Hahahah! Nyie watu ni Balaa! Mna match saana alafu mna Upendo wa Ki Udugu yaani mkitaniana Mpaka Mungu anapendezwa, na mnaleta maana halisi ya MICHEZO , penda saana Semaji langu Ally Kamwe
Hivi ,hamasa inacheza kweli and why this hamasa mbona Haina impact yoyote hii, and how kuhusu hamasa then vip mbona ikiwepo hamasa timu inazingua sana na pengine hamasa inaweza isiwe chochote...
Amhed Ally hufai kuwa mzungumzaji wa Timu kubwa kama Simba unaanza kupyaya...yanga anaukubwa gani kuliko Simba unashindwa kumjibu kwa hoja..yakwamba Ukubwa na ubora timu CAF wameonyesha kwenye rank...Ahmed Ally..hufai..Hajui Simba ndio timu ya kwanza kuchukua kombe la ligii kuu Tanzania mwaka 1965 na 1966...ukubwa wa timu sio muda wa kuanzaisha kwasababu hata pamba na coastal union zilianzishwa kabka ya mamelody SUNDOWN,Azam Belazdad n.k ila ni timy ndogo ndogo sana
Haji manara ,jifunze kupitia hawa jamaa😮.wanashirikiana na kua familia moja. Manara anafeli kujenga chuki na kuwapa wengine majina ya ovyo.mpira sio chuki
Haji Manara Kama una shughuli ya kuoa muite awe mc mpira hauwezi si uliona alivyomtambulisha vizuri kabisa hawala yake Aziz ki? Ile ndo kazi ya Haji Manara
Manara anaponzwa na makuzi alivyolelewa kutoa matusi, kejeli, kukosa, adabu ya maongezi na dharau ni Hulka yake wala sio bahati mbaya. Soka limerudisha taswira bora baada ya kumfagia Manara.
Safi sana vijana. Huo ndiyo utanzania na uzalendo.
Tunataka mpira wa Aman sio vitaa nmewakubar wasemaji wetu❤❤❤
Mimi huwa nawapokeza nyinyi vijana watatu huwa mnautani was kuchekesha Mbarikiwe sana
Wasemaji wetu wa timu ya Tanzania. Taifa stars hongereni sana
Yaani Alikamwe akiwaona Ahmed na Ibwe anacheka tu, yaan Anajionea Futuhi watupu
Kabs
Hahahah! Nyie watu ni Balaa! Mna match saana alafu mna Upendo wa Ki Udugu yaani mkitaniana Mpaka Mungu anapendezwa, na mnaleta maana halisi ya MICHEZO , penda saana Semaji langu Ally Kamwe
Umenena vyema utani wa upendooo 😊
Tofaut na mzungu aliye Fanya mpira kuwa vita😢
Haji hana maadili kwenye kuongea anaporojo nyingi hazina maana nimropokaji tu
Si vyema Kula big G mbele mahojiano au unatoa taarifa muhimu, hiyo ishala kuwa hakuna uweledi Na professionalism Kati kazi.
Da!hawa wasemaji ni mwendo wa vichekesho tu pale wanapokutana.
Sasa ushabiki wetu ndo unatakiwa kuwa hivi yaan
❤❤❤❤❤❤nyiee watuuu
Leo Ahmed ally katulia sana kulikuwa na Nini 😂😂😂
Ukubwa sio kuanza kuchukua je umechukuwa mara ngapi😂😂😂
Naomba benchi la ufundi, wachezaji walioanza mechi dhidi ya Congo na kufungwa moja bila naomba waadhishwa kama wako fiti kwa kuanza sk ya kesho
Angekua yule sope angecharuka hapo ila nyny mmetisha sana
Wewe ndio hufai kukomenti sio amedi ally
Matusi sio mazuri ila kiukweli Haji ana dunia yake kwa mpira wetu
Zeruzeru kwenye mpira ni zero brain labda kwenye kuoa na kuachika, mpira ni furaha sio ugomvi lakini kwa Haji Manara mpira ni ugomvi
Hakuna cha maana alichonacho zaidi ya Ally kamwe na Ahmed Ally@@laninjeje8290
😅 yule nyuma kule ni bounsa au😅😅😆
Hivi ,hamasa inacheza kweli and why this hamasa mbona Haina impact yoyote hii, and how kuhusu hamasa then vip mbona ikiwepo hamasa timu inazingua sana na pengine hamasa inaweza isiwe chochote...
Acha makasiriko
Msimrudishe yule mzungu bwana😅😅😅😅😅 hawa wanatosha
SASA hapo manyara unamuweka wp yani mpaka rahaa
Jamanii inapendeza,ila Aliy kamwe,na ibwe wamevaa jenzi za kufanana je? Ahamed Aliy mbona hajafanana
Kwani si jezi ya Taifa😂😂😂 jamani usimba na uyanga utatuua 😅😅😅
@@SangaliPower😅😅
Good 💛🇹🇿.
Uyu Jamaa wa Azam nikutafuna tu kama mbuzi hakuna kitu
Mbona nyie mmeiga hamasa sana tu, na mlipoanza kuiga hamasa mkawa mnaujaza uwanja
Sihami tanzania
Amhed Ally hufai kuwa mzungumzaji wa Timu kubwa kama Simba unaanza kupyaya...yanga anaukubwa gani kuliko Simba unashindwa kumjibu kwa hoja..yakwamba Ukubwa na ubora timu CAF wameonyesha kwenye rank...Ahmed Ally..hufai..Hajui Simba ndio timu ya kwanza kuchukua kombe la ligii kuu Tanzania mwaka 1965 na 1966...ukubwa wa timu sio muda wa kuanzaisha kwasababu hata pamba na coastal union zilianzishwa kabka ya mamelody SUNDOWN,Azam Belazdad n.k ila ni timy ndogo ndogo sana
Acha wivu usio kua na maana.. ultaka mama ako ndo awe msemaji
😂😂😂😂😂😂
Senge kweli
😅😅😅 aka kakijana kaongo sana et simba ni ya kwanza kuchukua kombe ata data hakana kanaongea na kuji-contradict kenyewe Et Yanga inaukubwagani....
Kumradhi MUUNGWANA neno Sahihi NI kupwaya hili la kupyaya ni la kiasili zaidi.
Kila raheli Taifa stars tumpige mkongo
Hamed achana na hicho kishoga
We ndo bwana ake
Jmm wasemaji wetu wananipa Raha Sana Kama ally kamwe na Mohamed ally hongeren sana mnajua nn maana ya useman wa soka
HAHAHAHAHAHAHAHA
Hivi kwa nini wasemaji wa timu zingine hawashirikishwi kwenye suala hili la kitaifa? Huu ni ubaguzi wa wazi.
Sio ubaguzi wana aangalia watu wenye ushawishi
Thank you@@RosalinaMakenzi
kukuelewesha ni kupoteza t mda tondelogungulundi
Me nilikuwa naisubr hii Ahmed Aliy na Aliy kamwe wakutane wamchambe Hashim Ibwe kuhusu mke wa Dkt Mwaka 😂😂
😂😂😂alibebwa bhuana ngongoni hatareee😂😂😂😂
@@fortunatafelician5625 😂😂😂😂🔥🔥🔥
@@MakaNkoka🙏
😂😂😂😂😂
Yani nyie watu nihatari na nusu
😂😂 hawa jamaa lazima CONGO WAKAE
kwendeni huko
Kaka
Ubaya ubwela🔞
Uyo makame ametia dosali
Haji manara ,jifunze kupitia hawa jamaa😮.wanashirikiana na kua familia moja. Manara anafeli kujenga chuki na kuwapa wengine majina ya ovyo.mpira sio chuki
Usenge tuu 😂 amna hamasa hapo washakula ela ...angepewa manara tu kwenye Timu ya Taifa
huyo manara ndio anacheza au
@@CharlesWilliam-q7j huijui NGUVU ya manara kaaakimyaa mshamba ww
@@CantonaKunona jibu swali manara anacheza namba ngapi
@@CharlesWilliam-q7j kama una D 3 huwezi nielewa kakojoe ukalale alf manara c o mchezaji mshamba ww 🖕
Haji Manara Kama una shughuli ya kuoa muite awe mc mpira hauwezi si uliona alivyomtambulisha vizuri kabisa hawala yake Aziz ki? Ile ndo kazi ya Haji Manara
Acha.matusi.tuwe.wastaarabu.
Kumbe mechi ya Simba na Yanga huwa ni ya biashara.
Wasemaje wachekeshaji
Manara anaponzwa na makuzi alivyolelewa kutoa matusi, kejeli, kukosa, adabu ya maongezi na dharau ni Hulka yake wala sio bahati mbaya.
Soka limerudisha taswira bora baada ya kumfagia Manara.
Tunamtaka masaubwile
Sema Nina mtaka masau bwile acha kusema kwa niaba ya watu, na hujatumwa 😂
Upuuzi tuuu
Tunatumia jaman
Sasa ushabiki wetu ndo unatakiwa kuwa hivi yaan