🇧