LIVE: MAOMBI YA KUKUSAIDIA // USIISHIE NJIANI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- Habakuki 2:1-4
Mimi nitasimama katika zamu yangu, nitajiweka juu ya mnara, nitaangalia ili nione atakaloniambia, na jinsi nitakavyojibu katika habari ya kulalamika kwangu. BWANA akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji. Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia. Tazama, roho yake hujivuna, haina unyofu ndani yake; lakini mwenye haki ataishi kwa imani yake.
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
AMEEN
ameen mtumishi MUNGU akukumbuke wewe uzao wako kizazi cha kwanza mpaka kizazi cha nne neema ya kristo isipungue awaongoze milele
Amen 🙏
Amen mtumishi
❤🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Amen 🙏🏼 ASANTE 🤍 MUNGU Kwa kuskia hii , Hakika mtumishi wa MUNGU Umenifungua Maskio,Nita simama Kwa Nafasi yangu 🙏🏼 ndio maana najiona narudia nyuma na sababu ni Mimi mwenyewe,, Asante sana MUNGU ❤❤❤
Bana yesu asifiwe Mimi nawomba mungu anisayidie naja sana yaroho mutakatifu
Nakuelewa baba❤
Nakuelewa sana na unanibarik sana Mungu azidi kukutumia mtumishi Asante kwa kutupa neno la Uzima
Aminaa🎉🎉❤❤
MUNGU akubariki sana Mtumishi 🙏
Thank you God For this message! Barikiwa mtumishi!
Amina mtumishi wa mungu mafundisho yako yananibariki sana endelea kutuinua wengine tulikuwa gizani mungu akutunze akupe maisha marefu ili tuendelee kufunguka zaidi na zaidi
Amen mungu akubariki sana mtumishi wa mungu
Mtumishi kwa kwli Mungu azidi kukubariki
Kwa sbb unayokiwa unahubiria yote nikama Mimi njo nakuwaka nayajiona eko plz naomba msaada wa maombi yenu ili yote nininayo pitia yaniache ili nishimame vzr ndni ya neno laBwana 🙏🏼
MUNGU akubariki sana mtumishi 🙏
Amen 🙏🙏nimepatakitu mungu akubariki mutumishi
Asante sna mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri
Asante baba Mungu wangu.
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu kwa mafundisho yako nafunguka sana nakuelewa mungu akutunze sana na akubariki nakukubali sana mtumishi
Thank you Jesus! This was my message and I receive this message 🙏🏾🤲🏾
barikiwa sana nimepata njia sasa yakunitoa gizani❤❤❤
Naomba unissidie kwa maombi naumwa na mikono yangu .mtumishi Asante kwa kutulisha neno zuri
Mungu akubaliki sana mtumishi hakika me nilikiuwa mmoja wao kwa walioalibikiwa lakini nashukuru kwa neno hili hakika limenifungua
Ahsante Sana mtumishi kwa Ibada hii mungu akubariki Sana mungu atepee hafamu juu ya haya mahangaiko ya ulimwengi👏👏👏pekee yetu hatuwezi bila maarifa ya Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏mungu tutee wanao tunaangamia kwa Kukosa maarifa 🙏🙏🙏🙏
Mtumishi wa mungu nitajuaje kilichoko ndani yangu naomba unijulishe unielimishe ktk hilo mungu akutumie sana unakipaji cha kufundisha sana neno la mungu mpaka usiku nauona mfupi endelea kutundisha mtumishi mungu
Mungu nitetee katika maombi yangu
Naomba unisaidie napiga miayo machozi nashindwa kuomba hata nusu saa
ASANTE MTUMISHI KWA SIRI HII TUNGEIPATA WAPI, UBARIKIWE SANA
Shalom mtumishi,mungu amenionyesha ktk maono nilikua naenda kanisani wakati nilikua natembea nilikua natingisha mkono wakulia na kengele ilikua ikipiga sana kanisani,nilipofika kanisani tukaomba na nilipotoka nikaona mtt anatembea uchi barabarani mara moja nikasia sauti kutoka mbinguni usimwangalie huyo mtt angalia juu,nilipoangania nikaona mnyama mkubwa sana anafanana na chui na ngozi yake ilikua kubwa mpaka imetapakaa mpaka chini,cha kushanga ilikua na ngazi ya kupandia,kisha akanimbia twendwe mbele, nikafika stendi ya mabasi'nikasikia sauti tena umeona nini,niliona watu waliokua wanafanya starehe,kisha nikaona wale watu wanamihuri miekundu kwenye paji la uso wao.nilipojibu hivyo sauti ikatoka tena wameshachagua ufalme wao na ile ngazi ndio yakupandia ,nikaona watu wengine wana mihuri ya kijani,sauti tena hao ndio niliopiga mihuri yangu watakaoingia ktk ufalme wangu
Nimeeleza kwa ufupi, Emmanuel dr congo
Unapita ndoto,au maono,Tenga muda hata siku tatu au ngapi Muulize Mungu,atakujibu maana yeye ndo amekuonyesha,Mungu hapendi tuwaulize watu,anataka tumuulize yeye, sikila mtumishi anaufahamu juu ya ndoto namaono,funga,tafakari Kaa kwenye uwepo wa Mungu atakufunulia kama Daniel
Asate mutumishi somozuru 🙏
Asante bwana 🙏♥️
Namshukuru sana Mungu maana leo nisiku yangu ambayo yeye ameichagua kupitia wewe mtumishi wake kunifikishia ujumbe ambao unanihusu asilimia %. Nimebalikiwa sana nakukijua kilichomo ndani yangu nanilicho beba, Mungu aendelee kukupigania nakukupa afya njema mtumishi.
Asante bwana kwa afya umenipa mm na familia yangu simama na ibada yako na mtumishi wko familia yke na washirika wote hapa tuongoze bwana naomba unijaze na imani yko nipate kulizikiza neno lako
Asante MUNGU kupitia madhabahu hii kwani inafanyika ukombozi wafahamu zangu nauponyaji waloho yangu
Mtumishi Mimi natamani kuomba Sana. Lakini hata lobo saa nashindwa na Vita kikubwa kwangu❤❤🎉🎉 Amina mafundisho yako yananiballiki
Ebu inuka tena unanguvu kubwa ndani yako shetani asitie uzaifu mbelezako na ukajiona auwezi .ashindwe kwa jina lipitayo ma jina yote✋✋✋✋✋✋✋✋✋✋✋
Njia nyingine ya kuomba ni kwa kutumia njia ya biblia mfano zile Zaburi ni njia moja kubwa sana ya maombi yenye nguvu sana hakuna kinachoshindikana
Mtumishi niombee mm nimekuwa mgonchwa wiki tatu kuanzia tarehe tano nilikuwa nimepata nafuu tena sasa hivi mm ninaumwa mwili wote naomba maombi plz.