BABA wa MTOTO ALIYETEKWA - "WAMEMCHUKULIA MBALI - NI NDANI - WATEKAJI WALIMKABIDHI kwa MAMA"...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 300

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  9 วันที่ผ่านมา +9

    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...

    • @olicej7837
      @olicej7837 9 วันที่ผ่านมา

      🙏

    • @jamilajamal1584
      @jamilajamal1584 9 วันที่ผ่านมา

      Alhamdulillah 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

    • @Sospetermwageni
      @Sospetermwageni 9 วันที่ผ่านมา

      Mbona inasema Group does not exist 😢

    • @seciliachungu5358
      @seciliachungu5358 7 วันที่ผ่านมา

      Mbona inagoma kujiunga na group Mimi pia nimepoteza mtoto leo ni siku ya kuni na moja

  • @Mamshika
    @Mamshika 9 วันที่ผ่านมา +34

    Asante jeshi la polisi mmefanaya kazi nzuri Mungu ni Mwema sana

  • @ChausikuAli
    @ChausikuAli 9 วันที่ผ่านมา +26

    Mola ni mwema jaman mashaallah tuzidi kumuomba mwenyezimungu tusichoke Kila kitu mola kinawezekana ukimtegemea mungu

  • @NalaKaisen-u3h
    @NalaKaisen-u3h 9 วันที่ผ่านมา +10

    YESU WANGU ASANTE SANA NIMEFURAHI HADI MACHOZI YANANITOKA ASANTE YESU NILIUMIA SANA NA HILI JANGA LAKINI MUNGU UMETUFARIJI❤mama Samia Mungu akulipe mema kwa kutoa ushirikiano na hii familia.

  • @happyjonathan2275
    @happyjonathan2275 9 วันที่ผ่านมา +25

    Kikubwa amepatikana akiwa mzima, tunamshukuru Mungu kwa kutenda makuu!

  • @EvelinaYustin
    @EvelinaYustin 6 วันที่ผ่านมา +2

    Wewe ni Baba bora hongera sana kaka Mungu akutunzie familia yako akutunzie mtoto wako akue vyema 🙏🙏🙏🙏

  • @lucyvalerian2324
    @lucyvalerian2324 9 วันที่ผ่านมา +18

    Hii habari imeniongeza imani, kweli Mungu yupo na anaishi.

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney 8 วันที่ผ่านมา

      Mungu kuwa hai niwajib wak hafi wala hazai na wala hafanan na kit chocht

  • @jadetoto
    @jadetoto 9 วันที่ผ่านมา +32

    Jamani tukiacha swala la mtoto je mnajua huyo mtangazi Imelda amedumu zaidi ya miaka 20 happ global..hongera sana Imelda

    • @AishaAisha-q4t
      @AishaAisha-q4t 9 วันที่ผ่านมา +3

      Watangazaji wote wa global wanafanya kazi kwa kujituma sana big up

    • @arafaomari1832
      @arafaomari1832 7 วันที่ผ่านมา

      Na muona ni mama kijacho

    • @brightsilayo5164
      @brightsilayo5164 6 วันที่ผ่านมา

      Hapo umetisha sana

  • @AzizaJohn-w3r
    @AzizaJohn-w3r 9 วันที่ผ่านมา +19

    Alhamdulillah, tunakushukuru Mungu kwa muujiza uliyoitendea familia hii, na pongezi kwa jeshi la polisi, Mungu tunakuomba uendelee kuilinda familia hii

  • @fideskimario3064
    @fideskimario3064 9 วันที่ผ่านมา +12

    Namshukuru Mungu kwa huruma yake...lakini hongereni Watanzania kwa umoja wetu katika kumlilia Mungu.
    Kaka umenitia moyo...hongera kwa upendo...Mtakatifu Yoseph akuombee. Umekuwa baba bora mlinzi kwa mama na mtoto. Wababa mnaokataa watoto..jifunzeni Upendo kwa huyu baba.

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 9 วันที่ผ่านมา +31

    Possibly hii familia wana hofu ya MUNGU. Mungu azidi kuwabariki.

    • @modestamodesta3940
      @modestamodesta3940 9 วันที่ผ่านมา +2

      Exactly 💯

    • @doricesanga3287
      @doricesanga3287 9 วันที่ผ่านมา +2

      Sanaaa huyoo dada namjua ni mtu wa maombi sanaaa

  • @richardmoshi-tw2rx
    @richardmoshi-tw2rx 9 วันที่ผ่านมา +69

    Nani amefanya Yesuuuu nani ametenda Yesuuuuu Haleluya

  • @HappyShirima-k9t
    @HappyShirima-k9t 9 วันที่ผ่านมา +6

    Mungu ni mwema sanaa una hakii yakufurahiii kaka na kesho muende kanisan mkamtolee Mungu sadaka ya kumshukuru Mungu kwa malaika wetu kurud salama salimin 🙏🙏 Asante Mungu 🙏🙏

  • @georgembwana6508
    @georgembwana6508 9 วันที่ผ่านมา +3

    Hongera jeshi la POLISI mmefanya kazi nzuri, big up

  • @JamilaMbaruk-j3m
    @JamilaMbaruk-j3m 9 วันที่ผ่านมา +10

    Mimi niko kenye,niliifwatilia sana hili tukio tangu mwanzo,lkn kwa sasa nikusema tuu Mungu asante,nahao wanaoongea mengi hayajawakuta bado,pongezi zangu nikwa serikali ya Tz imefanya juhudi kumbwa sana,wanastahili pongezi nyingi sana,sio kazi ndogo

  • @enigenjambwambo6860
    @enigenjambwambo6860 9 วันที่ผ่านมา +2

    Yesu asante kwa kumrejeshea rafiki angu mtoto wakee,kweliii wewe Mungu ni mkuuu sana Mkono wakoo ni mkuu sana na upo kila mahali nikitafakari jambo hili namuona Mungu kwa halisi❤

  • @suzyhenrick8159
    @suzyhenrick8159 9 วันที่ผ่านมา +9

    Kukaa ndan ya YESU Kuna raha sana hata ukutane na mtihan mkubwa vipi MUNGU ana namna yakukuepusha nilichojifunza huyu kaka ana IMANI sana adi anajua nguvu ya mfungo,tuishi ndan ya YESU Kuna uhakika ktk yote

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 9 วันที่ผ่านมา +23

    Nilitaman kumuona rafiki yako aliyemtuma mtu aje kkuangalia adi akakkuta kwenye shimo la choo naamin yeye ndo aliyepewa wazo na MUNGU la kkuokoa katika maisha yenu wewe pamoja mkeo 😢 tumshukur sana huyo mtu

    • @JokhaJokhaabla
      @JokhaJokhaabla 9 วันที่ผ่านมา +2

      @@salmamlokela1987 umeongea point sana

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt 9 วันที่ผ่านมา +3

      Hakika bila hivyo ingekuwa hatari zaidi kukaa ndani ya shimo

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 9 วันที่ผ่านมา +1

      Hivi shimo likikuwa na kinyesi tayari au likikuwa bado jipya?😢

    • @JokhaJokhaabla
      @JokhaJokhaabla 9 วันที่ผ่านมา +1

      @@israelkisaila8401 lilikua na maji taka ndio ila la mwanamke aliloingizwa lilikua halina kitu lilikua limekauka

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 9 วันที่ผ่านมา +1

      @JokhaJokhaabla oooo jamani 😭

  • @AishaIssa-l4q
    @AishaIssa-l4q 9 วันที่ผ่านมา +13

    Asante mungu Kwa kuwareshea fuhaa familya hii alhamdulillah kama nilikua nawaonea huruma sana hakika hata Mimi nimepata faraja

  • @happytimes9747
    @happytimes9747 9 วันที่ผ่านมา +4

    Niruhusuni niinue mikono juu kumpa Mungu utukufu tuliomba usalama wa mtoto akatujibu apewe utukufu Mungu 😊😊

  • @bestforever-q2w
    @bestforever-q2w 9 วันที่ผ่านมา +21

    Hao washenz wangewekwe kwenye karo la choo hata masaaa 12 kwanza mbuz hao waone raha yake ,ashukuriwe MUNGU mtoto. Mzima🙏🙏🙏

    • @HappyShirima-k9t
      @HappyShirima-k9t 9 วันที่ผ่านมา +2

      Sio wawekwee kuwekwa sio adhabu balii wauliweee kabisa kwa tukio walilolifanya liweee funzooo kwa washenzii wengine

    • @karibunyumbani3824
      @karibunyumbani3824 9 วันที่ผ่านมา

      ​@@HappyShirima-k9twaulize wakongo ndio wataelewa nini maana ya adhabu

    • @JokhaJokhaabla
      @JokhaJokhaabla 9 วันที่ผ่านมา

      @@karibunyumbani3824 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @gracepaul4194
    @gracepaul4194 9 วันที่ผ่านมา +2

    Jamani poleni na hongereni sana wazazi wa mtoto huyu.
    Asante Yesu.Asante Mama yetu Samia na Jeshi la polisi big up.

  • @johnvedastus3079
    @johnvedastus3079 9 วันที่ผ่านมา +2

    Dah, poleni sana. Mungu ni mwema sana, hongera jeshi letu hakika mmefanya kazi nzuri sana.

  • @joycemetili3876
    @joycemetili3876 9 วันที่ผ่านมา +2

    Haleluyaa!! Mungu ni mwema sana...asante pia jeshi la polisi kwa jitihada za kumatafuta mtoto

  • @JokhaJokhaabla
    @JokhaJokhaabla 9 วันที่ผ่านมา +2

    Alhamdullah Alhamdullah Alhamdullah shuqran kwa Allah ndio muokozi wetu Yaa Rabby tunakuomba utulindie watoto wetu na sisi wenyewe yaa Allah tuepushe na kila aina ya mitihani amin amin amin yaarab

  • @siashao169
    @siashao169 9 วันที่ผ่านมา +6

    Hongera baba wewe ni mlezi mzuri ❤

  • @SaraUlaya-is2ch
    @SaraUlaya-is2ch 9 วันที่ผ่านมา +1

    Kaka mzuri mungu amekuvusha jaribu kubwa sana hongera kwa iimani kubwa mliyonayo wewe na mkeo kamwe msijekumuacha Mungu❤❤❤

  • @NeemaMsongo
    @NeemaMsongo 9 วันที่ผ่านมา +5

    Hongera sana jeshi la police mmefanya kazi kubwa .

  • @umfarid247
    @umfarid247 9 วันที่ผ่านมา

    Nimefurahi sanaa kaka na mdogo wangu kupatikana mtoto wenu mungu ampe maisha mema mimi sikulala siku ya kwanza nilivyo sikia mlivyo fanyiwa unyama tuna mshukuru mama samira kwa kutekeleza matatizo ya watu mungu akulinde kwa mahasidi ampe maisha marefu ameen pia kesho la police wanajitahidi mungu awalinde ameen

  • @bellingtonlyimo6467
    @bellingtonlyimo6467 7 วันที่ผ่านมา

    Mungu wetu ni mwema sana na ashukuruwe sana. Jeshi letu la polisi mmefanya kazi njema sana hakika mmedhihirisha kuwa ni jeshi lenye weledi wa hali ya juu katika kuwalinda raia.

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 9 วันที่ผ่านมา +6

    Nimefurahi sanaaa.
    Namshukuru Mungu. Kupatikana mtoto wetu.

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 9 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu ni mwema kila wakati tumuelekee yeye katika kila jambo,Ashukuriwe Mungu kwa kupatikana Mtoto tena akiwa hai🙏🙏😂😂

  • @hadijauledi6995
    @hadijauledi6995 9 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu ni mwema jeshi la polc chukuweni mau yenu nawapenda jeshi la polc mnafanya kazi nzur ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @gracemacha9357
    @gracemacha9357 9 วันที่ผ่านมา +4

    Tusichoke kumwomba Mungu kila wakati❤❤❤

  • @apostlerebeccamunguaniinul7073
    @apostlerebeccamunguaniinul7073 9 วันที่ผ่านมา

    Tuna shukuru sana kabisa mutoto ku patakana Mungu ana sikia maombi na ishi congo goma mahali paliko changamoto ya vita nili kuwa na uchungu sana sababu ya ku potea kwa mutoto yule lakini nili musihi Mungu wazazi wrudishiwe mutoto wao na kama ame rudi muzima sifa kwa Mungu amen

  • @carolinemasonga163
    @carolinemasonga163 7 วันที่ผ่านมา

    Tunamshukuru Mungu kwa yote mtoto amepatikana akiwa salama.
    Pia nalipongeza Jeshi la Polisi kwa kazi kubwa walioifanya Mungu awatunze kwa ajili yetu na familia zenu.

  • @TheopistaMakengo
    @TheopistaMakengo 5 วันที่ผ่านมา

    Mungu ni mwema Mungu yupo, anaishi Mungu wetu ni Mungu wakusikia ,amesikia kilio Cha Mama huyu na family yake, na wote waliyo Omba nijambo la kumshukuru Mungu sana

  • @danielkanso
    @danielkanso 7 วันที่ผ่านมา

    Asante Mungu kwa wema wako mkono wako umerudisha furaha ya familia hii Amen

  • @AplA-x9b
    @AplA-x9b 9 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu n mwema kwa kila dakika. Amina Amina Amina Amina ❤❤❤❤ 🇰🇪 🇰🇪

  • @tinajohn6206
    @tinajohn6206 8 วันที่ผ่านมา

    Mungu ni mwema kila wakati
    Tunakushukuru Mungu kwa kujibu maombi yetu🙌🙌🙏🙏🙏pokea sifa na utukufu mwenyenzi Mungu

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 9 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu mkubwa Alhamdulillah🤲🤲 nimefurahi kuskia mtoto amepatikana 🎉🎊💞🍭🍼

  • @ClaudiakCleophas
    @ClaudiakCleophas 9 วันที่ผ่านมา +1

    Tuzidi kumpa shukurani M/Mungu kwa ajili ya family hii🙏🙏

  • @FezaAlly
    @FezaAlly 9 วันที่ผ่านมา

    Alhamdulillah mungu mwema ametenda nimefurahi sana nawapa hongera wazazi kwakua na subra mungu awalinde ❤❤❤

  • @monicakissoly3660
    @monicakissoly3660 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu ni mwema Sanaa. Asante Yesu sifa kwa Yesu.

  • @marthamasue4009
    @marthamasue4009 9 วันที่ผ่านมา +1

    Kabisa tunamshukuru Mungu sana tena sana. Ila Huyo dada au mmama ashughulikiwe kisheria kabisaa

  • @viviankihiyo1076
    @viviankihiyo1076 9 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera kakangu, Najikuta nalia kwa furaha ya matendo makuu ya Mungu. Hakika Mungu ni Mkuu sana!!!!

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 8 วันที่ผ่านมา

    Nimeiona ROSARY hapo ndani. Ni❤ armour nzuri sana❤ TUSALI ndugu tusali sana Mungu ni Mungu.

  • @FORTUNATAMLINGI
    @FORTUNATAMLINGI 9 วันที่ผ่านมา +1

    Hongerani sana wazazi mungu amepokea maombi yenu

  • @clememallya4257
    @clememallya4257 9 วันที่ผ่านมา

    Mungu upewe sifa jina lako lihimidiwe. Ukitaka inawezekana baba. 🙏🙏

  • @ENOCKSOSPETER-f1v
    @ENOCKSOSPETER-f1v 7 วันที่ผ่านมา

    Mungu ni mwema nami nilitamani kujua nini kinaendelea juu ya mtoto,ashukuliwe mungu

  • @devotamutayoba9373
    @devotamutayoba9373 8 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana familia,na hakika funga yenu imefanya kazi,

  • @FelistaNdile
    @FelistaNdile 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu ni mwma sana.Asante Yesu kwa kumlinda mtoto.

  • @judithsimeon7403
    @judithsimeon7403 7 วันที่ผ่านมา

    Hakika Mwenyezi Mungu upo ande wetu
    Asante tunalo jeshi

  • @priscamagetta2958
    @priscamagetta2958 5 วันที่ผ่านมา

    Mungu ni mwema jina la Bwana libarikiwe sana adui ameshindwa

  • @zubedashaban1651
    @zubedashaban1651 9 วันที่ผ่านมา +1

    hongera sana Mungu ni mwema sana, Mungu azidi kuwainua

  • @Enilyangolile
    @Enilyangolile 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mtoto baba magari yanakuja yanapita mtoto.. ni mipango ya MUNGU.. MUNGU NI MWEMA JAMN DAAJ!!!!🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @PendoSanga-be4iw
    @PendoSanga-be4iw 9 วันที่ผ่านมา +3

    Hongera sana familia kumpata mtoto wenu

  • @EmilyMagego
    @EmilyMagego 9 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu baba ana busara saana mungu linda familia yke 🙏🙏

  • @MaryNyabenda-w1m
    @MaryNyabenda-w1m 9 วันที่ผ่านมา

    Asante bwana Yesu kwa matendo yako makuu!!!! Pole na hongera mama mwenzetu 🙏🙏🙏🙏❤❤

  • @ireneamani2048
    @ireneamani2048 8 วันที่ผ่านมา

    Hongera saana familia kumpata mtt wako akiwa mzima, Mungu ni mwema sana

  • @BarakaKusalula
    @BarakaKusalula 9 วันที่ผ่านมา

    Jeshi la polisi linafanya kazi nzuri sana na kama raia tukitoa ushirikiano wa kutosha hakika nchi hii itakuwa salama sana🙏🙏

  • @elizabethkimaro6571
    @elizabethkimaro6571 9 วันที่ผ่านมา

    Jina la Mungu liinuliwe Asante Bwana Yesu kwa kujibu Maombi jina lako Yesu litukuzwe na kuinuliwa

  • @floycekhayali3712
    @floycekhayali3712 9 วันที่ผ่านมา +2

    It was soo painful but everything to God is possible. Glory to God

  • @Magechacha
    @Magechacha 7 วันที่ผ่านมา

    Mungu mwema tunamshukuru Mungu sana sana.

  • @MariamMariam-pg7uz
    @MariamMariam-pg7uz 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu nimwema kaka nawapata nikiwa oman akunakitu kinacho shindikana kwa mungu.mungu atukuzwe sana

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 8 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji umejitoa sana kwenye hili, Mungu akubariki

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 9 วันที่ผ่านมา

    Niseme Alhamdulillah Alhamdulillah Alhamdulillah Asante Allah

  • @akimanarachelalice3009
    @akimanarachelalice3009 9 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu ni mwema 🙏

  • @loycenicolao7488
    @loycenicolao7488 9 วันที่ผ่านมา

    Yani Kila Kitu ni Mungu.....Mungu kwatumia sana police kuwapa moyo wa ufuatiliaji...Da Mungu ashukuriwe sana sana

  • @paulfrancis1897
    @paulfrancis1897 9 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu ni mwema kila wakati

  • @ZenaNdisa-x2m
    @ZenaNdisa-x2m 7 วันที่ผ่านมา

    Mungu ni mwema kila saaa umetenda Yesu tunakushukur

  • @honestandakidemi2332
    @honestandakidemi2332 9 วันที่ผ่านมา

    Da! Mungu wangu Asante! Nna furaha sana juu ya hili

  • @RebeccaMboya-g2q
    @RebeccaMboya-g2q 9 วันที่ผ่านมา +2

    Ashukuriwe Mungu muumba wa mbingu na nchi Kwa kupatikana Kwa mtoto kwakweli

  • @SleepmaxxMlimani
    @SleepmaxxMlimani 7 วันที่ผ่านมา

    Hakika umejidhihirisha Mungu wetu kuwa upo na unasikia jina lako litukuzwe

  • @SharifaA-y4t
    @SharifaA-y4t 8 วันที่ผ่านมา

    Alhamdulhlah asante sana polis mwenyezi mungu awape nguvu mzidi kutu pambania

  • @LucyKafana-iy3mr
    @LucyKafana-iy3mr 8 วันที่ผ่านมา

    Jeshi la polisi hongereni sana kwajuhudi zenu bwana yesu awatunze m uwapo kazini

  • @JanethUlomi-n6h
    @JanethUlomi-n6h 9 วันที่ผ่านมา +2

    Yaani baba anafanana na totoo jamani angepoteza kopi yake dah. Mtegemeeni Mungu sana wapendwa

  • @muuibrahim1805
    @muuibrahim1805 7 วันที่ผ่านมา

    Allah akbar,Allah akbar ,Allah akbar🤲 juhudi ni zenu jeshi letu la polisi na ushindi niwake mungu na furaha ikadumu kwenye familia hii ,adhabu kali juu yao wahalifu wakubwa hao

  • @aminambughi9613
    @aminambughi9613 7 วันที่ผ่านมา

    Hongera kwa kufahamu siri ya mfungo, Mungu amesikia maombi yako

  • @HonestaKimaro
    @HonestaKimaro 8 วันที่ผ่านมา

    Mungu ashukuriwe Amina

  • @zakiamseka9698
    @zakiamseka9698 9 วันที่ผ่านมา

    Tunashukuru sana Mungu na jeshi letu ...oooh God

  • @KeyvanNaomy
    @KeyvanNaomy 7 วันที่ผ่านมา

    Tunamshukuru mungu sote,mungu ni mwaminifu kweli jamani

  • @KhalifaSimai
    @KhalifaSimai 9 วันที่ผ่านมา

    Nikiwa Oman nimefrah sn tushukur Allah Tuseme Alhamdullah tulipongeze jeshi la police kwa kumpata mtt na nyote mkiwa wazima wa afya dhamira zao hazikutimia Allah yupamoja nanyi nawapenda sn❤

  • @rukiamashaka7577
    @rukiamashaka7577 9 วันที่ผ่านมา

    Alhmdulillah rabi alaminah alhmdulilah tunakushkru ewe Allah

  • @NeemaHamissi
    @NeemaHamissi 9 วันที่ผ่านมา

    Asante YESU mtoto amepatikana

  • @AidathRweyongeza
    @AidathRweyongeza 9 วันที่ผ่านมา +2

    Yaani hii furaha mlio nayo wazazi hata sisi wadau kila nikitizama hii nalia machozi y furaha asante mungu bila wewe sisi. Hatuwezi endelea kutulinda na kila balaa

  • @patriciamaganga3891
    @patriciamaganga3891 9 วันที่ผ่านมา

    Hongereni sana Polisi, hiki mlichofanya ni Ibada kwa MwenyeziMungu Amina

  • @PaulinaPaul-v4y
    @PaulinaPaul-v4y 8 วันที่ผ่านมา

    Mung awbrki wte ambao walio shirki kumtafut huy mtoto❤❤❤❤❤

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 8 วันที่ผ่านมา

    Mungu aliye HAI ni Mkuu sana.... Jamani anatenda na anajibu jamani nilikua naamini atapatikana sana

  • @BlossomHer-h5q
    @BlossomHer-h5q 9 วันที่ผ่านมา

    I'm soo glad the baby has reunited with the parents ❤

  • @KennedyJohn-i3x
    @KennedyJohn-i3x 9 วันที่ผ่านมา +2

    Kama kweli wamepatikana naitaji pia kujua wamefanywaje ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizo naisiweze kujirudia tena kwa wengine

  • @AnnaThobias-r5u
    @AnnaThobias-r5u 9 วันที่ผ่านมา +1

    Ahsante sana mungu wetu kwa kuwaongoza vyema viongozi namna ya kumpata mtoto huyo.

  • @halimahalima1488
    @halimahalima1488 8 วันที่ผ่านมา

    Alhamdulillah 👏

  • @dottoelias3537
    @dottoelias3537 9 วันที่ผ่านมา

    Hakika Mungu ni mwema. Sifa na shukrani tunamrushia yeye.

  • @SarahRobert-o6e
    @SarahRobert-o6e 9 วันที่ผ่านมา +2

    Jeshi la police nimewakubali ila utukufu Kwa Mungu 🙌

  • @ElinaJudox
    @ElinaJudox 9 วันที่ผ่านมา

    Mungu nimwemaa machizi ya furaha yalinitoka baada yakusikia mtoto kapatikanaa aksante Yesuuu

  • @IreneKavishe-h3t
    @IreneKavishe-h3t 9 วันที่ผ่านมา

    Nimependa sana Mungu azidi kumtunza na kumjalia afya njema

  • @Alicenyamwiza
    @Alicenyamwiza 9 วันที่ผ่านมา

    Ongela Sana kwakumpata mtoto mnguu nimwa Sana🙏🙏🙏

  • @NasraAbasi-m9e
    @NasraAbasi-m9e 9 วันที่ผ่านมา

    Mungu ni mwema kila wakati🙏🙏🙏

  • @CatherineKipalo-e4v
    @CatherineKipalo-e4v 9 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana tena sana kwa kumpata mtoto kuwa salama