LIVE: MAOMBI YA KUOMBA UNACHOKITAKA KWA MUNGU.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- Mithali 3:16
Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kuume, Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
MUNGU wangu nimeona ukuu wako katika picha mpya! Zidi kumwinua mtumishi wako huyu aliyoyanena leo aongezewe mafunuo lkn na mimi nianze upya maisha ya kukuishi leo na milele yote.Kwa YESU KRISTO naomba na ninaamini Amen.
Usiniache eehhee mungu wangu najua mm n mkosefu mbele zako baba unirehemu amen
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
Najiungamanisha na ibaada hii kwa Jina la yesu nikafanikiwe kwa yote niliyoyaomba yatimie amen
Amen
Ameen
Amen 🙏
Usinipite Yesu wangu
Naamini kwako yesu kristo kuna wokovu wa milele
❤
Mtumishi unasema na maisha yangu kabisa
Usiniache Mungu wangu katika majaribu yote unisamehe niambie moyo safi nikae mikononi mwako mm na familia yangu siku zote
Amen Amen Mungu ni mwema kwa wakati wote Amen Amen
🙏🙏🙏
Yaani nimebalikiwa sana neno limeningusa sana 😢😢 naomba mungu nisamehe dhambi zangu zote nilizo kukosea nisamehe na dhambi nilizozisau 😢😢 mungu akuwe mtumishi unafafanua ata kama sio mtu wa kumjua mungu utamjuwa kupitia hili neno🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼😢😢😢
Neno hili Lina nifaa sana
Amen Amen Amen
Eeh MUNGU naomba usinipite 🙏
YESU naomba unisamehe inawezekana mm ni chanzo ya haya ninayopitia unisamehe Mungu wangu naomba nivushe kwenye haya majalibu 😢😢
Barikiwa sana mchungaji kwa somo zuri la kujenga
Natulia kusikia neno la MUNGU
Amen mtumishi Hili ni somo langu juu ya zaka..Mungu anipe neema yakushinda hii dhambi
Asante mtumishi wa mungu baba
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
I received
Mungu naomba mwanzo mpya na wew
Mungu nisaidie niweze kutenda mapenzi yako
Hahahah kutimuliwa kazini pastor,,,,mimi ni shuhuda ukitoa zaka kamili huwezi kunyanyasika
Pitié Seigneur 🙏
😓😓hakika nimepona kwenye zaka hapo ndo tiba kubwa🙏🏼
Amina asnte ee Mungu kwa yote
Ubalikiwe saaaaaaaaaana muchungaji
Asant yesu
Too much ads mpaka Inatoa moto wakuskiza… yaani ukianza kuconnect liad hilo. Is there any way to listen without ads? They making me bored cz in a minute u got to ads!!
Mungu umebaki wewe tu kwangu nigusu uniponye he bwana niwewe tu tumaini langu
Naomba mung anikumbuke na mm kweny kipengele cha zaka aniongoze nifanyeje,
Amina kubwa kwake
Ee mungu nikumbuke na mimi
NUngamanish mikonoyangu ipokee vilivyo mema ipokee pesa zakujenga..mikonoyangu mwaka huu ikavae Pete ya ndowa na uchumba
Watoto wangu tulia kwani ni muda wa ibada
Najiunganisha na mathabahu hii Mungu ajibu maombi yangu Amen.
Najiunganisha na madhabahu hii Mungu anipe hitaji la moyo wangu
Pasta ni kanisa gani unaenda kusari
Nikwrli mutumishi hayotulikua hatuyajui
Amen
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
I received
Neno hili Lina nifaa sana
Amen