HUU NDIO MSIMAMO RASMI WA TUNDU LISSU BAADA YA KUINGIA OFISINI KWA MARA YA KWANZA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►TH-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Mh TAL watz wana amini na wwe kwahiyo sasa ni wakati sahihi kwako kuwaunganisha watz wote wa vyama tofauti tofauti ili kuwafanya kuwa wamoja ili tulikombowe taifa letu kutokana wa wakoroni weusi walio jimikikisha kama kwamba ni lababayao
Lisu yuko sawa siaza za bongo siyo
Uyu jamaa alipaswa kuendelea kua makamo bado aja komaa
Siasa za bongo bwana
Nikuombe Mwenyekiti wa Chadema tunakupenda lkn haipendezi Rais wanchi mhSamia Suluhu Hasan kumwita kwa,jina lake kama mtoto wako kumwita rais au mwekiti wa ccm inapendeza mbele ya wananchi sio vizuri kumwita Samia ndio jina lake ila sio vzri wewe binafsi tunakwita Mheshimiwa au turudishe ile kauli ya zamani ndugu Samia inapendeza niombi langu kwako kama itakupendeza