MAKARANI WA UANDIKISHAJI PEMBA WATOA HEKO KWA TUME.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
- KWA HABARI ZA UCHAGUZI , MATANGAZO NA ELIMU YA WAPIGA KURA ANGALIA ZEC ONLINE TV KILA SIKU NA USISAHAU KUSUBSCRIBE, LIKE, COMMENT NA KUSHARE ILI UWE WA KWANZA KUPATA TAARIFA ZETU KILA TUNAPOZITUMA HEWANI
JEE UNA TUKIO AU MATANGAZO?
WASILIANA NASI KUPITIA
SIMU NAMBA
+255-772 625 918
EMAIL
director@zec.go.tz
Wee dada njoo nikuowe ukae ndani insha'Allah
Poleni raha yenu ya Dunia hiyo itakua shida yenu ya akhera kwasababu hamtofanya uadilifu. Asanteni.
Ismaili unatoa hukumu hiyo jer wewe umeshajijua akhera yako?? Hiyo ni shirki
ALLAH tusaidie Inshaallah
Wapemba nao mmhh wanajua pia mambo ya tume mmmhhhh mbn kazi ipo hata wapemba
Mm niko zanzibar lakini sina kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi maana sijakaa miaka 3 mtawalia jee naweza kujiandisha kura ya raisi wa Muungano
Mohammed ungejiuliza huna kitambulisho kwa nini?? Na jee unastahiki au hustahikii km unakiitaji nikwenda kujiandikisha
Kwa dhulma zenu za kuanyima wazawa mkawandikisha watanganyika .Hyo ndo mafunzo yenu.
Ole wenu mubague watu kwa uchama
Yaan kuna wtu hawana shukuran ata awapewe nchii watagombana weneyewe kwa wenyewe bora ccm wabaki tu madarakan milele na milele ndo chama kinachoweza kutawala na sio act wala chadema na cuf wote wabaguz tu
Shida ni nchi sio utawala wa ccm kuwa na akili kwanza, km hao ccm wangekubali kuiacha zanzibar kuwa na mamlak yake basi usingeona watu kulalama hata wangebaki mpk dunia kuisha lakn wao hawalitaki hilo wanataka waikanye Zanzibar mpka isiwepo hasa. Shida ya wazanzibar ni kujitawala wao wenyewe na kuwa na maamuz ktk kila kitu Jambo hili Dodoma hawataki Kinacho husu Zanzibar na nje ya Zanzibar. Na hili Karume aliliona akataka kujitoa Muunganoni kwa kuona Zanzibar inaenda kunyimwa uhuru wake ambao sasa haupo.
Fungukeni vichwa basi. Shida ya vyam pinzan sio madaraka watu wanahitaji nchi wawe na maamuzi yao kwann hamufahamu?
Wewe kwanza unaonesha km barazuli,isitoshe hapa sio kwenu ndiyo ukawa huumii na zanzibar,mkundu wewe
@abdallahmohd3777 acha kupani mimi hapa mie kwetu na mm ni mpemba baba na mama lkn tuambiane ukweli asaiv hao wanaojiita upinzan ni wanafiki tu mpinzan wa kweli na mwenye uchungu na wafuasi wake pia alikuwa mzalendo wa kweli ni marehem maalim seif sio kikundi cha omo na wenzake omo kama kweli yeye ana uchungu hasa na awache kiti mbn maalim alifikia hatua ya kuacha kiti na kutetea maslahi ya wafuas wake acha kufanywa kama kitambaa cha deki awo njaa tu pia wanataka kutulisha wangap hawapo kwa ajili ya siasa halaf wao wanakula bata yeye mwenye omo fisad na sijaona msaada wake ata mmoja maalim seif alikuwa anatowa pesa mfukon mwake kusaidia wanyonge na amekufa akaunt yake haina kitu neena kaangalie akaunt ya omo,mazurui,omari said shaban wote kangalie halaf unaambiwa oh act hakuna kitu apo kaka kiufup siasa na wanasiasa wote ni waongo tu tumia akili hao wanatka kula na sio kura wee kuwa na akili mgando tu na matusi yako ayo ya kuwaita wenzako barazuili kwa siasa mm sijaona faida ya siasa ilivyo inchi ina aman na wanyonge tunafanya kaz zetu kaw salama mie sina cha siasa wala nn lkn kwa upinzani walivyo na lugha za kibaguz bora ccm aendelee kuongoz mpaka kiama zimwi likujualo halikuli likakwisha
Wewe wawapi Tanganyika ama???
Asalale yaani huna hata aibumm nilikuwa kazi kwa sababu nilisapot cuf wakati uleeee sijui ulikuwa ubaguzi au