VITASA | Nginjanginja za Fadhili Majiha dhidi ya Sabelo Ngebinyana - NGUMI IMENYOOKA 20/07/2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
- NGUMI IMENYOOKA | Fadhili Majiha amefanikiwa kutetea mkanda wake wa WBC Afrika kwa ushindi wa pointi dhidi ya Sabelo Ngebinyana kutoka Afrika Kusini.
Ni kwenye Usiku wa Vitasa, 'Ngumi Imenyooka Season 2', New City Pub, Mbeya.
#Vitasa #UsikuWaVitasa #NgumiImenyooka #ChoraMstari #VitasaNight #NgumiJiwe #FadhiliMajiha #SabeloNgeminyana
Nimempenda huyo dada. Anachambuwa ngumi vizuri
Fadhili nakukubali sana mwanangu mungu akuzidishie hekima😊
Aah majiha ni bondia mzur uwezo wake unaonekana lakin anakosa baadhi ya mambo muhim
Anahitaji kocha mzur
Hongera kwa ushindi
Mwakinyo is best and very skilled
Uyu dogo apambana mwakinyo tu , kwanza ana pumzi ya mbwa , noma sanaaaaaaa
Like za champion 🏆 majiha
Majiha hayupo makini sana kwenye upiganaji wake.Amekutana na Sabelo ambaye ni fala tu
Saf sana fadhili majiha kiwango kizur sn paka uko vzr sn unajua kufunga njia kwel kwel iyoo boxing umemka mkanyagia kwel
Huyu bondia hakuwa sawa. Ngumi zilikuwa zinafika ila hazikuwa na nguvu
Hii ndio Tofauti ya mabondia wakali na wakubwa kama fadhili na chipukizi wetu.Watoto wasichoke kujifunza kwa waliowatangulia.Kama kweli una Ari kutaka maendeleo.Ungetaka ushauri kwa wenye matangulio.
majiha ataftiw koch mzur zaid
ALAFU ACHENI MANENO MBOFU MBOFU HIVI MAJIHA APIGANE NA CHAMPEZ KWELI AU LAWAMA TU. PUNGUZENI USHAMBA CHAMPEZ NI MMOJA TU HAPA TANZANIA
Wewe angalia rank, tanzania hakuna bondia anaemfikia majiha hayupo
majiha ana nyota nne na nusu hakuna bondia anaemfikia huyu, angalia game na pongani huyo hassan mmpeni pongani muone kama hajakaa
Majiha n bondia mzur lkn sio skilled boxer na wengne wote ndyo maan wakienda nje wanapigwa .... Na skills znafundishwa na trainer mda gan uwe offesnve mda gan uwe defensive na jinsi ya kuswitch ili uweze kushinda pambano pia shidah ambayo mabondia karbia wote wa bongo wanakwama n finishing ... Boxer ameshapigwa sawa lkn je kumalza pambano hawajui wengi wanaend enda tu na wengne unakuta wanapigwa badala ya kumalza
Kaka tu enda nje hatupigwi ila kuna mipango ambayo ina tengenezwa na wazungu ili ww upoteze
Majiha yuko vizuri..apigane na bwanga
Bondia mkongwe anawekwa fit tu kisha anapelekwa ulingoni.Mavirigiza ya Ulingo anayafanya mwenyewe.ila tuna tatizo kubwa sana nchini ya Mabondia wetu kutokua na Target.ngumi nyingi sana zinapotea hewani.Hata hivyo hongera sana kwa ushindi mkongwe.Ushauri tu msiwapende sana mabondia wa South Africa kwa sababu viongozi wa mikanda mnayochezea wanatamani Boxers wao wapande kupitia fight zetu.Ndio maana yupo Boxer wetu Anyan,ganywe ubingwa Airport.Ndio maana huyo Amekaa kwa ngumi na anagusa capert kisha anaambiwa kateleza
champion
Hapoo mbeya wanapoozwa na kabaridi ka mbeya ndo maana walipiga show kweli kweli nockdown hiyooooo
Majiha apewe pialali, tuone nani nani
Bongo boxer wapo lakin trainer hakuna .... Boxer wengi wanapigana kutokan na akili zao tu zinavyowatuma lkn coner zao hazina msaada .... Hvo unakuta bondia akikutan na boxer mwngne ambae akawez kumsoma vzur bondia anashindwa kubadlka na kujua nin afanye
Sijaona ngumi za ufundi ni mikota kota tu
🎉
Maiti imekatalia muoshaji 😂😂😂
Jaaman niwaulize huyu sindo yule alopigana na mwakinyo alopigwa knockout
Kwani mpk muoge ulingoni?
Mnaleta mabondia wabovuili muwapige aiwezekani kilasiku sabelo mnatuletea walevi ili mshinde
Mlete mama yako mkwee nipande nao ngumi sio kama unavyo amini wewe ina itaji kujifunza na kuelewa huu mchezo
Dada mchambuzi roho mbaya hiyo unataka majiha aongeze pawa kwenye kugonga inamana hiyo bado haitoshi?
Huyu majiha akikutanishwa na haidary mchanjo au mchanja yohana atapigwa sana
Kazi yenu kuletewa mabondia viazi ili muwachape kizembe😂
Amna bondi wakumpiga magia Africa
Huyu majiha ana pumzi sana ila hana skilis za ngumi akikutana na mtu kamaa saidi bwanga au salimu mtango km uzito wao n sawa anakaaa wale madogo wanajua ngumi bwana
Kweli kabisa
Said mbwanga ana skill gani
Acheni upuuzi kilasiku ulingo unamaji yaani mnaandaa pambano afu mshindwe kumlipa mtu wa kufuta hayo maji apo, au mpaka cku bondia avunjuke mguu?. 😟
Hakupashwa atetee mkanda na sabelo ilitakia aletee bondia mkali fadhili ni bondia mkali sana nampenda lakin hapa huyu sia tep yake
Boss wa ule mkanda ni msouth Kwa iyo lazima majiha akiutetea boss aninilishe anayepigana naye bondia Bora
Unasema sio typ yake wakati kavuka round 7
Majiha akamkande mwakinyo aache mbwembwe, alafu watangazaji wa matokeo dahhh huwa wanaboa wajifunze kutoka kwa wenzetu sentence chache tu Tanzanza mshindi refa keshanyoosha wewe bado unavuta and theeeeeee winnaaaaaaaaaaaaaaaa, thethaaaaaaaaaaaaa😅😅😅😅😅fazzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz mpaka mic inatetemeka
Nani kasikia wimbo wa taifa ni Sawa na south africa 🇿🇦 sounds
Hongera kwa kujua leo
Nyimbo zote za Taifa Africa beat linafanana
MAJIHA VS BWANGA
Huyu sio levo yake fadhili afadhali angepigana na mwakinyo mara 💯💯
Duuuuh….🤔,kitu gani hicho umeandika aseeee😮
An super bantam weight apigane na middle weight 😂😂😂 Aya bhn
Yan 55kg na 72kg wapigane 🤔
Shabaki maandaz
Unagonwa
Amewtahili
Sabero kayatimba
Mnatak mwakinyo afie ulingoni nin
Mwakinyo mwehuuu tuuu Mwakinyo awezii kufika kiwango cha Majia hata Nusu
We kiazi kweli yan
Dada mchambuzi roho mbaya hiyo unataka majiha aongeze pawa kwenye kugonga inamana hiyo bado haitoshi?