Vimbwanga vya Bernard Morrison akitambulishwa klabuni KenGold

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • #MakarashaDay: Tazama ‘vimbwanga’ vya Bernard Morrison baada ya kutambulishwa ndani ya dimba la Sokoine jijini Mbeya ikiwa ni ingizo jipya kwenye kikosi cha KenGold.
    Wchezaji wengine waliotambulishwa ni pamoja na Morrison ni Kelvin Yondani na Obrey Chirwa.
    #MakarashaDay #KenGold #HashukiMtu #AzamSports1HD

ความคิดเห็น • 246

  • @devothaignatius5256
    @devothaignatius5256 6 วันที่ผ่านมา +3

    Mm nawaombea msishuke daraja nawapenda mno ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm 7 วันที่ผ่านมา +2

    Waooooooh!!! Very fantastic! 😍 I LOVE CAN GOLD I LOVE MBEYA ✨💫💫🙌📖🙌🎉🎉😘💋💋❤❤❤❤💞💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏 by Steve Tanga mbeya kwetu 🙏

  • @Mmenga_junior
    @Mmenga_junior 6 วันที่ผ่านมา +5

    Kama unaamini hivi vinavyofanywa na Ken Gold ni vituko like hapa😂😂😂😂

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 7 วันที่ผ่านมา +4

    Jamani Kengold msituangushe wana Mbeya tunawategemea 🎉🎉

  • @thirdsigntzofficial
    @thirdsigntzofficial 7 วันที่ผ่านมา +8

    Msemo wa kocha wa yanga kwamba ligi aina ushindani sasa umezaa matunda...Boss KenGold kavunja kibubu 😀!

  • @benardnkuba
    @benardnkuba 7 วันที่ผ่านมา +8

    NBC imevamiwa😂😂😂BM3 katuwa bongo😂🙌🏿

  • @djfunk255
    @djfunk255 7 วันที่ผ่านมา +2

    Mchezeji kafika leo na leo leo kapewa ukeptaini Raha sana 🎉🎉❤

  • @violetjoel-o2n
    @violetjoel-o2n 7 วันที่ผ่านมา

    🎉 kelvin nakubali sana, jina la mdogo wangu nakupenda pia napenda kazi yako mungu akutangulie

  • @EGM-TZ
    @EGM-TZ 7 วันที่ผ่านมา

    From #EconomicallyGrowthMusicians Congratulations Guys Kazi nzuriii sana hii Ikawe Kheri Kwenu Wakuu🎉🎉🎉🎉 Enjoy Muziki Mzuri kutoka EGM

  • @IsmailKarim-d3v
    @IsmailKarim-d3v 6 วันที่ผ่านมา +2

    Jamaaaniiiiii,,,haya inatosha tusianze ujinga asa ivi

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 7 วันที่ผ่านมา +2

    Kusema ukweli Morisson anaujua mpira kwa level aliyoenda mabeki watateseka sana. Big up Bernard Morrison.

  • @petermsechu1519
    @petermsechu1519 7 วันที่ผ่านมา +3

    Duh Yondani tena😅😅😅😅😅😅 Alafu Mkija kufungwa Muanze Kusema Timu kubwa Zinanunua Mechi

  • @SadamSarita-t7z
    @SadamSarita-t7z 7 วันที่ผ่านมา +9

    Morrison anajijua chizi anawaambia inatosha asije anza ujinga saiv yani anajijua anaweza kuhariku kabla ya game

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku 7 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂bm3 noma sana narud ken gold 😂😂

  • @joycejoes
    @joycejoes 7 วันที่ผ่านมา +2

    Mimi jamani nafutahi tu Aubrey Chirwa 😘😘😘🫂

  • @mrmars266
    @mrmars266 7 วันที่ผ่านมา +2

    Mko vizuri ndo tunaanza ligi sasa

  • @GodfrayGod
    @GodfrayGod 6 วันที่ผ่านมา +4

    Hapo kocha angekuwa mourinho weeeeeeeee ubingwa caf champions league mapema

  • @123kerim23
    @123kerim23 6 วันที่ผ่านมา +3

    Kumbe bongo kuna timu ya kwenda kulia uzee alaf nashangaa mie sijaitwa nikal uzee wang poa😢😢

  • @SaidDiso-l4c
    @SaidDiso-l4c 6 วันที่ผ่านมา +5

    Nyie kusanyen wazee kama mabarozi wa tasafu kisha tutaonana mwisho wa msima msije sema hatujawaambia😂😂😂

  • @RukiaKhamis-pu9zv
    @RukiaKhamis-pu9zv 7 วันที่ผ่านมา +3

    Jamani mbona wote wazeee 🤣🤣🤣

  • @Wilfred096tz
    @Wilfred096tz 7 วันที่ผ่านมา +2

    Tunasajili wazeee mtuachie ken gold yetu 😂😂😂😂😊

  • @johnmalima3071
    @johnmalima3071 7 วันที่ผ่านมา +3

    Hii timu Boss kalewa 😂😂😂

    • @EREVUKATV
      @EREVUKATV 7 วันที่ผ่านมา

      Hahahahahaha😂😂😂😂😂😂😂

  • @DaudDaudemmanuel
    @DaudDaudemmanuel 7 วันที่ผ่านมา +6

    Tunafanya kweli wanagu wambea ❤❤

    • @khalidmwakabuta
      @khalidmwakabuta 7 วันที่ผ่านมา

      Wapambane sasa tuko mikoani tunaambiwa tumelala wakati si ndo Mkoa wa vipaji vingi tofauti tofauti %

    • @razackMohamed-r1o
      @razackMohamed-r1o 7 วันที่ผ่านมา

      0:10

    • @razackMohamed-r1o
      @razackMohamed-r1o 7 วันที่ผ่านมา

      Amaa kweli ukistaajabu ya musa utayaona ya ken gold ndo hayo sas

  • @farlykunga8599
    @farlykunga8599 7 วันที่ผ่านมา +1

    😅😅..Their very funny this pipos

  • @robertmwanakatwe8134
    @robertmwanakatwe8134 7 วันที่ผ่านมา +2

    Wao wanasajili kwa lengo la kunusulu timu isishuke na ndio maana wamewapa mikataba ya muda mfupi, then msimu ujao ndio wasuke kikosi upya

  • @KamugishaSupe
    @KamugishaSupe 6 วันที่ผ่านมา +3

    😂😂😂 mbona timu ya wazee

  • @jusseyjm5718
    @jusseyjm5718 7 วันที่ผ่านมา +1

    kweli tajiri kaamua....izo jezi kama kanzu za mashahidi wa yehova

    • @mosesnyongole6240
      @mosesnyongole6240 6 วันที่ผ่านมา

      Pole mzee mashahidi wa Yehova hawajawahi kuvaa kanzu ktk historia yao

  • @AminiMsellem-gk3yy
    @AminiMsellem-gk3yy 7 วันที่ผ่านมา

    Ila tuache utani hiki kikosi ni noma kitakua na ushindani wallah nawaambia🙏🙏🙏🙏

  • @chollejr_
    @chollejr_ 7 วันที่ผ่านมา +3

    😂😂😂😂😂usianze ujinga kumbe anajijua kua ni mjinga

  • @SumaMoshivitendo
    @SumaMoshivitendo 7 วันที่ผ่านมา +3

    Kutoka mozambiqui mimi ni mashabiki wa simba timu inawachezaji wazur pambana itafika mbali kikubwa kujituma

  • @mckingu4004
    @mckingu4004 7 วันที่ผ่านมา +1

    Morrisson hajawah kuwa serious😂

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 7 วันที่ผ่านมา +1

    ONGERA SANA KEN GOLD

  • @BushurJoel
    @BushurJoel 7 วันที่ผ่านมา +2

    duu tulimmis sana captain kelvin patrick yondan coton juice

  • @Tassyomy
    @Tassyomy 7 วันที่ผ่านมา +2

    2025..Tutayaona Maajabu Meng Sana..Yaan Wachezaji Wa Wili..Cjuw Watatu..Unawatambulisha Utazani Kama Unaenda Kuanza Msimu..😂😂

  • @MartinMadimilo-z6w
    @MartinMadimilo-z6w 7 วันที่ผ่านมา +3

    Kama Morrison anachechemea vile😂😂

  • @AbigaelEmanuel
    @AbigaelEmanuel 7 วันที่ผ่านมา +3

    Ila hii club😅😅😅 tuwe wapole kila mtu atachanganyikiwa kwa wakt wake

  • @BeaSHAYANAHunterson
    @BeaSHAYANAHunterson 7 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂benard dahh

  • @MohamedKobembe
    @MohamedKobembe 7 วันที่ผ่านมา +1

    Kashakula bange mwanang BM3 bhn😂🙌🏿

  • @mohamedizabura4999
    @mohamedizabura4999 7 วันที่ผ่านมา +2

    Jamaniiiiii msianze ujinga Sasa ivi

  • @Jton-u1h
    @Jton-u1h 6 วันที่ผ่านมา +1

    Bm3🎉🎉🎉

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 7 วันที่ผ่านมา +2

    Naona Morrison alisajiliwa Simba na Yanga

  • @khalifasultan2677
    @khalifasultan2677 7 วันที่ผ่านมา

    Kumbe ligi ndio imeanza kwa Ken Gold😹😹😹
    Lazima Mrudi Mlipotoka Nyie!!

  • @richardkasigi7539
    @richardkasigi7539 7 วันที่ผ่านมา +1

    Kwani hujapendaa

  • @FatumaIbrahim-u5k
    @FatumaIbrahim-u5k 7 วันที่ผ่านมา

    Hii Kali ya mwaka 😂😂😂😂

  • @bosssalum1037
    @bosssalum1037 7 วันที่ผ่านมา

    Leo lao ni team ibaki ligi kuu

  • @HajiAngai-d5h
    @HajiAngai-d5h 6 วันที่ผ่านมา +1

    OBREY CHOLWAAA 😮😮😮

  • @linuslusian-d5w
    @linuslusian-d5w 7 วันที่ผ่านมา +4

    tanzania kwa komedi

  • @wilbertmsuva7442
    @wilbertmsuva7442 7 วันที่ผ่านมา +2

    KUPATWA KWA NBC SASA HUYU WAKILI AKIJA KUWASHITAKI KEN GOLD TIMU ITAFILISIKA

  • @mkaziz5443
    @mkaziz5443 5 วันที่ผ่านมา +3

    wazee fc😂😂😂

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 7 วันที่ผ่านมา +3

    Kwl simba imeanzisha kitu kizuli yn timu zote tz wameiga

  • @SaraRobert-io8xv
    @SaraRobert-io8xv 6 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂 hata sijui nacheka nini mimi😅

  • @isaiahmakenzi9243
    @isaiahmakenzi9243 7 วันที่ผ่านมา +1

    BM3 😂😂😂🙌🏽🙌🏽 et jaman

  • @shamimujamaly8197
    @shamimujamaly8197 7 วันที่ผ่านมา +1

    Ndo wavae Jez kubwaaaa

  • @filbertnyoni2352
    @filbertnyoni2352 7 วันที่ผ่านมา +4

    KAMEENDA KULA PESA ZA MADINI
    HAKUNA MCHEZAJI HAPA

    • @AleniBruno
      @AleniBruno 7 วันที่ผ่านมา

      Amna uyo fundi bn

    • @DennisFandi
      @DennisFandi 7 วันที่ผ่านมา +1

      Ben ni kipaji boy labda km hujui mpira

  • @yusuphntisi
    @yusuphntisi 7 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂 laaahaullaaah chirwa hata kukimbia hawezi

  • @IbrahimLawi-g1s
    @IbrahimLawi-g1s 7 วันที่ผ่านมา +2

    Tanzania Hadi lahaa Yani maajabu ni yakutosha

  • @nemesapollo4846
    @nemesapollo4846 7 วันที่ผ่านมา

    jamaniii😂😂😂

  • @Esta-p1z
    @Esta-p1z 6 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂hizo jenz😅

  • @MohamedChillo
    @MohamedChillo 7 วันที่ผ่านมา +3

    Bosi kweli ameamua ,hii timu haitashuka daraja tena

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu 7 วันที่ผ่านมา +1

    Wale vijana wameshindwa kuiokoa timu Bora waje Hawa wazee na Imani hawatashuka daraja.

    • @AshaBiAsha-ou9ht
      @AshaBiAsha-ou9ht 7 วันที่ผ่านมา

      Old is gold msidharau ngoja tuone

  • @michaelmjaluo905
    @michaelmjaluo905 7 วันที่ผ่านมา +3

    Msianze ujinga bado mapema sana

  • @BarakaIsmail-p4w
    @BarakaIsmail-p4w 5 วันที่ผ่านมา +1

    Vituko wanaweza shuka wakileta masiala wapambane wanambeya tuna waamini.

  • @EmmanuelKamala-x5b
    @EmmanuelKamala-x5b 7 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂 benadi kashakua msanii uyo

  • @ibrahimjumbe8121
    @ibrahimjumbe8121 7 วันที่ผ่านมา

    Ila ken gold angalieni sana maana naona wengi katika utambulisho ni vibonge

  • @masoudabdoul8447
    @masoudabdoul8447 7 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi ni vituko uswahilini...
    Uswahilini Kuna VITUKO😅😂😂

  • @ibrahimuakwilombe
    @ibrahimuakwilombe 7 วันที่ผ่านมา +43

    Utambulisho wa wachezaji katikati ya msimu tena wachezaji wenye umri zaidi ya miaka 40' vituko vinaendelea😮😅😊

    • @UdakuMedia-r4w
      @UdakuMedia-r4w 7 วันที่ผ่านมา +3

      Aaah😁😁😁😁😁😁

    • @MichaelMizimu
      @MichaelMizimu 7 วันที่ผ่านมา +1

      😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮Haaàaaaaaa

    • @Avil_tz
      @Avil_tz 7 วันที่ผ่านมา +2

      Yondani miaka 50😂😂😂

    • @ahmedsdk6736
      @ahmedsdk6736 7 วันที่ผ่านมา +8

      Roho mbaya itakuuwa mzee!! 😂😂 Kwa levo ya kengold hayo n mafanikio makubwa kw soka la Tanzania

    • @AgnesJohn-f1r
      @AgnesJohn-f1r 7 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂 tulia wewe

  • @MhemedySaloom
    @MhemedySaloom 7 วันที่ผ่านมา +2

    Ila izo jezi hazina kipimo hadi morson kapiga fundo

  • @joshuahamis2738
    @joshuahamis2738 7 วันที่ผ่านมา +1

    Sijaona hapo mchezaji zaid ya Morrison lakin pamoja na hayo mjiandae tu kushuka daraja

  • @johnyurra-eb8yo
    @johnyurra-eb8yo 7 วันที่ผ่านมา +1

    Obrey chorwa chirwa😊

  • @kambachaku
    @kambachaku 7 วันที่ผ่านมา +1

    Hii timu tuiombee aisee kwa😂hao wazee wao ngoja tuone 😂😂😂

  • @UlamaaTz-n6j
    @UlamaaTz-n6j 7 วันที่ผ่านมา +1

    Ety morson jamani😂😂😂😂

  • @davidmisiwa4622
    @davidmisiwa4622 5 วันที่ผ่านมา +1

    Luis miquissone yuko wapi

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 วันที่ผ่านมา +1

    Morison kichwa kibovu😂😂😂

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 7 วันที่ผ่านมา

    Hii ni maaajabu 😳

  • @Real_ommy
    @Real_ommy 6 วันที่ผ่านมา +2

    Hii timu au baraza la wazee 😂

  • @chrissbigo5555
    @chrissbigo5555 7 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂 hawa jamaa ligi kwao ndo imeanza siyo?

  • @SabrinnahRamsing
    @SabrinnahRamsing 7 วันที่ผ่านมา +3

    Km matahaira hawa jmn

  • @nemespaulo3218
    @nemespaulo3218 7 วันที่ผ่านมา +1

    Hili ndio kikosi cha maveterani au tungojee kikingine 😅😅

  • @elesianakabuje5832
    @elesianakabuje5832 6 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂jamani

  • @b4lfbeat598
    @b4lfbeat598 7 วันที่ผ่านมา +1

    Morrison anakitambii😅

  • @idrisamapesa2732
    @idrisamapesa2732 6 วันที่ผ่านมา

    Hapo kumejaa mashabiki wa team mbili tu

  • @carlosdigitals
    @carlosdigitals 7 วันที่ผ่านมา

    mmeleta show flani Nzuri kama Yanga Day ya 2020

  • @noelmhando
    @noelmhando 7 วันที่ผ่านมา +2

    Boss kaamua timu ishuke daraja

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 7 วันที่ผ่านมา +1

    Kahuniii huyu ndio muhuni sasa morison kwel unajua kuishi bongoo piga pesaa

  • @Mufti-g3x
    @Mufti-g3x 7 วันที่ผ่านมา

    Kwaiyo leo ni ken gold day sio?

  • @fatumashaibu
    @fatumashaibu 7 วันที่ผ่านมา +1

    jaman mbona vituko uswahilin

  • @SilasJacob-z6v
    @SilasJacob-z6v 7 วันที่ผ่านมา

    Daah hii ni balaa😂😂😂 yani gari lishaenda na maji afu unatafta kulivuta wakati hata halionekani

  • @LidiaTomasi
    @LidiaTomasi 7 วันที่ผ่านมา

    Ss uhuu utambulish niwalin😊

  • @EmmanuelNyinyigwa-m1o
    @EmmanuelNyinyigwa-m1o 7 วันที่ผ่านมา +1

    Mmejipambania sana

  • @Sima-r2v2f
    @Sima-r2v2f 7 วันที่ผ่านมา +2

    Mmeshindwa kujaza ata kiwanja

  • @SaniaIdrisa-y7v
    @SaniaIdrisa-y7v 7 วันที่ผ่านมา

    Morrison ana kitambi🤣🤣

  • @timamulituto
    @timamulituto 7 วันที่ผ่านมา +1

    ukisema cha nn wezako wanasema kinafaa 😂😂😂😂

  • @costantinemabusi-k2z
    @costantinemabusi-k2z 7 วันที่ผ่านมา +2

    Hao wote ni wazee wa migomo.

  • @NdoileSelemani-zj6dl
    @NdoileSelemani-zj6dl 2 วันที่ผ่านมา

    Obrey chorwa chirwaa😂😂😂😂

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 6 วันที่ผ่านมา

    Jamaaaaaaaani 😅

  • @GodfrayGod
    @GodfrayGod 6 วันที่ผ่านมา +1

    Yaani wazee tupu daaaa

  • @MuhsiniMuhsini-y5k
    @MuhsiniMuhsini-y5k 7 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi ni vituko 😂😂😂😂 jmn

  • @mzeke-r9h
    @mzeke-r9h 7 วันที่ผ่านมา +1

    Bongo kwenye mpira ni shamba la bibi yani wachezaji wapo hapo mtoto anazaliwa mpaka anakua ,wamekosa wachezaji au

  • @Officialthefinestboy
    @Officialthefinestboy 7 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂 kazi ipo

  • @demask3423
    @demask3423 7 วันที่ผ่านมา +2

    Kwani msimu ndio unaanza au?!