DUH! ARUSHA YAFURIKA! MAPOKEZI YA PAUL MAKONDA ABEBWA NA PIKIPIKI YA MLEMAVU WA MGUU.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ม.ค. 2024
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Sisi wanaarusha tumshikilie makonda sana na tulinde na tumuombee sana haweze kufanya kazi na hasafishe ufisadi arusha
Pls namba za muheshimiwa kwa aliye nazo PAULI MAKONDA. NAOMBAENI JEMENI
Uyu jamaa ana nyota yakupendwa sana
Yaani huyu jamaa alitaniwaga siku nyingi bila kujitambuwa sasa leo ameelewa anavo kubalika.ndugu yangu mweshimiwa naomba ujichunge mwenyewe kabla hawaja kulinda si kila binadamu mstaarabu.ninacho ona ni ulinzi wako kwanza njo uzidishwe zaidi.
WANACCM WALIOFURIKA ARUSHA
Ccm inahusika asilia miamoja maana huu ni uteuzi wa mwenyekiti wa ccm taifa
Huyu Mwamba kwakweli hana mpinzani
Maajabu Watendaji wa Serikali waonekana na Tumbo.kubwa wenye Afya nzuri katika Maandamano ya Barabarani wenye Raha na Fedha
Lemaaaaa,mbona cmuoniiiii,
Mnanikumbusha enzi hizo naenda kwa mganga wa kienyeji naitaji ndagu ya mali mpaka mumpigie makofi na kumuomba mganga ndio mfanikiwe acheni mihemko watanzania hawa ni viongozi2 wa mpito awa watu wamesoma na wamesomea kuwatawala watu ivyo msiwe mnashoboka sana hii nisili kama sili nyingine
Mnanikumbusha enzi hizo naenda kwa mganga wa kienyeji naitaji ndagu ya mali mpaka mumpigie makofi na kumuomba mganga ndio mfanikiwe acheni mihemko watanzania hawa ni viongozi2 wa mpito awa watu wamesoma na wamesomea kuwatawala watu ivyo msiwe mnashoboka sana hii nisili kama sili nyingine 13:20 13:20 13:20 13:20
Huyu ndiyo kiongozi ninayemkubali nchi hii
Magufuli.mdogo.🎉🎉🎉🎉🎉
Watanzania wengi kama mazuzu upuuzi mtupu
Niseme kitu,sijui kama mnaelewa kuwa Makonda amekuwa na mvuto kuliko viongozi wengine wa CCM ukimtoa Rais, kwa sababu, Watu wengi wanaona ndo suruhisho la matatizo yao kama ulivyokuwa Magu, mkubali msikubali Makonda anapangusa machozi ya watu wengi wakimkumbuka Magu, Makonda chapa kazi hii nchi inatakiwa kuwa na viongozi kama wewe sio kulindana na kufanya ufisadi ambao ulishaanza kukithili mpaka Mama wanamchanganya sasa chuma hichoooo 👌👍
Ccm inahusika na nini na mkuu wa mkoa haina aja ya uchama kwenye kuongoza watu wote
Piga kazi makonda usirudi nyuma
Ujima Bado unaendelea
Watanzania atuamki kabisa Bado tunadanganyika sana 😢
Umeona eee
Watanzania wengi kama mazuzu
Zuzu mwenyewe usilazimishe wote kuwa chadema tumia akili zako vizuri.
Zuzu wew mpuzii ww
😂😂😂😂😂😂
Upumbavu unalemea kuliko mchanga
Wasafi ni wambea kama bosi wenu mnaogopa kusema ukweli bodaboda wamelipwa 10000 10000 wakampokee Niko kwenye mkutano soko la kilombero watu wanahesabika hakuna hata watu
Wewe ulitaka waweke mkojo kwenye pikipiki
M@@nkirwapeter4579tusubirini mtuone wenye uzalendo wetu hatuchangiwi mafuta wala nini Peoplesssssssss
Huyu Mwambabana vibe la kipekee bwn, 😂 tuache wivu
😂😂😂
Kweli watanzania wajinga na sijui ujinga utawaisha lini Mungu naomba utusamehe na kutokoa na upuuzi huu
Msenge wewe mama yako ndie mjinga kuzaa mbwa kama wewe
th-cam.com/video/I9Z4iqvdCeo/w-d-xo.htmlsi=J9eRpsskRpRwBHen iyapaii
Wajinga ndio waliwao
MAKONDA PIGA KAZI