JOHN HECHE ASHUSHA NONDO NZITO KWA MARA YA KWANZA, AMTWANGA VIKALI WASIRA NA CHALAMILA, AWAPA ONYO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE TH-cam Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

ความคิดเห็น • 77

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 6 วันที่ผ่านมา +4

    Chadema safi sana. Wakiongea mpaka mwili unasisimuka. Mungu tunaomba kilnde chama hiki 🙏🏽

  • @robertmhikwa8174
    @robertmhikwa8174 8 วันที่ผ่านมา +17

    we're behind you guys....our country is on your shoulder ✌

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 8 วันที่ผ่านมา +2

      KAENI CHINI, ANDAENI "ROAD MAP" TEKELEZENI KWA MANUFAA YA TAIFA NZIMA

    • @josephatmakaranga
      @josephatmakaranga 7 วันที่ผ่านมา

      Sema cham chenu kipo mabegan mwao sio nchi au nchi gani unaiongelea wew.

  • @GeorgeManyama
    @GeorgeManyama 7 วันที่ผ่านมา +5

    John heche monawetho nakupenda sana kwanzia 2019 wewe ni mwamba

  • @IDDMWENDO
    @IDDMWENDO 6 วันที่ผ่านมา

    HECHE nakukubali sana kaka...mungu akulinde na kukusimamie pia

  • @DeborahMgedzi
    @DeborahMgedzi 8 วันที่ผ่านมา +3

    Tukazane kukijenga Chama. Mungu Baba Mwenyezi Awe wa Kwanza katika kila tunalolifanya.❤

  • @FrankJuma-i8m
    @FrankJuma-i8m 8 วันที่ผ่านมา +9

    Wewe ni kiongozi, hongera sana.

  • @DominickSangu
    @DominickSangu 8 วันที่ผ่านมา +2

    Good heche tuko pamoja na nyie sasa❤❤❤

  • @reginaalbert9911
    @reginaalbert9911 6 วันที่ผ่านมา

    Nawakubali sana chadema mungu yupo tutafika tu

  • @monicawango2343
    @monicawango2343 8 วันที่ผ่านมา +7

    Mungu ibariki Tanzania,bariki wote wenye Nia njema na watanzania,

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 8 วันที่ผ่านมา +2

    Safi sana heche nimependa hiyo Tutashulika nyie kiu lalo ulalo.

  • @AlexG-hl7en
    @AlexG-hl7en 7 วันที่ผ่านมา +2

    Nakukubali sana

  • @mwikwabematiku379
    @mwikwabematiku379 7 วันที่ผ่านมา

    Tunataman kujua sera na vipaumbele vya vyama na sio majibiano sisi hatuna Dora Wala nguvu za kijeshi tunataka kupata mapinduzi ya kweli Kwa amani tukumbuke aman ni kitu muhimu sana kwenye nchi yetu asa sisi wananchi wa chin Kwa sababu Hawa viongozi wetu Huwa tukiandama wewe ukimbia nchi sisi tunafungwa jera ila cha muhimu heche tuonyenye njia sahihi❤❤❤❤❤ tanzania❤❤❤❤❤ chadema

  • @jonathankizindo2817
    @jonathankizindo2817 8 วันที่ผ่านมา +5

    Nakuombea maisha marefu sana. Wewe ni Rais ajae❤

  • @Chimgege
    @Chimgege 8 วันที่ผ่านมา

    Bingwa wa misimu yotee ✊🏾Jonh Heche

  • @edwinzakaria1284
    @edwinzakaria1284 8 วันที่ผ่านมา +2

    Hatarii sana

  • @michaelpatrick9317
    @michaelpatrick9317 7 วันที่ผ่านมา +1

    Ni kweli mama Samiaaa unazingua Sana'a hii nchi sio Nchi inavyotakiwa kuendeahwa unazinguaa uteuz unaofanya n isharaa kuwa hiyo ndio kauli yako na umekaaa kimyaaaa unasnap chat

    • @Pendoshayo-o3y
      @Pendoshayo-o3y 7 วันที่ผ่านมา +1

      Kuma kweli wew anazingua nin chako kala

  • @FurahaMwambugi
    @FurahaMwambugi 7 วันที่ผ่านมา +1

    hawa ndoooo watu nawakubari maisha yangu yote

  • @EricUbalijoro-x1l
    @EricUbalijoro-x1l 8 วันที่ผ่านมา +4

    Kwakuwa mna nia njema na taifa letu wapenda mageuzi lazima tutawaunga mkono

  • @godlistenmangowi9328
    @godlistenmangowi9328 7 วันที่ผ่านมา +1

    Upo sahihi kiongozi Taifa.

  • @januarysila1569
    @januarysila1569 7 วันที่ผ่านมา +1

    mwamba rema nakuona umeuchuna tu bing up sana

  • @godfreymtama
    @godfreymtama 7 วันที่ผ่านมา +1

    Kwani Kuna ulazima wa kupigia kura ndani kwanini masanduku ya kura yasiwekwe nje tu tupige kura , i.s democracy

  • @RichardLyamuya
    @RichardLyamuya 7 วันที่ผ่านมา

    Ahsante

  • @NungulaRais
    @NungulaRais 5 วันที่ผ่านมา

    Hiyooo

  • @Hassanbaoma
    @Hassanbaoma 8 วันที่ผ่านมา +3

    Ukiangalia kwa undani zaidi utagundua heche ni mkali zaidi kuliko lissu

    • @ElvisTabula
      @ElvisTabula 8 วันที่ผ่านมา

      Huyu sumu

    • @geraldndosi2083
      @geraldndosi2083 7 วันที่ผ่านมา

      Kweli

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 7 วันที่ผ่านมา

      Hongera viongozi makini Tundulissu na John Heche, Mungu awalinde nyote, Ameni. "NO REFORMS NO ELECTION"

  • @TeamJONGOO
    @TeamJONGOO 8 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu ni kiongozi bora

  • @allyngoda761
    @allyngoda761 8 วันที่ผ่านมา +2

    ASANTE HECHE NAKUKUBALI NAKUJA KUCHUKUA KADI YANGU NEXT WEEK

  • @WebyNgogo-nj3fx
    @WebyNgogo-nj3fx 6 วันที่ผ่านมา

    Wahasira aache hasira

  • @KhamisBoss
    @KhamisBoss 8 วันที่ผ่านมา +2

    Saf san bro nakukubal san

  • @RamadhaniMagire
    @RamadhaniMagire 4 วันที่ผ่านมา

    Mimi ni mwana ccm lakin ni ccm ninaejielew na navofaham vyama vyote vya upinzani vpo Kwa majibu wa Sheria pia ni watanzania halali na wanaakili timamu Mimi hua siangalii nani kasem naangalia amesemje kama kasem yamsingi nafata hata kama wamesem upinzani mana ni watanzania kama nilivo mmi

  • @fadhiliramadhani2402
    @fadhiliramadhani2402 7 วันที่ผ่านมา +1

    Mimi naomba sana viongozi wa chadema mnapo ongea tumieni luga yaki swahiili tu

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 6 วันที่ผ่านมา

    Msiongelee huko juu tuuu, njooni chini huku mtusajili sasa.

  • @AmosMTUNDI-y7y
    @AmosMTUNDI-y7y 7 วันที่ผ่านมา

    Nikweli mbwa mzee hafundishiki

  • @Pendoshayo-o3y
    @Pendoshayo-o3y 7 วันที่ผ่านมา +1

    Nyiee leta mdomo

  • @joycembogo7870
    @joycembogo7870 8 วันที่ผ่านมา +1

    Hiyo kauli ya mkuu wa mkoa wa dar ni kauli mbaya Sana,wameshiba madaraka hao hana uchungu na mwanamke aliye mleta duniani

  • @karingtonisimwinga122
    @karingtonisimwinga122 7 วันที่ผ่านมา +2

    wenye uelewa tupo kwa cdm

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 8 วันที่ผ่านมา +1

    Heche tunafaham misimamo yako tunaomba mtupeleke mbele makamanda tuko pamoja

  • @stapinuswilliam
    @stapinuswilliam 8 วันที่ผ่านมา +1

    Rais

  • @RashidWalia
    @RashidWalia 7 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa😂

  • @brendasamson2086
    @brendasamson2086 7 วันที่ผ่านมา

    Wewe Huna jipya hii nchi hatuwezi kuwapa wahuni,nchi hii hamtaingiza ushoga wala uhuni maana huo ndo mpango wenu

  • @MedikoAsenga
    @MedikoAsenga 8 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @NasraMzee-n1y
    @NasraMzee-n1y 7 วันที่ผ่านมา

    Uchungu wa kujifungua na simu tuache

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn 7 วันที่ผ่านมา

    Comde Heche. Nashindea hadi sasa ni jina gani litamfaa huyu bwana kati ya haya mawili: Steave Biko au Che Guevara. Tundu Lissu hakunipa shida. Yeye ni Thomas Sankara.

  • @IssaDikson
    @IssaDikson 7 วันที่ผ่านมา

    Ire kauri ya mkuu wamkoa wadar kwakweri ire kauri yake nirimuona pumba sanaa kiongozi anaejierewa hawezi kuongea maneno yare tena kwenye mkutano wawatu wenye akiri timamu

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 8 วันที่ผ่านมา

    >Mwlm. John Heche elimu ya utambuzi inaeleweka!
    >Viongozi CCM kama Wafalme wameshiba hadi kuvimbiwa na kutowajali wananchi walio wengi maskini wa kipato katikati ya nchi tajiri!

  • @saimonkalihamwe5358
    @saimonkalihamwe5358 7 วันที่ผ่านมา

    Mshuke mikoani mtusajili,
    Mpaka kieleweke, ccm mpaka itatoka tu madarakani..

  • @DanielVangota
    @DanielVangota 7 วันที่ผ่านมา

    Mimi nitakuwa nawe

  • @AbdullahAhmed-t7p6l
    @AbdullahAhmed-t7p6l 8 วันที่ผ่านมา

    This is the is vsry difficult team hech v tundulisu ccm you have job to Wark remember chadema election it has been worching by deferent ambassador when heche say something they will do it is up to Tanzania police crush chadema but will be big impact in shot time to came on lntanationol community

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 7 วันที่ผ่านมา

    Cama kinacho sapoti ushoga

    • @JOHNKUBINGWA
      @JOHNKUBINGWA 7 วันที่ผ่านมา +1

      Kwan ushoga haupo broo

  • @ephulaemsengo2816
    @ephulaemsengo2816 7 วันที่ผ่านมา

    Kimamae zenu wote chadema

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 8 วันที่ผ่านมา

    Atakosa yeyw usingizi,Mzee wasira akose usingizi kwa lipi

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 7 วันที่ผ่านมา

      Mashoga kama wewe huwezi kuelewa choko 😂😂😂😂😂

    • @lufingomwakisambwe-ow4yc
      @lufingomwakisambwe-ow4yc 6 วันที่ผ่านมา +1

      kwani wasira ni nani kwenye nchi hii bwege wewe

  • @RichardLibuma
    @RichardLibuma 7 วันที่ผ่านมา

    Mlevi huyu wananchi gani waliofurahi?

    • @ymohammed963
      @ymohammed963 7 วันที่ผ่านมา +1

      Duuuh we chawa au kunguni

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 7 วันที่ผ่านมา

    Hamna lolote hizo ni siaasa tu

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu 8 วันที่ผ่านมา

    Acha usenge taja sera zako zionekane kama zinamashiko na uzalendo ktk ichi sio kulalamika lalamuka

    • @gerachtangatya2835
      @gerachtangatya2835 7 วันที่ผ่านมา

      Sera ndo hizo hatutaki viongozi ambao hawana maadili

    • @AndrewKisava
      @AndrewKisava 7 วันที่ผ่านมา

      Mwislamu mdini na mpumbavu unatetea viongozi wapumbavu

    • @kurwanjonge4586
      @kurwanjonge4586 7 วันที่ผ่านมา

      Sera unazojua wewe ni zipi

    • @FilbertMsongela-xt9tq
      @FilbertMsongela-xt9tq 7 วันที่ผ่านมา +1

      Acha ujinga wewe unashindwa kuelewa hata kidogo maneno ya uungwana wanayo yafanya akina charamila wwe unayafurahia angekuwa mamako ndo anakuzaa wewe ci ungukufa ucionekane duniani kabisa

  • @theophilmakumbuli
    @theophilmakumbuli 8 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa unakosea kuongea kiingereza sisi hatujasoma

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 8 วันที่ผ่านมา +4

      Ilaumu ccm iliyo kupa elimu mbovu ya kushindwa hata kujua lugha ya kingereza

    • @ephraimkalanje7105
      @ephraimkalanje7105 8 วันที่ผ่านมา +2

      ​@@ramadhanmahongole9293Haswa! Umemjibu vizuri! Ameachwa kuwa mjinga ili aendelee kupumbazwa na kutawaliwa bila shida. Chawa gani wanakuwa na elimu ya kueleweka?

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 8 วันที่ผ่านมา +2

      @@theophilmakumbuli ccm wanataka watu wasijue kingereza waendelee kuwa wajinga ili wawatawale miaka 200

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 8 วันที่ผ่านมา +3

      hamna.mkataba wa kiswahili

  • @MasudiAllykeye
    @MasudiAllykeye 8 วันที่ผ่านมา

    Nacho kupendeaga hujuwagi tukana watu