RAIS SAMIA AKIKAGUA JENGO LA ABIRIA KIWANJA CHA NDEGE MPANDA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2024
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua jengo la abiria katika Kiwanja cha Ndege Mpanda mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege huo mkoani Katavi ikiwa ni sehemu ya ziara yake aliyoianza leo tarehe 12 Julai, 2024.
Kazi iendelee lets Work continue hongera mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr S Hassan
Mheshimiwa Raisi, karibu na huku kigoma,
Mama tuwachie urais wetu kwanza hujiwezi Tena unajilazimisha tu , umezeeka mama
Umetumwa??
Watanganyika tunataka Rais wetu
acha kupoteza muda, tafuta kazi ya kufanya hizi mada zitakuzeesha tu mwisho vitakufanya uwe mchawi
Hilo ni jengo la abiria au nyumba ya kupanga? Acheni utani kuna watu binafsi wanajenga mijengo ya maana kwa 1.4 Billion halafu eti serikali ndiyo inajenga kajengo gani hako 🤔
Hatimaye kaenda kwa vifaranga vyake
Kura
Mama umezidi upore mno watakuibia sana
Vizuri mama. Ila pesa mmepiga, niliposikia 600m nilijua ni inclusive kila kitu. Lakini 1B+ kwa ajili ya mifumo? Ipi? System integration ya TAA na CCTV ndio zimetajwa pekee. Tunataka viongozi wawe na uwajibikaji na uzalendo.
Uchaguzi unakaribia hawa watu dah! Wanajua danganya toto je kule Tanga kimekwisha tangu enzi za ukoloni wanakarabati tu mji kufa watu wanakula pesa ni wale wenzie wanamuangusha sio kosa lake inauma😭
Nawaza Hawa watu wameenda kukagua uwanja wa ndege na si ajabu Kuna mtu hajala na anawaza mchana atakula Nini.
Hebu wananchi badilikeni
Ccm inawapofusha macho msione.
Kuna mikoa Iko imewekwa akina kubwa ya umasikini ili iwe mtaji wa ccm
1.4 b ! Hata nyumba ya mjomba wangu ya 300m ni nzuri zaidi! Huu wizi utakwisha lini? Kwa kweli inaudhi. Na huyu mama akubali kudanganywa? Funga, fukuza, taifishaaa.
Leo mpanda Wana jengo lipya la abiria na mwanza bado Wana jengo lakutoka ukoloni aibu kwa mwanza.
Mama futa KAZI viongozi wote wa mwaza
No