KAPTENI JOHN KOMBA AKITUMBUIZA KWENYE MIAKA 38 YA KUZALIWA KWA CCM
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.พ. 2015
- Kapteni John Komba akiwa na band yake ya TOT wakitumbuiza kwenye sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM kwenye uwanja vya Maji Maji mjini Songea.
Wimbo huu umewaacha na simanzi wana CCM hasa baada ya kupata taarifa za kifo cha Kapteni John Komba Mbunge wa Jimbo la Mbinga Magharibi kilichotokea tarehe 28 februari 2015.
I wll always remember you our lovely captain John Komba!!!!
Ccm mbele👊
Hayupo Komba hapa alikuwa tayari amefwariki 2015
Wimbo huo kautunga mwenyewe na hapo ni katika kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM
CCM oyeeeeeeeee,,, hatukatai upinzani ila wanatupa changamoto tuzidi kusuruhisha na kupambana hivyo wanatufanya tukaze zaidi na tusonge mbelee sisi CCM ni mbele kwa mbele
Hata waige hii ni ngumu kumeza capt sauti yko ya gharama baba
"Kidumu chama cha mapinduzi"
Ccm oyeeeeee!!
Nimeipenda sana
Mungu aipumzishe kwa Amani roho yako, Hakika ulikuwa fundi wa kupanga mashairi.
Mungu atangulie safari take , Mbele yake nyuma yetu, Kikubwa duwa watanzania jamani,
Tunakukumbuka komba kipindi km hichi
R.I.P Captain J. Komba
Rip
R.I.P komba
RIP
Hajatokea na hatatokea tutunze hizi nyimbo
R.I.P
Wavimbe wapasuke
R.i .p captain
rip
Ama kwa hakika kulikuwa na komba mmoja tu!!
Utakumbukwa daima
i will always remember you....RIP cap. Komba
CCM haijamuenzi komba kwa jinsi inavyopasa, kwani mtu huyu aliibeba CCM kwa mikono yake mwenyewe!!
Pumzika kwa amani Komba
Kombaaa
Rip Komba
Hakika
R.I.p nguli wa ccm
Kabisa,,,,na CCM haijamuenzi mshikaji kwa jinsi inavyopasa
KAFA NA UTAMU WAKEEE
Kabisaaa!!
Ccm hoyeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Jembeetu lilipotea
Bi khadija kopa sijamuona hapo
pumunzika kwa amani
Ccm mbele kwa mbele miaka Kama yote
Komba
RIP
Rip